Dawa ZA Mitishamba

Dawa ZA Mitishamba

Share

See Translation πŸ‘‡
https://dmshambaplus.blogspot.com

29/05/2026

🚦TIBA ZA ASILI KWA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE πŸ” Dawa ZA Mitishamba

Je, unasumbuliwa na:

πŸ‘‰ Kutopata ujauzito
πŸ‘‰ Hormonal Imbalance
πŸ‘‰ Ovarian Cysts
πŸ‘‰ Blocked Tubes
πŸ‘‰ Vaginal Infections

Tiba za asili zimekuwa zikitumika kusaidia kusafisha mwili, kuboresha mzunguko wa homoni na kuimarisha afya ya uzazi kwa ujumla.

πŸƒ Mimea asilia yenye virutubisho muhimu inaweza kusaidia:
βœ”οΈ Kusafisha mfumo wa uzazi
βœ”οΈ Kuimarisha afya ya kizazi
βœ”οΈ Kupunguza maambukizi
βœ”οΈ Kuboresha mzunguko wa hedhi
βœ”οΈ Kuupa mwili nguvu na afya nzuri

⚠️ Ni muhimu kupata ushauri wa kitaalamu kabla ya kutumia tiba yoyote ya asili, hasa k**a una maumivu makali au tatizo la muda mrefu.

🀝 Wasiliana nasi kupata maelezo zaidi kuhusu tiba za aasili na matumizi yake.

29/05/2026

🚦FANGASI ZA KUCHA SASA BASI πŸ‘‹ πŸ” Dawa ZA Mitishamba :

πŸ€— Siku 7 ( Week ) Tu tatizo lako linaisha kabisa!

Weka Order Sasa [ 19500Tsh/= ] 🚚

28/05/2026

🚦SIRI YA MSTAKAFELI NA MAZIWA KWA AFYA YA MWANAUME πŸ” Dawa ZA Mitishamba :

Je, unafahamu kuwa baadhi ya watu hutumia majani ya mstakafeli pamoja na maziwa k**a sehemu ya tiba za asili kwa kusaidia afya ya tezi dume? 🌱πŸ₯›

Mchanganyiko huu huaminika kusaidia:

βœ… Kuimarisha mwili
βœ… Kupunguza uchochezi
βœ… Kusaidia mfumo wa mkojo
βœ… Kuongeza nguvu za mwili

⚠️ Dalili za tezi dume usizipuuzie:

Kukojoa mara kwa mara usiku
Maumivu wakati wa kukojoa
Mkojo kutoka kwa shida
Maumivu ya kiuno

πŸ“Œ Kumbuka:
Tiba za asili ni msaada wa kiafya, lakini ni muhimu kufanya vipimo hospitalini ili kujua chanzo halisi cha tatizo.

🌿 Linda afya yako mapema kabla tatizo halijakuwa kubwa.

07/05/2026

🚦MAFUA NA KIKOHOZI KWISHA KABISA β€” JARIBU MCHANGANYIKO HUU WA ASALI, LIMAO NA TANGAWIZI! πŸ” Dawa ZA Mitishamba

βœ… Husaidia mafua na kikohozi
βœ… Husaidia koo na kifua
βœ… Hutoa joto mwilini
βœ… Huongeza kinga ya mwili

πŸ₯„ Jinsi ya kutumia:
Changanya asali, maji ya limao na tangawizi kwenye maji ya uvuguvugu, kisha kunywa mara 1–2 kwa siku. πŸ―πŸ‹β˜•

πŸ’₯Tahadhari
πŸ‘‰Usitumie maji ya moto sana ukichanganya asali
πŸ‘‰Wenye vidonda vya tumbo watumie kwa kiasi

12/04/2026

🚦NJIA RAHISI YA KUZIFANYA NYWELE ZIKUE HARAKA! πŸ” Dawa ZA Mitishamba

πŸ€— Unasumbuliwa na nywele kukatika, kuwa kavu au hazikui haraka? Jaribu njia hii ya asili πŸ‘‡

πŸ’₯ Mchanganyiko:

πŸ‘‰ Yai 1
πŸ‘‰ Vijiko 2 vya asali
πŸ‘‰ Kijiko 1 cha mafuta ya n**i

πŸ’₯ Jinsi ya kutumia:
Pakaa kwenye nywele kuanzia mizizi hadi mwisho, acha kwa dakika 20–30 kisha osha kwa maji ya uvuguvugu na shampoo.

πŸ’₯ Faida zake:
βœ” Hukuza nywele haraka
βœ” Hufanya nywele ziwe laini na zenye kung’aa
βœ” Hupunguza kukatika
βœ” Hutoa unyevu wa asili

⚠️ Kumbuka:
Epuka kutumia maji ya moto ili yai lisigande kichwani.

Photos from Dawa ZA Mitishamba's post 05/04/2026

🚦TIBA YA ASILI YA " UTI " (MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO) πŸ” Dawa ZA Mitishamba

✍️Unasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa, kwenda chooni mara kwa mara au mkojo wenye harufu kali? Hii ni dalili ya UTI!

Jaribu tiba hii ya asili yenye nguvu πŸ‘‡

πŸ’₯ MAHITAJI:
βœ”οΈ Tangawizi
βœ”οΈ Kitunguu swaumu
βœ”οΈ Majani ya mpera
βœ”οΈ Maji
βœ”οΈ Juisi ya limao
βœ”οΈ Asali

πŸ’₯ JINSI YA KUANDAA:
Chemsha tangawizi, majani ya mpera na swaumu kwa dakika 10–15.
Chuja, kisha ongeza limao na asali.

πŸ’₯ MATUMIZI:
Kunywa kikombe 1 asubuhi na 1 jioni kwa siku 5–7

πŸ’ͺ FAIDA:
βœ”οΈ Huua bakteria
βœ”οΈ Hupunguza maumivu
βœ”οΈ Husafisha njia ya mkojo
βœ”οΈ Huzuia maambukizi kurudi

⚠️ USHAURI:
Kunywa maji mengi kila siku
Epuka kushikilia mkojo muda mrefu

πŸ€— Kumbuka:
Dalili zikiendelea, wahi hospitali kupata matibabu sahihi

πŸ’¬ Share kuwasaidia wengine wajue tiba hii!

29/03/2026
22/03/2026

🚦TIBA YA ASILI YA " UTI " (MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO) πŸ” Dawa ZA Mitishamba

✍️Unasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa, kwenda chooni mara kwa mara au mkojo wenye harufu kali? Hii ni dalili ya UTI!

Jaribu tiba hii ya asili yenye nguvu πŸ‘‡

πŸ’₯ MAHITAJI:
βœ”οΈ Tangawizi
βœ”οΈ Kitunguu swaumu
βœ”οΈ Majani ya mpera
βœ”οΈ Maji
βœ”οΈ Juisi ya limao
βœ”οΈ Asali

πŸ’₯ JINSI YA KUANDAA:
Chemsha tangawizi, majani ya mpera na swaumu kwa dakika 10–15.
Chuja, kisha ongeza limao na asali.

πŸ’₯ MATUMIZI:
Kunywa kikombe 1 asubuhi na 1 jioni kwa siku 5–7

πŸ’ͺ FAIDA:
βœ”οΈ Huua bakteria
βœ”οΈ Hupunguza maumivu
βœ”οΈ Husafisha njia ya mkojo
βœ”οΈ Huzuia maambukizi kurudi

⚠️ USHAURI:
Kunywa maji mengi kila siku
Epuka kushikilia mkojo muda mrefu

πŸ€— Kumbuka:
Dalili zikiendelea, wahi hospitali kupata matibabu sahihi

πŸ’¬ Share kuwasaidia wengine wajue tiba hii!

22/03/2026

πŸ€— EMBU TUAMBIE KWENU MNAYAITAJE "CHANGIA BANDO LA 5000Tsh/= NIKUPE FAIDA ZAKE KUU" πŸ” Dawa ZA Mitishamba

✍️Matunda haya yanafaida Kubwa sana Ukichanganya na miti mingine unapata Tiba ya ugonjwa WA kisukari

19/03/2026

🚦FAIDA KUU (5 ) ZA ULAJI WA TIKITI MAJI ( Watermelon ) KWA AFYA πŸ‰ πŸ” Dawa ZA Mitishamba :

✍️Tikiti maji ( Watermelon ) siyo tu kitamu na cha kutuliza kiu, bali pia ni dawa asilia yenye faida nyingi kwa mwili.

βœ… Lina maji mengi (karibu 90%) – husaidia mwili kuepuka upungufu wa maji.

βœ… Huimarisha afya ya figo kwa kusaidia kutoa taka mwilini.

βœ… Lina lycopene – kinga asilia inayopunguza hatari ya saratani na magonjwa ya moyo.

βœ… Hupunguza shinikizo la damu na kuimarisha mzunguko wa damu.

βœ… Huchangia kuongeza nguvu na kupunguza uchovu.

✨ Tikiti maji ni kinywaji na tiba asilia kwa pamoja – kula mara kwa mara hasa kwenye joto.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Tanga?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Tanga

Opening Hours

Monday 09:00 - 23:00
Tuesday 09:00 - 23:00
Wednesday 09:00 - 23:00
Thursday 09:00 - 23:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 18:00