Helthier weight

Helthier weight

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Helthier weight, Health/Beauty, Dar es Salaam.

27/05/2020

●●☆☆ UNAYAJUA MADHARA YA KUTOONDOA SUMU KATIKA MWILI?.

☆☆Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

VYANZO VYA SUMU
Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri
5.Matumizi ya madawa makali
6.Uzito mkubwa
7.Mitindo ya maisha
8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa

DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI
1.Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi,vipele
2.kuwa na uzito wa kupindukia
3.kutokupata choo au choo kigumu
4.kukosa usingizi Na kujihis kuchokachoka
5.Kiichwa kuuma
6.Kupata miwasho
7.Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti
8.kuwa na hasira mara kwa mara.
9.Tumbo kujaa gesi

MADHARA YAKE
1.kuondoa hamu ya tendo la ndoa
2.maumbikizi ya figo
3.Maumbikizi ya Ini
4.Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5.hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke
6.Hupelekea matatizo ya pressure
7.Mvurugiko wa homoni

●●☆SULUHISHO LA KUDUMU.

●☆FAIDA YA BIDHAA YETU YA ALOE VERA GEL MAALUM KWA TATIZO HILI
• Huondoa sumu na uchafu katika Mwili .

•Huongeza Kinga ya Mwili kwa asilimia kubwa sana

•Husaidia kubalance presha

•Husaidia kubalance kiwango cha sukari katika Mwili.

•Hudhibiti virusi Na bacteria

•Huondoa uvimbe wa ndani Na nje.

•Husaidia katika kurekebisha mfumo wa mmengenyo wa Chakula.

•Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.

•Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.

• Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke pale atakapoitumia na Bidhaa zetu nyingine.

• Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya na kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na laini.

•Huondoa uchovu Na kuupa nguvu Mwili

Kwa yeyote anayehitaji hii program ya kuboresha na kuimarisha afya yake

27/05/2020

Usambazaji Wa damu ni Wa muhimu sana katika organ zote za mwili ingawa umuhimu zaidi upo kwenye moyo na ubongo-ambazo ni organi muhimu mwili wote unapoegemea.
Ginkgo ni ya muhimu sana sehemu ambazo kuna matatizo au kasoro za mzunguko Wa damu katika ubongo ikisaidia kuondokana na matatizo au maambukizi yote ya ubongo.
Ginkgo inasaidia mishipa ya damu kutanuka hivyo kuruhusu damu kwa kiasi kikubwa kuzunguka na kutokana na hilo hii husaidia kupunguza presha ya damu.

Umuhimu:-
1:kusaidia kuimarisha mzunguko Wa damu katika ateri na veini hivyo kusaidia kupunguza kasoro k**a mzunguko kuwa mdogo kwa watu k**a waliozeeka k**a kuongeza kumbukumbu,kasoro katika ufikiri,kizunguzungu,kelele katika masikio na kichwa kuuma.

2:Inasaidia kutibu au kuondoa ugonjwa Wa claudication-miguu kuuma wakati Wa kutembea au kufanya mazoezi.

3:Inasaidia kuzuia damu kutoka katika jeraha (blood clotting) hii husaidia kuzuia baadhi ya magonjwa ya moyo.

Faida zake:-
👉🏼kuongeza ufanisi Wa ubongo.
👉🏼kuongeza au kuimarisha mzunguko Wa damu mwilini.
👉🏼kuongeza kumbukumbu.
👉🏼kuimarisha kinga ya mwili.
👉🏼kupambana na sumu pamoja na kemikali mwilini.
👉🏼inazuia aleji au kuwasaidia wenye aleji
👉 Husaidia kuboresha tendo la ndoa kwa kuongeza nguvu na hamu ya mapenzi
👉 Husaidia kuondoa msongo wa mawazo
👉 Huimarisha afya ya macho na kusaidia kuona vizuri.

Wasiliana nasi kwa Watsapp/ Sms/ piga 0683606394

13/05/2020

FOREVER LIVING ALOE VERA GEL ina asilimia 96% ya aloe. Hii inathibitisha uwezo wake mkubwa wa kuboresha afya yako kutokana na virutubisho vitokanavyo na mmea wa AloeVera.

FAIDA ZA KUTUMIA ALOE VERA GEL
~ Huongeza kinga ya mwili ambayo husaidia kukinga mwili na magonjwa hatari.
~ Husaidia kupata mmeng'enyo mzuri wa chakula mwilini na kutatua tatizo la kukosa choo (constipation)
-Husaidia kwa watu wenye vidonda vya tumbo.
~ Husaidia kupata afya nzuri ya ngozi.
~ Huondoa sumu (toxins) mwilini.
~ Huongeza nguvu mwilini (more energy).
~ Husaidia kupata afya ya nywele, kucha na mwili mzima kutokana na virutubisho vyake.

Kwa mahitaji ya bidhaa na maelezo zaidi, WhatsApp, sms au piga simu +255 744606272

Photos from Helthier weight's post 11/05/2020

Bidhaa hii inaitwa FOREVER ACTIVE HA ina Hyluronic YA TANGAWIZI NA MAFUTA YA UKWAJU zinazosaidia kuboresha Maungio Na kuongeza unyevu Kwenye ngozi

Umri unavyoongezeka maji maji ya Kwenye viungio hukauka usipotumia HA mwili waka uka
Meza vidonge viwili kila siku Kwa kuwa mwenye viungo IMARA Na ngozi laini

Faida zake bidhaa hii
-Kwa ajili Kwa kulainisha ngozi Na viungo
-inafaa Kwa mwenye arthritis,rheumatism Na yoyote mwenye maumivu ya viungo
-wana michezo Na sport injuries

Wasiliana nami 0744606272 watsapp/ sms

Photos from Helthier weight's post 25/03/2020

Argi+ & Macca testimony for men and women.

24/03/2020

SOMA HII KWAAJLI YA KUBORESHA AFYA

*KWA NINI MTU ATUMIE FOOD SUPPLEMENTS*

Kwa nini watu wana opt
kwenye food supplements.Jibu halisi la swali lako linapatikana katika swali kwa nini tunakula chakula?

Tunakula ili miili yetu iweze kupata virutubisho, miili ivitumie hivyo virutubisho kuupa mwili nguvu uweze kufanya kazi yake vizuri. According to World Health Organization (WHO) *Tunapaswa kula k**a ifuatavyo:*

1. nafaka ambazo hazijakobolewa (lipids and sterols)
2. mboga na matunda (fruits and vegetables) 5 to 9 types a day
3. protein
4. mafuta yasiyoganda kwa urahisi (unsaturated fats)
5. carbohydrates (sukari)

Mpangilio huo hapo juu unaashiria umuhimu wa chakula, yaani sehemu kubwa ya chakula chetu inapaswa kuwa lipids, ikifuatiwa na fruits and veg, protein, unsaturated fats na sukari.

Lakini asilimia 99 ya watu hula kinyume: sehemu kubwa tunakula sukari na mafuta yanayoganda, protein, matunda na mboga kidogo sana, nafaka zisizokobolewa ndio hatuli kabisa.

*Nini matokeo ya kula kinyume na maagizo ya WHO? MAGONJWA* :
1.Uchovu
2.Kisukari
3.Blood pressure
4.Cancer
5.Impotency
6.Heart attack
7.Stroke etc.

*Kwa nini watu wasile fresh food?*

Ukweli ni kwamba ni vigumu mno kupata virutubisho vyote vinavyotakiwa mwilini kwenye vyakula vya siku hizi.
*Kwa nini?*
Sababu ni nyingi sana mfano *uharibifu wa mazingira* umechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza uwezo wa ardhi.
Pili muda wa kuvuna vyakula shambani mpaka kumfikia mlaji unachangia kwa kiasi kikubwa sana upotevu wa virutubisho. Chukulia chungwa ambalo lina vitamin c nyingi sana, dakika 15 tu baada ya kuchumwa vitamini c yote inakuwa imeondoka na kubaki fructose tu! Sasa piga hesabu wewe mwenyewe uone chungwa linalotoka Tanga kuja Dar es Salaam litakuwa katika hali gani? Na hii ni hivyo hivyo katika vyakula vyote.

*Suluhisho ninini?*

Solution ni kupata vyakula mbadala (food supplements )! Kwa nini? Kwa sababu ni vyakula halisi vimetengenezwa kwa technologia ya hali ya juu kuhakikisha mwili unapata exactly unachotakiwa kupata (natural, hakuna chemical hata moja).

Kuna mis conception kuwa supplements ni dawa, sio dawa! Bali watu wanapoumwa wakizitumia wakapona wanaamini wamekula dawa, ukweli ni kwamba mwili unapopata unachohitaji sio rahisi kuumwa.
Pia watu ufikri kuna chemicals, katika products hakuna chemikali hata chembe moja, kwa sababu supplements hizo hutengenezwa kwa *mimea halisi.... Eg. Aloevera.. Asali nyuki wadogo...Matunda mbali mbali.. Kupata Elimu Sahii kuhusu ulaji na Maelezo Zaidi wasiliana nami kwa . Call/ WhatsApp 0744606272.

13/03/2020

Leo napenda nikupe hii info muhimu sana kwako...
*Namna gani unampa nguvu zaidi huyo Daktari aliye Ndani ya mwili wako?*

Tunaishi dunia yenye challenges nyingi za infections; nyingine ndogo na zingine madhara yake makubwa sana. Watoto pia rahisi sana kupata infections mara Kwa mara. _Na Vitamin C ya kutosha mwilini ni muhimu ktk kumlisha Daktari wako aliye ndani ya mwili; Yani mfumo wa kinga!_

_Kwa siku inashauriwa kupata Vitamin C mg 75 hadi 90 (k**a kula hoho 22 Kwa siku😒)_ na mara nyingi hichi kiwango hatukifikii. Ndo mana ni muhimu kuongezea Kwa kutumia *Absorbent C* ambayo ina vitamin C ya kutosha kabisa iliyochanganywa na _oat bran_ *kuongeza unyonywaji wake mwilini kwako* na kuisaidia itumike inapohitajika!

*Punguza Safari za hospitali na kuumwa mara Kwa mara, inaongeza hamu ya kula, inaboresha afya ya fizi, mishipa ya damu, inafanya ngozi yako isizeeke haraka etc*

_Pata yako leo Kwa ajili yako na familia; and enjoy its maaany benefits!_

Kwa maelezo zaidi na kuipata bidhaa hii wasiliana nasi kwa WhatsApp Au piga 0744606272

13/02/2020

CHAKULA CHA KUIMARISHA TENDO LA NDOA!

kubwa katika mambo ya nguvu za kiume ni pamoja na tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema, misuli ya uume kulegea hivyo uume kushindwa kusimama, kushindwa kurudia tendo la ndoa, kukosa hamu kabisa hasa kwa wanandoa limekuwa tatizo la watu wengi sana.

Zaidi ya asilimia 60 ya wanaume wote duniani wanakumbwa na hili tatizo na limesababisha ndoa nyingi kuvunjika.

Imekuwa dhahiri kuwa ni vigumu mno kwa mwanaume kula mlo uliokamilika KILA SIKU kwa mwezi mzima. Yani mlo wenye virutubisho vyote muhimu kwa ajili ya kuimarisha tendo la ndoa. Ndiyo maana unahitaji kupata virutubisho vya nyongeza ili mwili wako usikose kabisa vitu muhimu katika kuimarisha zoezi la tendo la ndoa.
Tayari watu wengi tumewasaidia na leo hii wanafurahia ndoa zao kupitia virutubisho vifuatavyo: ARGI +, BEE POLLEN na Ginkgo plus ZA +
inaongeza hamu ya tendo la ndoa kwa asilimia kubwa stamina na nguvu wakati wa tendo la ndoa
Kuongeza idadi ya mbegu za kiume s***m count na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri( mobility)
inasafisha mwili na kurenew cell za mwil
inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini hivyo kuboresha hamu ya tendo la ndoa kwa watu wenye changamoto ya sukari
husaidia kurekebisha na kujengeka kwa mifupa na kazi za misuli
husaidia ufanisi mzuri kazi na moyo.
husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulioganda hivyo kuweka standard pressure

BEE POLLEN + GINKGO PLUS

Hizi zinasaidia sana kuleta stamina ya nguvu mno katika tendo la ndoa. Kwa wanaochokachoka kwenye tendo la ndoa wakitumia hizi wanakuwa na nguvu ya kurudia tendo mara nyingi zaidi bila kuchoka wala kulegea mwili. Na GINKGO inasaidia sana kuongeza oxygen kwenye ubongo hivyo inaleta ufanisi mkubwa mno katika tendo la ndoa maana kila kitu kwenye tendo la ndoa huanzia kwenye ubongo.

Package hii inamfanya mwanaume aone amekuwa mpyaaa kabisa. Atafurahia tendo la ndoa na kuliendesha kwa muda atakao bila kukatishwa na upungufu wa nguvu za kiume tena! Tayari watu wengi tumewasaidia na leo hii wanafurahia ndoa zao
hizi zimethibitishwa na mamlaka ya chakula na dawa (TFDA) na mashirika ya viwango ya ndani na nje ya nchi
+255744606272

07/02/2020

PUNGUZA UZITO KWA NJIA SALAMA NA RAHISI ZAIDI.

Karibu katika programu ya siku tisa inayojulikana kwa jina la CLEAN 9 itakayokusaidia kupungua na kuondoa takamwili zote zisizohitajika ndani ya mwili.

Kwa kawaida mwili wa mwanadamu unaweza kubeba takamwili kuanzia Kilo 2 hadi 4 hii ni kutokana na maisha tunayoishi, mazingira tunayoishi (uchafuzi wa mazingira), kutokufanya mazoezi na matumizi mabovu ya dawa za hospital.

Kumbuka kuna aina mbili (2) za takamwili ambazo ndio chanzo cha uzito:-
=zinazoweza kuyeyushwa na maji pamoja na mazoezi(soluble) na

=zisizoweza kuyeyushwa na maji (insoluble) hivyo hizi zisizoweza kuyeyushwa na kuondolewa kwa maji na mazoezi zinahitaji programu maalimu k**a vile CLEAN 9 itakayokusaidia kuziondoa kabisa na kukufanya upungue kirahisi zaidi.

Mtu yeyote anaweza kugundua kuwa ana takamwili nyingi mwilini mwake kwa kuona dalili k**a vile Kutopata choo, kuchoka sana (tiredness), kuumwa jonti na misuli, presha, ngozi kuonekana imechoka, vidonda vya tumbo, wanaume kupungukiwa nguvu za kiume na wanawake kuwa na homoni imbalance, kuwepo kwa michirizi sehemu za mwilini, kushindwa kupumua vizuri, na matatizo kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

Hivyo programu hii ya CLEAN 9 itakusaidia KUPUNGUA KILO nyingi kuondoa takamwili na faida zingine k**a vile

1- kuwa na ngozi nzuri na yakuvutia.
2- kuongeza kinga ya mwili
3- Kujihisi mwepesi na mwenye nguvu

4- kuweka homoni sawa
5- Hukusaidia kupata usingizi mzuri
6- Inasaidia ubongo kufanya kazi vizuri

7- Inaondoa vimbe ndani na nje ya mwili.
8- Inasaidia kuweka sawa mmeng'enyo wa chakula

9. Inapunguza kasi ya uzee.

Kwa maelezo na order whats App/call Au text 0744606272

14/01/2020

SABABU KUU KUMI ZA KUTUMIA KINYWAJI CHA FOREVER ACTIVE BOOST (FAB).. FAB ni kinywaji chenye kukurutubisha na kukuongezea nguvu kitokanacho na Guarana, Aloe Vera, Cranberry na Schizandra vinavyoongeza Vitamin B3, B5, B6, B12, Amino acids, Wanga na Protini.

FAIDA ZAKE
1 Ina kiwango kidogo cha Calories ukilinganisha na vinywaji vingine vya energy.
2 Kuongeza nguvu kwa wanamichezo, madereva wenye kazi nyingi.
3 Hukupa nguvu ya hapo kwa hapo na ya kudumu kwa muda mrefu
4 Kina ladha nzuri
5 Haina Caffeine wala sukari ya kutengenezwa bali ina Caffeine ya asili (tunda la GUARANA)
6 Huboresha tendo la ndoa (Longevity na Libido)
7 Inasaidia maumivu ya kichwa.
8 Husafisha sumu mwilini hasa kwenye mafigo na maini.
9 Husaidia kuondoa HANGOVER
10 Imepitishwa na Anti-Dopping (Hakina kemikali)

Kwa kujiunga na biashara hii au kupata bidhaa hii na nyingine nyingi kutoka Forever Living Products, tafadhali piga
simu/Whatsapp no: +255744606272

NB. UTAFIKISHIWA BIDHAA POPOTE ULIPO NA KATIKA MUDA MUAFAKA..!

Photos from Helthier weight's post 14/01/2020

SABABU KUU KUMI ZA KUTUMIA KINYWAJI CHA FOREVER ACTIVE BOOST (FAB).. FAB ni kinywaji chenye kukurutubisha na kukuongezea nguvu kitokanacho na Guarana, Aloe Vera, Cranberry na Schizandra vinavyoongeza Vitamin B3, B5, B6, B12, Amino acids, Wanga na Protini.

FAIDA ZAKE
1 Ina kiwango kidogo cha Calories ukilinganisha na vinywaji vingine vya energy.
2 Kuongeza nguvu kwa wanamichezo, madereva wenye kazi nyingi.
3 Hukupa nguvu ya hapo kwa hapo na ya kudumu kwa muda mrefu
4 Kina ladha nzuri
5 Haina Caffeine wala sukari ya kutengenezwa bali ina Caffeine ya asili (tunda la GUARANA)
6 Huboresha tendo la ndoa (Longevity na Libido)
7 Inasaidia maumivu ya kichwa.
8 Husafisha sumu mwilini hasa kwenye mafigo na maini.
9 Husaidia kuondoa HANGOVER
10 Imepitishwa na Anti-Dopping (Hakina kemikali)

Kwa kujiunga na biashara hii au kupata bidhaa hii na nyingine nyingi kutoka Forever Living Products, tafadhali piga
simu/Whatsapp no: +255744606272

NB. UTAFIKISHIWA BIDHAA POPOTE ULIPO NA KATIKA MUDA MUAFAKA..!

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam