ETIM Siha Njema

ETIM Siha Njema

Share

Tunawasaidia wanawake kuondokana Na Changamoto ya PID kwa siku 30 Kwa kujitengenezea Dawa nyumbani

09/07/2024

Wanawake wengi wanapitia hii changamoto, Na Na Bahati mbaya wengi wao huchukulia k**a kitu kidogo kumbe hawajui ni Tatizo linaloweza kufanya hata usibebe Mimba.

11/06/2024

Je unasumbuliwa na tatizo hili na hujui ufanye nini?
Usiendelee kuteseka, tunalo Suluhisho la Matatizo yako ya afya ya Uzazi.

24/05/2024

Furaha ya kila Mwanamke ni kuitwa mama,
Wala usiendelee kuteseka na kupoteza matumaini.
Tunalo Suluhisho Kwa tatizo lako.

13/05/2024

Je umekuwa ukisumbuka kila ukibeba Ujauzito unatoka?
Unajua Ni Kwa Nini?
Maambukizi Katika Via Vya Uzazi Vya Mwanamke Ni sababu kubwa ya kupoteza Kichanga chako hasa Katika Miezi 3 YA mwanzo.

13/05/2024

Zawadi pekee kwako wewe Mwanamke unayeteseka ukitafuta Ujauzito.
Sasa ukapokee Baraka hizi

08/05/2024

Fanya Haya ili kuondoa tatizo la Kukosa hamu ya Tendo la ndoa.
✴️ Hakikisheni Mazingira yenu ni tulivu na yanavutia Kwa Tendo Hilo kutendeka.
✴️ Tendo la ndoa Sio vita ni Furaha, hasa ukifanya na mtu unampenda, Hivyo jiachie na usiwe mtiifu k**a uko Kwa mwl Wa nidhamu..
✴️ Ni vizuri Pia kuandaana kiasi cha kutosha , Sio jamaa linatoka zako huko linaparamia k**a nyoka anaingia Shimoni.
✴️ Usitumie vilainishi vingine k**a mate, au glycerine, acha kilainishi asilia cha Mungu kichukue nafasi yake..
✴️ K**a Kuna ugomvi wowote baina yenu ni vizuri kuumaliza kabla ya Kushiriki Tendo.
✴️Usiwe na Msongo wowote..
✴️ Usifanye Tendo la ndoa k**a unapokea kitubio, jiachie, jishaue, halafu nenda kazi.

08/05/2024

Fangasi, jamani Fangasi na U.T.I sugu chanzo cha miwasho mikali.
Sababu zake ni pamoja na kuweka vitu Ukeni, k**a vile manukato, mate Wakati Wa Tendo la ndoa, na wengine huweka vipipi Hadi ugoro.
Wadada Jamani acheni kuhangaisha hizo vitu.
Mtatoa Figo zenu bure mtoto Wa mama Mkwe hasumbukiwi Hivyo.

06/05/2024

Kwa Nini mtu uendelee kukaa na miwasho hivi kweli
Kwa Nini wadada mnajibania afya zenu, yaan unakuta mtu anawashwa anatoa Uchafu halafu anakwambia ngoja nisubiri Mume wangu au boy friend anipe Hela,
Nikwambie ukiishaanza kuwashwa Hivyo ,unajikuna hovyo na unatoa Uchafu huyo jamaa mwenyewe ndio Kwanza anakimbia

30/04/2024

Yaan k**a Kuna Mwanamke anatafuta Ujauzito,.jamani msosi msosi ni lazima uheshimiwe.
Sio kila kiliwacho kinafaida mwilini mwako, tengeza utaratibu Wa Kula lishe bora

30/04/2024

Moja kati ya dalili za ovarian Cyst ni kutokwa na Damu ya hedhi bila mpangilio.
✴️ Maumivu ya Nyonga na Kiuno.
✴️Kuongezeka Kwa Nywele Hasa usoni, miguuni, tumboni, na kifuani

26/04/2024

Yaan nyie Kwa kweli mlijua kuninyoosha jamani khaaa, Sio kwa surprise hiyo

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


82
Mwanza