Team Eyez

Team Eyez

Share

Ni moja ya kurasa inayojihusisha na mambo na matukio mbalimbali yatokeayo katika jamii yetu bila kusahau michezo na burudani...

18/11/2021

Mfunga upepo aangushwa na upepo...

23/03/2018

ni nini...??

Photos 20/01/2018

Ukiutaka sharti ukubali ...

Photos 05/09/2017

___NEW DAR ES SALAAM____🏫🏡🏠🌆🏯🏰🏤🏬🏢

Photos 13/09/2016

Jamaa m1 huko mkoani Morogoro aamua kumchoma mkewe Na moto baada ya kumfumania akifanya mapenz Katika kitanda chake....
Je! Hii inastahili kufanyika Katika Jamii...???

Photos from Team Eyez's post 14/08/2016

Ukiamka Salama yakupasa kumshkuru Muumba bila kusahau kuwaombea waliotangulia mbele ya HAKI mungu awanusuru Na kuwaepusha Na adhabu kali huko waliko....

Photos 07/08/2016

K**a umeamka Salama yakupasa kumshkuru muumba wako....
Bila kusahau kuwaombea wale wote waliotangulia mbele ya HAKI kupumzika kwa amani huko waliko...

Photos 06/08/2016

Anaitwa Peter Ezekier Ondo....
Inasemekana kabila Mpare/msambaa.. Amekutwa amefukiwa Na kifusi Katika machimbo ya rubbi huko MONTEPUEZ(MTIPWESHI) nchini Mozambique Na kusababsha kupoteza maisha yake..
Kwa yoyote atakayemfaham au atakayeskia tetesi za ndugu Jamaa Na marafiki za kupotelewa Na ndugu huko machimbo msumbiji wajaribu kuwasiliana kwa namba..+258866131385

Photos 05/08/2016

Hivi mfano unarudi kutoka kazini,ghafla unaingia ndani Na kumkuta mfanyakazi wako wa ndani(house girl) akiwa K**a hivi akiosha vyombo Halafu pembeni mumeo akiwa kavaa kipensi akisoma gazeti utachukua hatua gani za haraka....????

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam