Asili Yetu Afrika

Asili Yetu Afrika

Share

Tunawasaidia wanawake na wanaume kutatua changamoto za uzazi kwa kutumia tiba lishe

Piga simu / Whatsapp +255763872652

Tunawasaidia wanawake na wanaume kutatua changamoto za uzazi kwa kutumia vyakula na mitishamba.
•Kuondoa harufu mbaya ukeni, fangasi, miwasho na P.I.D kwa ujumla

•Kuondoa Vivimbe katika mfuko wa Uzazi (Fibroids & Endometriosis) na Vifuko Vya Mayai (Ovarian Cysts)

•Kuzibua Mirija iliyojaa maji (Hydrosalpinx)

•Kubalansi homoni, kupevusha mayai, ute wa uzazi na hamu ya tendo la ndoa.

•Kutibu athari zilizotokana na Punyeto [Kujichua] kwa wanaume

Piga simu / WhatsApp 0763872652

Karibu

02/08/2026

MIXED HERBS POWDER , kwa ajili ya kuondoa maambukizi ya bakteria na fangasi kwenye kizazi yaani Fangasi, PID na UTI, inaondoa uvimbe kwenye kizazi, inaondoa uchafu kwenye mirija na kwenye tumbo la uzazi pia inabalansi homoni kwa wanawake wenye shida ya hedhi kuvurugika, kukosa hisia, kuwa wakavu, mayai kushindwa kupevuka, chango n.k

Unaipata kwa elfu 46 tu, wasiliana nasi 0763872652

02/08/2026

Chemsha maji nusu lita, tia vijiko viwili vya UNGA WA MBEGU ZA GILIGILANI
Utakunywa kikombe kimoja asubuhi na kingine usiku

Kinywaji hiki kinawafaa wale ambao wanapata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa period...

Kunywa kinywaji hiki siku 4 mpaka 7 kabla ya kupata hedhi yako

Pia dawa hii unaweza kuitumia wewe ambaye unapata dalili za hedhi kutoka ila haitoki au hedhi imepitiliza wakati huna mimba.

Endelea kujifunza na endelea kuzingatia pia

K**a una changamoto ya uzazi na hujui namna ya kuitatua na ungependa nikusaidie jinsi ya kuitatua, niandikie changamoto yako kwenda WhatsApp namba 0763872652

Pia unaweza kuchukua dawa ya kutibu magonjwa sugu ya ambayo tumeandaa tayari, ni dawa ya MIXED HERBS POWDER

Ni dawa lishe ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa dawa asili za uzazi ambayo
Inasafisha via vya uzazi yaani inasafisha mirija ya uzazi na fuko la uzazi ili kuondoa majimaji au uchafu na fangasi (P.I.D)
Inaondoa makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids, ovarian cyst) n.k
Inaondoa changamoto ya mvurugiko wa hedhi k**a unapata tatizo la kukosa hisia, kuwa mkavu ukeni wakati wa tendo, hedhi kupishana, damu ya hedhi kuwa na utelezi, hedhi kutoka mabonge, hedhi kuambatana na maumivu makali (chango) na tatizo la mayai kutokupevuka

Dawa hii ya Uzazi "MIXED HERBS POWDER unaipata kwa Tsh 46,000 pekee

Hakuna gharama ya usafirishaji, yaani ni free delivery mpaka ulipo

Ninapatikana Machinga Complex, KARUME (Dar) na mkoani natuma kwenye Bus

Kwa mawasiliano zaidi:
PIGA SIMU / WhatsApp 0763872652

02/08/2026

Safari inaanza rasmi mashallah 🤰

02/08/2026

Dada zangu tengeni muda wa kufanya mazoezi hata k**a ni dakika 10 au 30 kwa siku zinatosha, na sio lazima kufanya mazoezi magumu ya kujiumiza au kutumia nguvu nyingi, la hasha.

Unaweza kufanya mazoezi mepesi k**a kutembea, kukimbia (jogging), kuogelea, kuendesha baiskeli, yoga au pirates, kegels n.k

Utaratibu wa mazoezi utakusaidia kuboresha ovulation, mazoezi husaidia mwili kuwa na uwiano mzuri wa homoni, jambo linaloweza kuboresha utoaji na upegushaji wa yai, hasa kwa baadhi ya wanawake wenye shida ya PCOS.

Mazoezi huongeza nafasi ya kupata ujauzito
Kwa wanawake wenye uzito mkubwa, mazoezi husaidia kushusha kilo na kuongeza nafasi ya kupata mtoto

Mazoezi huboresha mzunguko wa damu katika viungo vya uzazi, hivyo kusaidia afya ya uterasi na ovari kufanya kazi kwa ufanisi zaidi

Mazoezi k**a Kegel husaidia kuimarisha misuli inayoshikilia kibofu, uterasi na uke, viungo muhimu kwa afya ya mwanamke

Mazoezi husaidia kuondoa msongo wa mawazo,

02/08/2026

Binzari ya Manjano (tumeric) na TANGAWIZI (ginger)
Chukua maji moto nusu lita au maziwa fresh nusu lita, tia kijiko kidogo kimoja cha unga wa binzari ya manjano na tangawizi, yakishakuwa ya uvuguvugu mimina vijiko kadhaa vya asali ukoroge na kunywa.

Fanya hivi wakati wa asubuhi na jioni au usiku kwa majuma mawili

K**a una MIXED HERBS POWDER unaweza kuweka kijiko kimoja (kijiko cha chakula) kwenye hicho kinywaji ulichokiandaa

Kinywaji iko ni kwa wale mnaohisi maumivu ya nyonga, maumivu chini ya tumbo, dalili za muwasho na vivimbe vidogo vidogo kwenye vifuko vya mayai yaani simple ovarian cysts

Endelea kujifunza pia wafundisheni na wengine, maana kwenye mambo ya afya ya uzazi tunachohitaji ni maarifa tu, tukishirikiana kwa pamoja haya magonjwa ya uzazi tutayatokomeza vizuri tu...

Endelea kufurahia punguzo la 28% ambapo kwa sasa unaipata -MIXED HERBS POWDER- dawa ya kusafisha via vya uzazi, kuondoa vimbe, fangasi (P.I.D) na kubalansi homoni kwa Tsh 46,000 tu

Wasiliana nasi 0763872652

01/08/2026

Hayawi hayawi, sasa yamekuwa 🤰

01/08/2026

Mtu mmoja kutoka tanga atujuze kazi ya hiki kidude

01/08/2026

Mwanamke anayetafuta ujauzito | Epuka sigara na moshi wake

Kemikali kwenye sigara hupunguza ubora wa mayai, huharakisha kuzeeka kwa ovari, na hupunguza nafasi ya kupata ujauzito.

K**a unavuta sigara, tafuta msaada wa kuacha na epuka kukaa karibu na watu wanaovuta sigara

Mazingira safi ya hewa husaidia afya ya uzazi

01/08/2026

Chukua kaboksi hako kamoja na uchanganye kwenye dumu la maji safi ya lita tano kisha acha kwa dakika k**a 30 ndo uanze kunawia sehemu za nje zenye miwasho.

Utakuwa unajisafisha sehemu zenye muwasho kwa kutumia maji hayo, yakiisha unaandaa mengine.

Fanya hivi kwa siku 7 utaleta mrejesho mzuri

Muhimu epuka matumizi ya sukari nyingi, kunywa maji mwili usikaukiwe, kuwa msafi wa nguo za ndani, vaa nguo za cotton achana na chupi za mpira maana hazipitishi hewa mwili haupumui pia hakikisha mwenza wako nae hana maambukizi hayo

K**a unatibu fangasi na U.T.I ila baada ya muda inarudi hususani baada ya kufanya jimai na mume, kuna uwezekano mume akawa ndio chanzo cha tatizo.

Mtibu tatizo la U.T.I kwa kutumia Bicarbonate of Soda pia
.. Chukua kikombe kimoja cha maji ya uvuguvugu kisha WEKA VIJIKO VIWILI VYA bicarbonate of soda (Kipimo ni kijiko kidogo cha chai / teaspoon)
... Koroga na mpe anywe asubuhi na usiku kwa muda wa siku 7 (Inasaidia kusafisha kibofu na kuondoa tatizo la U.T.I na inaua mazalia ya bakteria kwenye kibofu)

Usiache kumfundisha na mwingine

Endelea kujifunza pia wafundisheni na wengine, maana kwenye mambo ya afya ya uzazi tunachohitaji ni maarifa tu, tukishirikiana kwa pamoja haya magonjwa ya uzazi tutayatokomeza vizuri tu...

Endelea kufurahia punguzo la 28% ambapo kwa sasa unaipata -MIXED HERBS POWDER- dawa ya kusafisha via vya uzazi, kuondoa vimbe, fangasi (P.I.D) na kubalansi homoni kwa Tsh 46,000 tu

Wasiliana nasi 0763872652

K**a una tatizo la kutoa uchafu uken wenye harufu mbaya au umepima ukaambiwa una fangasi / P.I.D na Ungependa kujifunza namna ya kutibu tatizo hilo kupitia vyakula, njoo uchukue mwongozo bure, tuma ujumbe whatsapp kwenda whatsapp 0763872652

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Machinga Complex
Dar Es Salaam
0702112