AFYA YANGU

AFYA YANGU

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YANGU, Health/Beauty, Makumbusho, Dar es Salaam.

20/06/2024

NJIA ZA UZAZI WA MPANGO NA MADHARA YAKE

MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA.

-👩🏽‍💼Mvurugiko wa hedhi.
-👩🏽‍💼Kuumwa kichwa mara kwa mara.
-👩🏽‍💼Kuongezeka uzito.
-👩🏽‍💼Kupunguza hamu ya tendo la ndoa.
-👩🏽‍💼Kusababisha uvimbe kwenye kizazi.
-👩🏽‍💼Kukoma hedhi Kwa muda mrefu zaidi hata baada ya kuacha kutumia sindano.
-👩🏽‍💼Kusababisha Uric acid kwenye mfumo wa mayai hivyo inakuwa ngumu kwa mbegu za kiume kuingia kwenye yai la mama sababu hufa kabla ya kulifikia yai.


MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA.

- 👰🏽‍♀Huathiri fuko la Uzazi kwa ndani na kusababisha uvimbe.
-👰🏽‍♀Kuongezeka uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga.
-👰🏽‍♀Kuumwa kichwa mara kwa mara.
-👰🏽‍♀Kutopata hedhi Kwa baadhi ya wanawake.
-👰🏽‍♀Kupunguza hamu ya tendo la ndoa.
-👰🏽‍♀Kusababisha matatizo ya hormone imbalance.
-👰🏽‍♀kusababisha hasira muda wote bila sababu.

MADHARA YA KITANZI.

-🧑🏻‍⚕️Utokaji hovyo wa damu.
-🧑🏻‍⚕️Kutoboa fuko la uzazi.
-🧑🏻‍⚕️Kuongezeka kwa upana wa uke.
-🧑🏻‍⚕️Kitanzi hupasuka na kusababisha UPASUAJI.
-🧑🏻‍⚕️Kuondoa hamu ya tendo la ndoa.
-🧑🏻‍⚕️Kusababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa.

MADHARA YA KIJITI.

-🔴Husababisha Cancer.
-🔴Akili kuvurugika.
-🔴Shinikizo la damu.
-🔴Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
-🔴Kusababisha ukavu. uliopitiliza kwenye uke hivyo husababisha vidonda.
-🔴Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa.
-🔴Ukomo wa hedhi Kwa muda.

*Karibu sana kwa suluhisho la changamoto yako.🙏🙏🙏🙏*

20/06/2024

*FAHAMU VISABABISHI VYA UKAVU UKENI*

👉Kwa kawaida uke wa mwanamke unapaswa uwe au ute ambao huongezeka wakati wa tendo la ndoa lakini kwa baadhi ya wanawake wamekua wakikosa raha wakati wa tendo la ndoa kutokana na uke kuwa mkavu.
.Sababu kubwa ya ukavu ukeni ni kushuka kwa kiwango cha homoni ya k**e ya ostrojeni ambayo ndio ina kazi ya kufanya uke uwe na ute na laini wakati wote.

*SABABU ZA UKE KUWA MKAVU:*

✅ Ukomo wa hedhi.
Hii ndio sababu kuu ya uke kukosa unyevu nyevu kutokana na kushuka kwa kiwango cha homoni ya ostrojeni mwilini.
.Wengi hudhani tatizo litaisha baada ya mda lakini ukweli ni kwamba tatizo huongezeka siku zinavyozidi kwenda k**a halijatafutiwa ufumbuzi.
✅Kujifungua na kunyonyesha kutokana na kushuka kwa kiwango cha ostrojeni
✅Ukosefu wa maandalizi ya kutosha kabla ya tendo la ndoa
✅Msongo wa mawazo, hofu, historia mbaya ya ngono na shida nyingine za kisaikolojia
✅Matibabu ya vimbe kwenye uzazi, saratani, allergy
✅Uvutaji wa sigara
✅Upasuaji kuondoa mifuko ya mayai
✅Sabuni, lotion, manukato yatumikayo ukeni
✅Kukosa hamu ya kufanya mapenzi husababisha ukavu na ukavu husababisha kukosa hamu

*UKAVU UKENI HUAMBATANNA NA DALILI NYINGINE K**A:*

✅Maumivu na kuungua hasa wakati wa tendo la ndoa
✅Michubuko, miwasho, kuungua sehem ya ukeni
✅Kutokwa matone ya dam baada ya tendo
✅ Kupungua kwa hamu ya tendo

MATOKEO MABAYA AU MADHARA YA UKE KUWA MKAVU

✅ Michubuko ukeni
✅Hatari ya maambukizi ya bacteria au fungus
✅UTI (maambukizi kwenye njia ya mkojo) zinazojirudia
✅Kutokufika kileleni na kutokufurahia mapenzi
✅Kutokujiamini

Piga simu no 0755001060

20/06/2024

NIAMBIE K**A HUYU NI WEWE?

1.✍️ Unawahi kufika kileleni mapema. Chini ya dakika saba.

2.✍️Unashindwa kurudia tendo kwa mara ya pili au zaidi.

3✍️.Uume Unashindwa kusimama au unasimama ukiwa legelege kwa mara ya pili au zaidi

4.✍️Unashindwa kumpa mwanamke mimba Kutokana na uchache au udhaifu wa mbegu (shahawa)

5.✍️Unapata maumivu kwenye korodani au misuli ya UUME baada ya tendo

6.✍️Unakosa hamu ya kufanya mapenzi au hamu ya kurudia tendo baada ya kufanya kwa mara ya kwanza

7. Umeathirika na Punyeto ulizopiga zamani au Sasa na uume umekosa Nguvu.

8. Una magonjwa mengine nyemelezi yanakusumbua k**a vile pressure, kisukari, Tb, ini, Nk?

Tutakusaidia.

Wasiliana nasi Sasa tukupatie Tiba uweze Kumudu tendo. Tiba zetu ni zinafika na virutubisho asili ambavyo vitakufanya urudi katika Hali Yako ya awali na kuzidi na zinatoa matokeo haraka na kutibu tatizo kabisa.

Tuwasiliane kwa namba zetu chapchap 0755001060

20/06/2024

UGONJWA WA CHANGO LA UZAZI

Tunapozungumzia mgonjwa wa chango tuna maana kuwa ni matatizo yaliyopo katika viungo vya uzazi kwa mke au mume. Huu ni ugonjwa ambao humpata mtu katika umri mdogo utotoni. Kwa mfano :- mume, hupata maumivu ya tumbo mara kueneza anapokuwa mdogo. Kwa upande wa mwanamke hupata maumivu ya tumbo anapoanza kuvunja ungo. Maumivu hayo hupelekea mtu kupata madhara katika viungo vyake vya uzazi.

DALILI ZA CHANGO LA UZAZI KWA WANAWAKE

⚫Mwanamke mwenye chango la uzazi ana dalili zifuatazo:-⤵⤵

1⃣Kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake.

2⃣ Kuhisi maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

3⃣ Siku zake za hedhi hazitakuwa na ratiba, zitakuwa zinabadilika badilika,kuna wakati huchelewa na kuna wakati huwahi.

4⃣Hujisikia homa kali anapokaribia siku zake za dhedhi.

5⃣Kupatwa hasira kali anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi.

6⃣Kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi.

7⃣ Kupata mchubuko kwenye mapaja na sehemu za uke.

8️⃣ Kuchukia kushiriki tendo la ndoa

9️⃣ Kupata uvimbe kwenye kizazi

🔟Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi.

1⃣1⃣ Maumivu makali chini ya kitovu/kwenye kinena.

1⃣2⃣Mimba kuporomoka au kutoshika mimba kabisa.

MADHARA YA CHANGO KWA WANAWAKE

➡️Kwa mwanamke ni vigumu kupata mimba

➡️Mwanamke anaweza kuwa tasa kabisa.

➡️Kuingia na kutoka kwa mimba

➡️Kuwa na hamu ya tendo la ndoa lakini hafikii kileleni.

➡️Kuwa na uke mdogo sana.

➡️Kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

➡️Kupata uvimbe kwenye kizazi.

➡️Kuvurugika kwa mfumo mzunguzo wa
hedhi.

Hali ya chango au tumbo kuunguruma wakati wa hedhi inaweza kumfanya mwanamke akakosa raha kabisa. Mwanamke anaweza kujihisi k**a vile mwili wake umeongezeka uzito au kwamba tumbo lake limejaa na kujampa jampa. Lakini pia, huwa kuna mabadiriko ambayo mwanamke anaweza kuyapata na kupunguza dalili hizo.

NUKUU: Tumbo linapokuwa likiunguruma au chango ndio wakati mwanamke anapoanza kuhisi tumbo lake kuwa limejaa tena zito kabla au pindi anapoingia hedhini.

Baadhi ya wanawake wamekuwa wakisumbuliwa sana na maumivu chini ya tumbo au usawa wa kitovu. Na mara nyingi maumivu haya huwapata wasichana waliokwisha vunja ungo na wanawake watu wazima wenye umri wa kuzaa.

Je, Hali Hii Husababishwa Na Nini?

Chango au tumbo kuunguruma au kuuma kabla au wakati wa kipindi cha hedhi inaweza kutokana mabadiriko ya kiwango cha vichochezi au homoni za progesterone na estrogen.

20/06/2024

*DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):*

*1.* Kupata damu nyingi wakati wa hedhi.
*2.* Maumivu makali wakati wa siku za hedhi.
*3.* Kuvimba miguu.
*4.* Unaweza kuhisi una ujauzito.
*5.* Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
*6.* Kuhisi kuvimbiwa.
*7.* Kupata haja ndogo kwa taabu.
*8.* Kutokwa na uchafu ukeni.
*9.* Kupata choo kigumu au kufunga choo.
*10.* Maumivu nyuma ya mgongo.
*11.* Maumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.
*12.* Upungufu wa damu.
*13.* Maumivu ya kichwa.
*14.* Uzazi wa shida.
*15.* Kutopata ujauzito.
*16.* Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo.
*17.* Maumivu ya nyonga.
*18.* Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).
*19.* Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo
*20.* Hedhi zisizokuwa na mpangilio +255755001060

20/06/2024

*Je! mwanamke huambukizwaje P.I.D..?*

Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na

✅Kufanya ngono isiyo salama.

✅Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)

✅Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)

✅Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.

✅Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID. +255755001060

20/06/2024

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*

☑️Kua na ukavu ukeni
☑️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
☑️Kutoa jasho usiku kusiko kawaida.
☑️Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi.
☑️Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
☑️Siku za hedhi kubadilika``` badilika.
☑️Kukosa hedhi kwa muda mrefu.
☑️Kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
☑️Uchovu wa mara kwa mara.
☑️Hasira za mara kwa mara
☑️Kukosa usingizi
☑️Homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara.
☑️Mzio wa vyakula(allergy) kuchagua chagua vyakula.
☑️Kuongezeka tumbo na nyama uzembe.
☑️Kuharibika kwa ngozi (chunusi na vipele).
☑️Maumivu ya viungo.
☑️Upungufu wa nywele kichwani.
☑️Kusahau sana.
☑️kuwa na hamu ya vyakula au vinywaji vya viwandani.
☑️Kupata hedhi wakati wa ujauzito.
☑️Msongo wa mawazo kupitiliza
☑️Kutopata choo kwa wakati.
☑️Kusinyaa au kupauka kwa ngozi.
☑️Maumivu ya kichwa mara kwa mara.

MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI
☑️Kutokushika ujauzito kwa muda mrefu
☑️Mimba kuharibika mara kwa mara
☑️Kuk osa mtoto au Ugumba
☑️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
☑️Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
☑️UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara
☑️Kuzeeka mapema
☑️Kuziba kwa mirija ya uzazi
☑️Hupelekea tatizo la Saratani
☑️Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke(Fibroids and Cysts)

Kwa maelezo zaidi na tiba,,, karibu inbox...🙏🙏🙏0655401060

Photos from AFYA YANGU's post 20/06/2024
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam
M***A