Ngiri solution
Tunawasaidia wagojwa wa Ngiri kupona changamoto zao kupitia mimea tiba asilia na ushauri 0620103064
12/07/2024
Sehemu ambazo Ngiri inaweza kutokea ni pamoja na maeneo ya:
↪Tumboni
↪Eneo la kinena
↪Eneo la paja kwa juu
↪Eneo ambalo mtu amewahi kufanyiwa upasuaji siku za nyuma
↪Kifuani
DALILI ZA MTU MWEMYE NGIRI
Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵
1Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2.Kupiga mingurumo tumboni.
3.Kujaa gesi tumboni.
4.Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5.Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6.Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7.Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8.Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9.Nuru ya macho hupotea taratibu.
10.Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11.Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12.Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13.Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14.Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto
15 .Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi
16. Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)
17. Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.
18. Ukila vitu vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas
19. Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja
UHUSIANO ILIOPO KATI YA NGIRI/HERNIA)NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
KWAUSHAURI ZAIDI PIGA NAMBA 0620103064 Dr.mauga
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
ILALA-BOMA
Dar Es Salaam
1999
Opening Hours
| Monday | 07:00 - 19:30 |
| Tuesday | 07:00 - 19:30 |
| Wednesday | 07:00 - 19:30 |
| Thursday | 07:00 - 19:30 |
| Friday | 07:00 - 19:30 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |
