TCM Health Center

TCM Health Center

Share

Guifei Bao,Kwaajili ya kutibu maradhi yote katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Call us.
0745818278

WAUZaJI WA VIPODOZ ASILIA KUTOKA ORIFLAME,VIPODOZ AMBAVYO AVINA KIMEKAL YEYOTE VIMETENGENEZWA NA MIMEA,MATUNDA NA ASALI.

21/11/2024

LONGLU CAPSULE Imekuwa msaada mkubwa kwa wanaume wengi wenye shida ya kumaliza haraka tendo la ndoa na kushindwa kurudia,

Inasaidia afya ya uzazi kwa wanavme;
1. Kuweka mishipa na misvli ya uvme imara iliyoathirika na pvnyeto (mastabeshen) vyakula vya kisasa (Artificial foods) msongo wa mawazo (stress) na magonjwa k**a tezi dvme, presha na kisvkari, n.k

2. Kuboresha msukumo wa damu kwenye mfumo wa moyo, figo, na mishipa ya vvme.

3. kuweka sawa kiwango cha mbegv (s***m count)

4. Kurvdia tendo mara nyingi utakavyo

5. Kvmvdu tendo kwa muda mrefu bila kuchoka.

6. Kuongeza hamv ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanavme

7. Inarekebisha hormone imbalance na hasa homoni ya testosterone kuwa Katika Uwiano mzuri
N.B tiba hii niyakudumu sio chungu wala kali.
Dozi moja ni Tsh 55,000/- ambayo hutumika ndani ya siku week 1 na matokeo yake huanza kuonekana ndani ya masaa 24.
KWA MAWASILIANO ZAID 0782751741.

09/10/2024

MAGONJWA YA MOYO – AINA, CHANZO, DALILI, TIBA

UTANGULIZI – YAJUE MAGONJWA YA MOYO
Magonjwa ya Moyo ni magonjwa yanayoambatana na kuathiri moyo. Mara nyingi magonjwa ya moyo yanaambatana na mishipa ya damu kuwa na tatizo ambapo moyo hushindwa kufanya kazi, moyo hutegemea damu ambayo hubeba oxygen, madini, vitamins, kinga ya mwili, joto, homoni na vingine vingi.

AINA ZA MAGONJWA YA MOYO
Zipo aina mbalimbali za magonjwa ya moyo hutofautiana japo yote huathiri moyo, nayo ni;

1.Ugonjwa wa moyo unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu (Coronary artery disease) Hili ni tatizo linalowakuta watu wengi, mishipa ya damu hupasuka na kuharibika hii hutokana na mishipa ya damu kuwa na uchafu na mafuta mengi na kufanya damu isipite vizuri

2.Mapigo ya moyo kwenda tofauti (Heart Arrhythmias) Hii hutokea pale mapigo ya moyo kwenda taratibu isivyo kawaida au kwenda haraka isivyo kawaisda, pia mapigo ya moyo kwenda ovyo. Hii ni hatari sana na huua sana
3.Moyo kushindwa kufanya kazi (Heart Failure) Hii ni hali moyo hushindwa kufanya kazi yake k**a kupampu na kusambaza damu, kusambaza oxygen. Hii inaweza kutokea kwa mtu mwenye magonjwa k**a ugonjwa wa moyo wa misipa kuathirika, Shinikizo la damu, na magonjwa mengine

4.Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa (Congenital heart disease) Haya ni magonjwa ambayo wengi huzaliwa nayo, yanaweza kuwa ni baadhi ya kasoro katika mwili k**a baadhi ya chemba za moyo kuziba au kupasuka, oxygen kupita kwa shida na vinginevyo.

5.Ugonjwa wa valvu na misuli ya moyo (Heart Valve Disease & Cardiomyopathy (Heart Muscle Disease)) Katika moyo kuna chema nne nazo zinapitisha damu na oxygen kutoka kwenye mapafu, valvu hufunguka na kufunga. Valvu na misuli ikiwa imepasuka na kuharibika husababisha tatizo la moyo.

6.Moyo kutanuka. Hii hutokea pale damu ikiingia ndani ya moyo harafu mishipa ya kutoa damu ikiwa na tatizo ikashindwa kutoa damu nje ya moyo moyo utaanza kutanuka siku hadi siku. Kutanuka kwa moyo kunatokea usipotibu baadhi ya matatizo k**a shinikizo la damu, moyo kwenda mbio, valvu na misuli ya moyo n.k.

7.Shinikizo la damu (B.P) ni shinikizo la damu yako kwenye kuta za mishipa yako kwani moyo wako unasukuma karibu na mwili wako. Unaweza kuwa na shinikizo la damu (shinikizo la damu) kwa miaka bila dalili yoyote

8.Mshtuko/ Shambulio la moyo (Heart Attack). Ni kifo cha sehemu ya misuli ya moyo inayosababishwa na kuzuiwa wa usambazaji wa damu. Amana zilizo na mafuta huunda kwa wakati, na kutengeneza alama katika mishipa ya moyo wakoIkiwa baadhi ya misuli ya moyo inakufa, mtu hupata maumivu ya kifua na kukosekana kwa umeme kwa tishu za misuli ya moyo.

9.Chembe ya Moyo. Hii ni maumivu ya upande wa moyo maeneo ya kifua hutokea wakati unafanya kazi au hata k**a umekaa k**a ni yenye kukubuhu. Maumivu haya huambatana na kutokwa jasho na kukosa hewa. Hutokana na moyo kukosa damu ya kutosha.

CHANZO CHA MAGONJWA YA MOYO.
Magonjwa ya moyo hutokea pale ambapo moyo huathiriwa na kuharibiwa kwa vitenda kazi vyake. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata magonjwa ya moyo nayo ni pamoja na;
1.Moyo kwenda mbio (Moyo kudunda kwa nguvu isivyo kawaida )
Uchovu uliopitiliza, mwili kuwa dhaifu na kuchoka haraka hata kwenye shughuri ndogo
2.Uchovu uliopitiliza, mwili kuwa dhaifu na kuchoka haraka hata kwenye shughuri ndogo.
3.Maumivu ya kifua hasa yanayotembea mpaka kwenye mabega, shingo au taya
4.Kushindwa kulala vizuri hasa kushtuka usingizini kuhisi k**a unakabwa na kukosa pumzi
5.Tumbo kujaa, kichefuchefu na kutapika
6.Kukosa pumzi au kushindwa kupumua vizuri hasa unapolala chali
7.Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji

JINSI YA KUEPUKANA NA MAGONJWA YA MOYO.
1.Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
2.Usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
3.Usitumie chumvi mbichi au chumvi nyingi
4.Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol)
5.Balansi usito wako
6.Usivute sigara
7.Punguza au acha kunywa pombe
8.Punguza mawazo
9.Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
10.Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9

TIBA YA MAGONJWA YA MOYO.
Magonjwa ya moyo yanatibika kwa hali tofauti, pia kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakikata tamaa na kuwa wabishi, hii hufanya wengi kufa kutokana na kuto kuwa makini na kile tunacho waeleza

DAWA YA MAGONJWA YA MOYO
Tuna dawa ya kutibu kabisa magonjwa ya moyo ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. : Dawa hiyo hutibu kulingana na mda wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki moja MTU huanza kupona na kuonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa autumie kwasababu kuna baadhi ya mitindo ya maisha inaendelea kuongeza tatizo pia kuna mitindo inapunguza hatari ya ugonjwa.

Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutuponya, Mungu hakuumba dawa nyingine zaidi ya mimea na vitu vingine vya asili, japo wengi hudharau. Mungu tunaomba utuokoe na kutuponya.
“Uamzi wako ndio kupona kwako”

🌷.
TUNAPATIKANA DSM-UBUNGO PLAZA, mtaa wa uhuru na msimbazi.
KWA MAELEZO ZAID
WASILIANA NASI KWA
0745818278 WhatsApp
0745818278 Call.
Usiendelee Kuteseka Karibu Ujitabie Matibabu Sahihi.....🌺 TCM HEALTH CENTER TUNAHAKIKISHA KUWA JAMII INAFAIDIKA KWA KUPATA MATIBABU NA USHAURI JUU YA MASWALA YA AFYA

09/07/2024

Mafuta maalimu kwa ajiri ya kuondoa MICHIRIZI KATIKA NGOZI YAKO.
👉YANG'S HENG ni Product yenye Viambata Asili. Inayoondoa MICHIRIZI na kuikinga ngozi yako kwa ASILIMIA 100%
Kwa hiyo huna tena sababu ya kuhangaika suluhisho lipo. KARIBU SANA.

`kwa mawasiliano zaidi...
Call/text/whatsap.0745818278
Order yako utaletewa hadi ulipo.(Free delivery)
Kwa Tsh 55,000. Tu.

08/06/2024

P.I.D INA MADHARA MAKUBWA SANA

*Madhara Ya PID*

•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi

PID inatibika ukitumia tiba lishe
zilizo thibitishwa kwa TBS na TMDA

Pia ni mhimu sana kutumia vitu vyenye vitamin C za kutosha

Karibu Ofisini, ushauri ni bureee
Mawasiliano 0745818278
DSM .

08/06/2024

"MADHARA YA U.T.I"

Vimelea wa UTI wanapoingia sehemu ya uke, wanaweza kushambulia na kuharibu sehemu zifuatazo:

1. Tabaka la juu la mlango wa kizazi na kusababisha uvimbe wa shingo ya kizazi.
2. Kuziba kibofu cha mkojo au mirija ya mkojo.
3. Kuharibu figo za muhusika.
4.kuziba kwa mirija ya uzazi
5. UTI ni chanzo cha PID
6.kukosa hamu ya tendo la ndoa

Kwa Ushauri zaidi
Mawasiliano: 0745818278
DSM.

08/06/2024

MWANAMKE UNAWEZA KUBEBA UJAUZITO TENA✍️

K**a umewahi kupata mtoto lakini unatafuta mtoto Mwingine haupati , kuna sababu mbalimbali zinazoweza kupelekea wewe kuto kubeba ujauzizo

Mfano
👉Uvimbe katika kizazi
👉PID inaweza kuuwa kizazi
👉 Hormone imbalance n.k

Vyanzo vipo vingi sana , sasa ili kupata matibabu lazima ukutane namtaalam ili akupatie ushauri sahihi na uweze kubeba tena ujauzito, tuna shuhuda nyingi sana kuhusu bidhaa zetu , k**a unahitaj kuona nitafute

Kwa Ushauri na matibabu
Mawasiliano; 0745818278
DSM.

06/06/2024

Maambukizo kwenye via vya uzazi (PID) imekuwa maarufu sana katika jamii yetu miongoni mwa wanawake wengi huambukizwa PID.

Vimelea aina ya Neisseria Gonorhoere Chlamydia Trachomatis ndivyo vinavyo ongoza kusababisha PID kwa kinamama.

P.I.D inaweza kuonyesha dalili za kawaida ama kutokuonyesha dalili zozote.

Zifuatazo ni baadhi ya dalili za PID:-


1. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.

2. Kutokwa na uchafu ukeni, hasa wenye rangi ya njano unaoelekea kuwa kijani kwa mbali ukiwa na harufu mbaya.

3. Kuhisi Maumivu ama hali ya kuungua wakati wa kukojoa

4. Homa kali na isiyo eleweka, inakuja na kuondoka.

5. Kuhisi kichefuchefu ama kutapika

6. Kuhisi Maumivu wakati wa tendo la ndoa ama kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa.

7. Kupata hedhi katikati ya hedhi, yaani waweza kupata hedhi mara 2 ndani ya mwezi 1.

Unaweza kunitumia ujumbe WhatsApp 0745818278 nitakusaidia

PID inatosha kukusababishia UGUMBA. Chukua hatua mapema!!

05/06/2024

Sababu zinazopeelekea Mwanamke Kupata Hedhi Mara Mbili au Zaidi Ndani ya Mwezi Mmoja

Mzunguko wa kawaida kwa wanawake ni siku 28

na Hedhi huenda siku 3-7 lakini wapo ambao mzunguko unakuwa siku 21 hadi 35 kutokana na sababu mbali mbali,

Kupata Hedhi mara mbili hujulikana pale ambapo

mwanamke katika mwezi au mzunguko wa siku 28 akatokwa na Damu ya Hedhi mara mbili

mfano anakaa siku 14 anapata Hedhi huyu anahesabika amepata Hedhi mara 2 ndani ya mwezi mmoja.

Mambo Yanayosababisha kupata Hali ya Namna Hii.

✔️ Matumizi ya madawa ya Uzazi wa mpango,

Dawa hizi zina vichocheo homoni viwili kwa

Hivyo.homoni zinaweza kuchochewa kuzidi na kupelekea Hedhi mara 2

✔️ Uvimbe kwenye kizazi, Unafanya kizazi kishindwe kukaza na kushindwa kuzuia Damu kutoka

✔️ Ugonjwa wa Polycystic ovaries syndrome,

Huu Ni Ugonjwa unaotokana na mwanamke kuwa na homoni ya kiume

Yaani "Androgen" kiasi kikubwa na hupelekea vifuko vidogo katika Mayai

✔️ Ugonjwa wa Endometriosis ambao tishu kwenye mji wa Mimba zinaota kwenda nje

✔️ Msongo wa mawazo husababisha mabadiliko ya k**emikali katika mwili

✔️ Kutoa Mimba, hudhoofika Mayai na kufanya homoni zibadilike

✔️ Ugonjwa wa PID maambukizi ya bacteria katika mji wa Mimba hupelekea Damu nyingi kutoka

✔️ Kuwa na uzito mkubwa sana au mdogo hupelekea mabadiliko katika mwili

✔️ Kuwa na ujauzito hasa mtoto akitungwa nje ya mji wa Mimba

✔️ Kukoma Hedhi kipindi ambacho homoni ya estrogen inashuka kiwango

✔️ Kuwa na Magonjwa ya Zinaa, kisonono Kaswende klamidia

✔️ Kansa ya kizazi, Tezi ya thyroid kutofanya kazi vizuri

✔️ Mabadiliko ya Hali ya hewa au mazingira, Mazoezi makali au kupita kiasi

K**a Una Changamoto Yoyote Ya Kiafya Unaweza Kupata Msaada Kutoka Kwetu Kwa Jinsi 2.

1. Tukuhudumie Ukiwa Hukohuko Ulipo, Hapa Utatakiwa Kutupigia Simu 0745818278

2. Ufike Ofisini Kwetu Kwaajili Ya Vipimo, Ushauri na Tiba.

31/05/2024

Sababu zinazopelekea Mimba Kuharibika (Miscarriage)

Ni hali ya kupoteza ujauzito kabla ya wiki 28 za ujauzito,

zaidi ya wiki hizo huitwa kuzaliwa mfu.

Zifuatazo ni sababu za mimba kuharibika

✔️ Matatizo ya Homoni kutokuwa sawa

✔️ Matumizi ya madawa kiholela hasa antibiotic k**a Ciprofloxacin

✔️ Maambukizi ya bacteria PID, STI'S au virus rubella

✔️ Matatizo ya vinasaba chromosomal

✔️ Uvimbe kwenye mfuko wa kizazi (Fibroids)

✔️ Kuwa na Ugonjwa wa kisukari na Dawa aina ya ACE (Captopril, Enalapril)

✔️ Uvutaji sigara

✔️ Matumizi ya pombe

✔️ Magonjwa sugu ya muda mrefu Magonjwa ya moyo, Figo, Presha, Ukimwi, Goita nk

✔️ Uvimbe kwenye Mayai (PCOS)

✔️ Kifafa cha Mimba (Pre eclampsia or Eclampsia)

✔️ Matatizo ya kinga ya mwili kuhisi ujauzito ni Ugonjwa

✔️ Matumizi ya madawa ya kulevya

✔️ Kupata maumivu makali ya tumbo yanayotokana na Ajali, kuanguka, kupigwa kazi ngumu

✔️ Matatizo kwenye shingo ya kizazi

✔️ Kutoa Mimba makusudi

✔️ Historia ya Mimba kuwahi kutoka

✔️ Umri mkubwa 40+

✔️ Kula chakula chenye sumu

✔️ Matatizo ya maumbile ya mfuko wa kizazi

✔️ Mimba kutungwa nje ya mfuko wa kizazi

✔️ Kuwa na uzito mkubwa sana au uzito mdogo baada ya hesabu za BMI

✔️ kansa ya kizazi

Ikiwa Unasumbuliwa na Tatizo Lolote la Kiafya, Unaweza Kufika Ofisini Kwetu

Au Ukawasiliana Naisi Kupitia Namba 0745818278

27/05/2024

FAIDA ZAKE ZIPO NYINGI KWENYE VIUNGO VYA MWILI WA MWANAMKE. INASAIDIAJE MFUMO MZIMA YA UZAZI.

*1)* Mvurugiko wa homoni

*2)* PID

*3)* UTI sugu na fangasi

*4)* ukosa hamu ya tendo

*5)* Kukosa ute wakati wa tendo

*6)* Maumivu makali wakati wa Tendo

*7)* Mirija ya uzaz kuziba ( ugumba)

*8)* Kutoa harufu mbaya sehem za siri

*9)* Shida ya kushika mimba

*10)* Uvimbe kwenye3 kizazi

*11)* Maumivu wakat wa hedhi

*12)* Matatizo ya kutokuoata Hedhi

*13)* Ubaridi ukeni ama kukosa joto ukeni hasa waliotumia dawa ama mafuta ya kemikali ya kubadilisha rangi ya ngozi ya mwili

*14)* Fungus ukeni

*15)* Kutokaza misuli ya ukeni kwa sababu ya kuanza mapenzi katika umri mdogo ama mimba za utotoni ama kutopata na uangalizi sahihi baada ya kujifungua inasababisha uke ulio wazi

Kiufupii bidhaa ya GUIFEI BAO inahusika katika changamoto zote za k**e ambazo n kikwazo cha furaha ya mtu. Zipo shuhuda nyingi kwa watumiajii wa bidhaa hii. USihangaike Njoo sasa nikusaidie kwa kukupatia GUIFEI BAO

0745818278
Call/Whatsapp kuipata dawa hii...

23/05/2024

Faida nyingi unapo ondoa sumu mwilini nipamoja na kupambana na changamoto nyingi mwilini mbali na kutoa sumu

¶. Hurekebisha Mzunguko wa damu,
PRESHA NA KISUKARI
¶. Hurekebisha mmeng'enyo wa chakula
¶. Inasafisha Ini
¶. Inasafisha Figo
¶. Inasafisha Mapafu

Unaposafisha mwili kuondoa taka sumu inasaidia wanao sumbuliwa na tumbo kujaa gesi, kiungulia na vidonda vya tumbo ukipata na vidonge k**a una vidonda vya Tumbo

• Pia huondoa matati ya kukosa choo au kupata choo kigumu
• Husaidia na kuweka Pressure ya kupanda na kushuka na kushuka, pamoja na yenye tatizo la Kisukari
• Huondoa shida ya kwenye ini, iliyo Vimba, kujaa mafuta, maambukizi kwenye ini
• Huondia shida ya allergies(uzio)
• Husaidia wenye tatizo la kukosa usingizi vizuri usiku

Ninzuri kwa wanao pambana na uzito, kushindwa kupunguza uzito, ongezeko la mwili haswa kitambi

Pia Wanawake walio na changamoto ya hormones maumivu kipindi cha hedhi kusafisha mwili ni muhimu sana kwake.

• Nihumihu kwa Watu walio na homa za mara kwa mara kuhisi uchovu wa hapa na pale
• Nimuhimu kwa Watu wanaosumbuliwa na uric acid kuwa nyingi
• Pia Nimuhimu kwa Watu wanao sumbuliwa na maumivu ya viungo vya mwili
• Pia kwa walio na cholesterol nyingi kwenye mfumo wa mishipa ya damu

IPI SHIDA YAKO KATI YA HIZO

Tuwasiliane kwa 0745818278

17/04/2024

Moja ya madhara makubwa ya PID
UGUMBA infertility;

Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D)~
Ni Maambukizi kwenye via vya Uzazi wa
Mwanamke,

PID sio nzuri kwa Afya ya Uzazi, Kati ya wanawake 8 wenye PID sugu mmoja anakuwa Mgumba.

📌Mimba kutugwa nje ya kizazi (Ectopic pregnancy).

~ Katika tatizo hili Tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi Yaani (ectopic pregnancy),

Mbegu ya kiume na yai huungana kutengeneza kiinitete kwenye mirija ya uzazi (follopian tube),

Badala ya kupandikizwa kwenye mji wa mimba (Uterus)

👌 Kwa mantic hiyo k**a mimba ikijipandikiza kwenye mirija ya uzazi (follopian tube),

Inakuwa na hatari ya kupasuka kadri mimba inavyokua Na kupelekea kupoteza damu nyingi sana,

Na Kuwa Hatari kwa uhai wa mama.

📌mimba kutoka (miscarriage ).

📌Mirija ya uzazi kuziba.

📌Kizazi kujaa maji maji.

📌Husababisha uvimbe kwenye mayai (ovarian cyst).

📌Hormonal imbalance.

📌Saratani ya shingo ya kizazi unapo kaa na infection kwa muda mrefu.
-

Utajuaje Una PID?

Hizi Hapa Dalili Kuu 10 Hatarishi za P.I.D:-

1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa.

2️⃣Kuwashwa sehemu za siri.

3️⃣Uke kutoa harufu mbaya.

4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.

5️⃣Uke kuwa na ulaini sana.

6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi.

8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi.

9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa.

🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula.

MATIBABU YAKE:-

Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu.

Kwa dose ya P.I.D, inaanzia inaanzia 95,000/=, pia inatengemea ukubwa wa tatizo ilo Na Upo nalo kwa muda gani,


Nitumie Ujumbe whatsapp muda huu,
0745818278

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kinondoni
Dar Es Salaam