Bakikijana
Healthy weight management
men and women s£xual health
Skin care products with the best and safe ingredients
12/12/2024
Hata k**a hukua mtamu mwaka mzima hakikisha msimu wa nanasi unakuwa mtamu!
Unabadilika ladha! Unabakije hivo hivo wakati kuna nanasi hadi la mia 5?
Hujui k**a nanasi lina balance Ph ya dada k na kukufanya uwe na harufu nzuri natural ya dada k?
Sasa ukishindwa kujilia mananasi ya mia 5 hela ya Vtight ya elfu 40000 utaipata kweli?
Hebu kula mananasi mwali wangu!
12/12/2024
Vyakula hivi ni tiba nzuri kwa sababu zina kiwango kizuri za zinc
Kumbuka zinc ni muhimu sana na husaidia kupambana na kuhara hasa kwa watoto.
Pia upungufu za zinc katika mwili husababisha upate maambukizi ya tumbo kirahisi, upungufu wa Kinga mwilini pamoja na kumfanya mtoto asikue vizuri.
Kwa mzee zinc adsorption inaweza
kupungua na kusababisha magonjwa ya mara kwa mara kutokana na mabadiliko katika utumbo.
Uwepo wa zinc husaidia kupona vidonda kwa haraka na magonjwa mengine sugu
Vyakula vingine vyenye kiwango kizuri cha zinc ni maharage, karanga,
Maziwa, korosho, almonds, Brazilian nuts, mbegu za alizeti pamoja na chia seeds!
12/12/2024
Mnaouliziaga kiasi cha sunscreen cha kupakaa usoni ndio hicho!
Hakikisha unatumia sunscreen ili ngozi ipokee uponyaji na uzuri unaoutaka.
Sunscreen yetu ni physical ni nzuri sana na haikuachii white cast.
Bei yake ni tshs 15000/= tuu
Namba zetu za huduma ni 0766617323
12/12/2024
Wenzio wanajipambania na speed ya 4G!
Usijikatie tamaa!
Pambania muonekano wako mpaka kielewekee!
12/12/2024
-acha kutumia vipodozi vikali
-achana kabisa na steroids. Kipodozi chochote unachonunua soma ingredients ukikutana na steroids kiache usikiweke kwenye ngozi
- jitahidi kutumia sunscreen kulinda ngozi yako na usipende kukaa juani k**a huna ulazima wa kufanya hivyo.
-usipende kutumia vipodozi vinavyokubadilisha rangi wengi mnaita kung'arisha🤣
-usitumie nguvu unaposcrub ngozi yako kwa kutumia physical scrubs na usizidishe zaidi ya mara 2 kwa wiki.
-usioshe uso zaidi ya mara 2 kwa siku. Unaondoa natural oil katika ngozi yako ambayo hulinda ngozi yako.
-usipende kudandia vipodozi vyenye matokeo ya haraka.
-jitahidi ku control stress katika maisha yako.
-pia face oil yetu ni nzuri sana katika ku repair skin barrier na kulinda ngozi yako.
12/12/2024
Usijikatie tamaa!
Wenzio wanajipambania huku!
WhatsApp/calls 0766617323
12/12/2024
Skin barrier ni sehemu ya nje kabisa ya ngozi ambayo inalinda mwili wako na mazingira ya nje.
Dalili za kuharibika kwa skin barrier ni
-muwasho katika ngozi hasa ya uso
-ukavu katika ngozi
-infections katika ngozi k**a chunusi, rashes, pimples nk.
-ngozi kavu, au yenye magamba
-kuwa na ngozi rough au yenye rangi mbalimbali(isiyo moja)
-kuwa na ngozi sensitive au inayopata maambukizi kirahisi
-chunusi zisizoisha
-maambukizi ya bacteria, virus au fungus katika ngozi
12/12/2024
Faida za nyanya katika ngozi.
-inaweza ku act k**a natural sunscreen
-makes your skin glow
-inakusaidia kupunguza kufa kwa celi katika ngozi
-inaondoa dalili za uzee
-inasaidia kuondoa visible skin pores!
Swali langu ni je, unaweza kutembea ukiwa umepaka nyanya usoni ili kulinda ngozi yako?
K**a huwezi njoo uchukue sunscreen. Tuna sunscreen ambazo zinatumika kwa ngozi zote na haikuachii white cast!
Ni physical sunscreen hivyo ni salama sana kwa ngozi yako!
Bei yake ni tshs 15000/= tuu!
10/12/2024
- mazingira yenye ukavu sana au yenye unyevu mwingi
-allergy, vichocheo na uchafu katika mazingira
-kukaa sana juani bila sunscreen
-sabuni na detergents zenye alkali
-matumizi ya kemikali kali
-kusugua sana ngozi (kuscrub sana) zaidi ya mara 2 kwa wiki pamoja na kuosha uso mara nyingi ndani ya siku(osha mara 2 tuu kwa siku inatosha)
-steroids
-psychological distress
NB; picha tuliyoitumia sio ya mteja wetu tumeitoa somewhere else.
10/12/2024
Skin barrier ambayo imekuwa compromised inapoteza unyevu kirahisi na kupata infections kirahisi kwa sababu wadudu na irritants kutoka katika mazingira vinaingia kirahisi hakuna cha kukulinda!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Kimara Mwisho
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 18:00 |
| Tuesday | 09:00 - 18:00 |
| Wednesday | 09:00 - 18:00 |
| Thursday | 09:00 - 18:00 |
| Friday | 09:00 - 18:00 |
| Saturday | 09:00 - 18:00 |
