officialAfya
kwa kutumia virutubisho lishe unaondokana & madhara ya magonjwa yasiyo ambukiza
04/05/2023
Yes
DAWA YA KUNG'ARISHA MENO
Hii ni Dawa Ya Meno Asilia Imetokana na mchanganyiko asilia wa viambata K**a vile Green tea,Honeysuckle na Notogingseng
Kazi Zake ni 👇👇👇 ●Ing'arisha Meno Yanakua Meupe,•Kuua vijidudu katika kinywa
•Kuondoa harufu mbaya mdomoni
●•Kuponya fizi zinazotoa damu
•Kusaidia kutoa ganzi ya meno
•Kuondoa maumivu makali ya meno
●•Kusaidia fangasi ya koo,na sehemu zingine
•Kukausha majeraha ya kuungua au kujikata
•Ni salama zaidi kwani haina madini ya fluoride badala yake kuna mimea mchanganyiko•
â—Źimethibitishwa na mamlaka ya dawa na vifaa tiba Tanzania TMDA
•Ni bidhaa namba moja Tanzania haina Fluoride Dr. Ts toothpaste ni ukitumia hutasumbuliwa tena na tatizo la Meno tumia Dr. Ts toothpaste ili kuimalisha meno yako.
Nipigie👉0624383591/0682081479
TEZI DUME NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND)
- Hii ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.
Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.
Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.
Hivyo tezi hii ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.
Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.
DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-
• Kukojoa Mara kwa mara.
• kubakiza mkojo kwenye kibofu.
• kukojoa saana usiku.
• Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
• Kupungukiwa nguvu za kiume
• UTI ya Mara kwa mara.
• Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
• Figo kujaa maji, hii ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
• Kupoteza fahamu.
•Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
• Uume kushindwa kusimama vizur.
•Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.
ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1. Kushindwa kabisa kukojoa.
2. Kupatwa na maambukizi ya UTI
3. Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
4. Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
5)Figo inaweza kuharibika.
Suluhisho la kumaliza hili tatizo lipo:
Linaondoka bila Upasuaji
Tumewasaidia wengi na wamepona kwa haraka zaidi kwa kufuata ushauri tulio wap.
Usisite kuwasiliana nasi
https://wa.me/255624383591
https://wa.me/255682081479
TEZI DUME NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND)
- Hii ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.
Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.
Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.
Hivyo tezi hii ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.
Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.
DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-
• Kukojoa Mara kwa mara.
• kubakiza mkojo kwenye kibofu.
• kukojoa saana usiku.
• Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
• Kupungukiwa nguvu za kiume
• UTI ya Mara kwa mara.
• Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
• Figo kujaa maji, hii ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
• Kupoteza fahamu.
•Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
• Uume kushindwa kusimama vizur.
•Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.
ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1. Kushindwa kabisa kukojoa.
2. Kupatwa na maambukizi ya UTI
3. Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
4. Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
5)Figo inaweza kuharibika.
Suluhisho la kumaliza hili tatizo lipo:
Linaondoka bila Upasuaji
Tumewasaidia wengi na wamepona kwa haraka zaidi kwa kufuata ushauri tulio wap.
Usisite kuwasiliana nasi
https://wa.me/0624383591
https://wa.me/0682081479
UGONJWA WA BAWASILI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE
Bawasiri ni nini
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid nk
SABABU YA BAWASILI
Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa Vinyama sehemu ya haja kubwa
DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI
1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.kupata kinyesi chenye damu
5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI
1.Uzito kupita kiasi(Overweight)
Ujauzito
3.Kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali
4.Kukaa sana sehemu eneo moja mda mrefu
5.Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa( tendo la ndoa kinyume).
6.Kujisaidia Choo Kigumu.
Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya Tumbo
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
AINA 2 ZA BAWASIRI
BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.
2.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
Bawasiri ya dani ina hatua NNE ambazo ni:⤵⤵⤵⤵
HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.
HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia
HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurudi yenyewe baada ya muda
HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.
ATHARI ZA BAWASIRI
1.Upungufu wa damu mwilini
2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
4.kupungukiwa nguvu za kiume
5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
6.Kupata tatizo la kisaikolojia
Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
8.Mwili kudhoofika mwili na kinga kupungua
TIBA YA BAWASILI
Mara nyingi Tiba ilio zoeleka kwa hospital ni upasuaji
Ila tuna bidhaa ambazo zimewasaidia wengi zenye uwezo wa kuondoa bawasili bila upasuaji
Kwa maelezo zaid wasiliana nasi kupiti 0624383591/0682081479
02/12/2022
yess
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mwanza
