Vipodozionline

Vipodozionline

Share

Wasambazaji kwa bei ya JUMLA na REJAREJA vipodozi nchini TANZANIA.Online whole sales of cosmetics within Tanzania

11/09/2022

FAIDA ZA MAFUTA YETU YA MNYONYO(CASTROL OIL) KWENYE NYWELE.

Mafuta ya castor oil au nyonyo ni mafuta yatokanayo na mmea wa mbarika. ni mafuta ya asili yanayotumika katika shughuli mbalimbali k**a kukuza nywele, kuondoa michilizi, husaidia kuotesha kope na kazi nyingine nyingi tu.....

leo tutaongelea faida ya mafuta ya nyonyo katika ukuzaji na uboreshaji wa nywele zako. Hapa tuazungumzia mafuta halisi ya castor oil ambayo yametengenezwa kiasili na hayajachakachuliwa

1. Mafuta ya nyonyo yanasaidia kukuza nywele. mafuta haya uliyaasha moto na kuwa na joto kiasi, ukiyapaka kichwani na kuyamassage kwa kuyasambaza kichwan, kwa kufanya hivi japo mara mbili kwa wiki itakupa matokeo mazuri.

2.mafuta haya yanajaza nywele. mafuta ya nyonyo yana uwezo mkubwa a kujaza nywele na kuotesha zaid na haraka kuliko kawaida kwan yana virutubisho k**a omega 6 fatty acids ambavyo huongeza virutubisho vinavyongeza afya kwa nywele.

3. Mafuta ya nyonyo hutibu tatizo la mba kichwani.

mafuta haya yana uwezo mkubwa wa kuua vijidudu/ bakteria mbao huleta matatizo mbalimbali ya nywele na ngozi ya kichwa.

4. husaidia kung'arisha nywele na kuonekana zenye afya

5. Pia hutumika k**a conditioner au huweza kutumiwa kuchanganya na steaming na ukapaka kichwan na kuzifanya nywele zako kuwa imara zaidi

KWA WAHITAJI WA UWAKALA WA BIDHAA ZETU KWA MTAJI WA KUANZIA ELFU 17 TU(17,000/-) PATA FAIDA MARA MBILI ZAIDI WATEJA UHAKIKA NI KAZI YETU KUWALETA KWAKO.

ANDIKA NAMBA YAKO YA WHATSAPP HAPO CHINI.AU WASILIANA NASI 0755213580,,,0736213580.

REJAREJA PIA TUNAUZA KWA SHILINGI ELFU NANE(8,000/-)TU.

11/09/2022

FAIDA ZA MAFUTA YA MNYONYO (CASTROL OILS).MAFUTA YA ASILI.
1. Mafuta ya nyonyo yanasaidia kukuza nywele. mafuta haya uliyaasha moto na kuwa na joto kiasi, ukiyapaka kichwani na kuyamassage kwa kuyasambaza kichwan, kwa kufanya hivi japo mara mbili kwa wiki itakupa matokeo mazuri.

2.mafuta haya yanajaza nywele. mafuta ya nyonyo yana uwezo mkubwa a kujaza nywele na kuotesha zaid na haraka kuliko kawaida kwan yana virutubisho k**a omega 6 fatty acids ambavyo huongeza virutubisho vinavyongeza afya kwa nywele.

3. Mafuta ya nyonyo hutibu tatizo la mba kichwani.

mafuta haya yana uwezo mkubwa wa kuua vijidudu/ bakteria mbao huleta matatizo mbalimbali ya nywele na ngozi ya kichwa.

4. husaidia kung'arisha nywele na kuonekana zenye afya

5. Pia hutumika k**a conditioner au huweza kutumiwa kuchanganya na steaming na ukapaka kichwan na kuzifanya nywele zako kuwa imara zaidi.

1. Mafuta ya nyonyo yanasaidia kukuza nywele. mafuta haya uliyaasha moto na kuwa na joto kiasi, ukiyapaka kichwani na kuyamassage kwa kuyasambaza kichwan, kwa kufanya hivi japo mara mbili kwa wiki itakupa matokeo mazuri.

2.mafuta haya yanajaza nywele. mafuta ya nyonyo yana uwezo mkubwa a kujaza nywele na kuotesha zaid na haraka kuliko kawaida kwan yana virutubisho k**a omega 6 fatty acids ambavyo huongeza virutubisho vinavyongeza afya kwa nywele.

3. Mafuta ya nyonyo hutibu tatizo la mba kichwani.

mafuta haya yana uwezo mkubwa wa kuua vijidudu/ bakteria mbao huleta matatizo mbalimbali ya nywele na ngozi ya kichwa.

4. husaidia kung'arisha nywele na kuonekana zenye afya

5. Pia hutumika k**a conditioner au huweza kutumiwa kuchanganya na steaming na ukapaka kichwan na kuzifanya nywele zako kuwa imara zaidi.

KUWA WAKALA WA BIDHAA ZETU KWA MTAJI WA KUANZIA ELFU KUMI NA SITA TU(16,000/-) PATA FAIDA MARA MBILI ZAIDI.WATEJA NI UHAKIKA .ANDIKA NAMBA YAKO YA WHATSAPP HAPO NA MKOA ULIOPO.

REJAREJA YAPO PIA.
MAWASILIANO:0755213580,,0736213580.

ANDIKA NAMBA YAKO HAPO CHINI NA MKOA ULIOPO TUKUPE UWAKALA.

11/09/2022

. KANUNI 10 ZA KUWA NA NYWELE NZURI



🧚🏻‍♂️ Jua jinsi ya kuchana nywele zako kwa usahihi

🧚🏻‍♂️Jua jinsi ya kufumua nywele zako kiusahihi na jinsi ya kuzitunza wakati umefumua ili kuzuia kukatika.

🧚🏻‍♂️ Jinsi ya kubana na kusuka nywele pamoja na kuchagua mitindo rafiki kwa ajili ya nywele

🧚🏻‍♂️Treatments za kufanya katika nywele zako
- Steaming(deep conditioner)
-Protein treatment
-Hot Oil treatment
-Hair mask
-Leave in conditioner

🧚🏻‍♂️ Jinsi ya kupaka mafuta kichwani

🧚🏻‍♂️Vitu vya msingi vya kuwa navyo kabla haujaanza kuhudumia nywele zako

🧚🏻‍♂️Vitu vya kuepuka katika kuhudumia nywele zako

🧚🏻‍♂️Kwanini umeamua kuwa na nywele za asili

🧚🏻‍♂️ Una malengo gani na nywele zako

🧚🏻‍♂️UVUMILIVU

10/09/2022

Ushawahi kuwa na nywele ngumu haina flow, movement wala kuvutika yaani ipo ipo tu inakatika?

🍍 Afya ya nywele haitegemei tu kutumia bidhaa zilizo balance kwa PH, kubalance pia elasticity ya nywele inasaidia nywele kuwa na afya.

🍍Nywele imeundwa kwa protein yaani keratin kwa hiyo protein inapozidi nywele inakua ngumu na inapopungua nywele inakuwa weak. So kubalance protein kutapelekea pia kubalance elasticity ya nywele vinategemeana.

🍍Inapokuja swala la elasticity, hizi levels zinatumika kudescribe kiwango elasticity kwa nywele yako:

🍍High Elasticity - Unapoivuta nywele yako lakini isi bounce back yani kujirudisha katika hali yake ya kuwa straight. Hii inaweza kuwa dalili ya nywele kuwa na moisture sana na protein kuwa kidogo.

🍍Normal Elasticity - Hapa nywele inajivuta na kujirudi katika hali yake straight away. Hii ni dalili njema ya nywele kuwa na afya.

🍍Low elasticity - Nywele inavutika na kukatika badala ya kujirudi katika hali yake. Hii ni dalili kuwa nywele ina protein nyingi na haina moisture ya kutosha.

🍍Kwa hiyo njia nzuri ya kuensure elasticity ya nywele ni kubalance moisture na protein. Bila hivyo nywele yenye afya utaisikia kwa jirani tu😀

10/09/2022

12. FAIDA ZA VITUNGUU KWENYE NYWELE

AdminSeptember 10, 2019

STEAMING YA KITUNGUU
Mahitaji
🍃Vitunguu maji (vyekundu) vikubwa vitatu (3)
🍃Vitunguu swaumu punje 5
🍃Limao au ndimu moja kubwa
🍃Tangawizi (moja ndogo)
🍃Mafuta ya castor oil (kijiko kimoja)
🍃Mafuta ya n**i na olive oil (kijiko kimoja)
🍃Asali kijiko kimoja

JINSI YA KUANDAA
🌿Menya vitunguu maji na swaumu na uvikate kate vipande vidogovidogo.
🌿Andaa tangawizi pia zioshe na kuzimenya.
🌿Changanya vyote, kamulia na ndimu au limao pamoja na asali na usage katika blender vyote upate juice nzito kidogo.
🌿Chuja vizuri kwa kutumia chujio au kitambaa kuondoa makapi na hakikisha umeichuja vizuri.
🌿Chukua juice uliyoiandaa changanya na mafuta yako ya Castor oil, ya n**i na olive oil ichanyanyike vizuri.
🌿Hapa nywele zako zikiwa tayari safi (umeshaisha kwa shampoo) waweza tumia kitambaa cha cotton au pamba unaaza kujipaka kwanzia kwenye Ngozi kuja kwenye nywele (hapa yahitaji uvumilivu maana utaona k**a harufu ya pilau kdg kichwani)
🌿Vaa shower cap au steamer kaa kwa dk 50+ kisha osha vizuri bila shampoo mpaka uhakikishe zile nywele harufu inaisha

🌿 umetusapoti sana
🌿Tumia tisht au kitambaa cha cotton kukausha nywele yako (usitumie taulo maana linakata nywele)
🌿Waweza tengeneza gel ya bamia utumie k**a leave in conditioner (Angalia post inayofata)
🌿Paka vizuri gel yako tayari kwa kubana au kusuka🔥🔥😍😍

NB: Steaming hii inasaidia vitu vingi ikiwepo;
🍃Kuondoa mba na miwasho
🍃Kujaza nywele
🍃Kuzifanya nywele ziwe laini
🍃Kuimarisha mizizi ya nywele
🍃Kutibu vidonda vilivyosababishwa na kujikuna kichwani

10/09/2022

Jamani wale wanahitaji nywele Asilia tuwasiliane

10/09/2022

Nywele za asili mafuta ya asili

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mwanza
00225