officialAfya

officialAfya

Share

kwa kutumia virutubisho lishe unaondokana & madhara ya magonjwa yasiyo ambukiza

04/05/2023

Yes

05/03/2023

DAWA YA KUNG'ARISHA MENO

Hii ni Dawa Ya Meno Asilia Imetokana na mchanganyiko asilia wa viambata K**a vile Green tea,Honeysuckle na Notogingseng

Kazi Zake ni 👇👇👇 ●Ing'arisha Meno Yanakua Meupe,•Kuua vijidudu katika kinywa
•Kuondoa harufu mbaya mdomoni

●•Kuponya fizi zinazotoa damu
•Kusaidia kutoa ganzi ya meno
•Kuondoa maumivu makali ya meno

●•Kusaidia fangasi ya koo,na sehemu zingine
•Kukausha majeraha ya kuungua au kujikata
•Ni salama zaidi kwani haina madini ya fluoride badala yake kuna mimea mchanganyiko•

â—Źimethibitishwa na mamlaka ya dawa na vifaa tiba Tanzania TMDA
•Ni bidhaa namba moja Tanzania haina Fluoride Dr. Ts toothpaste ni ukitumia hutasumbuliwa tena na tatizo la Meno tumia Dr. Ts toothpaste ili kuimalisha meno yako.

Nipigie👉0624383591/0682081479

09/01/2023

TEZI DUME NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE

Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND)

- Hii ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.

Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.

Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.

Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.

Hivyo tezi hii ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.

Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-
• Kukojoa Mara kwa mara.

• kubakiza mkojo kwenye kibofu.

• kukojoa saana usiku.

• Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.

• Kupungukiwa nguvu za kiume

• UTI ya Mara kwa mara.

• Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.

• Figo kujaa maji, hii ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.

• Kupoteza fahamu.

•Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.

• Uume kushindwa kusimama vizur.

•Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.

ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1. Kushindwa kabisa kukojoa.

2. Kupatwa na maambukizi ya UTI

3. Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.

4. Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.

5)Figo inaweza kuharibika.

Suluhisho la kumaliza hili tatizo lipo:
Linaondoka bila Upasuaji

Tumewasaidia wengi na wamepona kwa haraka zaidi kwa kufuata ushauri tulio wap.






Usisite kuwasiliana nasi
https://wa.me/255624383591
https://wa.me/255682081479

08/01/2023

TEZI DUME NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE

Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND)

- Hii ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.

Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.

Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.

Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.

Hivyo tezi hii ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.

Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-
• Kukojoa Mara kwa mara.

• kubakiza mkojo kwenye kibofu.

• kukojoa saana usiku.

• Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.

• Kupungukiwa nguvu za kiume

• UTI ya Mara kwa mara.

• Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.

• Figo kujaa maji, hii ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.

• Kupoteza fahamu.

•Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.

• Uume kushindwa kusimama vizur.

•Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.

ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1. Kushindwa kabisa kukojoa.

2. Kupatwa na maambukizi ya UTI

3. Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.

4. Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.

5)Figo inaweza kuharibika.

Suluhisho la kumaliza hili tatizo lipo:
Linaondoka bila Upasuaji

Tumewasaidia wengi na wamepona kwa haraka zaidi kwa kufuata ushauri tulio wap.






Usisite kuwasiliana nasi
https://wa.me/0624383591
https://wa.me/0682081479

04/12/2022

UGONJWA WA BAWASILI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE

Bawasiri ni nini
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid nk

SABABU YA BAWASILI

Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa Vinyama sehemu ya haja kubwa

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa

3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

4.kupata kinyesi chenye damu

5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI

1.Uzito kupita kiasi(Overweight)

Ujauzito
3.Kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali

4.Kukaa sana sehemu eneo moja mda mrefu

5.Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa( tendo la ndoa kinyume).

6.Kujisaidia Choo Kigumu.

Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya Tumbo
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni

AINA 2 ZA BAWASIRI

BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.

2.BAWASIRI YA NDANI

Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

Bawasiri ya dani ina hatua NNE ambazo ni:⤵⤵⤵⤵
HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.

HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia

HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurudi yenyewe baada ya muda

HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.

ATHARI ZA BAWASIRI

1.Upungufu wa damu mwilini

2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua

3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa

4.kupungukiwa nguvu za kiume

5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu

6.Kupata tatizo la kisaikolojia

Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
8.Mwili kudhoofika mwili na kinga kupungua

TIBA YA BAWASILI

Mara nyingi Tiba ilio zoeleka kwa hospital ni upasuaji

Ila tuna bidhaa ambazo zimewasaidia wengi zenye uwezo wa kuondoa bawasili bila upasuaji

Kwa maelezo zaid wasiliana nasi kupiti 0624383591/0682081479

02/12/2022

yess

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mwanza