FOHOW
Nasaidia Watu Wenye Shida ya kupata Choo,Choo Ngumu,Gesi,Uzito Mkubwa, Kitambi na Nyama Zembe. ZUIA TATIZO LA KUKOSA CHOO,
ZUIA CANCER YA UTUMBO.
23/10/2025
Mda huu usipoteze,
Hasa wewe mwanaume Wa kuanzia miaka
39
Hi,
Ni follow ni kufollow chap
22/09/2023
Thanks God for this level ๐๐๐
Mwanaume Imara
Mwanaume shupavu
Huja chelewa ni Wakati wako Sasa...
Kuboresha Afya ya Kizazi chako
09/05/2023
*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS) NA SULUHISHO LAKE*
*FIBROID NI NINI?*
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi (ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama
ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.
*Kuna aina kuu zifuatazo za fibroids:*
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)
*Watu wafuatao wako hatarini kupatwa na ugonjwa huu fibroids*
1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.unene
5.kuingia hedhi mapema
Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu huwaga unaongezeka
kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto. Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids.
*Dalili za fibroids*
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa
hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpangilio
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi
*Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo*
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha
mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu
Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza
mishipa ya kupitisha mayai kutoka
kwenye mfiko wa mayai yaani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai
lililorutubishwa kujishikiza kwenye
kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.
*MATIBABU*
1.Wanawake wengi wanafibroids ndogo ndogo lakini kwa sababu hazina dalili hahawezi kwenda hospitali na hawa ndo siku wakibeba ujauzito uvimbe unaongezeka kwa sababu ya vichocheo kuongezeka hivyo hawa watu Wanabainika wanapofanyiwa ultrasoudi ndipo wanakutwa navyo.lakini kitaamu
hospitali hawatibu uvimbe wa namna hii
2.Uvimbe ambao ni mkubwa(k**a inavyoonekana kwenye picha hapo) wenyewe
hutibiwa kwa namna zifuatazo (hospital)
A.Dawa ambazo ni gharama sana mfano donazol wengi masikini hawawezi kumdu kununua
B.Vidonge vya maumivu
C.Vidonge vya kuzuia damu k**a
tranexamic acid na dawa za uzazi wa mpango(COCs)
2.Njia ya pili ni operation nazo zipo
operation aina nyingi inategemea na uvimbe ukubwa na wingi wake.
1.Myomectomy hii ni operation ya
kuondoa uvimbe mmoja mmoja bila
kuondoa kizazi kwa wale wenye uvimbe mmoja uko sehemu nzuri
2.Total abdominal hysterectomy. Hii
operation unaondoa kizazi chote k**a uvimbe umekaa vibaya na viko vingi.
Hebu jiulize kwa nini mpaka upate
dalili ndo uanze kushughulikia au kutafuta Matibabu ? Kwa nini ubebe ujauzito huku una uvimbe kisa bado mdogo? Au kwa nini ukae na uvimbe kisa bado mdogo?
tambua uvimbe huu sio kansa hvyo
ondoa hofu. Mbali na donazole ambayo ni ya gharama na haishauliwi itumiwe kwa mda mrefu ina sababisha mwanamke anakua na sifa za kiume.
*UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA.*
Sasa suluhisho lako lipo tuna dawa
ambao imetengenezwa kitalamu katika mfumo wa vidonge na vimetengenezwa kwa mimea baada ya utafiti na majaribio ya kutosha na viwanda vya madawa vikubwa hapa duniani. Utapata suluhisho lako bila madhara kwani ni 100% naturally mimea ambayo
imefanyiwa research.
Hii dawa inaondoa uvimbe bila UPASUAJI na bila madhara k**a donazol. K**a una ndugu au rafiki mwambie suluhisho lipo
na mshilikishe kuokoa afya yake.
FOHOW
Kwa MAWASILIANO zaid nipigie
0655 576256
0757 576256
12/09/2022
๐๐, ๐ง๐จ๐ ๐๐ข ๐๐จ๐๐๐ ๐๐๐ฆ๐ ๐๐๐ช๐๐ญ๐ ๐๐จ๐ช๐ ๐๐๐๐ก๐ญ๐ข ๐๐๐ ๐ ๐๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐ ๐๐ก๐๐๐ก๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ก๐,.
Ieleweke kuwa hali ya chakula kutokumengโenywa tumboni mwako sio ugonjwa, bali ni baadhi ya dalili zinazokupata, kwa mfano; tumbo kuuma na kujaa gesi mara baada tu unapoanza kula chakula. Ingawa tatizo hili linaonekana kuwa la kawaida sana, lakini tatizo hili linaweza kutokana na vyanzo mbalimbali.
๐๐ฎ๐น๐ถ๐น๐ถ ๐๐ฎ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐ธ๐๐๐ผ๐ธ๐๐บ๐ฒ๐ป๐ดโ๐ฒ๐ป๐๐๐ฎ ๐๐ป๐ฎ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ถ๐ต๐ถ๐๐ถ ๐บ๐ฎ๐ฟ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฟ๐ฎ ๐ธ๐ถ๐น๐ฎ ๐๐ถ๐ธ๐
Hali ya kutokumengโenywa kwa chakula tumboni inaweza kuwa dalili ya ugonjwa mwingine wa usagaji chakula tumboni mwako.
๐๐ฒ, ๐ก๐ถ๐ป๐ถ ๐๐ฎ๐น๐ถ๐น๐ถ ๐ญ๐ฎ ๐ง๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐๐ถ๐น๐ถ?๐ช๐ฎ๐๐ ๐๐ฒ๐ป๐ด๐ถ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐ต๐ถ๐น๐ถ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐ฑ๐ฎ๐น๐ถ๐น๐ถ ๐บ๐ผ๐ท๐ฎ ๐ฎ๐ ๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ, ๐ป๐ฎ๐๐ผ ๐ต๐๐๐ฎ ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ถ๐ณ๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐๐ผ:.
1=Tumbo kujaa gesi wakati anapokula chakula
2=Tumbo kujaa gesi muda mrefu
3=Kuhisi maumivu ya tumbo la juu
4=Kuhisi kiungulia juu ya tumbo
5=Tumbo kuunguruma sana mara kwa mara na kuhisi maumivu chini ya kitovu
6=Kuhisi kichefuchefu na kutaka kutapika
Wakati mwingine watu wanaosumbuliwa na tatizo hili pia hupatwa na kiungulia, lakini kumbuka kuwa kiungulia au chakula kutokumengโenywa tumboni huwa ni hali mbili tofauti. Kiungulia huwa ni moto au maumivu unayoyahisi katikati ya kifua chako ambayo yanaweza kupenya mpaka kwenye shingo yako au mgongoni mwako wakati ama baada ya kumaliza kula.
๐๐ฒ, ๐ก๐ถ๐ป๐ถ ๐๐๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐๐ต๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐๐๐๐ผ๐ธ๐๐บ๐ฒ๐ป๐ดโ๐ฒ๐ป๐๐๐ฎ ๐ง๐๐บ๐ฏ๐ผ๐ป๐ถ?.
Chakula kutokusagwa au kumengโenywa tumboni husababishwa na vyanzo vingi. Mara nyingi inaeleza hali hii hutokana na mtindo wa maisha ya muhusika mwenyewe, hasa katika matumizi ya vyakula, vinywaji au madawa ya vidonge anayoyatumia.
๐ฉ๐ถ๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ถ๐๐ต๐ถ ๐๐๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐ต๐ถ๐น๐ถ ๐ต๐๐๐ฎ ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ถ๐ณ๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐๐ผ.
=Vyakula vyenye mafuta mengi sana, k**a vile chips, roast, nk.
=Vyakula vilivyokobolewa k**a vile, ugali wa sembe, maandazi, chapati, nk
=Utumiaji wa nyama mara kwa mara
=Vinywaji vyenye caffeine nyingi,k**a vile pombe, kahawa, nk
=Uuaji wa chokleti,
=Uvutaji sigara
=Kuwa na wasiwasi
๐ ๐ฎ๐๐ผ๐ฒ๐ฎ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐ฎ๐ ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ฏ๐ถ๐น๐ฎ ๐ธ๐๐ท๐ฎ๐น๐ถ ๐ธ๐๐๐ฎ๐ณ๐๐ป๐ฎ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐๐ถ๐๐๐ฟ๐ถ๐ก๐ฎ ๐ธ๐๐๐ผ ๐ธ๐๐๐ฎ๐ณ๐๐ป๐ฎ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐๐ถ๐๐๐ฟ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐๐น๐ฎ๐ถ๐ป๐ถ๐ธ๐ฎ ๐ต๐๐๐ฎ ๐ป๐ฑ๐ถ๐ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ป๐๐ผ ๐ธ๐ถ๐ป๐ฎ๐ฎ๐ป๐๐ถ๐ฎ ๐ต๐ฎ๐ฎ๐ฝ๐ผ ๐บ๐ฑ๐ผ๐บ๐ผ๐ป๐ถ
Matumizi ya madawa ya vidonge vya antibiotic au vyenye kupunguza maumivu mwili mwako k**a vile panadol, nk. Yafaa sana kupata ushauri kwanza wa daktari kabla hujatumia madawa hayo.
Kwan tambua madawa huwa ni kuzuia maambukizi yasiendelee
Wakati mwingine hali ya chakula kutokumegโenywa tumboni husababishwa na magonjwa au matatizo yanayokuwa tumboni mwako.k**a
=Vidonda vya tumbo
=Uvimbe tumboni(Gastritis)
=Mawe ya figo
=Kuvimba kwa kongosho
=Saratani ya tumbo
=Utumbo kuziba
=Kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye utumbo mwembamba(intestinal ischemia)
๐๐ฒ, ๐ก๐ถ๐ป๐ถ ๐ ๐ฎ๐ฑ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ฎ ๐ฌ๐ฎ ๐๐ต๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐๐๐๐ผ๐ธ๐๐๐ฎ๐ด๐๐ฎ ๐ง๐๐บ๐ฏ๐ผ๐ป๐ถ?.
Kwa kawaida tatizo hili linapodumu kwa muda mrefu bila kufanyiwa ufumbuzi, basi linaweza kusababisha madhara yafuatayo katika mwili wako:
1=Mzunguko wa damu kuharibika na kuwa mdogo
2.=Mgongo au kiuno kuuma
3=Miguu, au mikono kufa ganzi
4.=Mwili kuchoka mara kwa mara
5.=Kukosa hamu ya kula
6.=Macho kushindwa kuona vizuri
7.=Mapigo ya moyo kwenda mbio,Kichwa kuuma
8=.Kutojisikia raha na kukosa amani
9=Viungo kuchoka na kijisikia uchof / uchakavu wa viungo.
๐๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐ฎ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฒ๐น๐ฒ๐๐ผ ๐ป๐ฎ ๐๐ถ๐ฏ๐ฎ๐น๐ถ๐๐ต๐ฒ ๐ถ๐ป๐ฎ๐๐ผ๐ธ๐๐ท๐ฎ ๐ธ๐๐๐ถ๐ฏ๐ ๐๐๐ฎ๐ป๐๐ผ ๐๐๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐๐บ๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฎ ๐ธ๐ฎ๐ฏ๐ถ๐๐ฎ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ๐บ๐ผ๐๐ผ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ ๐ป๐ฎ ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ป๐ฒ๐๐ผ
๐ฃ๐ถ๐ด๐ฎ ๐ฎ๐ ๐๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ
0757 576256
0655576256
FOHOW
JE, UNGEPENDA KUSAFISHA MWILI WAKO, KUPUNGUZA UZITO,UNENE,MANYAMA ZEMBE, KITAMBI/TUMBO NA KUMAINTAIN MWILI WAKO KWA NJIA SALAMA KIAFYA?. Tuna program nzuri katika hatua kuu 4,
Hizi ni program ambazo zimetengenezwa kwa kutumia virutubisho mbalimbali vilivyotokana na vyakula, mimea na matunda mbalimbali ya asili.
Program hizi utatumia kwa siku 24.
Faida zake.
1. Zitakusaidia kusafisha mwili wako na kuondoa takamwili mwilini zitokanazo na vyakula, moshi,dawa n.k
2. Zitakusaidia kupunguza tumbo
3. Zitakusaidia kupunguza kitambi
4. Zitakusaidia kupunguza nyama zembe mwilini
5. Zitakusaidia kupata choo(haja kubwa ) cha kawaida na sio kigumu wala kilaini sana
6. Zitakusaidia kuboresha mmeng'enyo wako Wa chakula.
7. Zitakusaidia kujisikia mwepesi.
8. Zitakusaidia kukupa habits za mazoezi na vyakula.
9. Zitakusaidia kukupa madini na vitamin mwilini.
10. Zitakusaidia kuwa na ngozi nzuri na bora,
FAHAMU :
Hizi sio dawa ni virutubisho (tiba) na ukiwa unafanya program hii hutoharisha na hutochokachoka na utaweza kuendelea na kazi zako k**a kawaida na kupata muongozo bure jinsi gani ya kutumia na vyakula vya kutumia,
Piga/WhatsApp
0655576256
0757576256
FOHOW
Wajua kuwa changamoto ya afya ambayo inakusumbua sasa hivi ambayo si ya kuambukizwa haikuanza leo au hivi karibuni?
Unafahamu kuwa 90% ya changamoto sugu za afya huanzia tumboni (kukosa choo)? Wajua kuwa sababu hizi tatu ndo zinazofanya uwe na hizo changamoto za afya ( kukosa choo, asidi nyingi na mafuta mabaya). K**a unakula chakula kutwa mara 3 na baada ya masaa 24 hupati choo walau mara mbili 2, basi unahitaji msaada wa haraka sana โผ๏ธ Nambie k**a huyu ni wewe.
Unazo au umewahi kuwa na dalili hizi:
Kuvimbiwa.
Maumivu ya viungo.
Unapata choo chenye harufu mbaya.
Unasumbuliwa na kichefuchefu.
Una uzito uliozidi
Mwili unakosa nguvu
Maumivu ya kichwa yasiyoisha.
Kusumbuliwa na kiungulia.
Mmeng'enyo wako wa chakula haupo sawa.
Kiwango kikubwa cha Asidi.
Kukosa choo kwa muda mrefu?
Matatizo ya ngozi yasiyo kwisha
Kupoteza kumbukumbu.
Kupata choo kigumu hadi kutoka damu.
Kupata choo k**a Cha mbuzi
Maumivu makali wakati wa kujisaidia hadi machozi.
Kutumia muda mrefu chooni.
K**a huyu ni wewe na ungependa kupata matokeo k**a ya kaka Willison ambaye alikuwa na shida k**a hizi na sasa anafurahia maisha yake pasipo changamoto yoyote, baada ya kugundua SIRI HII.
Unachotakiwa kufanya ili uweze kupata huduma hii kwa ofa
Piga simu / WhatsApp kwa namba #0655576256๐น๐ฟ
#0757576256๐น๐ฟ Kabla ya tarehe 28 mwezi huu
Ofa hii inaisha terehe 28.
Na ni kwa watu 30 tu wa mwanzo.
Ofa hii ikiisha haitajurudia tena.
FOHOW
Claudia Kimario
Share kuwasaidia na wengine
JE NAWE UNATATIZO LA KUKOSA CHOO? SOMA SABABU ZA UKOSAJI CHOO NA SULUHISHO LA TATIZO HILO.
Je!Unatatizo la Kukosa Choo?
Mtu yeyote ambaye anapata walau mlo mmoja kwa siku na kupitisha kati ya siku moja au tatu bila kupata choo, ana tatizo la kukosa choo (Constipation).
NINI KINASABABISHA KUKOSA CHOO?
ยท Kukosa mlo kamili. K**a vile kula vyakula vyenye kiwango kikubwa cha wanga na mafuta.
ยท Kula vyakula vilivyokobolewa na vilivyo changanywa na madawa ili visiharibike.
ยท Mifumo hatarishi ya maisha k**a vile matumizi ya sigara na pombe uliokithiri.
ยท Ukosefu wa kiwango cha kutosha cha mbogamboga na matunda katika mlo, ila nakushauri ule matunda saa moja au mbili kabla ya mlo au saa moja au mbili baada ya mlo.
ยท Maji yasiyo salama.
ยท Kuvuta hewa chafu.
ยท Na nyingine nyingi zinazosababishwa na maisha yanayoendeshwa na mabadiliko ya sayansi na teknolojia.
ATHARI ZA KUKOSA CHOO
ยท Chakula kutomengโenywa (kusagwa) vizuri.
ยท Maumivu makali wakati wa kupata choo.
ยท Uchafu uliokaa kwa muda mrefu kugeuka sumu.
ยท Bakteria wenye madhara kuzaliwa na kuathiri utumbo mpana na viungo vingine mwilini.
NI MAGONJWA GANI SUGU YANAYOWEZA KUSABABISHWA?
ยท Saratani ya utumbo mpana (colon cancer)
ยท Presha
ยท Kuongeza uzito (obesity)
ยท Tumbo kujaa gesi
ยท Magonjwa ya ini
ยท Figo kushindwa kufanya kazi vizuri
ยท Maginjwa ya ngozi
ยท Kukak**aa kwa mishipa ya damu
ยท Kisukari
ยท Magonjwa ya moyo
ยท Na matatizo mengine mengi
NI NINI SULUHISHO SAHIHI LA TATIZO LA KUKOSA CHOO?
Ondoa mgandamano wote wa taka katika utumbo mpana ukiuacha ikiwa msafi na wenye afya zaidi.
FAIDA YA KUONDOA MGANDAMANO
ยท Ni njia haraka na salama kwa afya yako
ยท Inazuia saratani ya utumbo mpana (colon cancer) na madhara mengine kiafya (coprostasis)
ยท Tatizo la kukosa choo utakuwa umelimaliza
ยท Utapunguza uzito uliozidi
ยท Utaifanya ngozi iwe yenye afya, nyororo na muonekano mzuri
Samahani kwa kusema hivi, ila ni ukweli uliowazi kuwa watanzania tuna aibu sana ya kuingia maliwato huku tunaangaliwa na watu wengine. Hii ni mbaya sana kwa kuwa pale unapobana haja kubwa ukasema nitaenda baadaye unatengeneza pochi katika utumbo, chunguza mara ngapi umejibana kuanzia wakati huo hadi umri huo ulio nao, ni vipochi vingapi umetengeneza, una takataka kiasi gani katika utumbo mpana?
Utafanya mazoezi, utapunguza kula utakunywa baadhi ya dawa za kupunguza mafuta mwilini lakini utabaki na kitambi kikubwa unajua kwanini? Kwa sababu ya vipochi ulivyovitengeneza kwa kubana choo.
Pili hata ukiingia maliwato unakimbiakimbia likitoka tonge moja basi umeshanawa umekimbia, ni hatari sana kufanya hivyo, unatakiwa ukae kuanzia dakika 10 na kuendelea ili kila kilichokuwa kinatakiwa kutoka kitoke kwa wakati huo.
Tatu, usilazimishe au usijikamue ili kutoa unachohisi kipo unachotakiwa kufanya hakikisha umejiachia na kuiacha misuli ijifungue yenyewe kwa wastani wake ili kilichopo kitoke k**a kinavyotakiwa. Ikilazimisha ndio yale yale kubakiza vipochi kila siku.
Kwa kweli wengi wetu tunakosea mambo mengi sana katika maisha yetu, kuanzia kula, kulala, kuvaa, kujisaidia haya yote ukifuatilia utakuta tunajitengenezea magonjwa bila kujua.
JE UTAJUA KUWA RANGI YA KINYESI, HARUFU YA KINYESI VINAWEZA KUKUONESHA UNA UGONJWA GANI AU BAKTERIA KIWANGO GANI?
JE UNAJUA KUWA MUUNDO AU SHAPE YA KINYESI INAWEZA KUKUTAMBULISHA UNA SHIDA GANI
ยท K**a kinyesi chako ni k**a ndizi uko sawa
ยท K**a kinyesi chako ni k**a mbuzimbuzi kuna shida aidha ya maji hunywi ya kutosha
ยท K**a kinyesi kina tawanyika k**a mafuta kuna shida
ยท Kikiwa hakina shape pia ni shida
ยท Kinyesi kikiwa kinashika katika sinki la choo ni shida kubwa sana hiyo pia
ยท Kinyesi kikiwa na harufu mbaya kali ni tatizo kubwa pia
Hili ni somo nalo tutalisoma kwa kifupi naomba uendelee kuwa nami.
K**a utaona una matatizo au tatizo lolote katika haya niliyotaja hapa, hasa kukosa choo, vidonda vya tumbo, gesi tumboni, manyama uzembe, matatizo ya ngozi, basi wasiliana nami
ili tujue la kufanya.
Kwa mawazo zaidi wasiliana name nitakuelekeza cha kufanya na matatizo yako yatatuliwa.
FOHOW
Tupigie /WHATSAPP
+255 757 576256
+255 655 576256
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Kimara Stop Over
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
