TIBA YA TEZI DUME

TIBA YA TEZI DUME

Share

Naitwa DR UMRAT ninatatua changamoto ya tezi dume bila upasuaji upungufu wa nguvu za kiume

25/03/2024
16/03/2024

CHANZO KIKUBWA KINACHO FANYA MWANAMKE ASIWEZE KUPATA, UJAUZITO.👇

📌uvimbe kwenye kizazi.
📌milija Ya Uzazi kuziba.
📌mvurugiko wa hedhi
📌maambukizi kwenye via vya Uzazi(PID)
📌Hormonal imbalance
📌fangasi.
📌UTI.
📌kukosa Ute wakati Wa siku za hatati.
📌chango LA Uzazi.
📌maumivu wakati wa tendo la ndoa.

K**A UNA CHANGAMOTO TAJWA HAPO JUU👆
Nina Suluhisho lako leo.
usikubali kuitwa mgumba.
Magonjwa ulio nayo yanatibika.

13/03/2024

WANAWAKE WANAUWEZEKANO MKUBWA SANA KUPATA UGONJWA WA MFADHAIKO KULIKO WANAUME

Matatizo mbalimbali ya neva na akili huathiri wanaume na wanawake kwa viwango tofauti na kwa uwiano tofauti.

Utafiti unaonesha kuwa tofauti hii inatokana na ukweli kwamba ubongo wa wanaume na wanawake huzeeka tofauti, ambayo huathiri afya ya ubongo.

Kwa mfano, wanawake wana uwezekano mara mbili ya wanaume kugunduliwa kuwa na matatizo ya wasiwasi au mfadhaiko na uwezekano mara tatu wa kupata matatizo ya kinga ya mwili ambayo huathiri ubongo, k**a vile sclerosis nyingi.

Matatizo mbalimbali ya neva na akili huathiri wanaume na wanawake kwa viwango tofauti na kwa uwiano tofauti.

12/03/2024

Juisi ya Kuondoa Sumu Mwilini (Detoxifying Juice)
Juisi ya kuondoa Sumu Mwilini.

Vipimo

Majani ya Kale (kale leaves) 3

Brokoli pamoja na miche yake ½ msongo

Kabeji iliyokatwa pamoja na z**i lake ½

Nyasi majani (fennel) 1

Tufaha (apples) 2

Namna ya kutayarisha

Katakata vitu vyote vipande weka katika bakuli
Tia katika mashine ya kukamua juisi, washa mashine ikamue juisi.
Mimina katika gilasi ikiwa tayari kunyiwa
Kidokezo

Juisi hii ni ya kuondosha athari za sumu (toxins) zinazokusanyika mwilini na kusababisha maradhi mbali mali. Kutumia kwake kila baada ya muda kunasaidia kusafisha damu na kumuhifadhi mtu na athari za sumu.

08/11/2023

FAIDA ZA BAMIA KWA MWANAUME

👉kuongeza nguvu za kiume
👉kuimrisha Afya ya moyo
👉kuimarisha kinga ya mwili
👉 kupunguza saratani ya tumbo

29/10/2023

Faida za juice ya tende.

1. Kwanza kabisa juice ya tende usaidia kuongeza nguvu za kiume kwa sababu hili ni tatizo kubwa kwa hiyo wenye tatizo hili mnapaswa kuitumia.

 

2.pia usaidia usaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa, kuna wale ambao hata kwenye tendo wanakuwa hawaishi chochote kwa hiyo kwa kutumia juice ya tendo watafaidika sana.

 

3. Usaidia kwenye afya ya mama na mtoto, kwa kuwepo kwa virutubisho mbalimbali kwenye juice ya tende usaidia afya ya mama mjamzito na kichanga.

 

4. Pia juice hii usaidia sana kuondoa sumu mwilini hasa sumu za pombe kwa wale ambao wanakunywa pombe sana na kwa mda mrefu wanapaswa kutumia juisi hii.

 

5. Pia juice hii usaidia kukinga magonjwa hasa magonjwa ya kansa za tumbo na pia uzuia kuharisha .

 

6. Vilevile hii juice usaidia katika mchakato mzima wa mmeng'enyo wa chakula kwa sababu juice hii usaidia chakula kiweze kumengenywa vizuri.

 

7. Juice ya tende uondoa hatari ya kupata choo kigumu, ukosefu wa choo, kuwepo kwa gesi tumboni na matatizo kwenye upande wa choo.

 

8. Vilevile juice hii usaidia kuondoa uchovu, hasa hasa wakulima wengi vijijini wakitoka shambani mara moja utumia juice ya tende ili kuweza kuondoa uchovu wowote na kuendelea na shughuli zao za kawaida.

28/10/2023

Faida za apple

1. Apple Lina vitamini C, A, K, B1, B2 na B6 pia Lina madini ya potassium

2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo

3.husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilini

4. Hupunguza athari za kisukari

5. Husaidia kuzuia saratani

6 husaidia kupambana na pumu

8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa

9. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha yanayotokana na matumizi ya madawa

08/10/2023

1.Tende.

Katika kila gram (100) ndani ya tende kuna virutubisho kwa asilimia k**a ifuatavyo.

Chuma (iron). 5.50ppm.

wanga (cabohydrate) 78.8%.

Nishati (energy) 317kcal.

Hamirojo (protin)2.5%.

Mafuta (fat).0.4%.

Kamba kamba (fiber)4%.

Madini 2.1%.

Unyevu nyevu (moisture)15.3%.

Fructose 27%.

Grucose (Sukari) 35%.

Faida nyingine za tende.

1.Huongeza damu ukichanganya na maziwa

2.Husaidia kuzalisha manii kwa wingi

3.Huongeza nguvu za kiume.

4.Huzidisha hamu ya tendo la ndoa.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mchina Mwanzo
Zanzibar City