Stella Margwe

Stella Margwe

Share

We are open always welcome our customers

Margwe's Natural Products,,,!?Karibu ujipatie products za ngozi,mafuta ya nywele, perfumes,dawa za kupunguza vitambi,
Tunapatikana Dar es salaam,,,,Pamoja na mikoa yote Tanzania

22/07/2024

Sababu Za Michirizi Mwilini Na Namna Ya Kuondoa

Michirizi katika ngozi imekuwa kero kwa watu wengi,huku wengi wakihangaika bila mafanikio ya kuondoa tatizo hili,leo tuangalie sababu za kupata michirizi katika ngozi na tiba yake.
NJIA ZA KUONDOA MICHIRIZI (STRETCH MARKS)
SABABU ZA KUPATA MICHIRIZI
Matumizi ya kemikali za kujichubua na vipodozi vikali.
Kemikali za kujichubua huharibu ngozi na kuilazimisha kutengeneza Ngozi Mpya kila Wakati Lakini kwa kufanya hivyo ngozi hutanuka na Ndio michirizi hutokea.
Utakuwa shahidi k**a umeaonana na Mwanamke mwenye ametumia vipodozi vikali huwa na muonekano wa ajabu na Michirizi imesalia kwenye Ngozi yake. Vipodozi haramu, vyenye kemikali na viambata sumu havijawa salama Kwa matumizi Kutokana na madhara makubwa ikiwemo Michirizi.
Mimba na kujifungua kwa kina mama.

Mabadiliko yanayotekea mwilini Wakati wa ujauzito ni kitu cha kawaida Kabisa. K**a wewe ni mjamzito na umepata Michirizi Unatakiwa kuwa na amani na kuchukua hatua nitakazoeleza Hapa chini.
Sababu nyenginezo ni pamoja na kuongezeka uzito mkubwa na kitambi, kunenepa.
Kuongeza mwili kunasababisha ngozi hutanuka na Michirizi inatokea Wakati kupungua kunakuacha na Michirizi iliyoletwa na unene. Sio wanene wote wakipungua hufanya Michirizi ila wengi wao. Na wengine hufanya Jitihada za kuondoa tatizo hilo Wakati wakifanya Jitihada za kupungua.
Vile vile ukuaji wa haraka wakati wa kubaleghe, Mabadiliko ya mwili pamoja na Lishe mbovu
Kwa kawaida michirizi hii huwa haimletei mtu maumivu ya aina yoyote,( wengine hupata Maumivu, onana na daktari wako mapema) mbali jambo kubwa huwa ni kuubadili muonekano wa ngozi ya mtu. Kwa baadhi ya watu michirizi hii huwa ni mikubwa sana, na kwa namna moja au nyingine humnyima mtu uhuru au humfanya mtu asiwe na amani pundi anapokuwa mbele ya watu kwa kutegemeana na michirizi hiyo imetokea sehemu ipi

Maamuzi yako ya leo yanaweza kubadilisha maisha yako ya kesho Afya ni kitu Cha thamani Sana Ithamini ikulinde usiwe bahili Hadi kwenye afya yakošŸ¤

KWA MATIBABU NA USHAURI

+255624427305
https://chat.whatsapp.com/H0unPBhvNEzHP3tHgIJ1ek

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Dar Es Salaam