Shija tibalishe
NINAWASAIDIA WANAWAKE KUTOKOMEZA UCHAFU NA HARUFU MBAYA UKENI KWA MUDA WA SIKU SABA TU
23/07/2024
TEZI DUME.
Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa mtu mwenye jinsia ya kiume. Tezi hii inakazi ya kutengeneza majimaji meupe mepesi. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa haraka.
Tezi dume ipo wapi kwa mwanaume?.
Tezi dume ipo nyuma ya kibofu cha mkojo pia inazunguka mrija unaounganisha kibofu. Ipo mbele ya utumbo mpana ndani ya mfupa wa nyonga.
VISABABISHI VYA TEZI DUME.
- Umri mkubwa kuanzia miaka 50.
- Nasaba au ukoo wenye historia ya saratani.
- Lishe hatarishi.
- Unene kupita kiasi nk.
DALILI ZA TEZI DUME.
1 Mkojo kuwa dhaifu.
2 Kukojoa mara kwa mara.
3 Damu ndani ya mkojo.
4 Maumivu makali ya kiuno.
5 Kushindwa kumaliza mkojo.
Ukiona dalili hizi basi jua kuwa wewe una tatizo la tezi dume haraka tafuta matibabu maana ukiacha huwa saratani.
Dawa ya tezi dume zipo.
CALL/WHATSAPP 0744780190
26/04/2024
*KUTUNZA UKE*🌹
*kutunza uke na kulinda afya ya uke ni jambo la muhimu sana kwa mwanamke.*
⬛Kutokwa na harufu mbaya ukeni ni kiashiria kwamba unaumwa na hauko sawa.
⬛Hali hii inaweza kuathiri heshima ya mwanamke na pia mahusiano na mwenza wake.
⬛Harufu mbaya ukeni kwa kiasi kikubwa husababishwa na bacteria wa vaginosis japo siyo kila mara ndio maana kuna umuhimu wa kutafuta chanzo cha tatizo la kunuka uke.
⬛Ni kawaida kwa mwanamke kupata harufu ukeni kutokana na hali ya uke kujisafisha kutoa vimelea wabaya.
⬛Lakini pale harufu inapokuwa kali sana mfano wa harufu ya shombo ya samaki basi ujue kuna tatizo kubwa.
⬛Kutokwa na harufu mbaya ukeni huwa inaambatana na dalili zingine k**a kuwasha na kuchomachoma na kutokwa na majimaji au uchafu k**a mtindi Ukeni.
⬛Miongoni mwa sababu kuu ya kupata harufu mbaya ukeni ni ukuaji wa bacteria wa vaginosis.
⬛Ukiwa na dalili hizi jua kuwa unashambuliwa na bacteria hao.
➡️ Uke kutoa maji maji mazito au mepesi yenye rangi ya njano au brown yenye harufu mbaya.
➡️ Maumivu kwenye maeneo ya kiuno au nyonga.
➡️Unaweza usipate au ukapata maumivu ya kichwa.
➡️Uke wako unaweza ukawa unawashwa.
➡️ Pia Ukuaji wa bacteria wa vaginosis ndani ya uke wanaweza kupelekea mimba kutoka, kujifungua kabla ya wakati na kuongezeka kwa hatari ya kupata magonjwa mengine ya ngono.
➡️Kutokwa na uchafu unaoambatana na harufu kali mfano wa harufu ya samaki wabichi.
⬛ Je, wewe ni mwanamke mwenye tatizo hili la kutokwa na harufu kali ukeni na ungependa kuondokana nalo❓
*⬛Kama jibu ni NDIYO basi karibu ibox au nipige tuzungumze nami nitakupatia ushauri na tiba ili uweze kuondokana na tatizo lako* 0744780190
26/04/2024
**JINSI YA KUTOKOMEZA HARUFU MBAYA UKENI KWA MUDA WA SIKU SABA TU**
1.unahisi miwasho ukeni lakini unapuuzia.
2.ukivua nguo ya ndani jioni unakuta imechafuka lakin unahisi kawaida.
3.uchafu unakutoka ukeni k**a maziwa na muda mwingine unaharufu lakin unachukulia poa.
4.unaugua UTI Mara kwa Mara bila kuchukua hatua yeyote unaona kawaida.
5.unakuwa mkavu ukeni, maumivu wakati wa tendo la ndoa, sku za hedhi kubadilika na kukosa hedhi kwa muda mrefu unachukulia kawaida tu.
❇️.Nimekuandalia WhatsApp group Darasani [BURE] la wiki moja lenye kukuonyesha kwa kina "Mambo 3 " unayotakiwa kufanya ili kuondokana Na changamoto hizo.
🔯.Unachotakiwa kufanya ili upate matokeo ya haraka
Bofya link hapa 👉
https://wa.me/255744780190?text=Habari%2C%20nahitaji%20kuingia%20darasani%20Dr%20Shija
Au
kuingia Darasani/tuma neno "niunge 🤩" 👆 kwenda WhatsApp number 0744780190
26/04/2024
Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D)~
Ni Maambukizi kwenye via vya Uzazi wa Mwanamke,
PID sio nzuri kwa Afya ya Uzazi, Kati ya wanawake 8 wenye PID sugu mmoja anakuwa Mgumba.
Hizi Hapa Dalili Kuu 10 Hatarishi za P.I.D:-
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa na ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa headhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
Moja ya madhara makubwa ya PID
UGUMBA infertility
📌mimba kutoka (miscarriage )
📌Mirija ya uzazi kuziba
📌Kizazi kujaa maji maji
📌Husababisha uvimbe kwenye mayai (ovarian cyst)
📌Hormonal imbalance
📌Saratani ya shingo ya kizazi unapo kaa na infection kwa muda mrefu
CALL/WHATSAPP 0744780190 Dr Shija
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Buzuruga
Mwanza
