Afya Map
Elimu, Kinga, Udhibiti & Tiba ya Kisukari | +255680842647
04/02/2025
Je, afya bora ni majaliwa? Au ni matokeo ya machaguzi yako mwenyewe?
K**a wewe ni mtu wa dini k**a Mungu bila shaka huwa unapiga magoti na kumuomba Mungu akujalie afya. Mimi pia nafanya hivyo.
Lakini pia ninaamini kuwa tofauti na viumbe wengine Mungu alitupendelea wanadamu kwa kutupatia UTASHI.
Utashi ni uwezo wa kuchagua lipi ufanye au usifanye. Hivyo basi, ingawa tunamuomba atujalie afya bado JUKUMU la kutunza miili yetu bado lipo mikononi mwetu.
Unayo nguvu ya kuamua ule nini, unywe nini, ulale vipi, n.k.
Funguo ya mlango wa AFYA BORA unayo wewe mwenyewe.
Je, unatamani kufahamu ni jinsi ya kuboresha afya yako lakini HUJUI ufanye nini?
K**a jibu lako ni NDIYO, ninakualika katika Familia ya AfyaMap mjini WhatsApp bonyeza link hii 👇
https://wa.me/message/CH6HGXCHRWVID1
#2025
06/01/2025
Mwili umepungua ghafla kisa Kisukari? Usipaniki…Fanya hivi … Swipe Left ➡️➡️
….
Afya Map
09/12/2024
Tunakutakia Heri ya Sikukuu ya Uhuru wa Taifa la Tanzania🎉🇹🇿
K**a muasisi wa Taifa alivyojitoa kupigania uhuru wa nchi, nasi Afya Map tutazidi kusumama kidete kupigania uhuru wa yako kutoka chini ya ukoloni wa Kisukari.
03/12/2024
Unapodhibiti ugonjwa wako wa kisukari, mwili wako mzima unanufaika — ikiwemo figo zako. Viungo hivi viwili vyenye umbo la maharagwe (tazama picha) husafisha damu yako na kufanya kazi zingine muhimu.
Lakini k**a una kisukari ambacho hakijagunduliwa au hakidhibitiwi, kinaweza kuharibu figo zako polepole bila kusababisha dalili yoyote. Hii inaweza kusababisha tatizo kubwa ambalo kitabibu huitwa
Ugonjwa wa figo sugu (Chronic Kidney Disease)
Karibu MTU MMOJA KATI YA WATATU wenye kisukari wana Ugonjwa wa Figo.
Ugonjwa wa Figo husababisha figo zako kushindwa kuchuja uchafu na maji ya ziada kutoka kwenye damu yako polepole.
Ikiwa haitatibiwa, figo zako zinaweza kushindwa kufanya kazi kabisa, ikimaanisha zinapoteza uwezo wake mwingi wa kufanya kazi. Unaweza kuhitaji kupandikizwa figo au matibabu ya kusafisha damu (dialysis) ikiwa hilo litatokea.
🌧️ DALILI ZA UGONJWA WA FIGO NI ZIPI?
Uharibifu wa figo unaosababishwa na kisukari kisichodhibitiwa unaweza kukufanya uhitaji kukojoa mara kwa mara, pamoja na kuamka usiku kukojoa. Pia, kuna uwezekano mkubwa wa kupata maambukizi ya njia ya mkojo (k.v. UTI).
Dalili nyingine za ugonjwa wa figo kutokana na kisukari ni:
• Kuongezeka uzito
• Kuvimba kwa vifundo vya miguu (ankles)
• Kichefuchefu au kutapika
• Kukosa hamu ya kula
• Kujihisi dhaifu au mchovu
• Kuwashwa
• Mifupa kukak**aa (hasa miguuni)
Kwa kuwa mambo mengine yanaweza kusababisha dalili hizi na kwa kuwa hazitokei hadi ugonjwa wa figo umeendelea sana, ni muhimu kumwona daktari kwa ajili ya vipimo vya figo.
JINSI YA KUZUIA/ KUPUNGUZA KASI YA UGONJWA WA FIGO
Tiba pekee kwa ugonjwa wa figo wa kisukari ni kudhibiti kisukari chako kwa uangalifu na kutumia dawa sahihi za kudhibiti sukari na shinikizo la damu. Kwa hivyo, fanya kazi kwa karibu na mtaalamu wa kisukari, Afya Map
14/11/2024
📢📢Ujumbe muhimu kwa watu wanaoteseka na Kisukari.
Wagonjwa wengi wa Kisukari wamekuwa wakisumbuliwa na mzigo wa kutumia Dawa za Hospitalini kila kukicha, na kubaki tegemezi wa dawa hizo milele.
K**a wewe ni mmoja wao, ningependa kuongea na wewe.
Kwa jina naitwa Nelson, Mkurugenzi wa AfyaMap.
Ninawasaidia wagonjwa wa Kisukari kushusha kiwango cha sukari kwenye damu bila ya kutumia Madawa ya Hospitali kwa kupitia njia ya Tiba Lishe.
Wiki hii nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya Kushusha Kiwango cha Sukari Katika Damu.
Nitumie ujumbe wa WhatsApp kwenda namba +255680842647
Kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia (wewe pamoja na wenzako) darasa bure kabisa kupitia group la WhatsApp.
Ni mimi mwenye kujali afya yako,
Nelson,
Mkurugenzi, AfyaMap
13/11/2024
📢📢Ujumbe muhimu kwa watu wanaoteseka na Kisukari.
Wagonjwa wengi wa Kisukari wamekuwa wakisumbuliwa na mzigo wa kutumia Dawa za Hospitalini kila kukicha, na kubaki tegemezi wa dawa hizo milele.
K**a wewe ni mmoja wao, ningependa kuongea na wewe.
Kwa jina naitwa Nelson, Mkurugenzi wa AfyaMap.
Ninawasaidia wagonjwa wa Kisukari kushusha kiwango cha sukari kwenye damu bila ya kutumia Madawa ya Hospitali kwa kupitia njia ya Tiba Lishe.
Wiki hii nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya Kushusha Kiwango cha Sukari Katika Damu.
Nitumie ujumbe wa WhatsApp kwenda namba +255680842647
Kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia (wewe pamoja na wenzako) darasa bure kabisa kupitia group la WhatsApp.
Ni mimi mwenye kujali afya yako,
Nelson,
Mkurugenzi, AfyaMap
Ni chakula ndicho hupelekea upate magonjwa yasiyoambukiza, na chakula hicho pia husaidia kuzuia na hata kuponya magonjwa hayo. Chagua vizuri kile unachokula.
Kwa nini?
Kwa sababu asilimia 90% ya vyakula tulivyonavyo madukani sasa havikuwepo miaka 90 iliyopita.
Pia, asilimia 90% ya magonjwa yaliyopo sasa hayakuwepo miaka 90 iliyopita.
Afya Map
09/10/2024
Kwa nini kila baada ya muda mfupi unahisi njaa?
Yaani, piga ua galagaza, lazima uwe na kitu karibu yako ambacho unaweza kutafuna?
Na ukipata muda wa kula unakula chakula kingi na bado hutosheki?
K**a unapata hii shida (au mwenzako anayo) basi soma mpaka mwisho ili upate SULUHU
Kuwa na njaa sugu ni kutokana na athari ambayo Ugonjwa wa Kisukari umefanya katika mwili wako…
Kisukari ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na sukari nyingi kupita kiasi kwenye damu.
Ugonjwa huu huvuruga utaratibu wa kuingiza sukari ndani ya seli kutoka kwenye damu kwa kuwa chembe huhitaji sukari ili kupata nishati.
Sasa ikiwa seli hazipati hii sukari zinauambia ubongo kuwa unatakiwa ule ili upate nishati…
Kisha ubongo bila hayana unakupa hisia ya njaa.
Utakula weeee chakula kitafika tumboni, na tumbo linachakata ule wanga kuwa sukari (glucose) kwenda kwenye damu
Sukari inajilimbikiza kwenye damu kwa sababu sukari haiingii kwenye seli…
seli zitaumbia ubongo inabidi tule ili tupate nishati!
Utahisi bado unatakiwa ule zaidi…
Inakuwa ni njaa isiyokoma! Njaa isiyoisha! Njaa sugu!
Sasa basi, k**a unapitia shida hii inabidi usome vizuri.
Njaa sugu ni dalili ya Ugonjwa wa Kisukari
(Rudia Tena 👆)
Tafiti zinabainisha kuwa takribani NUSU ya watu wenye ugonjwa wa HAWAJUI k**a wanao.
Chukua hatua leo: Nenda kituo cha afya kapime Ugonjwa wa Kisukari
Kwa nini?
Ili UEPUKE athari mbaya zinazotokana na ugonjwa huu katika mwili k**a vile: magonjwa ya moyo, figo kufeli, kukatwa miguu, n.k.
Afya Map
25/09/2024
K**a umri wako ni 40+ chukua hii:
16/08/2024
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Sinza Madukani
Dar Es Salaam
