Rashid Hadi

Rashid Hadi

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Rashid Hadi, Health/Beauty, Dar es Salaam.

Photos from Rashid Hadi 's post 31/08/2025

✨ Wanawake wengi wamekuwa wakiteseka kimya kimya na matatizo ya afya ya uzazi k**a PID, uvimbe wa kizazi, fungus, hedhi zisizo sawa, harufu ukeni na hata changamoto za kupata mtoto.

Lakini habari njema ni kwamba matibabu sahihi + virutubisho vya asili vimekuwa suluhisho kwa wengi. πŸ’―

πŸ“Œ Tumeshuhudia dada zetu wakipata nafuu na kupona kabisa baada ya kutumia bidhaa zetu salama – zikisaidia kurejesha afya ya kizazi, usawa wa homoni, kuimarisha kinga na matatizo yote.

πŸ‘‰ Usiteseke tena kimya!
Suluhisho lipo, na ushuhuda ni wa kweli. Ni wakati wako wa kupona pia. πŸ’•

πŸ“ž Tuma neno β€œAfya” sasa hivi kwenye WhatsApp ili upate ushauri na msaada.

14/06/2025

Inashauriwa virutubisho hivi vitumike kwa kila MJAMZITO na hata aliepitiliza muda wake wa kujifungua

1. Vitakusaidia kukuongezea madini lishe (Zinc, calcium, Omega3, Vitamins).
2. Kuongeza hormone muhimu ya uzazi (prolactin) ambayo ni muhimu Kwa uzalishaji wa maziwa asilia ya mama.
3. Kujenga vizuri kuta za kizazi ili kuzuia mimba isiharibike na ujifungue salama bila changamoto yoyote.

Tunapatikana mikoani kote Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Karibu kwa ushauri wa bure.

14/06/2025

Mgonjwa wa bawasili (haemorrhoid) anashauriwa kula vyakula vinavyosaidia kuzuia kufunga choo (constipation) na kuimarisha mfumo wa nmeng'enyo wa chakula.

Karibu nikushauri virutubisho asilia vinavyotibu BAWASILI bila ya upasuaji Kwa siku 15 mpaka 45.

Haijalishi ni sugu kiasi gani
Vinapatikana Tanzania nzima πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
Wasiliana nami tafadhali

11/06/2025

Inashauriwa kutumia dawa sahihi za kusafisha kizazi na njia ya mkojo angalau mara 1 kila baada ya miezi 3.
Karibu nikupatie ushauri wa bure.

06/04/2025

Je, unapata maumivu au ukavu wakati wa tendo la ndoa?
Unakosa ute wa kutosha na kushindwa kufurahia tendo kikamilifu?

Usijali tena... Suluhisho lipo, na linapatikana kwa siku 3 tu!

Rudisha furaha ya ndoa yako kwa njia salama, ya haraka na isiyo na madhara.
Karibu kwa ushauri wa bure kabla hujachelewa.

Ustawi wako wa kiafya ni kipawa chako – Chukua hatua leo.

12/03/2025

UMEKOSA USINGIZI KWA SABABU YA UTI INAYOJIRUDIA? HII NDIYO SABABU KUBWA!

Je, umekuwa ukijiuliza kwa nini UTI inaendelea kujirudia licha ya kutumia dawa? Tatizo linaweza kuwa zaidi ya unavyodhani!

Kwa nini UTI yako haishi?

❌ Kutokumaliza dozi ya matibabu – Unapopewa dawa za kutibu UTI, ni muhimu kuzitumia hadi dozi iishe hata k**a unahisi umepona. Kuacha dozi njiani kunaacha bakteria hai mwilini, na matokeo yake ni maambukizi kujirudia!

❌ Kushiriki ngono mara kwa mara na watu tofauti – Hili huongeza uwezekano wa kupata maambukizi mapya.

❌ Usafi usio sahihi kwa wanawake – Kujifuta kutoka nyuma kuja mbele baada ya kujisaidia hupeleka bakteria kutoka sehemu ya haja kubwa hadi kwenye njia ya mkojo, jambo linalosababisha maambukizi kurudiarudia.

❌ Mabadiliko ya homoni kwa wanawake waliopo kwenye menopause – Kupungua kwa homoni ya estrogeni hufanya njia ya mkojo kuwa nyepesi kushambuliwa na bakteria.

❌ Magonjwa sugu k**a kisukari au kinga ya mwili iliyo dhaifu – Hali hizi huufanya mwili kushindwa kupambana na bakteria wanaosababisha UTI.

SULUHISHO NI NINI?

Ili UTI isikuteseke tena na tena, unahitaji njia sahihi za matibabu na mwongozo wa kiafya! Kuendelea kutumia dawa bila kuelewa chanzo cha tatizo lako ni kupoteza muda!

πŸ“© Nitafute inbox sasa kwa ushauri wa kitaalamu na suluhisho la kudumu! Usikae kimya, afya yako ni kipaumbele! πŸš€

10/03/2025

Je, Wajua? 🧐

Kukaa muda mrefu bila kufanya mazoezi kunaweza kusababisha shinikizo la damu, ugonjwa wa moyo, na unene kupita kiasi. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, mazoezi husaidia kudhibiti uzito, kuboresha mzunguko wa damu, na kuimarisha kinga ya mwili.

Unachotakiwa kufanya?
βœ… Fanya angalau dakika 30 za mazoezi kila siku.
βœ… Chagua mazoezi rahisi k**a kutembea, kukimbia, au kuruka kamba.
βœ… Anza leo kwa afya bora na maisha marefu!

πŸ’ͺ Usisubiri mpaka matatizo yaanze – Chukua hatua sasa!

πŸ“Œ Karibu kwa Ushauri na Suluhisho la tatizo lako!
πŸ“ž +255 625 851 812
πŸ“²

03/03/2025

HEDHI YA SIKU MOJA

Kawaida hedhi hutofautiana kwa wanawake.

Kwanza hedhi inaweza kujirudia kati ya siku 21 hadi 35.

Na hedhi ikianza inaweza kuchukua kati ya siku 2 hadi 7.

Hii ni kawaida..

Inapotokea mwanamke anaingia hedhi ya siku moja huenda ikawa ni:-

A.MJAMZITO

Ambapo wakati mimba inatungwa katika kizazi hua kuna baadhi ya wanawake hutokwa na damu japo inakuaga kidogo sana. Kwa siku hiyo moja.

B.MIMBA NJE YA KIZAZI

Yes k**a mimba ikitungwa nje ya kizazi haiwezi kukua na kua kubwa..

Kwa hiyo hua inapasuka na hupelekea kutokwa damu ambapo kwa haraka haraka unaweza kudhani ni damu ya hedhi kumbe ni mimba imepasuka.

Mara nyingi hii huambatana na maumivu makali ya kiuno na tumbo.

C.MIMBA INATOKA

Unaweza kudhani uko period kumbe ulikua mjamzito na mimba imetoka yenyewe bila wewe kujua.

D.NJIA ZA UZAZI WA MPANGO

Vitanzi, Sindano, Vidonge nk..

Husababisha mvurugiko wa homoni ambapo husababisha damu ya hedhi kutoka kidigo sana au nyingi sana.

E.STRESS

Mwanamke anapokua na msongo wa mawazo anaweza kukosa kabisa hedhi au hedhi ikaja kidogo sana.

F.UMRI

Kadri umri unavyokwenda kiasi cha hedhi kinapungua

G.PID

Yes PID hua ni moja ya sababu ya mwanamke kutokwa na damu kidogo sana au nyingi sana

H.VIMBE MAJI KATIKA MAYAI

Mwanamke anapokua na vimbe maji hasa PCOS hupelekea homoni kuvurugika ambapo husababisha hedhi kua kukosekana kabisa au kua kidogo sana.

Inashauriwa k**a hedhi yako ni kidogo sana au inakuja siku moja tu na kukata wahi hospitali.

03/03/2025

*_HAWA NI VIGUMU KUTUNGISHА MIMBA_*

Mwanaume kuna dalili akiwa nazo huenda ikaashiria kua ni vigumu kwake kutungisha mimba..

Baadhi ya dalili hizo ni:-

*_01:Kushindwa kabisa kusimamisha uume._*

Mwanaume ambaye hawezi kabisa kusimamisha uume maana yake ni vigumu kushiriki tendo,hivyo ni vigumu kwake kutungisha mimba.

*_Ikiwa mwanaume hamwagi shahawa kabisa au ana mwaga shahawa kidogo_*.

Ikiwa mwanaume anapofika kileleni anamwaga shahawa kidogo sana k**a matone au hamwagi shahawa kabisa huenda ikawa vigumu kutungisha mimba.

*_Ikiwa mwanaume amevimba korodani_*

Kuvimba korodani huenda ikawa ni dalili ya ugonjwa kitaalamu unajulikana k**a Vericocelle.

Hii ni hali ya mishipa ya damu inayozunguka korodani kuvimba.

Hii mishipa inapovimba huathiri uzalishwaji wa mbegu za kiume.

Na ndo unakuta mwanaume anazalisha mbegu za kiume chache au mbegu zenye hitilafu.

Viashiria vingine vya mwanaume asiyeweza kutungisha mimba ni :-

- *_Kukosa hamu ya kufanya mapenzi_*

- *_Korodani kua ndogo kuliko kawaida. Nk_*

Inashauriwa mwanaume kufanya chek-up ya mfumo wa uzazi walau mara moja kwa mwaka.

28/02/2025

Bawasiri (hemorrhoids) ni uvimbe wa mishipa ya damu katika eneo la rektamu na haja kubwa, ambao unaweza kusababisha maumivu, kuwashwa, na kutokwa na damu. Kuna dawa za asili na vyakula vinavyoweza kusaidia kutibu au kupunguza dalili zake.

Dawa za Asili za Kutibu Bawasiri

1. Aloe Vera – Inasaidia kupunguza uvimbe na muwasho. Pakaa gel ya aloe vera kwenye eneo lililoathirika mara kadhaa kwa siku.

2. Mafuta ya N**i – Yanapunguza maumivu na uvimbe. Pakaa kidogo eneo lenye bawasiri mara 2–3 kwa siku.

3. Mafuta ya Mizeituni – Yanasaidia kulainisha ngozi na kupunguza uvimbe.

4. Asali na Maziwa – Changanya asali na maziwa kidogo, kisha paka kwenye eneo lililoathirika.

5. Kitunguu Sumu – Unaweza kuponda kitunguu kimoja na kuchanganya na maji kidogo kisha upake eneo lililoathirika.

Vyakula Vinavyosaidia Kutibu Bawasiri

1. Vyakula vyenye nyuzinyuzi (fiber) – Husaidia kulainisha choo na kupunguza presha kwenye rektamu:

Mboga za majani k**a mchicha, kisamvu, na kabeji.

Matunda k**a mapapai, ndizi.

Photos from Rashid Hadi 's post 29/12/2024
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam