unene_tz
Body cleansing and Weight loss programs
10/03/2022
SHOW SHOW
Pumzi Zaidi, Nguvu Zaidi. Kila Mara Humalizi Game na Hadi Sasa Hujajipatia Bedroom Pack. Unasubiri Nini🔥🔥🔥
📞+255738479968
05/03/2022
NINI TIBA ASILIA YA TATIZO LA KUDUMAA, KUSINYAA NA KURUDI NDANI KWA MAUMBILE YA KIUME.
K**a umbile lako limedumaa, sinyaa, legea, nywea na kurudi ndani kwa sababu ulifanya punyeto kwa muda mrefu na unataka kuondokana na hali hiyo. HII NI HABARI NJEMA SANA KWAKO!
Tumia Virutubisho
Kwa mawasiliano zaidi piga
+255688064088
22/02/2022
Mapungufu ya Nguvu za Kiume ni Jambo la Muda tu Endapo K**a Utafata Njia Sahihi Katika Kutatua Tatizo.
Tuwasiliane 📞+255 688 064 088
21/02/2022
RAHA YA TENDO
-Chelewa kupiz
-nenda round nying
-simamisha K**a msumari
-ongeza ubora wa mbegu
Ni Virutubisho Pekee vyenye uwezo wa kurudisha Furaha ya Ndoa yako kwa Mara nyingine
📞+255688064088
11/02/2022
Mridhishe Mwenza Wako. Hii Siyo ya Kukosa
Valentine's Special Offer
📞+255 688 064 088
Unashindwa Kushiki Vyema Tendo la Ndoa, Tuwasiliane:
☎️+255 688 064 088
08/02/2022
Hello!...karibu usome huu ujumbe ili uweze kufahamu japo kwa ufupi tu program zetu za kupunguza uzito na unene ama mafuta mabaya.
Siku hizi watu wengi hufanya mazoezi, wengine wanakunywa maji ya moto, wengine wanaacha kula baadhi ya Milo na njia nyingine Nyingi ili wapungue.
*NIKUPE SOMO KIDOGO TU*
Maisha tunayoishi mfumo wake umebadilika saaana. Tunaingiza Sumu nyingi saaana Mwilini Kupitia Vyakula tunavyokula, hewa tunayovuta, .madawa ya hospitalini na njia nyingine, Lakini pia tunakula vyakula vingi vyenye Mafuta saaana.
Sasa zile sumu zikikusanyika ndani ya mwili, kibaolojia mwili utalazimika kuzalisha mafuta au kuhifadhi mafuta yote yanayoingia ili kuzizingira au kuzizunguka zile sumu zisijeenda kuathiri Organi nyingine za ndani ya Mwili.
Sumu hizi kwanza hufikia Tumboni ndio maana sehemu ya kwanza kunenepa ni Tumbo(ndio maana wale wanaotumia pombe hata k**a ni Mwembamba basi angalau Tumbo kidogo analo. Ni Sumu na mafuta vimepaki hapo).
Hivyo basi hata ufanye mazoezi au kuacha kula au unywe maji Mwili hautapungua Kwa sababu unajua mafuta yakiyeyuka Sumu zitavamia Organi za Ndani na hata ikitokea mafuta yameyeyuka bila sumu kutoka basi mwili utafanya defensive machanism ya haraka kwa kurudisha hayo mafuta ili kulinda organ zake na vingine vya muhimu ndani ya mwili.
Hivyo kuwepo kwa sumu nyingi mwilini kunasababisha mwili kujitengenezea mafuta kadiri uwezavyo na kuzuia mafuta yasitoke. Hivyo hata ufanye nini Hupungui, ukipungua ukiacha tu mazoezi au diet mwili huo umerudi KWANINI? Kwa sababu zile sumu bado hazijatoka Mwilini!
Hivyo Mwili unazalisha Mafuta Kwa haraka kujikinga.... Hivyo Basi ili KUPUNGUA lazima uondoe Sumu mwilini Kwanza.
*ILI KUPAMBANA NA UZITO ULIOKITHIRI NA UNENE AMA MAFUTA YALIYOSHINDIKANA TUMEKUJA NA PROGRAM KUU MBILI (C9 NA F.I.T 15). PROGRAMU HIZI ZINA BIDHAA ZIFUATAZO NDANI YAKE NA KILA MOJA INAYO NAFASI YAKE KATIKA KUHAKIKISHA UNAIANZA VEMA SAFARI YAKO YA KUUSAFISHA MWILI WAKO NA KUPUNGUA VIZURI KIAFYA.*
● *Clean 9* (Cleansing program)
Hii ni program ya siku tisa iliyoandaliwa maalum kuuandaa mwili wako katika safari ya kupungua uzito, program hii ina bidhaa tano yaani;
○ALOE VERA GEL
○FOREVER GARCINIA
○FOREVER THERM
○FOREVER FIBER
○ULTRA LITE VANILLA
*NOTE; Bidhaa hizi ni vyakula, SIYO DAWA wala mitishamba. Zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula ambavyo tungefaa kula kila siku na vina lishe kamili na virutubisho muhimu vinavyohitajika katika mili yetu ili iweze kujitengenezea yenyewe afya bora na nadhifu kabisa.*
○FIBER
Hizi ni nyuzi nyizi mhimu kwa ajili ya kuboresha;
°Mfumo wa usagaji chakula kwani husaidia bacteria rafiki katika utumbo kuzaliwa hivyo kuufanya utumbo kumeng'enya chakula kwa urahisi zaidi na kuhakikisha ufyonzwaji wa virutubisho utakavyokua unavipata kutoka kwenye vyakula utakavyokua unakula na virutubisho utakavyokua unatumia pia.
°Hukaa tumboni kwa mda mrefu hivyo kukufanya ujihisi kushiba na hatimae kuepuka kula vyakula mara kwa mara. Hii inasaidia sana hasa kwa wale ambao wanachangamoto ya kujizuia kula mara kwa mara wakatiwanaendelea na program hii.
°Fiber pia inafanya kazi kubwa ya kuhakikisha inausapport mfumo wa mzunguko wa damu na moyo (cardiovascular function), afya ya mmeng’enyo wa chakula (digestive health), kudhibiti uzito (weight management) na kusaidia utendaji kazi wa mfumo wa kinga mwilini (immune function).
○THERM
Hii imetengenezwa kwa mchanganyiko sahihi wa matunda ya Guarana, Green tea, Caffeine ya asili kabisa na Raspberry ketones ambazo kwa pamoja zinawekwa kwenye program yetu kwa ajilii ya kuusaidia mwili katika kazi kuu mbili ambazo ni;
°Huongeza kiwango cha joto la mwili hivyo kurahisisha uchomaji wa mafuta yaliyoganda chini ya ngozi, hii ni ya kipekee kwani haipatikani kwenye programu nyingine yoyote ile. Ndo maana watu wengi wanakunywa maji ya moto wakiamini yanasaidia kuchoma mafuta kitu ambacho kiuhalisia sio kweli na mwisho wa siku hawapati matokeo wanayoyataka na kwa wakati kwani huwezi kuchoma au kuyeyusha mafuta yaliyomo sehemu tofautitofauti ndani ya mwili kwa kunywa maji ya moto.
°Pia hufungua vitundu vya ngozi kuruhusu uchafu utokao kwa njia ya jasho kutoka kwa urahisi zaidi na hivyo kukusaidia katika kuusafisha mwili na kukusaidia uweze kufikia malengo yako ya kupungua kwa wakati.
○LITE ULTRA VANILLA
Huu ni mchanganyiko wa unga wenye Protein ya mimea k**a Soya beans, husaidia kuimarisha misuli na kuboresha seli.
°Ni lishe tosha kwani huujenga mwili kwa nyama baada ya kuondoa mafuta.
°Pia inafanya kazi kubwa ya kuhakikisha unapata virutubisho au mlo kamili na kiasi sahihi cha protini, vitamin, madini na kiwango sahihi cha carbohydrate ambazo ni muhimu kwa ajili ya utendaji kazi wa kila siku hii ni kwasababu wakati unaendelea na program hii kuna baadhi ya vyakula ambavyo utapunguza au kuacha kuvitumia wakati wa programu hii na hivyo ni muhimu upungue ukiwa unapata virutubisho vyote muhimu na muonekano wa ngozi yako uendelee kubakia mzuri na wakuvutia zaidi na zaidi.
○ALOEVERA GEL
Hiki ni kinywaji bora cha afya chenye aloe vera nyingi ndani yake (97%). Kinywaji hiki siyo dawa bali ni chakula chenye utajiri wa Virutubisho (aina zaidi ya 75), Vitamini ( aina 14) na Madini (aina 20) mbalimbali ambayo yote yanahitajika mwilini na tunayakosa katika diet yetu ya kila siku.
Hiki kinywaji kikichambuliwa chenyewe kina faida nyingi mnoo kiasi ambacho mtu hata k**a haumwi wala hafanyi c9 atatamani kukipata na kukifanya kinywaji chake cha kila siku. Kwenye hii program yetu AloeVera gel inafanya yafuatayo;
°Kuusaidia mwili katika kusafisha na kuondoa sumu na takamwili mwilini zitokanazo na hewa chafu, vumbi, dawa zenye kemikali, sumu, madawa, pombe ama vileo, nk.
°Pia huimarisha kinga ya mwili kwani hulisha seli moja kwa moja na isitoshe husaidia pia kuyeyusha vimbe (hizo ni chache tu miongoni mwa nyingine nyingi)
○GARCINIA
Hubadili mafuta yaliyotunzwa mwilini kuwa nishati hivyo kuruhusu mwili kutumia akiba ya chakula kilichopo na kupunguza hitaji la chakula toka nje..
Hupunguza hamu ya kula ovyo kwani hutoa taarifa kupitia nerves juu ya kutosheka kwa mwili hivyo hurahisisha upunguaji.
*Hadi sasa sina taarifa ya mtu aliyefanya hizi program zetu na asipungue*
Ahsante sana na nakutakia maandalizi mema katika safari yako ya kupungua.
01/02/2022
TUMIA VIRUTUBISHO
Virutubisho vyetu vinasaidia kuongeza nguvu za Kiume, kuimarisha misuli ya dhakari, mzunguko wa damu, kazi ya moyo na Kuweka sawa vile vyote vinahusika katika mfumo wa uzazi.
-Husaidia kuondoa uvimbe unaotokana tenzi dume(mshipa)
-Hutibu magonjwa ya Uzazi kwa wanaume ngiri na tezi dume
-Hurutubisha sprms ambazo ni dhaifu au chache na kumpa mwanaume uwezo wa kuzalisha
-Hupunguza maumivu wakati wa tendo kwa wale wanaume ambao wakifanya sana mapenzi zaidi ya mshindo mmoja upata maumivu hii bidhaa ni suluhisho
-Huondoa uchovu na stress wakati wa tendo na kufanya upate nguvu ya kurudia mshindo mwingine zaidi
Wasiliana Nasi Popote Ulipo Tutakufikia
☎️+255 688 064 088
26/01/2022
Umeshatumia midawa ya kila aina ya kuimarisha na kiunenepesha bila mafanikio
Kuna tumaini jipya.
Zipo sababu nyingi zinazochangia wanaume kuwa na maumbile legelege/dhaifu.
Hizi ni sababu 3 kuu;
1. Ubongo kushindwa kutuma taarifa kwenye mashine ili kuiufanya isimame,
2. Damu kushindwa kuenea katika viungo vyote vya mwili ikiwemo dhakar, na
3. Udhaifu wa misuli ya umbile
Asilimia kubwa ya dawa zinatangazwa kuwa zinatibu matatizo ya umbile legelege huwa ni za kusisimua tu na hazitibu moja kwa moja. Dawa inapoisha nguvu misuli hurudi katika hali ya ulegevu.
Ukihitaji kushiriki tena tendo la ndoa itakulazimu utumie tena hizo dawa ili zisisimue tena ndipo mashine iweze kusimama.
Hii hufanya wanaume wengi kuwa tegemezi wa hizi dawa na hujikuta wakitumia pesa nyingi katika hizo dawa ambazo haziwasaidii.
Kwani Nini hazitibu moja kwa moja tatizo hili...
Ili kutibu moja kwa moja changamoto hii unatakiwa kushughulika na maeneo yote matatu.
Eneo la ubongo, mishipa ya damu na misuli.
Njia pekee inayoweza kukusaidia kumaliza changamoto hii moja kwa moja ni kupitia lishe maalumu na mazoezi.
Tuna program maalumu ya Lishe na mazoezi inayosaidia kumudu vizuri tendo la ndoa.
Program hii itakusaidia kuupa afya nzuri ubongo wako na kuufanya kila wakati unapohitaji kushiriki tendo, dhakar isimame vizuri bila shida.
Pia itasaidia kuzibua mishipa ya damu hasa ya kwenye umbile na kufanya umbile kufikiwa na damu ili kuweza kusimama bila shida.
Vilevile program hii itaifanya misuli ya umbile kuwa na nguvu kubwa hivyo mashine itasimama kirahisi, pia itakuwa katika hali ya kusimama hivyo kwa muda mrefu bila kulegea hivyo kukusaidia kushiriki tendo kwa muda mrefu.
Kupitia program na lishe zetu tumewasaidia wanaume wengi mpaka sasa walio kwenye ndoa ambao walitaabika sana na changamoto hizi na hatimaye sasa wanafurahia ndoa zao.
Ikiwa unahisi una changamoto ya uume legelege na unashindwa kumudu vizuri tendo usisite ☎️+255 688 064 088
05/08/2021
18/06/2021
- Maradhi Mengi Sugu Husababishwa na Lifestyle kwa Kiasi Kikubwa, Na Vile Gari Inavyopelekwa Service Ndivyo Hivyo Mwili Unatakiwa Kufanyiwa Service ili Kuondoa Dosari Zilizopo kwa Afya Bora.
Kwa muda mrefu nimewahi kufikiria njia za kusafisha Mwili, kuondoa sumu, chemicals, na free radicals nyingine zitokanazo na soda, sigara, madhara ya madawa, Juice za viwandani na pombe (alcohol).
Hii ni baada ya kunenepa na KGS kuongezeka Kupita kiasi.
- Choo kilikua cha shida kisicho kilaini,
- Tumbo Kujaa Gas,
- Kukosa Usingiz, na
- Muda mwing kuhis uchovu.
Wengine hutaabika zaid kwa kusumbuliwa na kisukari, pressure, kansa, Matatizo ya mfumo wa uzazi K**a kupungua Nguvu za Kiume, ugumba, na mivurugano katika hedhi.
Mim Sikupoteza Muda. Niliamua Kufanya Cleansing Kwa Kutumia C9. Matokeo yake Nimelose Kgs Zilizozid, Afya Imeimarika na Nimekua na Mwonekano Mzuri.
Sasa ni Wakati wa Kutumia C9🔥 Wasiliana Nasi: +255 738 479 968
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
