AbM Media
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AbM Media, Health/Beauty, Magole, Dar es Salaam.
06/07/2024
π¨ π’πππππππ & ππ’π‘πππ₯π ππ
Simba imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria kutoka Rivers United kwa mkataba wa miaka mitatu.
Okajepha ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 20 aliyetunukiwa kipaji kikubwa katika idara ya kiungo wa ulinzi.
AbM Media
06/07/2024
Uwanja wa KMC uliopo Mwenge manispaa ya Kinondoni upo tayari kwa ajili ya michuano ya kombe la KAGAME 2024,
Uwanja huu utatumika kwa mchezo wa ufunguzi ambapo utazikutanisha Al Wahda πΈπ© dhidi ya JKU πΉπΏ (Z'bar).
AbM Media
06/07/2024
π§πππ‘π π¬π’π¨
π¨ ; Uongozi wa Yanga tayari umeachana na wachezaji hawa, 1' JOSEPH GUEDE
2' SKUDU MAKUDUBELA
3' OKRAH
4' JOYCE LOMALISA
5' ZAWADI MAUYA
6' METACHA MNATA
AbM Media
05/07/2024
Wachezaji wa Azam FC tmwameanza kuwasili kambini hapo jana tarehe 05 July, Teari kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25.
FOLLOW UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI ZA MICHEZO.
AbM Media
05/07/2024
Kutoka kwa mchambuzi mkongwe wa michezo
Shaffii Dauda
AbM Media
05/07/2024
Baada ya kiungo mshambuliaji Luis Miquissone (29) kuachana na Simba SC, nyota huyo amerejea katika kikosi chake cha zamani cha UD Songo.
Nyota huyo wa Msumbiji amerejea katika kikosi hicho cha nchini kwao kwa kusaini mkataba wa miaka miwili na vigogo hao wa Msumbiji.
FOLLOW UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI ZA MICEZO.
AbM Media
05/07/2024
Klabu ya fc Saint lupopo imelitaka shirikisho la spiral wa miguu ncini Congo Kutotoa (ITC) ya mchezaji chadrak boka kwenda katika klabu ya yanga sc ya tanzania kwa madai ya kuwa bado ina mkataba nae.
Mchezaji huyo anaedaiwa kuwa amesaini kandarasi ya miaka miwili katika klabu hiyo ya yanga sc
Ingawa tafiti zinaonyesha kuwa mchezaji huyo hana mkataba na klabu hiyo bali alikuwepo kwa mkopo na teari amemaliza mkataba wake wa mkopo.
Chini ni vielelezo vya jambo hili.
FOLLOW UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI ZA MICHEZO.
AbM Media
04/07/2024
Klabu ya simba sport club imetangaza kumsajili nyota wa kitanzania Abdulrazak Hamza (21).
Nyota huyo alikuwa akikipiga katika klabu ya supersport united ya Afrika kusini πΏπ¦
AbM Media
04/07/2024
Klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco imefikia makubaliano ya kumteua mkufunzi, Hussein Amouta (wa kwanza kushoto) kuwa kocha mkuu klabuni hapo kuchukua mikoba ya Nasreddine Nabi anayetimkia Kaiser Chiefs ya Afrika Kusini.
Amouta (54) raia wa Morocco alijiuzulu k**a kocha mkuu wa timu ya taifa ya Jordan mwezi uliopita.
AbM Media
04/07/2024
ALIEKUWA MTANGAZAJI WA WASAFI FM ANAETAMBULIKA K**A PAUL MKAI, HII LEO AMETANGAZWA KUHAMIA CROWN π FM INAYOMILIKIWA NA MSANII ALI KIBA
PAUL MKAI ANAKUWA MTANGAZAJI WA PILI KUTOKA WASAFI FM KWENDA CROWN FM BAAADA YA HANS RAFAEL.
ENDELEA KUFATILIA UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI.
AbM Media
04/07/2024
HATIMAE NI LEO KLABU YA SIMBA IMETANGAZA KUWA NA JAMBO LAKE KUBWA AMBALO HALIJAWAHI KUTOKEA TANZANIA.
ENDELEA KUFATILIA KWA UKARIBU ZAIDI UKURASA HUU ILI KUFAHAMU NI JAMBO GANI HILO.
MEDIA
4LOVE
04/07/2024
Manchester United itasikiliza ofa kwa Marcus Rashford baada ya kuvunjika kwa uhusiano wake na Erik ten Hag, kwa mujibu wa The Sun.
Ripoti hiyo inaonyesha mustakabali wa Rashford Old Trafford ulihusishwa na ule wa Ten Hag, na sasa Mholanzi huyo amesalia, United wako tayari kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26.
Inadhaniwa klabu hiyo inataka pauni milioni 80 kwa Rashford lakini huenda ikalazimika kukubali pauni milioni 60 baada ya fowadi huyo kuhangaika msimu uliopita.
FOLLOW UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI
AbM Media
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Magole
Dar Es Salaam
