AFYA CHECK
AFYA YA UZAZI MWANAMKE NA MWANAUME💊/PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA PID,FUNGUS SUGU,UTI SUGU.
Wasiliana nasi kupitia WhatsApp &call 0628187534
Wako wanawake wanaotokwa na uchafu ukeni mara kwa mara na hawaponi kila wakienda kwenye maabara zetu na maduka ya dawa. Wanawake hawa kila wakienda huko huambiwa wana UTI sugu au PID na masikini ya mungu wanakula dawa za vidonge na dozi za sindano lakini hali haiishi.
Ndugu zanguni ukiona unahangaika sana na umesakunywa dawa na kuchoma sindano na bado huponi fahamu ya kwamba unatibiwa kitu kisicho sahihi na hujapata ushauri sahihi
Mwanamke unaweza kupata hali hii kutokana na sababu mbalimbali zinazoathiri mfumo wa uzazi na via vyake.Acheni mambo ya kuwaza kila kitu ni UTI bali mufanye vipimo sahihi vya mfumo wa uzazi
Utakapotibiwa tatizo sahihi ndo mwanzo wa kupona. K**a hujapima utaponaje sasa?
Unatokwa uchafu ukeni kisha unasema una UTI؟
UTI ni matokeo ya kutokunywa maji mengi tu na si vinginevyo. 0628 187 534
24/11/2023
AINA ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI
Kuna aina kuu nne (4) za uvimbe kwenye kizazi kulingana na sehemu unapotokea kwenye mfuko wa uzazi ambao ni pamoja na;
1) Intramural Fibroids.
Hii ni aina ya uvimbe ambayo uwapata sana wanawake. Aina hii ya uvimbe hukua na kumea kwenye misuli ya ukuta wa mfuko wa mimba (uterus). Kadri uvimbe huu unavokua basi husababisha kupanuka au kuvutika kwa kizazi na kusababisha dalili k**a hedhi.
2) Subserosal Fibroids.
Aina hii ya uvimbe hukua nje ya ukuta wa mfuko wa mimba, wakati mwingine kuelekea kwenye kibofu cha mkojo. Aina hii ya uvimbe huweza kusababisha maumivu ya chini ya mgongo kutokana na kwamba uvimbe huu unasukuma neva za uti wa mgongo na kusababisha presha kubwa kwenye eneo la chini ya mgongo.
3) Submucosal Fibroids.
Aina hii ya uvimbe hukua karibu na ukuta wa kizazi. Hii inaweza kusababisha kutokwa na damu kwa muda mrefu wakati wa hedhi na shida kwenye kushika ujauzito.
4) Cervical Fibroids.
Huu uvimbe hukua kwenye tishu za mlango wa kizazi ambao huitwa cervix. Uvimbe hutokea mara chache sana ukilinganisha na aina zingine za uvimbe kwenye kizazi.
aina za uvimbe kwenye kizazi
Uvimbe Kwenye Kizazi Husababishwa Na Nini?
Uvimbe kwenye kizazi husababishwa na wingi wa vichocheo mwilini, homoni ya estrogen ambayo hupelekea mwanamke kupata hedhi, ambapo matumizi ya njia za uzazi wa mpango pia ni vichocheo ambavyo huchangia kuongezeka kwa homoni ya estrogen.
Sababu Za Uvimbe Kwenye Kizazi:
Mambo yafuatayo yanaongeza uwezekano kwa mwanamke kupata uvimbe kwenye kizazi;
1) Kurithi.
k**a mama au dada yako aliwahi kuugua tatizo la uvimbe kwenye kizazi basi wewe pia utakuwa kwenye hatari zaidi ya kupata uvimbe huu.
2) Umri.
Wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 wapo katika hatari ya kupata tatizo hili.
3) Lishe.
Matumizi ya vyakula vya wanga na sukari kupita kiasi huongeza hatari ya kupata tatizo hili.
4) Uzito Mkubwa Na Kitambi.
Wanawake wenye uzito mkubwa na kitambi wako kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili.
5) Matumizi Ya Njia Za Kupanga Uzazi.
Matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango huongeza ukuaji wa fibroids kwani vidonge hivi huweza kupandisha homoni ya estrogen kwa wingi.
6) Kubalehe Mapema.
Wanawake wanaobalehe mapema na kuanza kupata hedhi chini ya miaka 10 wako kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili.
7) Wanawake Wenye Shinikizo Kubwa La Damu.
Dalili Za Uvimbe Kwenye Kizazi:
Zifuatazo ni dalili zinazojitokeza kwa wanawake wengi zaidi wenye uvimbe kwenye kizazi;
1) Kupata hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia siku 7 na zaidi (Prolonged menstrual bleeding).
2) Kupata hedhi nzito (Heavy menstrual bleeding).
3) Kujiskia umeshiba muda mwingi (Abdominal fullness).
4) Maumivu ya nyonga.
5) Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.
6) Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.
7) Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.
8) Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.
9) Madhara mbalimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba kutoka.
Matibabu Ya Uvimbe Kwenye Kizazi:
Matibabu ya uvimbe kwenye kizazi yanaweza kugawinyika katika sehemu tatu (3) ambazo ni pamoja na;
1) Upasuaji (Myomectomy).
Tiba hii hutumika endapo Uvimbe ni mmoja na sio kubwa sana. Matibabu haya hutoa Uvimbe na kubakiza kizazi.
myomectomy
2) Hysterectomy.
Haya matibabu yanahusisha kutoa sehemu ya Uvimbe yote iliyo katika kizazi maana yake kutoa kizazi chote endapo Uvimbe utakuwa mkubwa sana au vivimbe vikiwa vingi vikiwa katika kizazi.
hysterectomy
3) Dawa Za Kutuliza Maumivu.
Madhara Ya Uvimbe Kwenye Kizazi:
Yafuatayo ni baadhi ya madhara ya uvimbe kwenye kizazi kwa wanawake ambayo ni pamoja na;
1) Ugumba (infertility).
2) Kukosa choo (constipation).
3) Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure).
4) Tumbo kuvimba (abdominal distention).
Tatizo likizidi kuwa kubwa .
1: Kuondolewa TUMBO LA uzazi,ambapo mhusika atakuwa mwanamke jina tu.
2 :Hawezi kuzaa tena milele
3 : Kupoteza kabisa hamu ya TENDO
4 : Kupoteza HAKI ya kuwa mwanamke nk.
HITIMISHO:
Uvimbe unaweza kujirudia tena endapo vichocheo vinavyosababisha Uvimbe havita sawazishwa. Hivyo tumekuandalia program maalumu itakayokusaidia kuondokana kabisa na tatizo la uvimbe kwenye kizazi, program hii inahusisha matumizi ya virutubisho vilivyotokana na mimea na matunda ambavyo utavipata kwetu
KARIBUNI KWA USHAURI ZAIDI.
02/10/2023
Tuna suluhisho la kudumu wasiliana nasi kupitia whatsup 0628 187 534
26/09/2023
*‼️UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU UKENI?? 👇👇*‼️ Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una dalili za kua na fangasi ukeni k**a zifuatazo; 1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara 2.Vipele vidogo vidogo ukeni 3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya 4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni 5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni 6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa. 7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke. 8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke. *Je una dalili hizi?* Usiendelee kusumbuka, suluhisho Lipo, nitakusaidia na Kukupa Usimamizi wa dozi kupona haraka na isirudi tena k**a wengine wote., Bofya hapa kuja inbox WhatsApp 👇 wa.me/628 187 534 "AFYA YAKO NI MTAJI WAKO, ELIMIKA NA CHUKUA HATUA"
11/09/2023
YAWEZEKANA KUPATA UJAUZATO HATA K**A UMRI NI ZAIDI YA MIAKA 40..NINA SULUHISHO NIPIGIE KAWAWAIDA AU WHATSUP 0628 187 534
08/09/2023
Hizi sio booster ni tiba kwa virutubisho
08/09/2023
KIBOKO YA UTI,FINGUS,MBA,MIWASHO,MAPUNYE,BAWASIRI
KWA 15000 TU MIKOANI TUNATUMA 0628 187 534
15/08/2023
*BIDHAA MBADALA ZA NEOLIFE KWA AJILI YA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME MFUMO WA UZAZI MWANAMME NA KUPUNGUA KWA MANII KWA WANAUME*.
*Tre-en-en* (kofia 120)
Wanandoa wanaotaka kuboresha hali yao ya afya kwa kutumia virutubisho asilia vya uzazi wanapaswa kuanza na dozi za juu za kirutubisho cha nafaka cha *Tre-en-en*
Kwa maneno rahisi, kirutubisho hiki cha asili cha nafaka nzima, cha kipekee kwa NEOLIFE, hutoa lishe katika kiwango cha seli na kwa kufanya hivi, hutayarisha mwili wako kwa urahisi kunyonya vipimo zaidi vya virutubisho vingine ambavyo unaweza hatimaye kuongeza kwenye programu yako.
*Vitamini E 200iu* (caps 60). Pande zote mbili zinafaa pia kuchukua Vitamini E 200iu AU wheat germ hufanya kazi hasa k**a antioxidant lakini ni kirutubisho muhimu cha asili cha uzazi.
Upungufu wa Vitamini E unaweza kuathiri uwezo wa mwili wako wa kutoa homoni za ngono zinazokuza utendaji wa mfumo wa uzazi.
Tafadhali si kwamba Vitamini E ya syntetisk inayozalishwa kibiashara yenye thamani ndogo ya lishe au isiyo na thamani iko kila mahali sokoni.
Vitamini E 200iu ya neolife safi, ina lishe kamili, na haina sintetiki zozote. Inatoa potency ya juu, usafi wa juu na urahisi.
*
*Zinki Chelated ya neolife (vidonge 100)*
Ingawa ukosefu wa zinki huenda usifanye ugumba, inaweza kuwa sababu kuu ya kufanya sehemu nyingi za mfumo wako wa uzazi kufanya vizuri zaidi. Kwa wanawake, zinki ni muhimu katika kusaidia mwili wako kutumia homoni zako za uzazi, estrojeni na progesterone. Viwango vya chini vya zinki vimehusishwa moja kwa moja na kuharibika kwa mimba katika hatua za mwanzo za ujauzito. Zinki inaweza hata kupunguza saizi ya uvimbe wa nyuzi kwa wanawake. Bila zinki, chembechembe za mwanamke haziwezi kugawanyika ipasavyo ili viwango vyake vya estrojeni na projesteroni viweze kukosa uwiano, hivyo basi kumaanisha kuwa mfumo wake wa uzazi unaweza kufanya kazi kikamilifu. Kwa wanaume,
zinki ni muhimu sana katika uwezo wa mwanamume kumpa mpenzi wake mimba. Inachukuliwa kuwa moja ya madini muhimu zaidi hadi sasa kwa uzazi wa kiume, wakati wanaume walio na upungufu wa uzazi huongeza zinki katika mlo wao, imeonyeshwa kuongeza viwango vya manii; kuboresha umbo, ufanyaji kazi na ubora wa mbegu za kiume na hivyo kupunguza ugumba wa mwanaume.
Kiwango cha chini cha zinki katika njia ya uzazi ya mwanamume kinaweza kusababisha manii kutokomaa, mabadiliko ya kromosomu na kasoro za kromosomu katika manii.
*Masculine Herbal Complex (vidonge 60)* Kuchukua vidonge viwili vya kirutubisho hiki cha mitishamba (asubuhi moja na moja usiku).
Nyongeza hii ya asili ya uzazi kwa wanaume, inasaidia nguvu za kiume na kazi ya afya ya kibofu. Viungo vyake huboresha uhai wa kimwili na libido. Ina mimea 9 katika manufaa, ambayo hutumika k**a dawa ya mitishamba, mchanganyiko wa uwiano pamoja ili kusaidia kazi ya kawaida ya kiume na kuboresha ustawi na uhai.
*Neolife Omega 3 Salmon oil plus (90 caps)* : Saidia kudumisha viwango vya kolesteroli zenye afya kwa kupunguza Bad (Low Density Lipoprotein) LDL hadi HDL nzuri (High Density Lipoprotein) kwa mzunguko mzuri wa mtiririko wa damu hadi kwenye uume kutoka kwa Kusimama vizuri. Pia msaada wa Omega 3 hudhibiti kiwango cha mbegu za kiume
*Neolife Garlic Allium Complex (vidonde 60):* Hiki ni kirutubisho cha asili cha antimicrobial na husaidia kupunguza cholesterol na triglycerides na pia kuongeza na kuimarisha mfumo wa kinga tena maambukizi kadhaa ambayo yanaweza kusababisha utasa.
FAIDA MUHIMU ZA KUTUMIA BIDHAA ZA neolife KWA WANAUME:
Husawazisha utendaji wako wa Homoni
Hukuza uhai na utendaji kazi wa kawaida wa Kiume
Hupunguza athari za sukari nyingi kwenye damu
Huongeza uzazi kwa kiasi cha 50% ndani ya wiki 3 tu
Kusaidia kukuza stamina ya ngono na furaha ya muda mrefu wakati wa tendo
Hukuza utendakazi wa seli
Msaada wa kutatua suala la Dysfunction Erectile
Kukuza na
kuongeza mwendo wa mbegu za kiume na idadi ya mbegu za kiume*
KWA SULUHISHO LA KUDUMU NIPIGIE.
18/07/2023
Pata suluhisho la kudumu la upungufu wa nguvu za kiume sio boosters tunatibu kabisa moja kwq moja
PId part 1
30/06/2023
PID(Pelvic Inflammatory Disease)- maambukizi katika via vya uzazi,mji wa mimba(uterus),mirija ya uzazi(Fallopian tubes) na mayai(ovaries) yanayosababishwa na vijidudu(bacteria) kusambaa kutoka katika uke ķuingia ndani kwenye via vya uzazi.Vimelea aina ya nisseria gonorrhea na chlamydia trachimatis ndivyo vunavyoongoza kusababisha PID ukishatoa mimba.Sababu nyingine ni
📌Ngono zembe
📌matumizi ya uzazi wa mpango
📌kukaa na infection yaani maambukizi kwa mda mrefu k**a U.T.I na Fangasi sugu
📌kujichua
📌matumizi ya s*x toy
Asilimia kubwa ya wanawake wanaogua PID waliwah kutoa mimba huo ni ukweli halisi
Dalili kubwa ni maumivu chini ya kitovu,maumivu wakati wa tendo la ndoa,kutokwa na uchafu ukeni
Madhara makubwa ya PID
📌Ugumba infertility
📌mimba kutoka
📌Mirija ya uzazi kuziba
📌kizazi kujaa majimaji
📌husababisha uvimbe kwenye mayai(ovarian cyst)
📌Hormonal imbalance
📌saratani ya shingo ya kizazi
Whatsap 0628 187 534 https://wa.me/message/OIB6N2FOSNERG1 au bonyeza hio link
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
