Sultan Heath CARE

Sultan Heath CARE

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Sultan Heath CARE, Health/Beauty, swahili steet, Dar es Salaam.

23/04/2024

*TANGAZO LA KAZI*
kampuni ya enternal inawatangazia nafasi za kazi kwa wakazi wote wa dar es salaam
*VIGEZO*
_✔️uwe umemaliza four four,
✔️ diploma
✔️degree
✔️mkazi wa dar es salaam
✔️uwe committed to work hard_
MSHAHARA MZURI

kwa mawasiliano zaidi tuma ujumbe WhatsApp 0695768385
ukisema *NAFASI ZA KAZI ENTERNAL COMPANY LTD*

23/04/2024

BACTERIA WA H.PYLORI HULETA VIDONDA VYA TUMBO?

Kwa utafiti wangu ambao nimefanya h.pylori ni normal frolar wa mwili..yaani asilimia 85% ya watu wana h.pylori.ni bacteria ambaye kwa aidadi kubwa ya watu anakuwepo tumboni.

Nik**a vile mdomoni na kwenye utumbo kuna mamilioni na mambilioni ya bacteria k**a haya.amboyo yanaishi tumboni tu kwa amani na salama.

Ambacho kinasababisha mtu kupata vidonda vya tumbo mm kwa uelewa wangu na utafiti nilio fanya ni vitu vingine kabisa.ambavyo vinafanya kuta za tumbo zinakua dhaifu na hivyo kunakua na vijidondadonda au vinasababisha tindikali kuzalishwa kwa kiwango kikubwa kuliko kawaida .

lakini pia matumizi makubwa ya antibiotics, hupelekea bacteria kupata ujotojoto (acidity )na kutengeneza usugu unasabanisha waanze kushambulia kuta za tumbo kutokana na mtu kupenda kula vyakula visivyo na nyuzi nyuzi kwa muda mrefu.

Kwahyo unayo tumia ina antibiotics ya asili ambayo inakusaidia kuondosha bacteria wakiwemo h.pylori, kutibu vidonda vya tumbo pamoja na kuimarisha uimara wa kuta zako za tumbo.hapo dawa hii inakua imekusaidia kukutibu vidonda vya tumbo kwa usahihi.

Ukiwa unasumbuliwa na tatizo lolote la vidonda vya tumbo unaweza kupata dawa kutoka kwetu.dawa zetu ni za asili kwa asilimia 100% hakuna kemikali yeyote iliyo ongezwa.

wasiliana nasi 0695 768 385

23/04/2024

tangazo la kazi kwa wakazi wa dar es salaam kwenye company yetu 0695 768 385

23/04/2024

ZIJUE DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO, GESI, ACID REFLUX TUMBONI NA TIBA YAKE.
✅Maumivu ya Tumbo ya Kila wakati.
✅Kiungulia, Ladha mbaya Mdomoni.
✅Kupoteza Hamu ya kula, Kichefu chefu, Kutapika baada ya kula na Kupungua Uzito.
✅ Kupungua nguvu na Ufanisi wa kazi.
✅Kuwaka moto Kifuani. (Kiungulia)
✅Mapigo ya Moyo kwenda mbio na msh*tuko wa Moyo Kila wakati.
✅ Kupoteza kumbu kumbu, na kuhisi kuchanganyikiwa.
✅Kujisaidia Choo kigumu K**a cha Mbuzi.
✅Kupumua kwa Taabu baadhi ya nyakati.
✅ Kukosa Usingizi, kush*tuka usingizini, Kuota ndoto mbaya na kujawa na Wasi Wasi.
✅Mdomo kuwa mchachu na kutoa harufu mbaya Mdomoni.
✅Kikohozi kisichoisha na kuvimba Tonsillitis/Mafindo findo.
✅ Kuhisi Kooni Kuna kitu kimekwama ukitaka kukitoa halitoki
✅ Kupata fungus Mdomoni na kuanza kutoa Ute mweupe, unaotoa harufu Mbaya kinywani.
✅Uchovu usio eleweka na Maumivu ya Kichwa ya Mara kwa Mara.
✅ Maumivu ya Tumbo Kati Kati karibu na sehemu ya juu.
Huna haja Tena ya kuteseka Na Vidonda vya Tumbo, Gesi na Acid Reflux. Tumia "SAMIKE MIX" Ndiyo Suluhisho la matatizo haya. Inatibu Vidonda vya Tumbo, Gesi na Acid Reflux na kuondoa dalili zake. Ni Dawa iliyo na virutubisho, mchanganyiko wa viungo, mboga mboga, miti Dawa na Matunda.
Furahia Maisha Yako Tena bila Maumivu au Usumbufu. Tunapatikana Pugu, Chanika.
Nipigie simu,& Whatsapp 0695 768 385
Kwa wakazi wa Dar Huduma Hii utaletewa ulipo.

23/04/2024

𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, (𝐏𝐞𝐩𝐭𝐢𝐜 𝐮𝐥𝐜𝐞𝐫𝐬).
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.

𝐔𝐭𝐚𝐣𝐮𝐚𝐣𝐞 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐧𝐚
𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, (𝐏𝐞𝐩𝐭𝐢𝐜 𝐮𝐥𝐜𝐞𝐫)

•Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. • Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali

•𝐊𝐢𝐜𝐡𝐞𝐟𝐮𝐜𝐡𝐞𝐟𝐮
•𝐊𝐢𝐮𝐧𝐠𝐮𝐥𝐢𝐚
•𝐓𝐮𝐦𝐛𝐨 𝐤𝐮𝐣𝐚𝐚 𝐠𝐞𝐬𝐢
•𝐓𝐮𝐦𝐛𝐨 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐤𝐚 𝐦𝐨𝐭𝐨

•Maumivu makali sehemu kilipo kidonda.
•Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
• Kutapika nyongo.
•Kutapika damu au kuharisha.
•Kukosa hamu ya kula.
•Kusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu

𝐌𝐀𝐃𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, (𝐏𝐞𝐩𝐭𝐢𝐜 𝐮𝐥𝐜𝐞𝐫𝐬).
•Hali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja.

𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, (𝐏𝐞𝐩𝐭𝐢𝐜 𝐮𝐥𝐜𝐞𝐫𝐬). huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.

• 𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).

•Iwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).

•USHAURI
Vidonda vya tumbo vinatibika na kupona kbsaa tuna product nzuri kwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo haijalishi umeumwa muda mrefu kiasi gani•

WhatsApp, sms na call 0695 768 385

23/04/2024

KARIBU SANA TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO IMEPATIKANA USIKUBALI KUTESEKA TENA

MADHARA
✔️bawasili
✔️kisukari
✔️choo kigumu au
✔️kukosa choo kabisa

NJOO UTIBIWE NDANI YA SIKU SABA TU
wasiliana nasi 0695768385

23/04/2024

Njoo uhudumiwe kwa haraka sana 0695 768 385

23/04/2024

Njoo utibiwe sasa 0695 768 385

23/04/2024

USITESEKE MWANAMKE SOMA HAPA
DAWA YA P.I.D NA UVIMBE
P.I.D (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke
PID huenezwa na vimelea jamii ya Neisseria, Gonorrhea pamoja na Chlamydia.
MWANAMKE HUPATAJE P.I.D *Japo kuna sababu nyingi zinazosababisha PID, lakini Mara nyingi mwanamke hupata PID baada ya kushiriki tendo bila kinga
DALILI ZA PID
*Kutoka uchafu sehemu za Siri k**a maziwa mgando, mara nyingi uchafu huu huambatana na harufu mbaya *Kupata maumivu wakati wa tendo na kukosa ute *Kupata maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu
MADHARA YA P. I.D
*Mwanamke kushindwa kubeba mimba
*Ujauzito kutoka hasa katika miezi mitatu ya mwanzoni *Maumivu wakati wa period, damu kutoka mabonge meusi
*Harufu mbaya
Wasiliana nasi 0695 768 385

23/04/2024

Dawa za Asili zinazoondoa Maumivu Wakati wa Hedhi Kwa Mwanamke
___________________
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi kwa:

Simu/whatsapp 0695 768 385
___________________________

Wanawake wote hutokewa na kupata na hedhi mara moja kila mwezi na ni jambo la kawaida kwao k**a wanawake. Hata hivyo wengi wao hupatwa na matatizo siku chache kabla au wakati wa siku zao, matatizo haya hutofautiana toka mwanamke mmoja hadi mwingine kutegemeana na afya ya muhusika.

DALILI ZA TATIZO HILI NI K**A ZIFUATAZO:

Siku chache kabla ya hedhi, mhusika hupatwa na:

1. Kichwa kuuma
2. Msongo wa mawazo (stress)
3. Hofu na hasira za hapa na hapa
4. kuvimba sehemu za siri
5. Kukosa usingizi na
6. Matiti kujaa

Hali hii hutokea kwa sehemu kubwa k**a matokeo ya homoni kutokuwa kuwa sawa (Homone imbalance) na hali hii inaweza kukoma ndani ya siku 1 baada ya kuanza hedhi.

Wengine hupatwa na maumivu makali sana wakati wa hedhi. Maumivu hayo huwapata akina mama ama siku mbili ama tatu kabla au mara tu waanzapo siku zao. Hali hii pia inasababishwa na kutokuwepo kwa uwiano wa homoni mwilini, ambako kumesababishwa na ukosefu wa virutubisho fulani.

Wengine hutokwa na damu nyingi kuliko kawaida au kukaa katika siku za hedhi kwa kipindi kirefu kuliko kawaida. Kuna sababu nyingi zinazoweza kuchangia hali hii, ikiwemo kuugua kwa muda mrefu, kupatwa na hofu, huzuni, mshtuko na sababu nyingine za kitabibu.

Dawa zinazoondoa maumivu wakati wa hedhi

1. JUISI YA MBOGA ZIFUATAZO

Tumia juisi ya mchanganyiko huu: Kotimiri (Parsley), viazi pori (Beet Root), karoti au matango. Tumia asali mbichi ukitengeneza juisi hii. Hii kotimiri inapatikana kirahisi Dar na Zanzibar ni mboga mboga inayotumika zaidi kwenye mahoteli ya kitalii. Mboga hii inacho kitu mhimu sana kijulikanacho k**a ‘Apiol’ amabcho kazi yake kuu ni kurekebisha na kuweka sawa homoni za k**e.

Changanya kwa ujazo sawa yaani k**a juisi ya kotimiri ni kikombe kimoja basi ya kiazi pori nayo kikombe kimoja kadharika kwa matango. Juisi hii ni dawa tosha ya maumivu wakati wa siku za hedhi na imethibitika kuwa bora kuliko dawa nyingi za kizungu.

Kunywa glasi moja kutwa mara 2.

2. TANGAWIZI

Tangawizi ni moja ya dawa nzuri sana ya asili linapokuja suala la kutibu na kutuliza maumivu wakati wa hedhi. Tengeneza chai ya tangawizi na unywe kikombe kimoja (robo lita/ml 250) kutwa mara mbili mara baada ya chakula cha mchana na baada ya chakula cha usiku. Unaweza kuweka mazoea ya kunywa dawa hii kila siku 3 kabla ya kuanza siku zako na ukaendelea hivyo wakati wote unapokuwa kwenye siku, na unashauriwa kuishi hivi kila mara ili kujijengea kinga mwili wako dhidi ya tatizo hili.

3. UFUTA

Dawa nyingine inayotibu tatizo hili ya asili isiyo na madhara yoyote kwa mtumiaji ni UFUTA. Dawa hii pia ni nzuri kwa wale wenye tatizo hedhi kidogo.

Hata hivyo kwenye majaribio kadhaa ufuta umeonekana kufanya kazi vizuri zaidi kwa wasichana wadogo kuliko kwa wamama watu wazima.

Namna ya kutumia: Saga ufuta kiasi upendacho na utumie kijiko kikubwa kimoja cha chakula ndani ya kikombe kimoja (robo lita au ml 250) kutwa mara 2.

Ufuta pia unaweza kupondwapondwa kiasi cha kiganja cha mkono wako na kuchanganywa katika maji yako ya kuoga ya uvuguvugu na utapata nafuu kubwa pia dhidi ya maumivu haya hasa ukianza kutumia siku 3 kabla ya kuanza siku.

4. PAPAI

Tuna kila sababu ya kusema ahsante kwa Mungu kwa kutukirimia mimea na miti mingi ambayo ni dawa kwa maradhi mengi yanayotusumbuwa.

Papai ni moja ya dawa za asili zinazoondoa maumivu wakati wa hedhi na linatajwa na watafiti mbalimbali kuwa ni msaada mkubwa kwa wasichana wanaopatwa na tatizo la kutokuona kabisa siku zao k**a matokeo ya stress au mifadhaiko mingi ya kimaisha.

Ili liwe dawa unashauriwa kula kila mara tunda hili hasa lile ambalo halijaiva sana lakini tayari limekoaa na hata ile rangi ya ukijani iwe haijaondoka yote. Hii iwe ni tabia yako kusishi hivi k**a una tatizo hili la maumivu wakati wa siku zako au hupati kabisa kuona siku.

Papai huweza haya yote kutokana na sifa yake kuu ya kuweza kulainisha misuli katika njia ya uzazi na hatimaye kuwezesha utokaji wa hedhi kuwa mrahisi bila maumivu yoyote. Jaribu hili na uniletee majibu.

5. MSHUBIRI (Aloe vera)

Hii ni dawa nyingine ya maajbu ya asili ambayo inatibu maradhi mengi mengi sana mwilini bila idadi ikiwemo hili la kupunguza au kuondoa kabisa maumivu wakati wa hedhi.

Matumizi: Changanya jeli ya Aloe vera (maji maji ya mshubiri) na pilipili manga nyeusi ya unga kidooogo, meza kijiko cha chakula kimoja mara tatu kwa siku kila siku hadi maumivu yatakapoacha.

6. NDIZI

Utashangaa sana kuona kumbe hata ndizi ni dawa na ingekuondolea maumivu hayo bila gharama yoyote. Wataalamu wamethibitisha pasipo na shaka kuwa ndizi mbivu zinao uwezo wa kutibu tatizo hili.

Nguvu ya ndizi kutibu hili zinatokana na ukweli kwamba ndizi ina B6 na madini ya chuma vitu viwili vinavyoweza kusaidia kurekebisha kiwango cha sukari, kuondoa au kupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya kupooza, kuweka sawa shinikizo la damu na kudhibiti tatizo la upungufu wa damu k**a matokeo ya siku zako.

Matumizi: Kula ndizi mbivu mbili mpaka tatu siku 4 kabla ya kuanza siku zako na wakati wote unapoendelea na siku zako. Kwa kifupi jizoeshe kuongeza tunda hili kwenye kila mlo ikiwa wewe ni mhanga wa tatizo hili la maumivu wakati wa hedhi na hutachelewa kuanza kuona tofauti. Kumbuka pia kutumia chumvi ya kutosha (hasa ya mawe kwenye vyakula vyako) k**a unakula ndizi mara kwa mara ili kuiweka sawa potasiamu iliyomo kwenye ndizi ambayo nayo ikizidi huleta tatizo la kukak**aa kwa mishipa mwilini.

7. MAJI YA KUNYWA

Hii ndiyo dawa namba 1 na mhimu zaidi kuliko zote na ni ya lazima itumike na yeyote. Sababu kuu ya maumivu haya k**a nilivyoyapeleza mimi ni mwili kutokuwa na maji ya kutosha na hii ni matokeo ya watu kusubiri ndipo wanywe maji jambo ambalo ni kosa kubwa tunalifanya dhidi ya miili yetu bila kujuwa. Kila siku iendayo kwa Mungu kunywa maji lita 2 mpaka lita 3, kunywa kidogo kidogo kutwa nzima, maji ya kawaida siyo ya kwenye friji na hutakaa uone maumivu katika siku zako. Mke wangu hajawahi kusikia maumivu haya sababu nyumbani kwangu suala la kunywa maji linajulikana tangu siku ya kwanza.

8. MDALASINI

Tengeneza chai ukitumia unga wa mdalasini, kunywa kikombe kimoja kutwa mara 2 wakati wote wa siku zako au anza siku 2 kabla pia unaweza kuweka mazoea ya kuwa hiyo ndiyo chai yako kila mara ili iwe k**a kinga. Kumbuka kutumia asali badala ya sukari kwenye hii chai

9. JUISI YA KAROTI

Kunywa juisi ya karoti fresh glasi 1 kutwa mara 2 wakati wote wa siku zako, unaweza pia kujenga mazoea ya kula karoti tu moja hadi mbili kila siku kujenga kinga dhidi ya ugonjwa huu. Juisi itakuwa rahisi kwa wale wa mjini na ambao wana blenda pia, kijijini kula karoti fresh kila siku.

10. MCHAICHAI

K**a unasumbuliwa na tatizo hili kila mara basi hamia kunywa chai ya mchaichai kikombe kimoja kutwa mara 2 kila siku huku ukitumia asali badala ya sukari. K**a unaweza tengeneza juisi ya mchaichai na unywe kikombe kimoja kutwa mara 2 pia wakati wote wa siku zako.

Dawa ni hizo na hakuna sababu ya kuendelea kuteseka na maumivu haya bila sababu. Utaniuliza nitumie kwa muda gani? hivyo ni vyakula tu unaweza kutumia mpaka utakapopona na unaweza kuendelea kuzitumia hata k**a huumwi chochote. Unaweza kutumia moja tu au ukachagua mbili hadi 3 ukatumia kwa pamoja ila kumbuka dawa namba 7 ni lazima.

MAMBO YA MHIMU KUZINGATIA KILA SIKU:

1. Kula matunda na mboga majani kwa wingi kila siku, matango, matikiti maji nk

2. Jishughulishe na mazoezi madogo madogo ya viungo

3. Oga maji ya moto (k**a unasumbuliwa na hili tatizo kila mara)

4. Tumia mafuta ya samaki kila mara kwenye vyakula vyako au unaweza kunywa tu yenyewe kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku

5. Pata muda wa kutosha wa kulala usingizi masaa 7 mpaka 8 kila siku

6. Acha kula nyama nyekundu, sukari (tumia asali badala yake), usitumie unga wa ngano mweupe (uliokobolewa), usitumie sembe (kula dona).

7. Achana na msongo wa mawazo (stress)

8. Usivae nguo za kubana sana wakati wa siku zako

9. Acha chai ya rangi, kahawa, vilevi vyote, soda na vinywaji baridi vingine vyote (hii ni kwa mgonjwa usinielewe vibaya, k**a huumwi chochote vitumie isipokuwa vilevi havifai kwa yoyote uwe unaumwa au huumwi).
Kwa ushauri zaidi wasiliana nami kwa

Simu/whatsapp: 0695768385

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Swahili Steet
Dar Es Salaam