DrEkonia1
karibu kwa uimarishwajwi wa afya na utatuzi wa dosari na matatizo mbalimbali kiafya.
19/11/2024
Unataka kutengeneza laki moja hadi million Moja faida Kwa wiki, basi network marketing inakusadia kufanya NDOTO Yako kuwa halisi Kabisa.
KWA MUDA WAKO WA ZIADA AMA MUDA WOTE.
KAMPUNI Sahihi ndiyo hii hapa pia tunayo nafasi ya kujivunia kwasababu inamwezesha kila mtu kuwajibika popote alipo, yaani;- uwe ofisini, nyumbani, chuoni, ama taasisi kabisa k**a unavyoona kila siku.
Nipo kukushika mkono pia nami nilianza from nothing now ni mwenye matokeo na nashukuru MUNGU Kwa hili
β KARIBU ofisini kujielimisha uone taswira kamili ya BIASHARA husika taasisi imewekeza sana Zanzibar, Dar es salaam, mbeya, Dodoma, Arusha, mwanza,
Kesho Niko Arusha β
chuga chuga mpoooooβ
15/11/2024
UGONJWA WA VITILIGO NA TIBA YAKEπ
Vitiligo ni ugonjwa unaomfanya mtu apoteze rangi ya ngozi na kusababisha awe na mabaka mwilini mwake. Sehemu zinazopoteza ngozi huongezeka kadiri siku zinavyoongezeka. Hali hii huweza kutokea sehemu yo yote katika mwili. Inaweza kutokea kwenye nywele na hata ndani ya mdomo.
Kwa kawaida, rangi ya nywele na ngozi ya mtu hutegemea melanin. Vitiligo hutokea pale seli za kutengeneza melanin zinapokufa au zinapoacha kufanya kazi. Vitiligo huwapata watu wa rangi zote, lakini huweza kuonekana zaidi kwa watu wenye rangi nyeusi. Hii si hali inayohatarisha maisha wala kuambukiza. Inaweza kuwa ni hali inayochukiza au mtu akajisikia vibaya.
Tiba ya vitiligo inaweza kurudisha rangi ya ngozi iliyoharibiwa. Lakini, haiwezi kuzuia uharibifu wa rangi ya ngozi.
Chanzo Cha Vitiligo
οΏΌ
Vitiligo hutokea wakati seli za kutengeneza rangi (melanocytes) zinapokufa au zinapoacha kufanya kazi ya kuzalisha melanin β pigmenti inayoipa ngozi yako, nywele na macho rangi. Sehemu zilizoathirika huwa angavu au nyeupe. Haijajulikana kiuhakika ni nini kinaachosababisha seli za pigmenti kufa au kuacha kufanya kazi. Yaweza kuwa inahusiana na: Matatizo ya ufanyaji kazi wa mfumo wa kinga za mwili (autoimmune condition) Historia ya familia (heredity) Tukio la kuanzisha, k**a msongo wa mawazo, jua kali au kuumia kwa ngozi, k**a kugusa kemikali.
Madhara Yatokanayo Na Vitiligo
Watu wenye vitiligo wanakuwa kwenye hatari kubwa ya kupata: Msongo wa kijamii au wa kisaikolojia Kubabuka kwa jua Matatizo ya macho Matatizo ya kusikia.
Dalili Za Vitiligo
Dalili za vitiligo ni pamoja na: Mabaka ya ngozi iliyopoteza rangi, ambayo mara nyingi huanzia mikononi, usoni, na kuzunguka maeneo ya mwili yenye matundu na sehemu za siri. Kuota mvi kabla ya muda maeneo ya kichwani, kwenye kope, kwenye nyusi au ndevu Kupoteza rangi kwenye tishu zinazofunika eneo la ndani ya mdomo na pua (mucous membranes).
Vitiligo huweza kuanza kwenye umri wo wote
255656925712
10/11/2024
Sababu ambazo hupelekea mwanamke kutokushika Mimba au kutokubeba Ujauzito,
1. Kutokujaribu kwa Muda mrefu au Muda wa Kutosha, Watu wengi hujaribu kwa Muda mfupi tu kisha kuanza kukata tamaa,
Na hii huanza kuleta migogoro hasa kwa Wenye ndoa ambao wana muda mfupi tu toka waoane,
2. Kutokufanya Mapenzi wakati Sahihi, hapa tunamaanisha wakati ambao mwanamke anaweza kubeba Mimba,
Kwa Lugha nyingine lazima mfanye mapenzi kwenye βsiku za
3. Mwanamke kushindwa kupevusha Mayai,
Tatizo la Anovulation ambapo shida hutokea kwenye mayai pamoja na vifuko vya mayai(ovaries),
4. Shida kwa Mwanaume,
Asilimia kubwa kwenye Jamii zetu endapo tatizo la Mwanamke kutokubeba Mimba limetokea,Lawama zote huwa juu yake, bila kujua hata Mwanaume huweza kuwa chanzo kikubwa cha Tatizo hili,
5. Umri kuwa Mkubwa, kadri Umri wako unavyokuwa Mkubwa ndivo uwezo wa kubeba Mimba au kutungisha Mimba hupungua zaidi,
6. Tatizo la kuziba kwa Mirija ya Uzazi kwa Wanawake yaani blocked fallopian tubes.
7. Mwanamke kuwa na tatizo la endometriosis,
Baadhi ya tafiti zinaonyesha kwamba,Takribani asilimia 50% ya wanawake wenye tatizo la endometriosis huwa vigumu pia kwao kubeba Ujauzito.
8. Matatizo mengine ni k**a vile;
9. Matumizi ya baadhi ya Dawa, baadhi ya Dawa huweza kuathiri pia uwezo wa Mwanamke Kubeba Mimba,
10. Mtindo mbaya wa Maisha ikiwemo;
β Matumizi ya dawa za Kulevyia,Cocaine,Marijuana, n.k
β Uvutaji wa Sigara,Tumbaku,Kutumia Ugoro
β Unywaji wa Pombe kupita kiasi n.k
Kwa mengi zaidi kuhusu afya ya uzazi kwa wanawake Wasiliana nami popote ulipo kwa ushauri na tiba.
0656 925 712
30/10/2024
*KUKOSA HEDHI*
*Kukosa hedhi au kutokuwa na mzunguko wa hedhi kwa mwanamke kunaweza kusababisha madhara mbalimbali kiafya. Hapa kuna madhara 10 yanayoweza kuhusishwa na hali hiyo:*
*MADHARA YA KUKOSA HEDHI KWA MWANAMKE*
[ ] *Uzazi wa shida:* Kukosa hedhi inaweza kufanya iwe vigumu kwa mwanamke kupata ujauzito.
[ ] *Kuongezeka kwa hatari ya osteoporosis:* Upungufu wa homoni unaoambatana na kukosa hedhi unaweza kusababisha kupoteza madini ya mifupa.
[ ] *Matatizo ya kiafya ya moyo:* Homoni zinazohusika na hedhi zinaweza kuchangia kwa afya ya moyo, na kukosa hedhi kunaweza kuathiri hili.
[ ] *Mabadiliko ya ghafla ya uzito:* Kukosa hedhi kunaweza kusababisha mabadiliko ya ghafla katika uzito wa mwili.
[ ] *Matatizo ya ngozi:* Mabadiliko ya homoni yanayosababishwa na kukosa hedhi yanaweza kuathiri afya ya ngozi.
[ ] *Msongo wa mawazo na hisia za wasiwasi:* Mabadiliko ya homoni yanaweza kuathiri pia afya ya akili na kusababisha msongo wa mawazo.
[ ] *Kupungua kwa hamu ya kijinsia:* Mabadiliko ya homoni yanaweza kusababisha kupungua kwa hamu ya tendo la ndoaπ₯
[ ] *Kuongezeka kwa hatari ya magonjwa ya kisukari:* Kukosa hedhi kunaweza kuongeza hatari ya kuendeleza magonjwa ya kisukari.
[ ] *Kupungua kwa misuli na nguvu:* Upungufu wa homoni unaweza kuathiri misuli na nguvu ya mwili.
[ ] *Kuongezeka kwa hatari ya magonjwa ya mfumo wa mifupa: Kupoteza madini ya mifupa kunaweza kuongeza hatari ya magonjwa ya mfumo wa mifupa k**a osteoporosis.*
*K**A UNASUMBULIWA NA TATIZO HILI HAKIKISHA UNAPATA TIBA MAPEMA IWEZEKANAVYO KWANI KUNA MADHARA MAKUBWA ZAIDI*
*Na ukisha pata madhara utatumia gharama kubwa zaidi kutafuta suluhisho la kudumu....hivyo ni vyema kutibuna
kuondoa tatizo mapema kwa kutumia vp lishe..!! Kwa tiba au ushaur juu ya afya juu ya hii changamoto
Nicheck whas/cal
+255782044404
Au tembelea account zangu za mitandao ya kijamii kwa ajili ya kujifunza afya yako.
Facebook
MwaΓ±amke uzazi imara
TiΔ·tok
Ekonia na afya yako/bora.
28/10/2024
π§ππ§πππ’ ππ π¨π©ππ ππ ππͺππ‘π¬π ππππππ (ππππ₯π’πππ¦) π(ππ¦ππ§πππ₯iwa na SWAHIBANUTRIENTS CLINIC. #πππ²πππ’π©π¬(ππππ«π¬)
Hii ni hali ya uvimbe katika mfuko wa uzazi na hali hii ni ngumu sana kujitokeza lakini ni rahisi mno k**a utashindwa kujifatiliza mwana mama,
Uvimbe una sababi nyingi sana hadi kuweza kukua na ifahamike uvimbe huwa kila mwanamke anazaliwa nao ila uvimbe huo unakua mdogo sana na dhamira yake ni kushikilia yai lisicheze sana kipindi litakapo hifadhiwa katika mfuko wa uzazi,
π¦πππππ¨ ππ π¨π©ππ ππ (ππππ₯π’πππ¦) π
βοΈ Kuvurugika kwa homoni
βοΈ Kufanya kazi ngumu kupita kiasi
βοΈ Matumizi ya uzazi wa mpango
βοΈ Uzito kupita kiasi
βοΈ Matumizi ya dawa pasi na ushauri au kwa muda mrefu
βοΈ Msongo wa mawazo
ππππππ ππ π¨π©ππ ππ (ππππ₯π’πππ¦)
π Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
π Kuhisi kutu kinacheza tumboni
π Tumbo kua kubwa
π Kukosa hedhi
π Kupata hedhi na maumivu makali
π Kupata hedhi mabonge bonge
π Tumbo kua zito
ππͺπ π§πππ π‘π π¨π¦πππ¨π₯π πππππ
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia
βοΈ +255(0)782044404.
Dr EKONIA.
15/07/2024
Zijue aina za uchafu na harufu sehemu za siri kwa mwanamke!
Njia ya uzazi huanza kutoa majimaji wakati wa balehe. Hii ni hali ya kawaida. Maji yanayotoka ukeni huwa yamechanganyika na vimelea. Maji maji haya husaidia kuondoa ngozi ya uke iliyokufa hivyo kufanya uke kuwa katika hali ya usafi na yenye afya.
Iwapo sehemu ya uke inatoa harufu kali au uchafu usiokuwa wa kawaida hali hiyo hutokana maambukizi au magonjwa mengine.
1.Uchafu laini wenye rangi ya kijivu/mweupe wenye harufu k**a shombo ya samaki
Hali hii husababishwa na ugonjwa unaojulikana k**a Bacterial Vaginosis. Harufu husikika zaidi baada ya tendo la ndoa
2. Uchafu wenye rangi ya njano ama kijani wenye harufu k**a yai viza.
Hali hii husababishwa na Ugonjwa ujulikanao k**a Trikmona (Trichmonas). Dalili nyingine ni maumivu wakati wa tendo la ndoa na wakati wa kukojoa. Pia mama hupata miwasho sehemu za siri.
3. Uchafu wa rangi ya njano k**a usaha sehemu za siri
Hali hii husababishwa na ugonjwa wa Kisonono. Hata hivyo karibu nusu ya wanawake wenye Kisonono hawana dalili zozote.
4.Kuongezeka kwa majimaji sehemu za siri (Uchafu mwingi usiokuwa wa kawaida)
Hali hii husababishwa na ugonjwa wa Klamidia (Chylamidia). Wanawake wenye maambukizi hawana dalili.
5.Uchafu mzito,mweupe k**a maziwa mgando hauna harufu.
Hali hii husababishwa na maambukizi ya fangasi sehemu za siri/ PID infections n.k
6. Damu au uchafu wenye rangi ya kahawia(brown)
Hali hii inasababishwa na maambukizi kwenye mfuko wa uzazi au saratani ya kizazi
Je, una tatizo lolote la uzazi? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!..
-
Leo nimetoa upendeleo wa kipekee Niko Online DM/ Inbox Najibu messange zote una changamoto yoyote ya UZAZI nitumie Ujumbe DM/ inbox au Whatsapp no: +255782044404
TUMA NENO UCHAFU
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Alaam
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
