Biolife Herbal clinic

Biolife Herbal clinic

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Biolife Herbal clinic, Health/Beauty, Mwanza.

08/01/2024

๐ˆ๐๐…๐„๐‚๐“๐ˆ๐Ž๐๐’ ๐’๐‡๐ˆ๐„๐‹๐ƒ
(๐Ÿค— ๐˜ฟ๐™–๐™ฌ๐™– ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™ž๐™ฉ๐™ž๐™จ๐™๐™–๐™ข๐™—๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™–๐™–๐™ข๐™—๐™ช๐™ ๐™ž๐™ฏ๐™ž ๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž๐Ÿ’).

โ„๐•š๐•š ๐•Ÿ๐••๐•š๐•  ๐•œ๐•š๐•“๐• ๐•œ๐•  ๐•ช๐•’ :
๐ŸŒฑ๐Ÿชต sugu
๐ŸŒฑ๐Ÿชต safisha kizazi pamoja na mirija
๐ŸŒฑ๐Ÿชต ( uvimbe)
๐ŸŒฑ๐Ÿชต Cysts ( Uvimbe kwenye mayai).
๐ŸŒฑ๐Ÿชต sugu
๐ŸŒฑ๐Ÿชต sugu
๐ŸŒฑ๐Ÿชต zingine

Bei TZS 30,000/=

Matumizi: Kijiko kimoja kidogo cha chai kwenye maji ujazo wa kikombe au glass mara Moja tuu kwร  siku jioni.

Wasiliana nasi kwa namba:
๐ŸŽ„MWANZA BUHONGWA OPP. NA GETI YA SHULE YA SEC. BUHONGWA PIGA +255 682 034 530 na +255 750 676 353.

๐ŸŽ„ARUSHA KALOLENI MNARA WA MWENGE PIGA +255766607688.

๐ŸŽ„DAR ES SALAAM GOBA NJIA NNE NYUMA YA AFRO OIL +255688820050

06/01/2024

Soy Isoflavones
Hivi ni virutubisho maalum Kwa wanawake
๐Ÿ’šKushika mimba Kwa haraka
๐Ÿ’šUte wa uzazi na k**a una tatizo la ukavu.
๐Ÿ’šKubalance hormones
๐Ÿ’šKuongeza hamu na hisia ya tendo.

Inapatikana Kwa elfu 35 tuu

04/01/2024

MWANZA
TUPO
BUHONGWA OPPOSITE NA GETI LA SHULE YA SEKONDARI BUHONGWA.

MIDA YA KAZI: JTATU HADI IJUMAA, SAA 2 ASUBUHI HADI SAA 11 JIONI.
MAWASILINO: 0750676353

29/12/2023

๐ˆ๐๐…๐„๐‚๐“๐ˆ๐Ž๐๐’ ๐’๐‡๐ˆ๐„๐‹๐ƒ
(๐Ÿค— ๐˜ฟ๐™–๐™ฌ๐™– ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™ž๐™ฉ๐™ž๐™จ๐™๐™–๐™ข๐™—๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™–๐™–๐™ข๐™—๐™ช๐™ ๐™ž๐™ฏ๐™ž ๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž๐Ÿ’).

โ„๐•š๐•š ๐•Ÿ๐••๐•š๐•  ๐•œ๐•š๐•“๐• ๐•œ๐•  ๐•ช๐•’ :
๐ŸŒฑ๐Ÿชต sugu
๐ŸŒฑ๐Ÿชต safisha kizazi pamoja na mirija
๐ŸŒฑ๐Ÿชต ( uvimbe)
๐ŸŒฑ๐Ÿชต Cysts ( Uvimbe kwenye mayai).
๐ŸŒฑ๐Ÿชต sugu
๐ŸŒฑ๐Ÿชต sugu
๐ŸŒฑ๐Ÿชต zingine

Bei TZS 30,000/=

Matumizi: Kijiko kimoja kidogo cha chai kwenye maji ujazo wa kikombe au glass mara Moja tuu kwร  siku jioni.

Wasiliana nasi kwa namba:
๐ŸŽ„MWANZA BUHONGWA OPP. NA GETI YA SHULE YA SEC. BUHONGWA PIGA +255 750 676 353.

๐ŸŽ„ARUSHA KALOLENI MNARA WA MWENGE PIGA +255766607688.

๐ŸŽ„DAR ES SALAAM GOBA NJIA NNE NYUMA YA AFRO OIL +255688820050

03/06/2023

SPIRULINA

๐Ÿ”‘-Ni kirutubisho cha asili kisicho na kemikali

kilichotengenezwa kwa mimea ya baharini ijulikanayo k**a Arthrospira Plant,

kidonge kimoja cha spirulina ni sawa na mtu aliyekula kilo moja ya matunda na kilo moja ya mboga za majani.

Spirulina ina trace elements na minerals k**a vile K, na Ca, Mg, Fe, Zn, Cu, Se n.k.Ina vitamin B1,B2,B3,B6 na B9 pia ina vitamin C,D,A, na K.

Spirulina ni chakula bora na kamili cha ziada kwa watu wa umri na aina zote za maisha(nutritional supplements). Spirulina ina vimengโ€™enya vya kutosha na ina protini hadi kufikia 70% zilizo kamili na zinazoyeyuka kwa kiasi kikubwa.

Kirutubisho hiki husaidia kutunza afya, kuunguza mafuta ndani ya mwili na kuuweka mwili katika hali nzuri.

Faida za kutumia Spirulina:
๐Ÿ‘‰Inaongeza damu mwilini kwani ina kiwango kikubwa cha madini ya chuma(iron),pia wanaokosa hamu ya kula inawafaa
๐Ÿ‘‰Huongeza nguvu mwilini(energizer),
๐Ÿ‘‰Ni kisafishaji cha asili(detoxification) huondoa sumu mwilini
๐Ÿ‘‰Hutoa mlo kamili kwa wakubwa na wadogo,
๐Ÿ‘‰Hupunguza hatari ya kupata kansa, na wenye kansa huzuia isisambae zaidi
๐Ÿ‘‰Hupunguza kiwango cha kolestero na hatari ya ugonjwa wa moyo,
๐Ÿ‘‰Inaweka sawa vichocheo vya mwili,huongeza kumbukumbu nzuri kwa watoto umri wa shule na wazee wanaosumbuliwa na kumbukumbu au ubongo kuchoka
๐Ÿ‘‰husaidia wanaosumbuliwa na tumbo la hedhi, kichefuchefu, mood change etc
๐Ÿ‘‰wanaosumbuliwa na fungus kwa muda bila suluhu hii inaua fungus na bacteria kwenye damu
๐Ÿ‘‰inatibu magonjwa sugu ya ini, ikiwa pia inatibu homa ya ini
๐Ÿ‘‰Husaidia kuongeza kinga za mwili(CD4),utafiti umethibitisha huongeza kinga ya mwili haraka zaidi
๐Ÿ‘‰Inarekebisha kiwango cha sukari mwilini,
๐Ÿ‘‰Kusaidia kuweka mafuta na sukari ndani ya mwili kwenye viwango kizuri,
๐Ÿ‘‰Ni nzuri pia kwa watu wenye vidonda vya tumbo,
๐Ÿ‘‰Kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula,
๐Ÿ‘‰Inasaidia kwa wajawazito kumpatia mtoto virutubisho akiwa tumboni.
๐Ÿ‘‰Ni nzuri sana kwa matumizi ya watu wa rika zote (watoto,vijana mpaka wazee).

Bei ni Tsh 40,000 ambapo utapata vidonge 100! g 25

KWA USHAURI NA MAHITAJI YA KIRUTUBISHO HIKI MUHIMU KWA AFYA BORA YA MWILI WAKO

WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA
0673402024

๐Ÿ“GOBA NJIA NNE

Follow us:

07/09/2022

SKINCARE SERUM
Mafuta ya mchanganyiko wa vitu asilia yenye uwezo mkubwa wa kutibu ngozi kwa matatizo ya :
๐Ÿ”ฏMichirizi ( stretch marks)
๐Ÿ”ฏMadoa ( dark spots)
๐Ÿ”ฏChunusi ( Acne & Pimple).

Yanapatikana kwa Bei ya elfu 15.

Matumizi: Paka sehemu iliyo athirika usiku kabla ya kwenda kulala.

Mawasiliano: Calls, messages, Whatsapp +255688820050

13/08/2022

SLIM PATCHES
๐Ÿ‘‰Zina saidia kuchoma mafuta
๐Ÿ‘‰Zinapunguza uchofu
๐Ÿ‘‰Zina punguza sukari kwenye damu.

Inashauriwa kutumia masaa 8 Hadi 12 hasa mida ya usiku

๐ŸฅBandika kitovuni K**a unataka kupungua mwili mzima.
๐ŸฅBandika sehemu yeyote unayo taka kupungua.
Zinapatikana Dar kwa mawasiliano
+255673402024 na 0688820050
Arusha Kaloleni, 0766607688

Bei ni elfu 20 kwa PCs 10, Dozi ni PCs 30 kwa elfu 60.

04/08/2022

MKOMBOZI
Dawa nzuri kwa wagonjwa wa pressure
Inatibu
๐ŸงฝKuondoa mafuta kwenye mishipa ya moyo.
๐Ÿงฝshinikizo la damu ( BP), pressure ya kupanda na kushuka.
๐ŸงฝKuondoa uchomvu, inaongeza stamina na kuupa mwili nguvu.
๐Ÿงฝ Maumivu ya kichwa pamoja na kipanda uso.
๐ŸงฝHuondoa uvimbe
๐ŸงฝKutoa sumu mwilini.

Matumizi:
๐Ÿ”–Vijiko vinne ( 4) asubuhi, na vijiko vinne ( 4) jioni.

INAPATIKANA:
๐ŸขDar es salaam Mbagala rangi tatu shell ya puma, 0673402024
๐ŸขDar es salaam Goba njia nne, 0688820050
๐ŸขArusha Kaloleni Mnara wa mwenge karibu na CCM mkoa.

16/02/2022

KWA AJILI YA KUPUNGUZA KITAMBI TUU. ๐Ÿคฐ๐Ÿฟ
Tunatumia.
INTESTINES CLEANSING JUICE, kopo mbili kopo moja ni elfu 25, diet pamoja na mazoezi maalum ya tumbo.
Wasiliana nasi Kwa 0688820050
Zinapatikana:
Dar es salaam, Mbagala rangi tatu.
Dar es salaam, Goba njia nne.
Arusha Kaloleni Mnara wa mwenge.

15/02/2022

Matokeo ya baada ya kutumia Slimming capsules na Intestines cleansing juice kwa mwezi mmoja, nidhamu ya ulaji na mazoezi rahisi.
Slimming capsules ๐Ÿ”ฅ
โšœ๏ธZina punguza hamu ya kula
โšœ๏ธZina yeyusha mafuta
โšœ๏ธkuongeza fat carrier
coenzymes
โšœ๏ธ kuchoma mafuta
Intestine cleansing juice ๐Ÿ”ฅ
โšœ๏ธIna yeyusha mafuta hasa tumboni
โšœ๏ธkutoa sumu mwilini ( detox).
Zinapatikana:
๐ŸขDar es salaam Goba njia nne, 0688820050
๐ŸขDar es salaam Mbagala rangi tatu shell ya puma, 0673402024
๐ŸขArusha Kaloleni Mnara wa mwenge karibu na CCM mkoa, 0766607688.
Tunafanya delivery kwa gharama nafuu sana.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mwanza