AFYA BORA KWA WOTE

AFYA BORA KWA WOTE

Share

Tuna toa ushauri Kwa wanaume wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume namna ya kuepukana nayo.

30/12/2022

*Haya 👇 ni baadhi ya mambo ambayo yanayo wafanya wanaume wengi kupoteza nguvu za kiume siyo wote wenye Matatizo*

✍️....USAFI...Usafi wa mwili kwa ujumla ni muhimu. Mwanamke anapokuwa mchafu huweza kumsababishia mwanaume matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume. Tunafahamu umuhimu wa usafi wa mwili na kero za uchafu wakati wa tendo, hivyo ni wazi kuwa mwanamke akiwa mchafu atamfanya mwanaume apoteze msisimko na uwezo wa tendo la ndoa. Unadhifu wa mavazi na mwili ni muhimu katika mapenzi. Usafi wa kinywa, nywele, mwili na viungo vya siri ni muhimu.

✍️.....USALITI....Mtu yeyote anapogundua kuwa anasalitiwa anaweza kupatwa na tatizo hili. Tabia ya usaliti kwa mwanamke ni chanzo kingine cha mwanaume kupata tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Mwanaume anapoona, kuhisi au kubaini kuwa anasalitiwa, huumia moyoni, maumivu ambayo hatimaye humfanya mhusika kuwa na mawazo ambayo humuondolea hamu ya tendo.

✍️....Gubu au kuwa na maneno ya uchokozi yasiyokuwa na kichwa wala miguu zinaweza kumsababishia mwanamume akashindwa ‘kushughulika’ ipasavyo.

Mwanamke anapokuwa na maneno ya kashfa, dharau na matusi Kwa mwenza wake huweza kumfanya mume amchukie na kutopenda kushiriki naye tendo.

Tuna wasaidia wanaume wote wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume,Kwa kuwashauri namna gani watatuwe changamoto zao ,kupitia whatsaap group Bure kabisa.

K**a umependa Kupata elimu ya afya ya uzazi , wasiliana nasi Kwa kubofya
link👉
http://wa.me/+255755429549
Kisha andika neno NIUNGE

28/12/2022

Je wajuwa kukosa virutubisho Lishe sahihi ni chanzo Cha magonjwa yasiyo ambukizwa?

Virutubisho hivi hupatikana kwenye vyakula vyote,
Virutubisho vya chakula vimegawanyika katika makundi Sita,
👉 Wanga
-kazi yake kubwa ni kuleta nguvu mwilini Mfano:mahindi, viazi, ngano, mchele

👉protin ...Kazi yake ni kujenga mwili Mfano :nyama, mayai, maharage, njegere, maziwa,

👉Vitamini
Kazi yake kubwa ni kulinda mwili
Mfano: maembe, machungwa, nanasi, zabibu,

👉Madini Huusika sana katika kuwezesha mifumo ya mwili
Mfano: chumvi,ubuyu, dagaa, mboga mboga za kijani, (vyanzo vya baadhi ya madini)

👉Maji huwezesha mifumo mbali mbali katika mwili,

(6) 👉 Tambua kua hizo ni baadhi ya kazi za hivyo virutubisho

Ili mwili wa binadamu ufanye kazi vizuri na uweze kujilinda na magonjwa unahitaji kupata virutubisho vyote Sita ktk uwiano au kiasi sahihi, yaani lishe bora.

"kulingana na takwimu za WHO (shirika la afya duniani) lilisema

👉ili mwili wa binadamu uweze kuwa na kinga bora ya mwili dhidi ya magonjwa mbali mbali unatakiwa kila siku uwe na uwezo wa kupata matunda aina Saba na mboga mboga aina Saba kila siku"

Je kulingana na takwimu hizo za WHO , upo salama ?
K**a ni hapana Je, una uwezo wa kumudu gharama za matunda aina Saba na mboga mboga aina Saba kwa kila siku ?

Ushauri, matumizi ya virutubisho lishe vyenye ubora wa hali ya juu ni muhimu kwa mtu ambae hana uwezo wa kupata mlo wa matunda aina saba na mboga mboga aina saba kila siku

MADHARA YATOKANAYO NA KUKOSA LISHE BORA
👉magonjwa
👉maambukizi ya wadudu
👉uchovu
👉udhaifu wa mwili
👉 Upungufu wa nguvu za kiume

Watoto wanaokosa lishe bora hupata matatizo ya kukua vibaya na kufanya vibaya katika masomo yao

"kumbuka kinga ni bora kuliko tiba" Anza leo kula matunda na mboga mboga kwa mpangilio maalum au kutumia virutubisho lishe uweze kujilinda na magonjwa na kuepuka garama za matibabu ya hospitali

Ili uweze kupata elimu zaidi ushauri na matibabu wasiliana nasi Kwa kubofya link
👉
http://wa.me/+255755429549

Kisha andika neno LISHE nitakuunga kwenye group la Afya Kwa elimu zaidi.

27/12/2022

BAADHI SABABU ZINAZO WAFANYA WANAWAKE WENGI WALIOPO KWENYE MAHUSIANO KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA.

✍️.......Maumivu wakati wa tendo hasa chini ya kitovu huashiria tatizo kwenye mirija ya uzazi. Yawezekana ikawa ni tatizo la mirija ya uzazi kujaa maji machafu na mazito kutokana na kuzaliana Sana kwa vimelea/bacteria eneo hilo

✍️.......Matatizo ya shingo ya kizazi kutokana na maambukizi ya fangasi maeneo hayo.

👉Kumwagika kwa mbegu za kiume muda mfupi au saa kadhaa baada ya tendo ni dalili kuu ya tatizo hili la kukosa hamu ya tendo la ndoa Kwa mwanamke.

✍️...... Pia mwanaume anapogonga shingo hii ya kizazi wakati wa tendo la ndoa mwanamke huwa k**a anatoneshwa kidonda. Hali hii ya mbegu kurudi nje husababisha mwanamke kutoshika ujauzito.

Elimu hii ya afya ya uzazi Kwa wanawake na wanaume inatolewa bure kupitia group langu la Whatsapp save namba yangu kisha comment neno *NIUNGE*
Kwa kubofya link 👉
http://wa.me/+255755429549

andika jina lako kamili Ili namimi niweze kusave karibu🤝

16/12/2022

*JE WAFAHAMU KUHUSU UGONJWA WA MGONGO WAZI?*

✍️........Nihali ambayo mtoto anazaliwa nayo huku uti wa mgongo (mshipa wa fahamu mkubwa unaotoka kwenye ubongo) ukiwa wazi kutokana na mifupa (vipingili za uti wa mgongo) kutokufunga vizuri.
....Mgongo wazi(spinal bifida) inaweza pata watoto 3 kati ya watoto 10000 wanaozaliwa.

✍️........Uti wa mgongo hutengenezwa mara tu baada ya mimba kutungwa, ikiwa kuna kasoro katika utengenezaji wa uti huu basi sehemu fulani ya uti wa mgongo itabaki bila kuzibwa.

VISABABISHI VYA TATIZO HILI
Kuna sababu mbalimbali zinazo pelekea uti wa mgongo kutoziba, ambazo zinaweza zuilika.

nazo ni
🔸 Upungufu wa folic acid(vit B9) na vitamin B12 katika kipindi cha ujauzito, katika kipindi cha miezi ya awali.

🔸Mama mjamzito kupiga X-ray.

🔸matumizi ya dawa za kifafa katika kipindi cha ujauzito .

🔸Pamoja na maambukizi ya baadhi ya virusi kwa mama mjamzito.

Dawa na viinirishe kwa
Wanawake wengi walio katika kipindi cha ujauzito hawatumii vyakula vyenye vitamin B na folic acid inavyopaswa, vyakula hivyo ni matunda,mboga za majani, mbaazi choroko nk.

Mwanamke mjamzito akipata lishe yenye virutubisho hivyo pamoja na kunywa vidonge vya folic acid, kwa asilimia 30% inaweza kupunguza hatarishi ya kupata watoto wenye uti wa mgongo ulio wazi.

Pia kwa wanawake wajawazito katika kipindi cha miezi mitatu ya mwanzo, wanashauriwa kutokupiga X-ray.

Kinga ni bora kuliko tiba
Ili uendelee Kupata elimu zaidi juu ya afya ya uzazi ,
msaada na ushauri kuhusu matumizi sahihi ya virutubisho lishe wasiliana nasi Sasa Kwa kubofya link 👇http://wa.me/+255755429549

04/12/2022

Tunapo ongelea Sumu mwilini tuna maanisha jambo moja kubwa,taka sumu,kemikali mbaya kutunzwa mwilini kutokana na shughuli za mwili sumu hizi kuingizwa mwilini na mwanadamu mwenyewe kwa njia ya chakula,hewa, vinywaji, ngozi,madawa nk.

Kibaya zaidi sumu hizi hazitoki zenyewe mpaka uzitoe wewe na hizi sumu zikizidi unaweza kupata madhara mengi sana.

Kadiri uzito wako unavyozidi unaongeza kiwango cha sumu mwilini.

Ngozi kuharibika, mwili kupata uchovu wa kudumu bila kufanya shughuli(fatigue),kusinzia hovyo,kuumwa viungo,kukosa usingizi,kuhema kwa shida,kukoroma, kuvurugika kwa mfumo wa homon, kukosa choo ama kupata choo kigumu, nguvu za kiume kupungua na hata kupoteza hisia na hamu ya tendo la ndoa, kukosa uzazi,magonjwa ya saratani nk.

kupata vimbe sehem mbali mbali za mwili,mafuta kuzidi mwilini... zote hizi ni dalili ya kwamba sumu zimezidi mwilini.

Nina namna unayoweza kufanya kuondoa sumu hizo mwilini, namna ambayo Mimi mwenyewe nimeitumia kwa mda wa siku 9 tu na nimeweza kubadilisha afya yangu na mwonekano wangu

tuna wasaidia watu kupunguza uzito Kwa kutumia njia salama kabisa na Kwa mda mfupi, pia wanaume wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume kutatuwa changamoto hii.

wasiliana nasi Sasa Kwa kubofya link 👉 http://wa.me/+255755429549

Photos from AFYA BORA KWA WOTE's post 02/12/2022

NITRIC OXID Ni Nini?
hiki ni kichocheo kikubwa Sana kwenye nguvu za kiume.

Nitric Oxide ni kemikali ambayo inazalishwa kwenye kuta za mishipa ya damu,ambapo kazi kubwa Ni kuakikisha Mishipa ya damu inarelax ili kuwezesha mzunguko sahihi wa damu, Kwenye mwili.

Kuna vichocheo vitwavyo nitric oxide sythetase ambavyo vinachochea uzalishwaji wa nitric oxide,Kemikali hii inapatikana baada ya kuungana kwa L-- arginine,L-citrulline pamoja na oxygen ndiyo tunapata kitu kinaitwa NITRIC OXIDE.

Sasa ipo ivi iyo nitric oxide ikishazalishwa kwa wingi katika mifumo wako wa mwili inasaidia Sana mishipa ya veny na atery iweze kutanuka na kusinyaa kwa wepesi zaidi ivyo kulahisisha damu kusukumwa kwa wingi kwenda sehem mbalimbali za mwili ikiwemo kwenye uume na kufanya uume uwe na nguvu zaidi usiwe legevu,, .

Tunawasidia wanaume wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume Kwa kutoa elimu ya afya ya uzazi na ushauri bure kupitia status na group la Whatsapp.

Tuma majina yako kamili Kwa kubofya link hii
👉
http://wa.me/+255755429549 Kisha andika neno NIUNGE nitakusave Ili tuweze kuelimishana zaidi.

27/11/2022

JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME

1 Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
2 Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
3 Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine
4 Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi
5 Balansi uzito wako
6 Usivute sigara
7 Punguza au acha kunywa pombe
8 Punguza mawazo
9 Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali 10 Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9 11 Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi

Matatizo yote haya yanatokana na rishe

Tuna wasaidia wanaume kutatuwa changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume Kwa kuelimusha na kutoa ushauri Bure kupita Whatsapp status.

Wasiliana nasi Kwa kubofya link 👇Kisha andika neno Afya yangu http://wa.me/+255755429549

Photos from AFYA BORA KWA WOTE's post 27/11/2022

Unapata shida ya choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu? Basi fahamu kwamba haupo peke yako maana kuna kundi kubwa la watu wanapata shida hiyo kila siku. Constipation ni tatizo linalokosesha wengi raha na linaathiri mamilioni ya watu duniani kote. Tatizo likiwaathiri zaidi wanawake kuliko kundi lingine lolote.

Licha ya kuleta usumbufu ukiwa chooni, constipation huleta shida zingine k**a tumbo kujaa gesi, kuhisi umeshiba mda mwingi,na upungufu wa nguvu ya kushiriki tendo la ndoa Kwa wanaume, na pia uchovu na msongo wa mawazo. Kila siku mamilioni ya watu wanatumia pesa nyingi katika kununua dawa kwa tatizo hili.

Tunawasidia watu wote wenye changamoto hii Kwa kutoa elimu na ushauri Bure kupitia group la whatsaap na status K**a unakumbana na changamoto hii tafadhali wasiliana nasi Kwa kubofya link hapo 👇kisha kuandika neno Afya yangu http://wa.me/+255755429549

Photos from AFYA BORA KWA WOTE's post 26/11/2022

Tatizo la ulegevu na kuwahi haraka kufika kileleni inakufanya upoteze sifa ya kuwa husband Material. Ndio maana kila baada ya tendo Mwanamke anakudharau, anakuona haujakamilika.

Nasababu kubwa unawahi Sana kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa,na baada ya kumaliza huwezi kuendelea na hata ukiendelea unasimamisha Kwa ulegevu unadhani hiyo Hali utaendelea mpaka lini?

Tuna wasaidia wanaume na wanawake wote kutatuwa changamoto ya uzazi
Kwa kuwaelimisha na kuwashauri juu ya afya ya uzazi Bure kabisa kupitia status na group la Whatsapp K**a upo tayari Kupata elimu hii tafadhali...

Save namba yangu kisha Nitumie majina yako kamili Ili na Mimi nikusave Kwa kubofya link hapo👇chini
http://wa.me/+255755429549

Photos from AFYA BORA KWA WOTE's post 26/11/2022

*✍️.....KUPATA AFYA BORA HAIPASWI KUWA SIRI*

Tunajua wewe ni aina ya watu wanaotaka kudhibiti afya yako. Hivyo ina maana unahitaji kufanya maamuzi sahihi kuhusu matumizi ya lishe. Shida ni kwamba kuna habari potofu huko nje, ambazo zinakufanya uhisi kuzidiwa na kutokuwa na uhakika ikiwa utapoteza pesa tu baada ya kutumia virutubisho au unapata afya bora....

Tuna wasaidia wanaume wote wenye changamoto ya uzazi hasa upungufu wa nguvu za kiume,Kwa kuwa elimisha njia sahihi ya na salama kabisa ya namna ya kuepukana na changamoto hii.

Elimu hii nibure kabisa unacho takiwa kufanya ni wewe kutuma majina yako kupitia link nitakayo Kupatia hapo👇 Kisha save namba yangu na Mimi nitakusave Ili uweze kunufaika na elimu hii kupitia whatsaap status

bofya link hiyo ,👇karibu
http://wa.me/+255755429549

24/11/2022

STATUS CLASS

naitwa *Dominic Michael* ni mshauri wa Afya nawasaidia wanaume Wanaohangaika na changamoto ya Kuwahi kufika kileleni, uume kusimama legelege au kushindwa kurudia tendo .

Pia Nina wasasidia wanaume na wanawake wenye changamoto ya kitambi au uzito ulio pitiliza kupunguwa bila kutumia madawa.

Save namba yangu kisha nitumie majina yako nikusave ili ujifunze kupitia Status zangu kila siku, Usianze na salamu, wewe tuma majina yako mawili kisha save namba yangu.

Link yangu hii hapa👇
wa.me/+255755429549

23/11/2022

✍️..... Tafiti nyingi zinaonesha kuwa Maradhi mengi hasa yasiyo ambukizwa mfano
🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
🔸Magonjwa ya moyo
🔸 Kisukari
🔸Tezi dume
🔸 Bawasiri
🔸Ngiri
🔸Kiharusi (stroke)nk.
Yana tokana na mtindo m'baya wa kuishi.. ukianzia kwenye aina ya vyakula unavyo kula Kila siku,Kuto kushughulisha mwili ,ulevi wa kupindukia,uvutaji wa sigala,msongo wa mawazo,na kukosa lishe Bora.

Hii ime sababisha kuwa na wimbi kubwa la watu wanao hangaika na tiba kutokana na wengine kujigunduwa kuwa wapo kwenye tatizo limeisha kuwa sugu,na wengine kupelekea kupoteza maisha Kwa kukosa elimu sahihi ya namna ya kutatuwa changamoto zao.

Ushauri wangu kwako wewe ambae umepata bahati ya kusoma hii post nikwamba

"NIKWELI FAMILIA NIBORA LAKINI AFYA YAKO NIBORA ZAIDI KULIKO FAMILIA KWASABABU UKIONDOKA LEO FAMILIA ITAENDELEA KUISHI"
Tujali afya zetu kwanza Ili familia zetu ziendelee kufurahia uwepo wetu

K**a utapenda Kupata elimu zaidi ya afya tafadhali bofya link hapo 👇 andika majina yako kamili kisha neno NIUNGE Ili nikuunge kwenye group langu la Whatsapp elimu hii inatolewa bure http://wa.me/+255755429549

Asanteni sana.🤝

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Nyamagana
Mwanza