AFYA BORA
Umuhimu wa Afya
08/04/2024
SABABU 3 ZA TUMBO KUSHINDWA KURUDI BAADA YA KUJIFUNGUA Anaandika AFYA BORA 🥼Leo wacha niwapumzishe na masomo yaa PID 😂 nigusie kidogo hili swala la Wakinamama wengi baada ya kujifungua huwa tumbo linashimdwa kurudi katika Hali yake ya kawaida. Kwa mantic hio Sasa nimekuwa nikipokea hi case kutoka kwa wateja wangu baada ya kuniletea vijomba vyangu kwamba baada ya kujifungua tumbo Linakuwa kubwa na linatepeta na wengine kugawanyika (Abdominal Separation) . NAKUPA SABABU 3 KUBWA ZA KWANINI INAKUWA IVO 🌱Sababu kubwa inayopeleka tumbo kutokurudi katika Hali ya kawaida na kuwa Flat ni Kutanuka na kulegea kwa misuli ya Tumbo na Ongezeko la Mafuta tumboni kwa Kasi sana. 🌱Tumbo likiwa na mafuta mengi yaani Belly Fatas na misuli inapolegea husababisha kitambi kuongezeka. 🌱Hata hivo kwa experience yangu nawakumbusha wakinamama waliojifungua wanashauriwa pia kuwa na Juhudi ya kunyonyesha mtoto kwasabababu Kuna uhusiano wa Moja kwa moja Kati ya kunyonyesha na mafuta kuchomwa kwa Kasi Tumboni. 🥼Sasa wapendwa wangu ili kukata kitambi na kurudisha tumbo katika Hali yake ya kawaida NIMEKUANDALIA PACKAGE special ya Virutubisho ambavyo vinaondoa mafuta tumboni na kukaza misuli ya Tumbo. 🥼 Package hii hata mama anayenyonyesha anatumia bila madhara yoyote kiafya na inakata kitambi kwa urahisi Sana. 🥼Ili kupata package hii nipigie tuongee nikushauri vizur zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako au Tuma neno FLAT TUMMY🤗 kwenda 0754578859whtsap ☎️📞
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
