mr_afya_specialist
Afya ya uzazi ni muhimu katika ndoa tunatatua hizo changamoto
*HORMONES IMBALANCE*
(MVURUGIKO WA VICHOCHEO)
K**a ilivyo janga Kubwa Kwa Wanaume upungufu wa Nguvu za Kiume Sawa na Wanawake wengi Miaka ya hivi karibuni wanakumbwa na hili tatizo, Kwa Wanawake 10 unakuta 8 wana hii changamoto ya Hormones imbalance.
*Mvurugiko Wa Homoni* za Mwanamke ni kitendo Cha Kuongezeka au kupungua Kwa Vichocheo Katika Mwili wa mwanamke Pale anapopata hedhi, hivyo hufanya Mwili Kubadilika.
Kwa Miaka ya Hivi karibuni hili limekuwa ni Janga Kubwa Sana. Mvurugiko Wa homoni kwa mwanamke hutokea pale Homoni za *Estrogen* na *Progesterone* Haziwi Sawa kupungua au kuzidi kwa homoni hizi hupelekea hilo tatizo kutokea la Hormones imbalance.
*SABABU ZA HORMONES IMBALANCE*
*1️⃣Ulaji Mbovu wa chakula*
*2️⃣Unene (uzito uliopitiliza)*
*3️⃣Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango.*
**4️⃣Stress na msongo wa mawazo*
*5️⃣kisukari*
6.Uwepo Wa sumu Mwilini
7.Mtindo mbovu wa maisha
9. *Kutofanya mazoezi na kutolala masaa yanatakiwa kulala*
10. *Utoaji wa mimba*
11.Upungufu wa lishe Mwilini.
Hizi ndio sababu za hormones imbalance..
Hizi ni baadhi ya Dalili za hormone imbalance hasa kwa wanawake
1 *.ukavu ukeni*
*2.Maumivu wakat wa tendo*
*3.Maumivu chini ya kitovu*
*4.Mabadiliko ya siku za hedhi*
*5.Kupata hedhi yenye maumivu*
6. *Mwanamke kuanza kuwa na Tabia za kiume.*
*7.Kukaa muda mrefu bila kuona siku zako na huna dalili ya Ujauzito*
MADHARA YA HORMONE IMBALANCE
1.•Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
2•Mimba kuharibika mara kwa mara;
3•Kukosa mtoto au Ugumba
4•Maumivu wakati wa tendo la ndoa
5•Kuwa na tabia na maumbile ya kiume (mwanamke
04/08/2022
Kapokea bidhaa yake japo hakiwa na shaka na sisi je ww ambae huenda unawasiwasi na sisi unatumia njia gani kuagiza bidhaa endapo utaipenda???
Forever living products zipo kwa jiri yako tumia njia ya kufika office zetu apa mitaa ya victoria jengo la BARRICK upate huduma
30/07/2022
Tupo kukusaidia ushauri utakaoupata ni nguzo bora kukupa afya nzuri iki kuendelea na majukum ya kila siku👇👇👇
23/07/2022
Hizo ni baadhi tu ya picha zinazoonyesha visababishi vya kupungua kwa nguvu za kiume kwa kufuata mtiririko wa picha namba 1-9
1.Viagra
2.Choo kigum
3.Ngiri
4.Kuchelewa kulala
5.Ulaji mbaya
6.Msongo wa mawazo
7.Vidonda vya tumbo
8.Kitambi
9.Upasuaji kupitia mrija wa mkojo(urethra)
21/07/2022
Hizi ni baadhi ya staili unazotakiwa kukaa wakati unafanyiwa kipimo cha tezi dume hivyo basi kuepusha changamoto hii ni muhim k**a kijana kujua umuhim wa afya yako ya uzazi ili uweze kuepuka kufikia uko
18/07/2022
KWAKO MWANAUME MILIKI NGUVU ZA KIU'ME MOJA KWA MOJA.
IMARISHA AFYA YA UZÀZI NA TENDO.
Je' Umekuwa ukishindwa kumridhisha mwenzi wako mpaka kukupelekea kuanza kuwa muoga wa kukutana na mwenzi wako kwa kuogopa kurudia makosa yale yale ya KUWAHI KUFIKA KILELENI, KUSHINDWA KURUDIA TENDO, DHAKARI KUWA LEGEVU, KUTOA KIWANGO KIDOGO SANA CHA MBEGU au MBEGU KUWA NYEPESI SANA n.k?
Hii PACKAGE INAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO:
- KUWA NA UWEZO. KURUDIA TENDO VIZURI.
-KUONGEZA IDADI YA MBEGU
-KUSIMAMISHA UU'ME VIZURI.
- KUBORESHA MZUNGUKO WA DAMU.
-KUIMARISHA MISULI
-KUPATA HAMU YA KUFANYA TENDO
-KUTOFIKA MAPEMA KILELENI
TUNAFANYA DELIVERY TANZANIA NZIMA NA NCHI JIRANI MZIGO UTAKUFIKIA POPOTE ULIPO.
Vunja ukimya usikubali changamoto ndogo ndogo zivunje HESHIMA YAKO, wengi tumewasaidia na wako sawa SASA karibu tukushauri.
Call/SMS/WhatsApp 0717876163
09/07/2022
09/07/2022
Kwa nini MULT MACA???
Mwanaume Tumia supplement usitumia dawa tatizo la nguvu za kiume ni swala la mfumo mzima unavyotumia virutubisho vinaenda kugusa mizizi na chanzo cha tatizo hivyo kutatua tatizo kabisa
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi kupitia
Call/Whatsapp +255717876163
02/07/2022
Faida Za Kutumia Multimaca 👉👉👉
✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
✅Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
✅Huondoa Uchovu
✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu
✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege
✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
☎Call/Whatsapp +255717876163
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Malimbe, Nyamagana
Mwanza
