Mwanamke safi

Mwanamke safi

Share

Afya ya uzazi

08/02/2023

Pata tiba kutoka Robinson health care 0766017516

08/02/2023

Unachangamoto za uzazi, wasiliana na Dr Musa sasa 0766017516

08/02/2023

Tatizo la uzazi linatatulika 0766017516

07/02/2023

Watu wamekuwa wakinifuata inbox 📥 wakiomba Offer ya nusu dozi.

Basi nimeona nisiwe na upendeleo nawe niweze kukushirikisha k**a nawe haukuweza kupata offer ya dozi zima basi hii inaweza kukufaa pia.

👉 Fertility women utaipata kwa offer ya 70,000 badala ya 100,000 nakuweza kuokoa Elf 30,000.
Kwa mwenye changamoto ya kutokupata ujauzito.

👉 Mwanamke safi utaipata kwa 70,000 na utakuwa umeokoa Elf 30,000 .
Kwa mwenye matatizo ya PID, UTI na fangas sugu.

👉Mama solution utaipata kwa 70,000 badala ya 100,000 nakuweza kuokoa 30,000.
Kwa mwenye matatizo ya chango.

👉Fibroids dissolve utaipata kwa 140000 na utaweza kuokoa 35000.
Kwa mwenye matatizo ya uvimbe.

👉Man productive utaipata kwa 140000 nakuweza kuokoa Elf 35000.
Kwa Mwanaume ambae hana uwezo wa kubebesha mimba.

👉Gust Cure utalipia 140000 na utakuwa umeokoa 35000.
Kwa mwenye matatizo ya vidonda vya tumbo.

Tumeamua kutoa kwa Watu 10 tu , na offer inaisha tu pale dozi 10 zikiisha.

Kufanya malipo, lipia kwa Account no 50810020492 jina musa Joseph kaswahili NMB BANK au 0656273038 jina musa Joseph kaswahili tigo pesa

Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0766017516 kupata maelekezo zaidi.

06/02/2023

MADHARA YA PEDI....SOMA HAPA UKIACHA SHAURI YAKO !!☑️

Robinson health care
Dr Musa
0766017516
Mwanza.

Kumekuwa na ongezeko kubwa la magonjwa ya mfumo wa mkojo (UTI) na uzazi kwa wanawake, hii inasababishwa na sababu nyingi ikiwemo ya kukosa uelewa sahihi wa kanuni za afya na usafi wa mwili pamoja na mazingira yanayomzunguka mwanamke.

✍️Mada za usafi wa mwanamke ni pana sana siwezi kumaliza kusema kila kitu, hivyo leo nitajikita zaidi katika matumizi sahihi ya pedi na mambo ya kuzingatia kabla ya kununua pedi. Wadada wengi wamekuwa wakitumia pedi na kuziacha zikizagaa mitaani hali inayofanya nijiulize k**a tu ameshindwa kujua sehemu sahihi ya kuhifahi au kutupa pedi aliyotumia yeye mwenyewe,
Je anauelewa upi katika matumizi sahihi ya pedi hizo kabla hajazitumia?

✍️Somo la leo nitajikita katika njia sahihi ya kuchagua na kutumia pedi, makosa yanayofanywa katika matumizi ya pedi na ushauri juu ya matumizi sahihi ya pedi na vitambaa kwa wale wanaovitumia.

📌Yafuatayo ni makosa yanayofanywa katika uchaguzi na matumizi ya pedi kwa wanawake:

1.🌡️ Kutonawa mikono kabla na baada ya kutumia pedi. Mikono hushika sehemu mbalimbali hivyo kuna uwezekano ikawa na vimelea vinavyosababisha magonjwa kwa hiyo kushika pedi bila kunawa mikono kwa sabuni kunaweza kuhamisha vimelea hivyo kutoka mikononi na kwenda kwenye pedi inayotegemewa kuvaliwa.

2.🌡️ Kutunza pedi bafuni au chuoni. Wadada wengi hupendelea kutunza pedi zao chooni/bafuni. Vyumba vingi vya choo/bafu havina mwanga wa kutosha na kuwa na unyevunyevu hali inayoweka mazingira mazuri ya ukuaji wa vimelea vya magonjwa k**a bacteria na kitendo cha kutunza pedi katika sehemu hizo kunaweza kusababisha kuhama kwa vimelea hao kutoka bafuni/chuoni kwenda kwenye pedi isiyovaliwa na kupelekea pedi hizo kuwa na vimelea vya magonjwa na mwanamke anakuwa katika hatari za kupata maambukizi.

3.🌡️ Kutoangalia muda wa matumizi wa pedi kabla ya kutumia au baada ya kuzihifadhi kwa muda mrefu hali inayopunguza kiwango cha ufanisi cha pedi sababu ya kuisha kwa muda wake wa matumizi.

4.🌡️ Kununua pedi zinazouzwa kiholela kwa njia ya utangazaji na za bei rahisi (promotion) ambazo baadhi zimeonekana kutengenezwa kwa malighafi zi

06/02/2023

Dr Musa
Robinson health care
0766017516
Mwanza.

Je unatokwa na uchafu,unatoa harufu mbaya sehemu za siri....?
K**a jibu ni ndiyo basi zingatia yafuatayo;

1️⃣Vaa nguo za ndani za pamba, zisizobana sana.
Nguo zilizoabana zinazuia kupita kwahewa safi kuelekea ukeni na hivo kusababisha unyevunyevu ambao ni mbolea kwa bacteria na fangasi wanaoleta harufu mbaya kwenye uke. Hakikisha unabadilisha chupi kila baada ya masaa 12 inasaidia kuzuia kukua kwa bacteria wabaya.

2️⃣Badili Nguzo zako Kila Baada ya Kufanya Mazoezi
Nguo zenye unyevu ni mbolea nzuri kwa ukuaji wa bacteria hivo hakikisha unavaa nguo zilizokauka na kubadilisha kila baada ya kutoka mazoezini.

3️⃣Epuka Kuflash Uke Kila Mara (Douching)
Kusafisha uke kila mara hasa kwa kutumia kemikali na sabuni inaharibu mazingira ya bacteria wazuri. Bakteria hwa ni walinzi, na hivo kuacha nafasi kwa uke kushambuliwa na bacteria wabaya pamoja na fangasi wa candida.

4️⃣Epuka Kutumia Spray na Marashi Ukeni
Ukweli ni kwamba ngozi ya uke ni laini sana kwa hiyo inanyonya kwa urahisi kemikali zilizopo kwenye spray kuingia kwenye damu. Usiingie kwenye mtego huu, kumbuka miili yetu imeumbwa kujisafisha yenyewe, Pale unapoongeza kitu cha ziada basi unaharibu normal flora na kuharibu kinga ya mwili.

5️⃣Epuka Baadhi ya Vyakula Ambavyo ni Adui wa afya yako
Kuna aina nyingi ya vyakula ambavyo vianweza kukuathiri wewe k**a mwanamke kwenye swala la uzazi. Vyakula hivi vinaharibu mazingira ya uke, kuua bacteria wazuri na kubadili PH. Vyakula vyenye sukari, Pombe, ngano na vyakula vilivyosindikwa huchochea ukuaji wa fangasi wa Candida.

K**a unasumbuliwa na tatizo hilo kwa muda mrefu, basi ni muda wako wakitumia dawa iitwayo Mwanamke safi kutoka Robinson health care itamaliza tatizo lako kwa haraka na uhakika.

*Mawasiliano 0766017516
Dr Musa - Mwanza.

02/02/2023

PUNGUZO KUBWA KWA WATU 5 TU

K**A UNAHITAJI DAWA YA

👉 FERTILITY WOMEN
UTAIPATA KWA 160,000 Badala ya 200,000|=
Kwaajili yakutibu , homon imbalance, maumivu ya tumbo, nakuongeza uzalishaji wa Ute.

👉 Mwanamke safi
Utaipata kwa 160,000|=
Badala ya 200,000|=
Kwaajili yakutibu PID, UTI sugu na fangas.

👉 Fibroids dissolve
Utaipata kwa 170,000|=
Badala ya 250,000|=Inayohusika na uvimbe

👉Man productive
Utaipata kwa 175,000 tu badala ya 250,000|=
Kwaajili ya kukomaza mbegu za kiume nakuongeza uzalishaji wa mbegu.

👉Gust Cure ya vidonda vya tumbo
Utaipata kwa 165,000 tu badala ya 250,000|=

KESHO PUNGUZO KUBWA LITATOKA

ili upate punguzo hili weka order yako mapema na lipia kwa namba hii Account no 50810020492 jina musa Joseph kaswahili NMB BANK au 0656273038 jina musa Joseph kaswahili tigo pesa

Watu 5 kujinyakulia Offer hii🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️💃💃💃💃💃

PUNGUZO hili linaisha kesho wakikamilika watu WATANO nafasi inaisha wahi sasa

30/01/2023

Kupata huduma kutoka Robinson health care piga 0766017516.

28/01/2023
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kirumba
Mwanza
33000