Tiba mkwaju

Tiba mkwaju

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba mkwaju, Health/Beauty, Dar es Salaam.

01/08/2026

🚨MWILI WAKO UNAKOSA NGUVU NA KULEGEA KILA WAKATI MAUMIVU YA VIUNGO HIYO NI SUMU 😩

Je, unahisi mwili wako umechoka na kulegea kila wakati? Inawezekana mwili wako umepoteza ule uchangamfu uliokuwa nao miaka ya nyuma kutokana na mlundikano wa sumu.
Usikubali kuzoea maumivu au uchovu. Je, unakutana na haya?
🚩 Uchovu usioisha hata ukipumzika.
🚩 Tumbo kuvurugika, gesi, au kukosa choo.
🚩 Ngozi yako kupoteza mng'ao wa asili.
🚩 Uzito na kitambi vinavyokosesha amani
PURE TOXA NI MKOMBOZI WAKO!
Hii siyo dawa tu, ni nafasi nyingine ya kuufanya mwili wako ujisikie upya:
βœ… Inasafisha Ini na Figo ili mwili upate nguvu mpya.
βœ… Inaondoa Uchovu na kukurudishia msisimko wa kufanya kazi.
βœ… Inasaidia Uzito kwa kuondoa kile kinachousumbua mwili ndani
πŸ’° Bei: 264,999/= tu
🎁 ZAWADI YA UPENDO: Unapata ushauri wa afya na Meal Plan BURE kabisa!
πŸ‘‰ AGIZA SASA: https://wa.link/wn86g7
πŸ“ž Piga/WhatsApp: 0766 017 823
πŸ“ Tunatuma mikoani kote kwa uaminifu mkubwa.
Afya yako ndiyo hazina yako kuu. Jali mwili wako leo, nao utakulinda kesho! πŸƒβ€β™‚οΈπŸ’¨

01/08/2026

πŸ”₯ JE, UNATESEKA NA MOTO KIFUANI, ACID KUPANDA KOONI, AU KUKOSA CHOO KILA SIKU? πŸ’”
Hali ya acid kupanda kooni k**a moto, tumbo kujaa gesi mpaka unashindwa kupumua vizuri, au kiungulia kinachokunyima amani usiku kucha... SIO HALI YA KAWAIDA NA INATESA SANA! 😒
Watu wengi wamewahi kuzoea mateso haya, lakini ukweli ni kwamba mfumo wako wa chakula unalilia msaada wa haraka na wa uhakika!
πŸ“Œ JE, UNAKUTANA NA DALILI HIZI?
πŸ›‘ Moto mkali kifuani na kiungulia kinachochoma kooni
πŸ›‘ Kucheua vitu vya uchungu au acid kupanda mdomoni
πŸ›‘ Tumbo kujaa upepo, kutoa gesi na kukosa choo au kupata choo kigumu
πŸ›‘ Kitu kuhisi kimekwama kooni kisichoshuka wala kutoka
πŸ›‘ Koo kukauka kila asubuhi na kujawa na mak**asi kooni
πŸ›‘ Kichefuchefu na tumbo kuvimba kila baada ya mlo
Sasa suluhu ya uhakika imefika! RefluxEase inakwenda kusafisha mfumo wako wa chakula, kutuliza acid na kurejesha amani ya tumbo lako!
πŸ’₯ MATOKEO YA HARAKA KWA SIKU 5 TU!
πŸ’° PRICING SPECIAL OFFER:
πŸ“¦ Pack ya Moto (Full Dose): Tsh 90,000/=
πŸ“¦ Pack ya Nusu Dozi: Tsh 50,000/=
πŸ“ Dar es Salaam: Unaletewa mpaka ulipo!
πŸš› Mikoani: Tunatuma kwa uaminifu mkubwa na haraka sana.
πŸ‘‡ REJESHA AMANI YA TUMBO LAKO LEO!
πŸ“² Piga au Tuma ujumbe WhatsApp sasa hivi kupitia: 0766017823

29/07/2026

KIUNGULIA KINAKUTESA? Okoa Tumbo Lako Leo! πŸ©ΊπŸ‘‡
Ili kudhibiti tatizo la Acid Reflux (Kiungulia), siri kubwa ni kula vyakula vyenye tindikali kidogo (low acid) na vinavyosagwa kwa urahisi.
KULA HIVI (RAFIKI πŸ‘)EPUKA HIVI (VICHOCHEO ❌)
🍌 Ndizi mbivu, Papai, Tikiti majiπŸ‹ Ndimu, Chungwa, Nanasi
πŸ₯£ Oats, Mchele wa Brown, Mkate wa ngano🍟 Chips, Vyakula vya kukaanga
πŸ₯¦ Brokoli, Mchicha, Bamia🌢️ Pilipili, Vitunguu vibichi
πŸ— Kuku wa kuchemsha, Samaki wa kuokaβ˜• Kahawa, Soda ya gesi, Pombe
🫚 Chai ya Tangawizi (Asilia)🍫 Chokoleti, Jibini (Cheese)
πŸ’‘ Kwa nini hii inafanya kazi?
Nafaka zisizokobolewa zina nyuzi-lishe (fiber) zinazofyonza tindikali tumboni.
Ndizi husaidia kutengeneza ukuta wa kinga kwenye bomba la chakula.
Vyakula vya kukaanga hulegeza misuli ya mlango wa tumbo, hivyo kuruhusu acid kupanda juu.
πŸ‘‰ Save video hii isikupotee, na share na mtu mwenye changamoto hii!

29/07/2026
29/07/2026

Ushuhuda Mwengine Wa H. Pylori / Vidonda vya Tumbo! πŸ’š Sifa na Utukufu kwa Mungu!
Hakuna kinachonipa furaha k**a kuona mteja wangu aliyekuwa akiteseka na mdudu wa H. Pylori na maumivu makali ya tumbo leo hii anajisikia vizuri, amepona kabisa, na anashukuru! πŸ™βœ¨
K**a na wewe umekuwa ukisumbuka na:
🦠 Mdudu wa H. Pylori aliyekataa kuondoka.
πŸ”₯ Kiungulia na moto kifuani.
🀒 Tumbo kujaa gesi na kukosa amani ukila chakula.
Acha kuteseka! Tiba yetu ya asili ipo tayari kukusaidia na kurudisha tabasamu lako k**a kaka yetu hapa!0766017823

29/07/2026

Acha Kuteseka na Acid Reflux & Gesi Tumboni! 🚫πŸ”₯

​Je, unateseka na dalili hizi?

​πŸ”₯ Moto kifuani na kiungulia kinachoshindwa kuisha.

β€‹πŸ€’ Asidi au chakula kupanda kooni.

β€‹πŸ’¨ Tumbo kujaa gesi, kuunguruma, au kuvimba.

β€‹πŸ˜« Maumivu makali ya tumbo na kichefuchefu baada ya kula.

​Acha kuteseka! Tiba yetu ya asili kutoka Tiba Mkwayu inakwenda kutatua changamoto ya mmeng'enyo wa chakula na kurudisha afya yako katika hali ya kawaida ndani ya siku 5 tu!

β€‹πŸš¨ OFA MAALUMU YA LEO:

πŸ’Š Full Dose: TSh 90,000/= (Badala ya TSh 130,000/=)

πŸ’Š Nusu Dose: TSh 50,000/=

β€‹πŸ“ Tunapatikana: Dar es Salaam (Mlimani City)

πŸ“¦ Mikoani: Tunatuma mzigo wako kwa uaminifu na haraka zaidi!

β€‹πŸ‘‡ Wahi Ofa Yako Sasa!

πŸ“ž Piga / WhatsApp: 0766 017 823

05/02/2026

Uaminifu ni hazinaβ™₯️ Asante kwa mnaoniamini

05/02/2026

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kamnyweso jamanπŸ€”

03/02/2026

Dalili ya kitu ni ishara ya msaada usipousikiliza mwili wako wakati wa dalili utagharamia wakati wa tatizo Anza tiba Leo kutibu dalili🎯 tibamkwaju nipo hapa kukusaidia kumaliza changamoto yako πŸ™

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam