flora_nitetee2
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from flora_nitetee2, Health/Beauty, Uhuru Street, Mwanza.
Watu wengi hawakumbuki kuhudumia ngozi zao za uso na mwili,
My dear K**a huna maji ya kutosha mwilini, na vile vile huna muda na ngozi yako Kuzeeka ngozi ni kugusa,,, ukipata bidhaa nzuri Natural inakuweka vizuri na unakuwa na Muonekano Mzuri vile vile💕💕 tupigie charp 0759665555 mza
0749665555 Dar
+254798787144 Nairobi na + 1 (319) 383-6116 NIFO PRODUCTS/NIFOCOLLEGE 💪❤️ Is the way to ✈️✈️ 🔥🔥
This Product 🔥🔥🔥💕💕 Nifobeautycollege_Mwanza Nifobeautycollege_Mwanza Ddf Herbal Clinic Ddf Herbal Clinic Nifobeautycollege_Mwanza Filo's Apartment Mwanza
Baraka Amerejesha matumaini yake baada ya kukatwa mguu uliokuwa ukimtesa na maumivu makali sana,, Naomba tuendelee kumuombea sana,, saratani ni ugonjwa mbaya mno🥹🥹
Anakukopesha Pesa zake wakati wa kumlipa unamwambia Hela zenyewe za nyanya umenikomaliaa😳
Au inatokea jamaa anamtapeli na kungangania Property zake🥹 TUHESHIMU SANA JASHO LA MTU JAMANI KUNA WATU WANAPATA HELA KWA JASHO KALI SANA
Maneno ya Baraka yananifariji sana🙏😭 leo nimeongea na Baraka sana
MAMA NAENDELEA VIZURI MAUMIVU YAMEPUNGUA JAPOKUWA KUNA WAKATI NATAFUTA MGUU NASIKIA WAKATI MWINGINE K**A VIDOLE VINACHEZA😅
MAMA DR ALISEMA SARATANI YANGU IMESAMBAA KILA MAHALI NA IKO MWISHO🙂 LAKINI MAMANGU MIMI SASA HIVI SINA MAUMIVU NAKULA VIZURI NALALA VIZURI MAMA MUNGU AKUBARIKI WEWE NA WAZAIDIZI WAKO WANANISAIDIA SANA. MUNGU ATAKULETA TENA MWANZA TUTAONANA MAMA NAKUPENDA🥲
Maneno ya huyu kijana yanatupa Moyo sana, ni kweli madaktari wanasema Saratani imesambaa sana na mwanzo kabla hajaanza kutumia HARBAL zetu alikuwa ana maumivu makali ya mbavu, mapafu na mguu pia alikuwa hana damu kabisa, alikuwa hana hamu ya chakula pia, Tunamshukuru sana Mungu Hayo maumivu yalibaki mguuni na sasa umekatwa amebaki na maumivu ya kidonda tuu na hana maumivu mengine, anakula kila kitu na afya inaonekana kwenye tabasamu lake,,, God Is Good🙏🙏 Mungu Awabariki sana kwa Sadaka zenu kwao, Ombi letu kwenu tunaomba tusichoke baraka hapa ameanza safari mpya ya maisha yake, Tunatakiwa kulipa bill za hospital, Atahitaji lishe nzuri, baadae mguu wa bandia na aendelee na masomo🙏🙏 NINAAMINI UTAPONA BOY NA UTAENDA CHUO INSHALLAH🙏🙏💕 0759665555 flora lauo🙏🤲🤲
Baraka Utapona Baraka Nasema utapona wewe Ni mtoto wa Yesu Bado kuna kazi ya Mungu unatakiwa ufanye Boy wangu kukatwa mguu sio kufa na Hiyo stage 4 ya saratani ni ya shetani Baba utapona, utavaa mguu wa bandia Baba utarndelea na masomo Baraka Tunakupenda tunakuombea sana Tunaamini Utapona,,,, Naomba turndelee kumuombea Na kumchangia 0759665555 Safari bado ni Ndefu sana🙏🙏🙏 Baraka yupo Bugando Hospital Naomba waliosoma nae marafiki wa Tumtembelee Baraka
Huyu Dada anapitia Mateso makubwa, Kila nikiangalia Clip za hii familia Zinaumiza sana, Tukumbuke kuombea sana Familia zetu🙏😭😭 Tukumbuke Kuwasaidia watu k**a hawa ni moja Sadaka ni ulinzi kwa familia Yako Pia🙏🙏🙏
WAPENDWA NAOMBA TUMUOMBEE SANA HUYU KIJANA MUDA HUU NDIO ANAINGIA CHUMBA CHA UPASUAJI, TUMELIPIA GHARAMA NUSU WAPENDWA NAOMBA MSINIACHE, HAWA VIJANA WAKO 2 NA WOTE WANAUMWA KANSA,
Kinachotuumiza ni kwamba mama wa baraka amemzira mtoto hapokei simu, hatoi ushirikiano wowote mtoto anasema kuliko nife na haya maumivu naomba tuu nikatwe huu mguu Mama nitamsamehe tuu hajui atendalo, naomba mchango wako huyu mtoto safari bado ni ndefu sana, 0759665555 jina flora lauo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Uhuru Street
Mwanza
