Health Talk Issa Noor

Health Talk Issa Noor

Share

Habari yako. Karibu Sana kwenye page yetu hii kwa ajili ya kujua mambo mbalimbali kuhusu afya, tips, ushauri na tiba mbadala ya virutubisho..

06/03/2025

RUDISHA HESHIMA YAKO K**A MWANAUME.

Usitumie dawa tumia virutubisho.

Kwa maelezo zaidi 👇🏼

WhatsApp 📞 +255620440684
Call 📞±255718181886

Karibu sana



🇹🇿

27/02/2025

Feedback kutoka kwa mtumiaj wa virutubisho vyetu...

21/02/2025

If you play sports or exercise frequently, it’s likely you need to keep your body supplied with more nutrients than you might think! It’s crucial to replenish essential nutrients after an intense workout to promote recovery and keep your body ready for the next round.
A vitamin-rich protein powder like Forever Lite Ultra®️ makes a great recovery shake that supplies 17 grams of protein per serving to contribute to lean muscle mass along with key nutrients. You can also try powering up with Forever ARGI+®️ for a pre workout boost that supports cardiovascular function and helps the body create nitric oxide.


+

11/02/2025

Best product for skin ✨ Aloe Vera Gelly Tube!

Photos from Health Talk Issa Noor's post 10/07/2024

Afya ya uzazi kwa mwanamme inaleta uaminifu na kujiamini mbele ya mwenza wako, sio dawa bali ni virutubisho

Maelezo swipe left ⬅️

WhatsApp 📱 0620440684
Call ☎️ 0718181886

Karibu sana.

23/07/2022

Ungependa kupungua uzito lakini hujui njia gani ya kuanza?

Karibu tukusaidie kukupa muongozo wa jinsi gani unaweza kupungua uzito ndani ya mwezi mmoja na kufikia target yako. Sio jambo rahisi, unatakiwa uwe committed kweli kweli na uamue kupungua.

Ukiamua chochote kinawezekana kutokea.

Wasiliana nasi kwa +255620440684 WhatsApp/Call/Sms

KARIBU SANA

05/07/2022

Personal care ni muhimu kwako.

02/07/2022

Best foods to eat before and after work out💪🏼

11/06/2022

RUDISHA HESHIMA YAKO K**A MWANAUME.

Usitumie dawa tumia virutubisho.

Kwa maelezo zaidi 👇🏼
https://wa.me/message/WH27J65BSI6KN1
WhatsApp or Call 📞 +255620440684

Karibu sana



🇹🇿

18/05/2022

Hello..
Habari yako.
Naitwa Issa Noor.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na chunusi (pimples), kwa vile nina oily skin na sensitive skin.
Na kudhani kwamba huenda pia umri wa balegh ndio unasababisha kupata izo chunusi usoni.

Na nilitumia vitu vingi tu kujipaka usoni ili kuweza kusaidia kuondoa chunusi hizo.
Nilitumia vitu k**a, udongo, ubuyu, maji ya mchele, ndimu, mshubili (aloe vera) nk.
Lakini hali haikuonekana kupata uafadhali.

Mpaka nilipojiunga na company ya Forever na kuanza biashara,  baada ya kuona zipo products za kusaidia kuondoa chunusi nikasema wacha nizitumie mwenyewe.
Na nashkuru nimepata matokeo mazuri, na kupekea chunusi kupotea na leo ndio nikaamua ku share na wewe ili kuona jinsi gani changamoto ya chunusi inaweza kutatuka, hata k**a zimekusumbua kwa muda mrefu.

Bidhaa za natural kabisa kuweza kuondokana na chunusi ni k**a Gelly tube, Propolis creme, Forever Scrub, Liquid Soap, Avocado soap, Aloe Vera Gel, R3 Factor na nyengine nyingi.

Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na mimi kwa namba
0620440684 Call/WhatsApp.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Zanzibar City

Opening Hours

Monday 09:00 - 23:00
Tuesday 09:00 - 23:00
Wednesday 09:00 - 23:00
Thursday 09:00 - 23:00
Friday 09:00 - 23:00
Saturday 09:00 - 23:00
Sunday 09:00 - 23:00