Biolife Herbal clinic
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Biolife Herbal clinic, Health/Beauty, Mwanza.
๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐
(๐ค ๐ฟ๐๐ฌ๐ ๐ฎ๐ ๐ข๐๐ฉ๐๐จ๐๐๐ข๐๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐๐ก๐ ๐ฎ๐ ๐ข๐๐๐ข๐๐ช๐ ๐๐ฏ๐ ๐ข๐๐๐ก๐๐ข๐๐๐ก๐๐).
โ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐ช๐ :
๐ฑ๐ชต sugu
๐ฑ๐ชต safisha kizazi pamoja na mirija
๐ฑ๐ชต ( uvimbe)
๐ฑ๐ชต Cysts ( Uvimbe kwenye mayai).
๐ฑ๐ชต sugu
๐ฑ๐ชต sugu
๐ฑ๐ชต zingine
Bei TZS 30,000/=
Matumizi: Kijiko kimoja kidogo cha chai kwenye maji ujazo wa kikombe au glass mara Moja tuu kwร siku jioni.
Wasiliana nasi kwa namba:
๐MWANZA BUHONGWA OPP. NA GETI YA SHULE YA SEC. BUHONGWA PIGA +255 682 034 530 na +255 750 676 353.
๐ARUSHA KALOLENI MNARA WA MWENGE PIGA +255766607688.
๐DAR ES SALAAM GOBA NJIA NNE NYUMA YA AFRO OIL +255688820050
06/01/2024
Soy Isoflavones
Hivi ni virutubisho maalum Kwa wanawake
๐Kushika mimba Kwa haraka
๐Ute wa uzazi na k**a una tatizo la ukavu.
๐Kubalance hormones
๐Kuongeza hamu na hisia ya tendo.
Inapatikana Kwa elfu 35 tuu
04/01/2024
MWANZA
TUPO
BUHONGWA OPPOSITE NA GETI LA SHULE YA SEKONDARI BUHONGWA.
MIDA YA KAZI: JTATU HADI IJUMAA, SAA 2 ASUBUHI HADI SAA 11 JIONI.
MAWASILINO: 0750676353
๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐
(๐ค ๐ฟ๐๐ฌ๐ ๐ฎ๐ ๐ข๐๐ฉ๐๐จ๐๐๐ข๐๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐๐ก๐ ๐ฎ๐ ๐ข๐๐๐ข๐๐ช๐ ๐๐ฏ๐ ๐ข๐๐๐ก๐๐ข๐๐๐ก๐๐).
โ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐ช๐ :
๐ฑ๐ชต sugu
๐ฑ๐ชต safisha kizazi pamoja na mirija
๐ฑ๐ชต ( uvimbe)
๐ฑ๐ชต Cysts ( Uvimbe kwenye mayai).
๐ฑ๐ชต sugu
๐ฑ๐ชต sugu
๐ฑ๐ชต zingine
Bei TZS 30,000/=
Matumizi: Kijiko kimoja kidogo cha chai kwenye maji ujazo wa kikombe au glass mara Moja tuu kwร siku jioni.
Wasiliana nasi kwa namba:
๐MWANZA BUHONGWA OPP. NA GETI YA SHULE YA SEC. BUHONGWA PIGA +255 750 676 353.
๐ARUSHA KALOLENI MNARA WA MWENGE PIGA +255766607688.
๐DAR ES SALAAM GOBA NJIA NNE NYUMA YA AFRO OIL +255688820050
03/06/2023
SPIRULINA
๐-Ni kirutubisho cha asili kisicho na kemikali
kilichotengenezwa kwa mimea ya baharini ijulikanayo k**a Arthrospira Plant,
kidonge kimoja cha spirulina ni sawa na mtu aliyekula kilo moja ya matunda na kilo moja ya mboga za majani.
Spirulina ina trace elements na minerals k**a vile K, na Ca, Mg, Fe, Zn, Cu, Se n.k.Ina vitamin B1,B2,B3,B6 na B9 pia ina vitamin C,D,A, na K.
Spirulina ni chakula bora na kamili cha ziada kwa watu wa umri na aina zote za maisha(nutritional supplements). Spirulina ina vimengโenya vya kutosha na ina protini hadi kufikia 70% zilizo kamili na zinazoyeyuka kwa kiasi kikubwa.
Kirutubisho hiki husaidia kutunza afya, kuunguza mafuta ndani ya mwili na kuuweka mwili katika hali nzuri.
Faida za kutumia Spirulina:
๐Inaongeza damu mwilini kwani ina kiwango kikubwa cha madini ya chuma(iron),pia wanaokosa hamu ya kula inawafaa
๐Huongeza nguvu mwilini(energizer),
๐Ni kisafishaji cha asili(detoxification) huondoa sumu mwilini
๐Hutoa mlo kamili kwa wakubwa na wadogo,
๐Hupunguza hatari ya kupata kansa, na wenye kansa huzuia isisambae zaidi
๐Hupunguza kiwango cha kolestero na hatari ya ugonjwa wa moyo,
๐Inaweka sawa vichocheo vya mwili,huongeza kumbukumbu nzuri kwa watoto umri wa shule na wazee wanaosumbuliwa na kumbukumbu au ubongo kuchoka
๐husaidia wanaosumbuliwa na tumbo la hedhi, kichefuchefu, mood change etc
๐wanaosumbuliwa na fungus kwa muda bila suluhu hii inaua fungus na bacteria kwenye damu
๐inatibu magonjwa sugu ya ini, ikiwa pia inatibu homa ya ini
๐Husaidia kuongeza kinga za mwili(CD4),utafiti umethibitisha huongeza kinga ya mwili haraka zaidi
๐Inarekebisha kiwango cha sukari mwilini,
๐Kusaidia kuweka mafuta na sukari ndani ya mwili kwenye viwango kizuri,
๐Ni nzuri pia kwa watu wenye vidonda vya tumbo,
๐Kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula,
๐Inasaidia kwa wajawazito kumpatia mtoto virutubisho akiwa tumboni.
๐Ni nzuri sana kwa matumizi ya watu wa rika zote (watoto,vijana mpaka wazee).
Bei ni Tsh 40,000 ambapo utapata vidonge 100! g 25
KWA USHAURI NA MAHITAJI YA KIRUTUBISHO HIKI MUHIMU KWA AFYA BORA YA MWILI WAKO
WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA
0673402024
๐GOBA NJIA NNE
Follow us:
07/09/2022
SKINCARE SERUM
Mafuta ya mchanganyiko wa vitu asilia yenye uwezo mkubwa wa kutibu ngozi kwa matatizo ya :
๐ฏMichirizi ( stretch marks)
๐ฏMadoa ( dark spots)
๐ฏChunusi ( Acne & Pimple).
Yanapatikana kwa Bei ya elfu 15.
Matumizi: Paka sehemu iliyo athirika usiku kabla ya kwenda kulala.
Mawasiliano: Calls, messages, Whatsapp +255688820050
SLIM PATCHES
๐Zina saidia kuchoma mafuta
๐Zinapunguza uchofu
๐Zina punguza sukari kwenye damu.
Inashauriwa kutumia masaa 8 Hadi 12 hasa mida ya usiku
๐ฅBandika kitovuni K**a unataka kupungua mwili mzima.
๐ฅBandika sehemu yeyote unayo taka kupungua.
Zinapatikana Dar kwa mawasiliano
+255673402024 na 0688820050
Arusha Kaloleni, 0766607688
Bei ni elfu 20 kwa PCs 10, Dozi ni PCs 30 kwa elfu 60.
04/08/2022
MKOMBOZI
Dawa nzuri kwa wagonjwa wa pressure
Inatibu
๐งฝKuondoa mafuta kwenye mishipa ya moyo.
๐งฝshinikizo la damu ( BP), pressure ya kupanda na kushuka.
๐งฝKuondoa uchomvu, inaongeza stamina na kuupa mwili nguvu.
๐งฝ Maumivu ya kichwa pamoja na kipanda uso.
๐งฝHuondoa uvimbe
๐งฝKutoa sumu mwilini.
Matumizi:
๐Vijiko vinne ( 4) asubuhi, na vijiko vinne ( 4) jioni.
INAPATIKANA:
๐ขDar es salaam Mbagala rangi tatu shell ya puma, 0673402024
๐ขDar es salaam Goba njia nne, 0688820050
๐ขArusha Kaloleni Mnara wa mwenge karibu na CCM mkoa.
16/02/2022
KWA AJILI YA KUPUNGUZA KITAMBI TUU. ๐คฐ๐ฟ
Tunatumia.
INTESTINES CLEANSING JUICE, kopo mbili kopo moja ni elfu 25, diet pamoja na mazoezi maalum ya tumbo.
Wasiliana nasi Kwa 0688820050
Zinapatikana:
Dar es salaam, Mbagala rangi tatu.
Dar es salaam, Goba njia nne.
Arusha Kaloleni Mnara wa mwenge.
15/02/2022
Matokeo ya baada ya kutumia Slimming capsules na Intestines cleansing juice kwa mwezi mmoja, nidhamu ya ulaji na mazoezi rahisi.
Slimming capsules ๐ฅ
โ๏ธZina punguza hamu ya kula
โ๏ธZina yeyusha mafuta
โ๏ธkuongeza fat carrier
coenzymes
โ๏ธ kuchoma mafuta
Intestine cleansing juice ๐ฅ
โ๏ธIna yeyusha mafuta hasa tumboni
โ๏ธkutoa sumu mwilini ( detox).
Zinapatikana:
๐ขDar es salaam Goba njia nne, 0688820050
๐ขDar es salaam Mbagala rangi tatu shell ya puma, 0673402024
๐ขArusha Kaloleni Mnara wa mwenge karibu na CCM mkoa, 0766607688.
Tunafanya delivery kwa gharama nafuu sana.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Mwanza
