Bio Lush Cosmetics

Bio Lush Cosmetics

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bio Lush Cosmetics, Health/Beauty, Dar es Salaam.

Photos from Bio Lush Cosmetics's post 04/06/2026

Beauty, skincare ni muhimu, lakini usisahau kuwa ngozi nzuri huanzia ndani ya mwili. ✨

Tuna supplements mbalimbali zinazoweza kusaidia afya ya ngozi, nywele na mwili kwa ujumla. Karibu BioLush Cosmetics tufanye ushauri wa bidhaa zinazokufaa kulingana na malengo yako.

📍Karibu dukani au WhatsApp 0753209244kwa maelezo zaidi.

GlowFromWithin

02/06/2026

K**a lengo lako ni glass skin na ngozi yenye glow, hizi tatu ni must have kwenye routine yako.

TUNAPATIKANA MWANANYAMALA A JENGO LA BARAKA TELE

TUPIGIE 0753209244

31/05/2026

Tatizo la wengi si kukosa skincare, ni kutumia skincare isiyo sahihi.

Kwa dakika chache tu tunaweza kuchambua ngozi yako na kukusaidia kujua kinachosababisha chunusi, mafuta mengi, ukavu au mabaka.

Ngozi yako ni ya kipekee. Routine yako nayo inapaswa kuwa ya kipekee.

📞 0753 209244

31/05/2026

Unatumia skincare lakini huoni matokeo?

Huenda unatumia bidhaa ambazo haziendani na ngozi yako.

Njoo tufanye uchambuzi wa ngozi yako kwanza, kisha tukupangie routine sahihi kulingana na mahitaji ya ngozi yako na bajeti yako.

Usibahatike kwenye ngozi yako. Pata ushauri wa kitaalamu leo.

📍 Mikocheni
📞 0753 209244

31/05/2026

Watu wengi wanaanza biashara ya cosmetics kwa kubahatisha… ndio maana wanapoteza mtaji.

Kila order ninayoandaa hapa inaandaliwa kwa malengo. Tunakusaidia kuchagua bidhaa sahihi, kupanga set kulingana na bajeti yako, kukufundisha jinsi ya kuuza, na kukuelekeza bidhaa zinazotoka haraka sokoni.

Ukihitaji kuanza biashara ya cosmetics au kuongeza bidhaa kwenye biashara yako, usinunue bidhaa tu, pata mwongozo sahihi kwanza.

Karibu BioLush Cosmetics. 💜

WhatsApp: 0753 209244

31/05/2026

Watu wengi wanataka kuanza biashara ya cosmetics lakini hawajui waanzie wapi.

Kwetu hupati bidhaa tu, tunakusaidia kuchagua bidhaa zinazouzika, kupanga set kulingana na bajeti yako na kukuelekeza jinsi ya kuanza biashara yako.

✨ New arrival za skincare kutoka UK, Korea na nchi nyingine zipo tayari.

K**a unataka kuanza biashara ya cosmetics au kuongeza stock, tupo tayari kukusaidia.

📲 WhatsApp: 0753 209244

BusinessStartupTZ

31/05/2026

Watu wengi wanaanza biashara ya cosmetics lakini changamoto yao si kupata bidhaa tu, ni kujua waanzie wapi, wauze vipi, na wajengeje wateja.

Ndio maana kwetu hupati bidhaa pekee. Tunakusaidia kuchagua bidhaa zinazotrend, kupanga set kulingana na bajeti yako, kukuelekeza jinsi ya kuanza, na kukushauri namna ya kuuza ili upate faida.

Tumepokea new arrival za brand mbalimbali kutoka UK, Korea na nchi nyingine zenye mahitaji makubwa sokoni kwa sasa.

K**a unataka kuanza biashara ya cosmetics au kuongeza bidhaa mpya kwenye biashara yako, karibu tuongee. Tupo hapa kukusaidia kukua, sio kukuuzia bidhaa tu.

WhatsApp 0753209244 kwa maelezo zaidi.

31/05/2026

Karibuni sana dukani kwa ushauri wa ngozi , kupima ngozi na kujipatia product sahihi za ngozi yako

TUNAPATIKANA MWANANYAMALA A JENGO LA BARAKA TELE

31/05/2026
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Dar Es Salaam