Mwanamke NI MAMA.
1.HUDUMA KWA WENYE CHANGAMOTO ZA UZAZI TU!
2.UTAWEZA KUJIFUNZA NJIA RAHISI KUTATUA CHANGAMOTO ZA UZAZI.
KASHIFA NA MANENO YA KEJERI HAYARUHUSIWI.
3.KILA MMOJA ANAHAKI YA KUSIKILIZWA NA KIHESHIMIWA.
04/04/2023
🗣️🧏🏽♀️.Kuitwa MAMA NI HAKI YA KILA MWANAMKE
*Mwanamke anaweza kubeba mimba kwa urahisi sana Endapo ana sifa Zifuatazo :.*
📌Mayai yanakomaa na kupevuka vizuri
📌Mirija ya uzazi haikuvimba wala kuziba au kuwa na kakovu
📌mji wa mimba au uterus ipo safi na hauna Vivimbe
📌Kizazi hakina uambukizo wa aina yoyote, fangasi, UTI,(Urinary Track Infection), PID - (Pelvic Inflammatory Disease )
📌Homoni zake zimebalance vizuri
📌UTE wa Uzazi /OVULATION uwepo katika siku za hatari.
✏Uwezo wa kupata sifa hizo na kukufanya ubebe mimba upo
*KARIBU TUKUHUDUMIE TUPIGIE 0745674037 au bofya link hapa chini,👇👇
https://chat.whatsapp.com/Gg6qVJCbsY6Hm0YXCX79BF
30/03/2023
https://chat.whatsapp.com/Gg6qVJCbsY6Hm0YXCX79BF
👆👆bofya link kupata huduma zetu juu ya afya yako au tupigie🤳 0745674037
kila MWANAMKE NI MAMA HATA WEWE UTAITWA MAMA TU.
27/03/2023
*FAHAMU**MTINDO MBOVU WA MAISHA NA UGUMBA*
Mtindo wa maisha unaweza kuathiri uzazi wa mwanamke na mwanamume na kusababisha ugumba. Hapa chini ni baadhi ya mifano ya jinsi mtindo wa maisha unavyoweza kusababisha ugumba:
1. *Lishe mbaya:* Kula lishe mbaya na yenye kiwango cha chini cha virutubisho kunaweza kusababisha ugumba kwa wanawake na wanaume. Lishe duni inaweza kuathiri uzalishaji wa homoni na kuathiri ubora wa mayai ya mwanamke na manii ya mwanamume.Mfano kula vyakula vya wanga na sukari kupitia kiasi wali, pilau,biriyani,ugali sembe, chapati,keki soda , energy drink n.k. kula vyakula vya protein k**a ndizi,nyama,samaki ,mayai,Matunda na mboga mboga
2. *Unene kupita kiasi:* Unene kupita kiasi kunaweza kusababisha ugumba kwa wanawake na wanaume. Unene kupita kiasi huongeza hatari ya magonjwa yanayohusiana na uzazi k**a vile ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu, ambayo yanaweza kuathiri uzazi.
3. *Uvutaji wa sigara:* Uvutaji wa sigara inaweza kupunguza uzalishaji wa homoni ya k**e na kusababisha uharibifu wa mayai ya mwanamke na ubora wa manii ya mwanamume. Inaweza pia kusababisha matatizo ya kiafya k**a vile ugonjwa wa mapafu na magonjwa mengine yanayoweza kusababisha ugumba.
4. *Matumizi ya pombe na dawa za kulevya:* Matumizi ya pombe na dawa za kulevya kunaweza kuathiri uzazi kwa wanawake na wanaume. Matumizi ya pombe na dawa za kulevya zinaweza kupunguza uzalishaji wa homoni na kuathiri kazi ya viungo vya uzazi.
5. *Stress:*
Stress inaweza kuathiri uzazi kwa wanawake na wanaume. Stress inaweza kupunguza uzalishaji wa homoni za uzazi na kusababisha matatizo ya kiafya ambayo yanaweza kuathiri uzazi.
6. *Kutumia dawa:*
Baadhi ya dawa zinaweza kuathiri uzazi kwa wanawake na wanaume.Uzazi wa mpango na Dawa za kuzuia mimba K**a P2 ni hatari. Kwa mfano, baadhi ya dawa za kulevya za kisasa mfano mzuri ni sh**ha zinaweza kusababisha upungufu wa uzalishaji wa homoni na kuathiri ubora wa mayai ya mwanamke na manii ya mwanamume.
Kwa hiyo, mtindo wa maisha unaweza kuathiri uzazi wa mwanamke na mwanamume. Ni muhimu kuwa na mtindo wa maisha wenye afya, kula lishe bora, kuepuka uvutaji wa sigara na matumizi ya pombe na dawa za kulevya, kupunguza stress, na kushauriana na daktari kabla ya kutumia dawa yoyote. Kufanya hivyo kunaweza kusaidia kupunguza hatari ya ugumba na kukuza uzazi wa afya.
UNATATIZO KATIKA MFUMO WAKO WA UZAZI BOFYA LINK YENYE MAANDISHI YA BLUE UHUDUMIWE AU TIPIGIE🤳🏼 0745674037👇🏽👇🏽👇🏽
https://chat.whatsapp.com/Gg6qVJCbsY6Hm0YXCX79BF
23/03/2023
https://chat.whatsapp.com/Gg6qVJCbsY6Hm0YXCX79BF
*MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI*
,📌Mimba kuharibika mara kwa mara au kutokushika mimba kabisa na kuwa mgumba.
📌Maumivu wakati wa tendo la ndoa na kuchubuka (Kwasababu ya ukavu)
📌Mambukiz sugu za fangasi sugu sehem za siri.
📌Kuzeeka mapema, ngozi kulegea na kuanza kujikunja au kukak**aa.
📌Huchangia tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi
📌Hupelekea Uvimbe (Fibroids and Cysts)
*Wai tiba kabla tatizo halijawa kubwa.*
Kati ya hujuma utakuwa umeifanyia afya ni kuikatia tamaa kwa sababu ulitumia dawa fulani hukupona, piga hapa tukuhudumie TUNAHUDUMA KIBOKO KABISA 0745674037 au bofya link huko juu👆👆👆👆
22/03/2023
https://chat.whatsapp.com/Gg6qVJCbsY6Hm0YXCX79BF
changamoto zote za uzazi suluhisho lipoo bofya link hapo juu uhudumiwe ushauri Ni bureee kabisa au tupigie,🤳 0745674037
22/03/2023
https://chat.whatsapp.com/Gg6qVJCbsY6Hm0YXCX79BF
👆👆👆bofya link hapo itakuleta moja kwa moja katika kikundi Cha wanawake na huduma au tupigie 0745674037
21/03/2023
https://chat.whatsapp.com/Gg6qVJCbsY6Hm0YXCX79BF
bofya link hapo kujiunga katika kikundi Cha wanawake 👆👆👆
K**a unakosa Ute wa uzazi na ujauzito hupati tupigie kwa huduma na msaada zaidi 🤳0745674037
21/03/2023
*Huenda ukawa unapendelea kula vitu vitamu vitamu na vile ambavyo unahisi havina ladha au vyenye ladha ya ukakasi ukawa umevipa mgongo. Asikudanganye mtu licha ya Nyanya chungu kutokuwa na ladha k**a jina lake lakini ina faida lukuki:-*
📌Chanzo kikubwa cha Vitamin A, B na C.
📌Kuimarisha kinga ya mwili.
📌Kuzuia magonjwa ya Kisukari.
📌Kuzuia maradhi ya Moyo.
📌Chanzo cha madini chuma na Potassium.
📌Zina kiwango kikubwa cha maji.
📌Kurekebisha mzungumko wa hedhi kwa wanawake.
📌Kutibu matatizo ya tumbo la uzazi, kusafisha na kulinda mfuko wa uzazi.
📌Ina Vitamin K ambayo huboresha mzunguko wa damu mwilini(Mzunguko mzuri wa damu ni muhimu zaidi kwa wanaume).
📌Kuongeza ashki na stamina ya mapenzi, ikiliwa kwenye mboga au juisi pamoja na maganda yake.
wewe Ni wa thamani Sana mbele za MUNGU Nisipokwambia ninachofahamu kuhusu afya nitadaiwa Sana endelea kufuatilia stutus zetu, magroup yetu na hata katika page zetu ili unufaike zaidi🤝
16/03/2023
https://chat.whatsapp.com/Gg6qVJCbsY6Hm0YXCX79BF
👆👆👆👆bofya link moja kwa moja itakuleta katika kikundi Cha wanawake na huduma au tupigie 🤳🤳0745674037
Swali
Dr. habari ,nakuomba utoe Elimu kuhusu Molar Pregnancy ni nini maana Hali hii imenitesa sana
*JIBU*
Molar Pregnancy (Mimba Zabibu)
Mimba zabibu ni aina ya uvimbe k**a mimba unaotokea katika mji wa uzazi baada ya yai kurutubishwa na mbegu za kiume. Uvimbe huu huitwa molar pregnancy au hyadatidform mole kwa kiingereza.
*Namna Mimba Zabibu Inavyotokea*
Mimba zabibu hutokea pale ambapo yai la k**e linaporutubishwa na mbegu za kiume na kisha kutengeneza kiinitete kisicho cha kawaida. Hiki hujipandikiza kwenye mji wa uzazi kutengeneza uvimbe.. Uvimbe huu hukua na kuleta dalili k**a za ujauzito wa kawaida hasa miezi ya mwanzoni mpaka pale dalili zitakapoanza kuwa kali zaidi.
Uvimbe huu sio saratani, ingawa mara chache una hatari ya kuja kufanya saratani za mimba zabibu (gestational trophoblastic neoplasia).
*Dalili za Mimba Zabibu*
Mimba zabibu huanza na kukua k**a mimba ya kawaida kwa miezi ya kwanza au ukipata dalili kali kidogo mwanzoni. Dalili zinaweza kujionyesha zaidi kwenye mwezi wa 4 na 5 wa ujauzito, zikiwa ni:
👉🏾Kutapika sana na kichefuchefu. Hii ni zaidi ile hali ya kutapika kawaida wakati wa ujauzito.
👉🏾Kutokwa damu ukeni.
👉🏾Kutokwa na nyama au vitu k**a zabibu ukeni
👉🏾Maumivu ya tumbo
*Uchunguzi na Vipimo*
Daktari atafanya uchunguzi kupima tumbo, uke na shingo ya uzazi. Katika uchunguzi, tumbo la mimba linaweza kuonekana ni kubwa zaidi ya kawaida, shinikizo la damu kupanda nakiasi cha damu kupungua.
Vipimo ambavyo hufanyika katika tatizo hili ni;
👉🏾Kipimo cha ujauzito cha mkojo (urinary pregnancy test)
Kuthibitisha uwezekano wa uwepo wa ujauzito.
👉🏾Kipimo cha homoni za HCG kwenye damu
👉🏾Ultrasound ya tumbo na kiuno
👉🏾Historia ya tishu za mimba zabibu
Hutumika kuthibisha k**a ni mimba zabibu au uwepo wa saratani ya mimba zabibu.
*Matibabu*
Pale inapothibitishwa, mimba zabibu hutibiwa kwa kuondolewa. Huondelewa kwa mji wa mimba kusafishwa kizazi (dilatation and curretage). Mikasi maalumu huingizwa kwenye mji wa mimba na kisha kutoa mimba zabibu yote. Tishu zinazotolewa hupelekwa maabara kwa ajili ya uchunguzi wa histolojia.
Baada ya kusafiwa utapewa dawa za kuzuia damu kutoka, dawa za kuua bakteria na za kuongeza damu ikibidi.
Dawa ya methotrexate hutumika pale ambapo homoni zaHCG zipo nyingi sana baada ya mji wa mimba kusafishwa. Unaweza ukawekwa kwenye dawa hii kwa muda mpaka HCG zitarudi kwenye kiwango cha kawaida.
K**a mwanamke ameshamaliza mipango ya uzazi, basi anaweza akafanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi.
*USHAURI*
K**a umeshapata tatizo au una historia ya kupata Mimba Zabibu ( Molar Pregnancy) nakushauri uanze kwanza kutumia DoZi ya mfumo mzima wa uzazi kuweka kizazi chako sawa. Hii ni kuepusha uwezekano wa Kupata Mimba Zabibu ambayo inaweza kusababisha uondolewe kizazi kabisa.
24/02/2023
KUPEVUKA KWA YAI LA MWANAMKE
NDIO URAHISI WA MWANAMKE KUSHIKA UJAUZITO,🤰🤱
🌲Kwa kawaida yai la mwanamke likipevuka huwa linakuwa hai kwa muda wa saa 24 tu baada ya hapo linakuwa limeshaharibika na hata likikutana na mbegu ya kiume haliwezi kurutubishwa na kutengeneza mimba.
🌲Licha ya yai kuharibika baada ya saa 24 huendelea kukaa mwilini mwa mwanamke kwa muda wa siku 14 na baada ya hapo hutoka nje ya mwili k**a hedhi, hivyo ukianza kuona siku zako Leo ujue ilo yai lilipevuka siku 14 zilizopita.
🌲Hivyo basi kumbe ukichukua idadi ya siku unazotumia kutoka hedhi moja mpaka nyingine(mzunguko wako wa hedhi) ukatoa hizo siku 14 utapata siku ambayo yai hupevuka.
*Mfano*
🌲K**a mzunguko wako wa hedhi ni siku 28, 26 , 30 , 34 n.k
Chukua mzunguko wako wa hedhi kisha toa 14 na jibu utakalopata ndio siku ya kupevuka kwa yai lako.
28- 14 =14(Siku ya 14 tangu uanze hedhi)
26-14= 12(Siku ya 12 tangu uanze hedhi)
30-14=16(Siku Ya 16 tangu uanze hedhi)
34-14=20(Siku Ya 20 tangu uanze hedhi)
Huo ni mfano tu wa baadhi ya mizunguko ya hedhi na siku za yai kupevuka.
🌲 Sasa ukishajua mzunguko wako wa hedhi na ukatoa 14 utajua pia yai linapevuka siku ya ngapi, siku ambayo yai linapevuka hiyo ndiyo siku ambayo yai likikutana na mbegu ya kiume unapata mimba.
🌲Lakini kwa kuwa mbegu za kiume zina uwezo wa kukaa kwenye mwili wako bila kufa hadi siku 5 japo inategemea na uimara wa mbegu zenyewe pamoja na hali ya mfumo wako wa uzazi, hiyo maana yake hata ukifanya siku 5, 4, 3, 2 kabla ya ile siku ya yai kupevuka basi unaweza kupata mimba maana yai litapevuka likute mbegu zina siku kadhaa mwilini mwako zikiwa hai.
🌲 K**a hutaki kupata mimba unarudi nyuma siku hata sita kwa uhakika zaidi kutoka kwenye ile siku ya yai kupevuka na unaenda tena mbele ya siku ya yai kupevuka k**a siku 2 hivi maana kutokana na mambo mengine k**a vyakula yai linaweza lisipevuke iyo siku likapevuka kesho yake hivyo ili kuwa salama zaidi unafanya hivyo, japo yai likipevuka huchukua masaa 24 na baada ya hapo linaharibika na haliwezi tena kurutubishwa na mbegu.
K**a ulihesabu na siku ya kupevuka kwa yai ikawa inaangukia tarehe 10 mfano inamaana siku za hatari zitakuwa ni tarehe
5,6,7,8,9,10, 11 na 12.
*UFUPISHO*
Mzunguko - Siku ya yai kupevuka.
Siku 20 - Siku ya 6.
Siku 21 - Siku ya 7.
Siku 22 - Siku ya 8.
Siku 23 - Siku ya 9.
Siku 24 - Siku ya 10.
Siku 25 - Siku ya 11.
Siku 26 - Siku ya 12.
Siku 27 - Siku ya 13.
Siku 28 - Siku ya 14.
Siku 29 - Siku ya 15.
Siku 30 - Siku ya 16.
Siku 31 - Siku ya 17.
Siku 32 - Siku ya 18.
Siku 33 - Siku ya 19.
Siku 34 - Siku ya 20.
Siku 35 - Siku ya 21.
*Hope utakuwa umepata mwanga kidogo. K**a una swali uliza hapa utapata msaada zaidi*
MWANAMKE K**A MAYAI YAKO HAYAPEVUKI NI NGUMU KUSHIKA UJAUZITO K**A UTAHITAJI SULUHISHO LA TATIZO HILI TUPIGIE KWA 0745674037 au bofya link hii itakuleta moja kwa moja katika kikundi Cha mwanamke na huduma👇👇
https://chat.whatsapp.com/Gg6qVJCbsY6Hm0YXCX79BF
11/02/2023
*NIPE NAFASI, NIKUSAIDIE KUMALIZA TATIZO HILI KWA HARAKA*
Hakuna kitu kinaleta stress kwenye ndoa k**a mwanamke kuchelewa kupata mtoto, utasemwa na mawifi, mama mkwe, na hata majirani tena utaonekana k**a ulikuja kwa mumeo kujaza choo tu na huna faida yoyote!
Mbaya zaidi ni pale unapoenda hospital ili kupata msaada wa kitaalam na baada ya kufanya vipimo vyote unaambiwa hauna tatizo lolote!
Na Kadri unavyozidi kuchelewa, unasikia mume amezaa nje, na huo ndio mwanzo wa kuonekana takataka kwa mumeo maana hawezi tena kukuthamini wewe aache kumthamini aliemzalia mtoto!
Wapo ambao hawapati Ujauzito kwasababu ya kuwa na matatizo Kwenye kizazi K**a mirija kuziba,kuota uvimbe,Mayai kushindwa kupevuka kwa Wakati, Chango la uzazi, matatizo ya mvurugiko wa Hormones n.k
Wapo ambao hawapati mimba au mimba zinaharibika Mara kwa Mara kwasababu ya kuwa na maambukizi ya Bacteria K**a U.T.I. Sugu, P.I.D , Fungus n.k
Wapo ambao hawapati Ujauzito kwasababu za mifumo mibovu ya maisha kwasababu ya Ulaji mbovu, uvutaji wa sigara,bangi,sh**ha ,madawa ya kulevya, unywaji wa pombe n.k
Wapo ambao Wana msongo wa mawazo na stress za maisha zinepelekea wamepata ugumba na wapo ambao wamewahi kutoa mimba na hivi Sasa wanahangaika mimba hazishiki
Lakini wapo ambao ndio mpango wa MUNGU kawaletea huo mtihani wa kutopata mtoto au kuchelewa kuwapa mtoto kuona Imani Yao. Wapo ambao wameandikiwa Kupata mtoto uzeeni na wapo ambao hawajaandikiwa Kupata mtoto kabisa hayo yote Ni mapenzi ya Mungu.
Najua inauma mno lakini usichoke kujitibia na kumuomba MUNGU kwani ipo siku nawe atakukumbuka na kukufuta machozi
*YATAPITA HAYA YOTE YANA MWISHO IPO SIKU UTAYASAHAU NA UTATOA CHOZI LA FURAHA🤝🏿*
Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako.
@ mwanamke Ni mama🤱🏽 na kila mwanamke Ni mama
Kumbuka unastahili kuwa na Mtoto na kuwa na furaha na amani Katika Ndoa yako🤝🏿
Kwa ushauri Zaidi tupigie 🤳 0745674037
Au bofya link hii itakuleta moja kwa moja katika kikundi Cha wanawake na huduma
https://chat.whatsapp.com/Gg6qVJCbsY6Hm0YXCX79BF
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
MWANZA GHANA
Mwanza
