Fursa & Endelevu

Fursa & Endelevu

Share

🤝Fursa Endelevu kwaajili ya Kesho yetu.

17/12/2025

🌺 MAMA, DADA, MWALIMU, MWANACHUO — HUU NI WITO WAKO 🌺

Kila siku wanawake wengi wanajitahidi—kazi, familia, masomo, majukumu… lakini bado kipato hakilingani na nguvu tunazoweka.
Lakini vipi k**a ungepata njia rahisi, salama na halisi ya kuongeza kipato chako bila kubadili maisha yako ya sasa?

Haya mafunzo yametengenezwa kwa ajili ya wewe ambaye:
💛 Una kazi lakini mshahara hautoshi
💛 Wewe ni mwalimu unayepambana na majukumu mengi
💛 Wewe ni mama wa nyumbani unayetaka kuanza biashara bila kutoka nyumbani
💛 Au ni mwanachuo unayetaka kujitegemea mapema

Hapa utajifunza:
✨ Biashara za kisasa zinazowalipa wanawake haraka
✨ Namna ya kuanza bila mtaji mkubwa
✨ Jinsi ya kupata wateja bila kutumia nguvu nyingi
✨ Mbinu za kutumia simu yako kutengeneza pesa kila wiki
✨ Na siri ambazo wanawake wengi wenye mafanikio hutumia kimya kimya

Hii sio tu mafunzo — ni nafasi ya kujipa nguvu, kujipa thamani na kujipa uhuru wa kifedha.
Usisubiri mshahara ubadilike. Badilisha mikono yako, mawazo yako, na mbinu zako.

👉 Jiunge sasa. Safari ya kubadili maisha yako inaanza na hatua moja ndogo tu.

10/07/2025

Watu wengi wamekuwa wakitafuta Nini Cha kufanya ili waweze kutoka kiuchumu, lakin bado imekuwa changamoto kubwa Sana na bado kuendelea kuanguka
Sasa nimekuletea fursa nzuri ya biashara ambayo unaweza kuifanya kwa kuanzia MTAJI mdgo kabisa wa 392000
✍️Kupitia hiyo pesa yako utaweza kufundishwa na kusimamiwa ni namna gani unaenda kufanya hii fursa na kujenga biashara yako kubwa
✍️ Kutengeneza kipato chako Cha ziada
✍️ Kusafiri nje na ndani ya Tanzania Bure kabisa.
✍️Pia unafundishwa ni namna gani simu yako ya mkononi inaweza kuwa duka lako kubwa na wateja kuja......
HIVYO BASI K**A WEWE NI MAMA WA NYUMBANI, MWAJIRI MSHAHALA HAUTOSHI MFANYABIASHARA, DACTARI, FAMASIA, MWANAFUNZI WA CHUO, JUA FURSA HII SIO YA KUKOSA.wasiliana nami Sasa upate fursa 0687955217 hii au bonyeza link hapo chini

23/06/2025

Fursa ya biashara kwa mtaji mdgo kabisa, K**a wewe ni mama wa nyumbani, mwanafunzi wa chuo, mfanyakazi, mfanyabiashara, mstafu jua fursa hii inakuhusu
NIMEWEZA KUSAIDIA WATU WENGI SANA KUANZA
✍️ utapata usimamizi wa karibu sana wa namna gani unaenda kujenga biashara kubwa
✍️Nitakufundisha namna gani unaenda kufanya biashara na kutengeneza faida kwa siku sio chini ya elfu 50000/= na kuendelea
✍️Utapata nafasi ya kusafiri nje na ndani ya Tanzania Bure kabisa kupitia biashara hii
WASILIANA NAMI SASA NIKUWEKE KWENYE PROGRAM YANGU 0687955217

23/06/2025

📍Vijana wengi wamekua wakitafuta nini cha kufanya ili wajiingizie kipato*
👉K**a wewe ni mmoja wao ningependa kuongea na wewe.

🔵 Tupo kwenye Dunia ambayo ajira sio kitu cha kwanza kukufanya ufanikiwe, unahitaji uthubutu na kuwa na hamu ya mafanikio.
🔴Ili uweze kubadili maisha Kataa kuwa wa kawaida kuwa na viwango vya juu vya fikra yaani uwe na ndoto za kuwa mfanyabiashara mkubwa.
🔵Nitakusaidia kupata wazo la Biashara.
🔴Nitakuelekeza MBINU ZA KUFANYA MAUZO, wafanyabiashara ni wengi lakini wanaojua kuuza ndio wanaojenga pesa.
🔵Nitakufundisha jinsi ya KUTAFUTA MASOKO, na kujua bidhaa utamuuzia nani, sio kila mtu ni mteja.
🔴Nitakufundisha kujenga BRAND (Kutengeneza JINA) watu waijue biashara yako iwe vichwani mwao.
🔵Nitakufundisha KUTUMIA MITANDAO, Ili uweze kuwafikia watu sahihi ambao wanahitaji bidhaa zako.
🔴Nitakufundisha kufanya kwa mwendelezo.
🔵Nitakufundisha kuwa na mwendelezo (Consistency) sio kuwaza kufanya jambo jipya kila siku, Unatakiwa kukomaa na kitu kimoja mpaka watu wajue wewe ndio mtaalam wa hilo jambo.
🔴Nitakufundisha kutengeneza CONECTION, nani ataweza kukushika mkono na kukupandisha juu.
🔵Nitakufundisha jinsi ya kuondoa HOFU, KUTOJIKUBALI, KUAHIRISHA MAMBO, UVIVU NA MATUMIZI YA PESA BILA MPANGILIO.

💡PESA NI HESHIMA. WATU WATAKUHESHIMU ZAIDI UKIWA NAZO.

✅ANZA SASA, Maisha hubadilika unapochukua HATUA.

📍NIMEANDAA DARASA LA BURE KWA AJILI YAKO NA NAMNA YA KUTATUA TATIZO LAKO.

🤝Ikiwa umevutiwa na unataka kuhudhuria darasa hilo:

🖇️BONYEZA KITUFE CHA WHATAPP HAPO CHINI ILI UWEZE KUINGIA KWENYE GROUP LA MAFUNZO.

🙏 KARIBU SANA DARASANI. 🙏

08/12/2024

📍Vijana wengi wamekua wakitafuta nini cha kufanya ili wajiingizie kipato*
👉K**a wewe ni mmoja wao ningependa kuongea na wewe.

NITAKUSAIDIA KUFIKIA NDOTO ZAKO KWA:

🔵 Tupo kwenye Dunia ambayo ajira sio kitu cha kwanza kukufanya ufanikiwe, unahitaji uthubutu na kuwa na hamu ya mafanikio.
🔴Ili uweze kubadili maisha Kataa kuwa wa kawaida kuwa na viwango vya juu vya fikra yaani uwe na ndoto za kuwa mfanyabiashara mkubwa.
🔵Nitakusaidia kupata wazo la Biashara.
🔴Nitakuelekeza MBINU ZA KUFANYA MAUZO, wafanyabiashara ni wengi lakini wanaojua kuuza ndio wanaojenga pesa.
🔵Nitakufundisha jinsi ya KUTAFUTA MASOKO, na kujua bidhaa utamuuzia nani, sio kila mtu ni mteja.
🔴Nitakufundisha kujenga BRAND (Kutengeneza JINA) watu waijue biashara yako iwe vichwani mwao.
🔵Nitakufundisha KUTUMIA MITANDAO, Ili uweze kuwafikia watu sahihi ambao wanahitaji bidhaa zako.
🔴Nitakufundisha kufanya kwa mwendelezo.
🔵Nitakufundisha kuwa na mwendelezo (Consistency) sio kuwaza kufanya jambo jipya kila siku, Unatakiwa kukomaa na kitu kimoja mpaka watu wajue wewe ndio mtaalam wa hilo jambo.
🔴Nitakufundisha kutengeneza CONECTION, nani ataweza kukushika mkono na kukupandisha juu.
🔵Nitakufundisha jinsi ya kuondoa HOFU, KUTOJIKUBALI, KUAHIRISHA MAMBO, UVIVU NA MATUMIZI YA PESA BILA MPANGILIO.

💡PESA NI HESHIMA. WATU WATAKUHESHIMU ZAIDI UKIWA NAZO.

✅ANZA SASA, Maisha hubadilika unapochukua HATUA.

📍NIMEANDAA DARASA LA BURE KWA AJILI YAKO NA NAMNA YA KUTATUA TATIZO LAKO.

🤝Ikiwa umevutiwa na unataka kuhudhuria darasa hilo:

🖇️BONYEZA KITUFE CHA WHATAPP HAPO CHINI ILI UWEZE KUINGIA KWENYE GROUP LA MAFUNZO.

🙏 KARIBU SANA DARASANI. 🙏

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam
14113