UHAI

UHAI

Share

International Health influencer,Influence more people to achieve good health lifestyle,financial and mind. live your health ALIVE

Healthcare industry experience 12 years,helped more 3,200 peope improve their health,hosted 500 seminars.

20/02/2025

JE UNAONA HALI HII UWAPO KATIKA TENDO LA NDOA AMA UNAPOENDA KUKOJOA 👇

DALILI HIZI ZA AWALI ZA TEZI DUME NI ISHARA AMBAYO WENGI HUPUUZIA KUZISHUGHULIKIA MAPEMA

🌱Kushindwa kuzuia mkojo
🌱kukojoa mara nyingi usiku na mkojo hauishi
🌱kushindwa kurudia tendo la ndoa na kukosa hamu
🌱kutokuwa na hamu ya kujamiiana
🌱kulegea kwa misuli ya uume
🌱Mkojo kutofika mbali k**a zamani
🌱kukosa libido
🌱maumivu ya kibofu
🌱U.T.I na kusokota ama kuunguruma kwa tumbo
🌱uchovu wa mwili
🌱kutojiamini
🌱kuwa na hasira za karibu
na zingine nyingi , uonapo dalili hizi ni ishara kuwa imeshaanza kuwapo muda mrefu,pata tiba sahihi ama mwone daktari wako

```*SARATANI YA TEZI DUME*

UNAWEZA UKASOMA AMA KUPUUZIA📘🖊️👇

Tezi dume ni nini?👇👇

Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo(manii). Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Ipo wapi?
Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

*Saratani ya tezi dume maana yake ni* tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai (hizi ni seli) za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini katika mfumo mzima wa uzazi

Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.

Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani. Mkojo haufiki mbali k**a utotoni zamani ambapo uliweza mkojolea aliye mbali ukamfikia

Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika. Hii ni hatua ambayo tayari tatizo limeenea

UCHUNGUZI
Wanaume wote wanapaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 50. Kwa wale wenye historia katika familia wanapaswa kuanza wakiwa na umri wa miaka 30.
Uchunguzi unafanyika kwa njia zifuatazo

Uchunguzi kwa cancer marker kwa kuchunguza damu (PSA).

Uchunguzi kwa njia ya kipimo cha njia ya haja kubwa (DRE)

Biopsy.

Ultrasound.

X-ray.

Bone scan.


Athari zitokanazo na matibabu mbalimbali yaliyotajwa.

Upasuaji👇👇

Unaweza kusababisha kutoweza:

Kuzuia mkojo

Kupoteza nguvu za kiume.

Homoni👇

Homoni huongeza joto mwilini

Kupungukiwa na nguvu za kiume

Kushindwa kabisa kusimamisha uume ama kurudia tendo na kukosa libido na uwezo wa kutungisha mimba.

TIBA YA KISASA AMBAYO INATOKANA NA MIMEA NA MADINI .

K**a nilivyoeleza juu ikiwa saratani ya tezi dume ni seli ambazo zimeasi wakati zinajigawa na kuanza kutengeneza vijivimbe basi ni dhahiri kuwa MGONJWA huyu ama anayehitaji kujikinga anapopata dawalishe inayoenda kuimarisha SELI sehemu ile itaanza kuumba seli mpya maana inaenda ku deal na chanzo cha tatizo husika, MARA NYINGI NIMESISITIZA KWA NINI TUTUMIE STEM CELL HALISI PAMOJA NA BESTRON LENGO ZIKAIMARISHE UPYA SELI ZINAZOTAKIWA KUZALISHWA MAHALI PALE ,NA KUZALISHWA KWA SELI MPYA NI KITENDO KINACHOHITAJI MUDA MREFU .NAPENDA KUMSHAURI MTU WALAU ATUMIE PACKAGE INAYOENDA HADI MIEZI 3 AU 4 MTU HUYU ATAKUWA KATIKA HALI NZURI.

Bestron 🌱 ITAENDA KUSHIRIKIANA KATIKA KUONGEZA MADINI NA VICHOCHEO KATIKA MFUMO WA UZAZI.

WITO: UNAWEZA KUANZA MAZOEA MAZURI YA UTARATIBU MZURI WA KUTUMIA HIZI PRODUCTS HATA K**A UNAJIONA UPO SALAMA .KWA NIA YA KUJIKINGA K**A SI KUJITIBIA

HONGERA SANA KWA KUJALI AFYA YAKO NA KWA KUFANYA ODA YAKO MAPEMA ,TUNAKUJALI🌱``` 2024 AFYA KWANZA

20/02/2025

JE UNAONA HALI HII UWAPO KATIKA TENDO LA NDOA AMA UNAPOENDA KUKOJOA 👇

DALILI HIZI ZA AWALI ZA TEZI DUME NI ISHARA AMBAYO WENGI HUPUUZIA KUZISHUGHULIKIA MAPEMA

🌱Kushindwa kuzuia mkojo
🌱kukojoa mara nyingi usiku na mkojo hauishi
🌱kushindwa kurudia tendo la ndoa na kukosa hamu
🌱kutokuwa na hamu ya kujamiiana
🌱kulegea kwa misuli ya uume
🌱Mkojo kutofika mbali k**a zamani
🌱kukosa libido
🌱maumivu ya kibofu
🌱U.T.I na kusokota ama kuunguruma kwa tumbo
🌱uchovu wa mwili
🌱kutojiamini
🌱kuwa na hasira za karibu
na zingine nyingi , uonapo dalili hizi ni ishara kuwa imeshaanza kuwapo muda mrefu,pata tiba sahihi ama mwone daktari wako

```*SARATANI YA TEZI DUME*

UNAWEZA UKASOMA AMA KUPUUZIA📘🖊️👇

Tezi dume ni nini?👇👇

Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo(manii). Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Ipo wapi?
Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

*Saratani ya tezi dume maana yake ni* tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai (hizi ni seli) za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini katika mfumo mzima wa uzazi

Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.

Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani. Mkojo haufiki mbali k**a utotoni zamani ambapo uliweza mkojolea aliye mbali ukamfikia

Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika. Hii ni hatua ambayo tayari tatizo limeenea

UCHUNGUZI
Wanaume wote wanapaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 50. Kwa wale wenye historia katika familia wanapaswa kuanza wakiwa na umri wa miaka 45.
Uchunguzi unafanyika kwa njia zifuatazo

Uchunguzi kwa cancer marker kwa kuchunguza damu (PSA).

Uchunguzi kwa njia ya kipimo cha njia ya haja kubwa (DRE)

Biopsy.

Ultrasound.

X-ray.

Bone scan.

Jinsi ya kutibu saratani ya tezi dume

Upasuaji.

Mionzi

Dawa ya saratani

Homoni.

Matibabu hutegemea

Ngazi na ukali wa ugonjwa.

Je, ugonjwa upo ndani ya tezi dume tu au umesambaa.

Umri na afya ya mgonjwa.

Magonjwa ambatanishi na saratani hiyo, shinikizo la damu, matatizo ya moyo na kisukari.

TIBA
UPASUAJI

Kuondoa tezi dume yote peke yake inaweza ikatosha.

Kuondoa tezi dume na tezi jirani.

Kuondoa tezi dume na kuhasi

Kuondoa tezi dume kidogo kupitia njia ya mkojo na kumpa mgonjwa tiba shufa.

MIONZI.

Sawa na upasuaji inaweza kuondoa ugonjwa iwapo haujasambaa sehemu kubwa ingawa pia si salama.

Mionzi pia hutolewa k**a tiba shufaa.

DAWA YA SARATANI
Baadhi ya wagonjwa hufaidika na tiba hii, dawa hutolewa kwa muda mfupi na kufuatilia maendeleo ya mgomjwa kwa kufanya PSA,dawa inaweza kuwa moja au mchanganyiko.

HOMONI
Hutolewa mfululizo kwa njia ya vidonge au sindano.
Ufuatiliaji wa karibu
Ni muhimu kufuatilia hali ya tezi isirejee baada ya ugonjwa kutibiwa kwa kufanya kipimo cha PSA mara kwa mara angalau miezi mitatu mara moja.

Athari zitokanazo na matibabu mbalimbali yaliyotajwa.

Upasuaji👇👇

Unaweza kusababisha kutoweza:

Kuzuia mkojo

Kupoteza nguvu za kiume.

Homoni👇

Homoni huongeza joto mwilini

Kupungukiwa na nguvu za kiume

Kushindwa kabisa kusimamisha uume ama kurudia tendo na kukosa libido na uwezo wa kutungisha mimba.

TIBA YA KISASA AMBAYO INATOKANA NA MIMEA NA MADINI .

K**a nilivyoeleza juu ikiwa saratani ya tezi dume ni seli ambazo zimeasi wakati zinajigawa na kuanza kutengeneza vijivimbe basi ni dhahiri kuwa MGONJWA huyu ama anayehitaji kujikinga anapopata dawalishe inayoenda kuimarisha SELI sehemu ile itaanza kuumba seli mpya maana inaenda ku deal na chanzo cha tatizo husika, MARA NYINGI NIMESISITIZA KWA NINI TUTUMIE STEM CELL HALISI PAMOJA NA BESTRON LENGO ZIKAIMARISHE UPYA SELI ZINAZOTAKIWA KUZALISHWA MAHALI PALE ,NA KUZALISHWA KWA SELI MPYA NI KITENDO KINACHOHITAJI MUDA MREFU .NAPENDA KUMSHAURI MTU WALAU ATUMIE PACKAGE INAYOENDA HADI MIEZI 3 AU 4 MTU HUYU ATAKUWA KATIKA HALI NZURI.

Bestron 🌱 ITAENDA KUSHIRIKIANA KATIKA KUONGEZA MADINI NA VICHOCHEO KATIKA MFUMO WA UZAZI.

WITO: UNAWEZA KUANZA MAZOEA MAZURI YA UTARATIBU MZURI WA KUTUMIA HIZI PRODUCTS HATA K**A UNAJIONA UPO SALAMA .KWA NIA YA KUJIKINGA K**A SI KUJITIBIA

Weekend hii ukifanya malipo yako mapema utaepuka na kuokoa gharama kiasi kwani tutaanza stock mpya ya dawalishe hii kuanzia wiki kesho.

ANZA NA PACKAGE KATI YA DOZI HIZI

STARTER CLEANS👉 TSHS 277,000

COMBO PACKAGE DOZI YA MWEZI 👉TSHS 477,000

hongera kwa kunielewa
BY HEALTH PERSONNEL
Nutritionist partner ITOGELOjr.

ODA INAWEZA KUFANYWA KWA NJIA YA BANK AMA SIMU

```CONGRATULATIONS
TAARIFA ZA MPOKEAJI MZIGO
JINA......
MAHALI.....
SIMU........

*Unaweza kufanya malipo ya oda yako kwa NJIA YA BANK AMA SIMU na KWA LIPA NAMBA*

HONGERA SANA KWA KUJALI AFYA YAKO NA KWA KUFANYA ODA YAKO MAPEMA ,TUNAKUJALI🌱``` 2024 AFYA KWANZA

01/07/2024

KARIBU KATIKA KUBORESHA AFYA YAKO
NUFAIKA NA MAKALA NA HUDUMA ZETU KWA KUMPA MWINGINE PIA TAARIFA

01/07/2024

UMEWAHI KUJIULIZA NI KWA NINI UNAUGUA KWA MUDA MREFU AMA MARA KWA MARA!

HII HAPA NJIA YA KUONDOA MATATIZO YOTE ULIYONAYO ,NA HII SI NYINGINE TUNAYO PERFECT ITAKUSAIDIA. MAELEZO 0762 818 685

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


DAR ES SALAAM
Dar Es Salaam