EGM1
ELIMU YA AFYA YA NGOZI NA BIDHAA 0679 820 224
12/07/2025
THE ORDINARY GLYCOLIC ACID EXFOLIATING TONER ONE OF THE BEST EXFOLIATOR AMBAYO IPO RECOMANDED BY DERMATOLOGIST WENGI DUNIANI ..
TONER YENYE MAAJABU MIMI NAAITA MULTPURPOSE TONER UNAWEZA KUITUMIA SEHEMU ZOTE ZA MWILI HII NI TOFAUTI NA TONER ZINGINE UNATUMIA USONI TU! HII INAONDOA MATATIZO YALIYOKO SEHEMU MBALIMBALI MWILINI YAANI: 🔥
📍INAONDOA dead skin cells vizuri sana
📍INAONDOA mba, miwasho kwenye Nywele na kuzuia nywele zisikatike pia kuifanya nywele iote haraka na iwe na Afya.
📍INAONDOA weusi katikati ya mapaja
📍INAONDOA weusi shingoni hata K**a umetokana na ujauzito
📍INAONDOA pigmentation, madoa , kukausha chununi Usoni
📍INAONDOA weusi Mwilini wa kufubaa na jua.
📍Inaondoa na kupunguza (Pores) vishimo shimo usoni na kukuacha very smooth.
📍Waweza kuitumia kwa ngozi ya mikononi na miguuni
Tumia pamba au pads kufutia mwilini baada ya kuoga Mwilini au kunawa uso.
Ni nzuri sanaaaa kila mmoja utunzaji wa ngozi jitahidi kuwa nayo kwa ajili ya.
👇👇👇👇👇
FOR;
📍Brightening skin/ Inang’arisha ngozi
📍Inaondoa weusi (kwenye magoti, makwapani, kwenye viwiko, mapajani na sehem zingine zote zenye weusi weus wa private areas
📍INAONDOA WEUSI WOTE WA KUUNGUA NA JUA/ CREAM (Dark spot ,Hyperpigmentatiom)
📍INAZUIA UZALISHAJI WA MAFUTA YASIYOTAKIWA USONI/IT CONTROL EXCESS FACIAL OIL PREVENT BREAKOUTS
📍TIGHTENING PORES
📍 DRIES ACNE
PRICE 70,000
NB; BEST PRICE, REAL RESULT 👌🏻👌🏻👌🏻Matokeo ni baada ya wiki mbili tu!!!
23/06/2025
VITAMIN DR BODY LOTION ( INA VITAMIN NYINGI NA PIA NI TREATMENT) SPECIAL KWA NGOZI YENYE MATATIZO YA NGOZI K**A MADOA SUGU, NA WEUSI.
INAFAA KWA JINSIA ZOTE 👌Ukitaka ngozi Clean👌 Safi✨ ng’aavu⭐️ isiyochosha watazamaji👌 yenyewe rangi moja BILA kuchubua ngozi yako. Tumia hii lotion. Wapenzi wateja wangu hii Lotion ni zaidi ya nzuri ina Vitamins za kutosha ina Nutritions za kutosha kwa ajili ya afya ya ngozi yako.. inalainisha ngozi hata iwe ngumu kiasi gani,. Jaman ngozi zenye Strechmarks, White spots (vidoti doti vyeupe kwenye ngozi), cellulite,madoa, ngozi kavu, ngozi Zenye mba na miwasho, ngozi k**a imekosa nuru hii Lotion ni kiboko na Ndyo maana ina Vitamins nyingi kwa ajili ya kuondoa matatizo yote ya ngozi yako.. k**a ngozi imechoka, haina mvuto, haina Nuru, ngozi haiwi soft , ngozi imekuwa nyepesi, ngozi imeathiriwa na Cream kali tumia hii set ya Dr. Vitamini mpenzi utanishukuru badae👌 HAZICHUBUI KABISA.
🔸Inaondoa ukavu na kuipa ngozi unyevu nyevu 24hrs
🔸Unaondoa White spots (vidoa vidogo vidogo vyeupe kweny ngozi
🔸Inakaza ngozi iliyolegea na kuondoa cellulite (yale mbode mabonde) kwenye mapaja, tumboni na makwapati inakaza ngozi
🔸Inaondoa Strechmarks
🔸Inaondoa harahara
🔸Ina ipa ngozi Afya kwa wenye ngozi nyepesi
Inatubisha ngozi
🔸Inaondoa madoa Sugu kwenye ngozi
🔸Inaondoa weusi sehemu za mwili na kuifanya ngozi iwe na rangi moja.
🔸Ngozi inakuwa smooth & Soft
🔸Unaipa ngozi rangi moja
Kwa wale ukivaa viatu ule weusi unaotoka.
Dr. Vitamin body lotion 70,000
Dr . Vitamin ampoule 65,000
Dr. Vitamin Essence sunscreen 55,000
WASILIANA NASI KWA MAELEKEZO ZAIDI AU BOFYA BIO LINK ITAKULETA MOJA KWA MOJA WHATSAPP
📩📞 0678820224
📩📞 0744820230
22/06/2025
VITAMIN DR BODY LOTION ( INA VITAMIN NYINGI NA PIA NI TREATMENT) SPECIAL KWA NGOZI YENYE MATATIZO YA NGOZI K**A MADOA SUGU, NA WEUSI.
INAFAA KWA JINSIA ZOTE 👌Ukitaka ngozi Clean👌 Safi✨ ng’aavu⭐️ isiyochosha watazamaji👌 yenyewe rangi moja BILA kuchubua ngozi yako. Tumia hii lotion. Wapenzi wateja wangu hii Lotion ni zaidi ya nzuri ina Vitamins za kutosha ina Nutritions za kutosha kwa ajili ya afya ya ngozi yako.. inalainisha ngozi hata iwe ngumu kiasi gani,. Jaman ngozi zenye Strechmarks, White spots (vidoti doti vyeupe kwenye ngozi), cellulite,madoa, ngozi kavu, ngozi Zenye mba na miwasho, ngozi k**a imekosa nuru hii Lotion ni kiboko na Ndyo maana ina Vitamins nyingi kwa ajili ya kuondoa matatizo yote ya ngozi yako.. k**a ngozi imechoka, haina mvuto, haina Nuru, ngozi haiwi soft , ngozi imekuwa nyepesi, ngozi imeathiriwa na Cream kali tumia hii set ya Dr. Vitamini mpenzi utanishukuru badae👌 HAZICHUBUI KABISA.
🔸Inaondoa ukavu na kuipa ngozi unyevu nyevu 24hrs
🔸Unaondoa White spots (vidoa vidogo vidogo vyeupe kweny ngozi
🔸Inakaza ngozi iliyolegea na kuondoa cellulite (yale mbode mabonde) kwenye mapaja, tumboni na makwapati inakaza ngozi
🔸Inaondoa Strechmarks
🔸Inaondoa harahara
🔸Ina ipa ngozi Afya kwa wenye ngozi nyepesi
Inatubisha ngozi
🔸Inaondoa madoa Sugu kwenye ngozi
🔸Inaondoa weusi sehemu za mwili na kuifanya ngozi iwe na rangi moja.
🔸Ngozi inakuwa smooth & Soft
🔸Unaipa ngozi rangi moja
Kwa wale ukivaa viatu ule weusi unaotoka.
Dr. Vitamin body lotion 70,000
Dr . Vitamin ampoule 65,000
Dr. Vitamin Essence sunscreen 55,000
WASILIANA NASI KWA MAELEKEZO ZAIDI AU BOFYA BIO LINK ITAKULETA MOJA KWA MOJA WHATSAPP
📞 0678820224
📞 0744820230
14/06/2025
VEGAN COMFORTING UV PROTECTION (SUNSCREEN) 12 GRABS WHITENING SUNSCREEN (BRIGHTENING DUE TO GALACTOMYCES VITAMIN C INGREDIENTS ) 🙌🙌✨
KEY INGREDIENTS
GINSENG
NIACINAMIDE
HYALURONIC ACID
PANTHENOL
INA VIWANGO VYA HALI YA JUUKULINDA NGOZI DHIDI YA MIONZI YA JUA NI NZURI NZURI AWEEEEH👌🔥
UV-PROTECTION,WHITENING, ANTI-WRINKLES
HII INAFAA KWA WALE WASIOPENDA USO UONEKANE K**A UMEPAKWA MAFUTA (DEWY) , NI NZURI KWA NGOZI ISIPOKUWA NGOZI KAVU(DRY SKIN).
INAPATIKANA KWA TSH 45,000…
14/06/2025
12GRABS WANAKUJA KIVINGINE SERUM MPYA YA HYPERPIGMENTATION YENYE VITAMIN C NA NIACINAMIDE
TUNAJUA ZIPO SERUM NYINGI ZINAZOFANYA VIZURI 12GRABS NI ONE AMONG THEM
•Seramu hii ya vitamini inachanganya 10% 10 Vitamin Complex na 5% Niacinamide ili kung’arisha ngozi, kuboresha madoa meusi, na hata rangi ya ngozi.
•Viungo vilivyo na antibacterial na soothing husaidia kutuliza ngozi na kuzuia chunusi, wakati Sodium Ascorbyl Phosphate (SAP) huongeza kung’aa na kupunguza rangi.
•Serum hii ya chini ya pH inafaa kwa aina zote za ngozi.
TSH 60,000
12GRABS MY BH CLEANSING FOAM
NI CLEANSER MOJA NZURI SANA IKIWA NA INGREDIENTS ZA
1. 41% Centella Asiatica inayofanya vizuri ku soothe na kuilinda ngozi.
2. 2% BHA inayosaidia ku unclog pores na kuondoa seli za ngozi zilizokufa
3. Beta-glucan,Allantoin na calamine kuifanya ngozi kuwa tulivu na kuifanya ngozi kuwa nourished
4.Ni gentle enough kwa matumizi ya kila siku. NI SANA KWA NGOZI ZOTE ISIPOKUWA KWA NGOZI KAVU ( DRY).
TSH 50,000
VEGAN COMFORTING UV PROTECTION (SUNSCREEN) 12 GRABS WHITENING SUNSCREEN (BRIGHTENING DUE TO GALACTOMYCES VITAMIN C INGREDIENTS ) 🙌🙌✨
KEY INGREDIENTS
GINSENG
NIACINAMIDE
HYALURONIC ACID
PANTHENOL
INA VIWANGO VYA HALI YA JUUKULINDA NGOZI DHIDI YA MIONZI YA JUA NI NZURI NZURI AWEEEEH👌🔥
UV-PROTECTION,WHITENING, ANTI-WRINKLES
HII INAFAA KWA WALE WASIOPENDA USO UONEKANE K**A UMEPAKWA MAFUTA (DEWY) , NI NZURI KWA NGOZI ISIPOKUWA NGOZI KAVU(DRY SKIN).
INAPATIKANA KWA TSH 45,000…
WASILIANA NASI 0679820224 / 0744820230
AU BOFYA BIO -WHATSAPP CHAT
KARIBU SANA
07/04/2025
JE WAJUA?
JUA LINAWEZA KUZIDISHA WEUSI KWENYE MADOA (HYPERPIGMENTATION) KUWA MAGUMU KUISHA AU HATA KUZIDI KUWA MABAYA.
MIONZI YA JUA (HASA MIONZI YA UV) HUSABABISHA UZALISHAJI WA MELANIN ZAIDI ,AMBAYO NI RANGI INAYOTOA NGOZI YAKO MNG’AO WAKE WA ASILI.
WAKATI NGOZI INAPOATHIRIWA NA JUA, INAWEZA KUZALISHA MELANIN NYINGI K**A NJIA YA KUJILINDA, NA HII INAWEZA KUSABABISHA MADOA KUWA MEUSI ZAIDI.
HII NI SABABU KUU KWA NINI WATU WENYE MADOA K**A VILE;
1. MADOA MEUSI YA CHUNUSI (POST-INFLAMMATORY HYPERPIGMENTATION).
2.MELASMA(MADOA YA KAHAWIA AU KIJIVU KWENYE USO)
3. FRECKLES (MADOA MADOGO YA KAHAWIA)
TUNASHAURIWA KUTUMIA SUNSCREEN KILA SIKU,HATA K**A HALI YA HEWA NI YA MAWINGU,ILI KUPUNGUZA ATHARI ZA JUA.
JINSI YA KUJILINDA NA ATHARI ZA JUA;
1. TUMIA SUNSCREEN YENYE SPF 30+ AU ZAIDI KILA SIKU UPAKE TENA ANGALAU KILA BAADA YA MASAA MANNE KWA NYAKATI ZOTE.
2. KUNYWA MAJI,VAA KOFIA PANA/ MIWANI YA JUA KWA ULINZI ZAIDI.
3. EPUKA JUA KALI KATI YA SAA 4 ASUBUHI HADI SAA 10 JIONI, AMBAPO MIONZI YA UV NI KALI ZAIDI.
WASILIANA NASI 0679820224/ 0744820230
AU BOFYA BIO -WHATSAPP CHAT
KARIBU SANA
04/04/2025
Healthy $$$kin
Thank you babe for trusting us always💛🕊️
Ikiwa unahitaji healthy skin, clean skin, umeharibika usoni, umefubaa ngozi haina nuru, una machunusi sugu, hyperpigmentations usisite kutucheck njoo DM/ WhatsApp we ave got an amazing products _____ _____
Step-by-step clear skin routine
1. Step 1: Cleanse your skin. Cleansing is the first and most crucial step in any clear skin routine. ...
2. Step 2: Exfoliate at least 2-3 times a week. ...
3. Step 3: Use a toner. ...
4. Step 4: Apply a serum. ...
5. Step 5: Moisturise your skin twice a day. ...
6. Step 7: Never skip sunscreen.
24/02/2025
PAIN AND BLESSINGS AT AGO
“I HAVE HAD ACNE FOR PAST 12 YEARS NOT EVEN 12,YEARS PROBABLY LONGER SAID AS SHE OPENED UP ON BATTLING WITH ACNE
ALISEMA JAPO KUWA ANATUMBUKA NA CHUNUSI , ILIGEUKA KUWA BARAKA KWAKE.
“IN AS MUCH AS MY EVERYTHING WAS SUPPOSED TO BE AN EXTENSION FOR , IN VERY MANY WAYS; NILIKUWA NINATAFUTA SULUHISHO MWENYEWE, KWA CHUNUSI YANGU ALIFICHUA JINSI BIDHAA KUTOKA KOREA,UK,SOUTH AFRICA KWENDA BIASHARA YAKE ILIVYOTOKA NAYO.
ALIONGEZA KUWA ILI KUJUA MENGI KUHUSU CHUNUSI, HALI ZOTE ZA NGOZI AND IT’S REMEDIES, ALIJARIBU BIDHAA NYINGI LAKINI SASA AMEFURAHIA ALICHOPITIA MPAKA ILIPOTOKA.
KINDLY FOLLOW US FOR MORE UPDATES 👇😇😇
~ROAD TO HEALTHY SKIN WITH US
23/02/2025
PAIN AND BLESSINGS AT AGO
“I HAVE HAD ACNE FOR PAST 12 YEARS NOT EVEN 12,YEARS PROBABLY LONGER SAID AS SHE OPENED UP ON BATTLING WITH ACNE
ALISEMA JAPO KUWA ANATUMBUKA NA CHUNUSI , ILIGEUKA KUWA BARAKA KWAKE.
“IN AS MUCH AS MY EVERYTHING WAS SUPPOSED TO BE AN EXTENSION FOR , IN VERY MANY WAYS; NILIKUWA NINATAFUTA SULUHISHO MWENYEWE, KWA CHUNUSI YANGU ALIFICHUA JINSI BIDHAA KUTOKA KOREA,UK,SOUTH AFRICA KWENDA BIASHARA YAKE ILIVYOTOKA NAYO.
ALIONGEZA KUWA ILI KUJUA MENGI KUHUSU CHUNUSI, HALI ZOTE ZA NGOZI AND IT’S REMEDIES, ALIJARIBU BIDHAA NYINGI LAKINI SASA AMEFURAHIA ALICHOPITIA MPAKA ILIPOTOKA.
14/02/2025
WANAUME WENGI HUDHANI KWAMBA:
“KAZI YA KUTUNZA NGOZI NI KWA AJILI YA WANAWAKE TU”
JAMBO AMBALO HALINA UKWELI NDANI YAKE.
KAZI YA KUTUNZA NGOZI NI MUHIMU PIA KWA WANAUME.
MWANAUME ANAWEZA KUTUMIA BIDHAA ZA KUTUNZA NGOZI IKIWEMO SUNSCREEN ILI KULINDA NGOZI NA MADHARA MBALIMBALI.
FAIDA NYENGINE YA KUTUNZA NGOZI KWAKO MWANAUME NI KUISAIDIA NGOZI YAKO KUTOFUBAA MAPEMA.
UNAWEZA KUWA NA UMRI MDOGO LAKINI NGOZI YAKO IKAWA IMEFUBAA KUTOKANA NA KUTOKUITUNZA.
HIVYO JUKUMU LA KUTUNZA NGOZI LIPO SEHEMU ZOTE MBILI KWA WANAUME NA WANAWAKE.
WASILIANA NASI KWA HUDUMA ZAIDI
📞📲 0679 820 224
📞📲 0744 820 230
AU CLICK THE BIO - WHATSAPP CHAT.
KARIBU SANA
05/01/2025
HAPPY NEW YEAR 2025 FAMILIA
MWAKA HUU UWE MAALUM KWA KILA MTU💛🎉
WE PROMISE NOTHING BUT THE BEST 🙏.
TUNAKUPENDA.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
