Team Eyez
Ni moja ya kurasa inayojihusisha na mambo na matukio mbalimbali yatokeayo katika jamii yetu bila kusahau michezo na burudani...
Mfunga upepo aangushwa na upepo...
ni nini...??
20/01/2018
Ukiutaka sharti ukubali ...
05/09/2017
___NEW DAR ES SALAAM____🏫🏡🏠🌆🏯🏰🏤🏬🏢
13/09/2016
Jamaa m1 huko mkoani Morogoro aamua kumchoma mkewe Na moto baada ya kumfumania akifanya mapenz Katika kitanda chake....
Je! Hii inastahili kufanyika Katika Jamii...???
14/08/2016
Ukiamka Salama yakupasa kumshkuru Muumba bila kusahau kuwaombea waliotangulia mbele ya HAKI mungu awanusuru Na kuwaepusha Na adhabu kali huko waliko....
07/08/2016
K**a umeamka Salama yakupasa kumshkuru muumba wako....
Bila kusahau kuwaombea wale wote waliotangulia mbele ya HAKI kupumzika kwa amani huko waliko...
06/08/2016
Anaitwa Peter Ezekier Ondo....
Inasemekana kabila Mpare/msambaa.. Amekutwa amefukiwa Na kifusi Katika machimbo ya rubbi huko MONTEPUEZ(MTIPWESHI) nchini Mozambique Na kusababsha kupoteza maisha yake..
Kwa yoyote atakayemfaham au atakayeskia tetesi za ndugu Jamaa Na marafiki za kupotelewa Na ndugu huko machimbo msumbiji wajaribu kuwasiliana kwa namba..+258866131385
05/08/2016
Hivi mfano unarudi kutoka kazini,ghafla unaingia ndani Na kumkuta mfanyakazi wako wa ndani(house girl) akiwa K**a hivi akiosha vyombo Halafu pembeni mumeo akiwa kavaa kipensi akisoma gazeti utachukua hatua gani za haraka....????
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
