Bio Lush Cosmetics
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bio Lush Cosmetics, Health/Beauty, Dar es Salaam.
04/06/2026
Beauty, skincare ni muhimu, lakini usisahau kuwa ngozi nzuri huanzia ndani ya mwili. ✨
Tuna supplements mbalimbali zinazoweza kusaidia afya ya ngozi, nywele na mwili kwa ujumla. Karibu BioLush Cosmetics tufanye ushauri wa bidhaa zinazokufaa kulingana na malengo yako.
📍Karibu dukani au WhatsApp 0753209244kwa maelezo zaidi.
GlowFromWithin
K**a lengo lako ni glass skin na ngozi yenye glow, hizi tatu ni must have kwenye routine yako.
TUNAPATIKANA MWANANYAMALA A JENGO LA BARAKA TELE
TUPIGIE 0753209244
Tatizo la wengi si kukosa skincare, ni kutumia skincare isiyo sahihi.
Kwa dakika chache tu tunaweza kuchambua ngozi yako na kukusaidia kujua kinachosababisha chunusi, mafuta mengi, ukavu au mabaka.
Ngozi yako ni ya kipekee. Routine yako nayo inapaswa kuwa ya kipekee.
📞 0753 209244
Unatumia skincare lakini huoni matokeo?
Huenda unatumia bidhaa ambazo haziendani na ngozi yako.
Njoo tufanye uchambuzi wa ngozi yako kwanza, kisha tukupangie routine sahihi kulingana na mahitaji ya ngozi yako na bajeti yako.
Usibahatike kwenye ngozi yako. Pata ushauri wa kitaalamu leo.
📍 Mikocheni
📞 0753 209244
Watu wengi wanaanza biashara ya cosmetics kwa kubahatisha… ndio maana wanapoteza mtaji.
Kila order ninayoandaa hapa inaandaliwa kwa malengo. Tunakusaidia kuchagua bidhaa sahihi, kupanga set kulingana na bajeti yako, kukufundisha jinsi ya kuuza, na kukuelekeza bidhaa zinazotoka haraka sokoni.
Ukihitaji kuanza biashara ya cosmetics au kuongeza bidhaa kwenye biashara yako, usinunue bidhaa tu, pata mwongozo sahihi kwanza.
Karibu BioLush Cosmetics. 💜
WhatsApp: 0753 209244
Watu wengi wanataka kuanza biashara ya cosmetics lakini hawajui waanzie wapi.
Kwetu hupati bidhaa tu, tunakusaidia kuchagua bidhaa zinazouzika, kupanga set kulingana na bajeti yako na kukuelekeza jinsi ya kuanza biashara yako.
✨ New arrival za skincare kutoka UK, Korea na nchi nyingine zipo tayari.
K**a unataka kuanza biashara ya cosmetics au kuongeza stock, tupo tayari kukusaidia.
📲 WhatsApp: 0753 209244
BusinessStartupTZ
Watu wengi wanaanza biashara ya cosmetics lakini changamoto yao si kupata bidhaa tu, ni kujua waanzie wapi, wauze vipi, na wajengeje wateja.
Ndio maana kwetu hupati bidhaa pekee. Tunakusaidia kuchagua bidhaa zinazotrend, kupanga set kulingana na bajeti yako, kukuelekeza jinsi ya kuanza, na kukushauri namna ya kuuza ili upate faida.
Tumepokea new arrival za brand mbalimbali kutoka UK, Korea na nchi nyingine zenye mahitaji makubwa sokoni kwa sasa.
K**a unataka kuanza biashara ya cosmetics au kuongeza bidhaa mpya kwenye biashara yako, karibu tuongee. Tupo hapa kukusaidia kukua, sio kukuuzia bidhaa tu.
WhatsApp 0753209244 kwa maelezo zaidi.
Karibuni sana dukani kwa ushauri wa ngozi , kupima ngozi na kujipatia product sahihi za ngozi yako
TUNAPATIKANA MWANANYAMALA A JENGO LA BARAKA TELE
31/05/2026
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
