TUzijenge AFYA ZETU

TUzijenge AFYA ZETU

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from TUzijenge AFYA ZETU, Health/Beauty, Chake Chake, Zanzibar City.

19/01/2021

●●☆☆ UNAYAJUA MADHARA YA KUTOONDOA SUMU KATIKA MWILI?.

☆☆Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

VYANZO VYA SUMU
Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri
5.Matumizi ya madawa makali
6.Uzito mkubwa
7.Mitindo ya maisha
8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa

DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI
1.Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi,vipele
2.kuwa na uzito wa kupindukia
3.kutokupata choo au choo kigumu
4.kukosa usingizi Na kujihis kuchokachoka
5.Kiichwa kuuma
6.Kupata miwasho
7.Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti
8.kuwa na hasira mara kwa mara.
9.Tumbo kujaa gesi

MADHARA YAKE
1.kuondoa hamu ya tendo la ndoa
2.maumbikizi ya figo
3.Maumbikizi ya Ini
4.Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5.hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke
6.Hupelekea matatizo ya pressure
7.Mvurugiko wa homoni

●●☆SULUHISHO LA KUDUMU.

●☆FAIDA YA BIDHAA YETU YA ALOE VERA GEL MAALUM KWA TATIZO HILI
• Huondoa sumu na uchafu katika Mwili .

•Huongeza Kinga ya Mwili kwa asilimia kubwa sana

•Husaidia kubalance presha

•Husaidia kubalance kiwango cha sukari katika Mwili.

•Hudhibiti virusi Na bacteria

•Huondoa uvimbe wa ndani Na nje.

•Husaidia katika kurekebisha mfumo wa mmengenyo wa Chakula.

•Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.

•Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.

• Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke pale atakapoitumia na Bidhaa zetu nyingine.

• Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya na kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na laini.

•Huondoa uchovu Na kuupa nguvu Mwili

Kwa yeyote anayehitaji hii program ya kuboresha na kuimarisha afya yake

Wasiliana nasi kupitia wasap namba hii 0774669689

12/01/2021

JE UPO TAYARI KUREJESHA HESIMA YA MAHUSIANO AU NDOA??

Je unawahi kufika kilelni mapema

Je unashindwa kurudia tendo kwa mara ya pili au zaidi

Je uume unashindwa kusimama au unasimama ukiwa legelege kwa mara ya pili au zaidi

Je una shindwa kumpa mwanamke mimba Kutokana na uchache au udhaifu wa mbegu (shahawa)

Je unapata maumivu kwenye korodani au misuli ya UUME baada ya tendo

Je unakosa hamu ya kufanya mapenzi au hamu ya kurudia tendo baada ya kufanya kwa mara ya kwanza

Wasiliana nasi kupitia wasap namba hii 0774669689tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwa msaada na maelezo zaidi au piga simu

04/01/2021

FOREVER BRIGHT (TOOTHPASTE)
FAIDA ZA FOREVER BRIGHT.
1. Ni dawa ya meno.
2. Inatibu kwa watu wenye changamoto ya meno mf. i/ Kuumwa meno.
ii/ kutoka damu kwenye fizi.
iii/ Ukakasi kwenye meno.
3. Inasaidia kwa watu wenye gesi tumboni.
4. Inapunza makali ya vidonda vya tumbo.
5. Kung'alisha meno.
6. Ni huduma ya kwa mtu Aliye ungua au kujikata.
7. Inatibu fangasi ya mfumo wa chakula.
8. Fangasi ya miguu na mikono .
9. Haina FLORIDE
10. Inatumiwa na watu wote .

Kwa ambae anahitaji walisiliana nasi simu namba 0774669689

25/11/2020

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0774669689au piga simu usaidiwe mapema

21/11/2020

TATIZO LA NGUVU ZA KIUME :SIFA ZA MWANAUME AMBAE HAWEZI KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI NA AMBAE SIO RIJARI.

Leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia tatizo la kupungua nguvu za kiume limekuwa kubwa sana, siyo Tanzania tu, bali duniani kote. Jambo muhimu analopaswa mwanaume yeyote kufahamu ni kwamba, kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa, ni dalili ya ugonjwa. Hii ina maana kuna dosari au udhaifu wa kiutendaji ndani ya mwili wake.
Kuna sababu zaidi ya nyingi zinazosababisha mwanaume apungue nguvu za kiume.
Mtu aweza kujiuliza kwa nini kuwe na sababu nyingi namna hiyo?
Nguvu za kiume ni nini?
Nguvu za kiume ni jina la jumla lenye vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na hamu ya mapenzi; kusimama kwa uume barabara; kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa; uwezo wa kurudia tendo la ndoa; pumzi, wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda tendo la lenyewe.

Ni viungo gani vinavyohusika na nguvu za kiume?
Nguvu za kiume ni tukio pana sana lenye kuhusisha viungo na vitu vingi ndani ya mwili. Kuna zaidi ya viungo na vitu 50 ndani ya mwili wa mwanaume vinavyohusika na nguvu za kiume ambapo viungo hivi pia hufanya kazi zingine za mwili. Baadhi ya viungo hivyo ni ubongo, moyo, mishipa ya neva mishipa ya ateri, mirija iliyo ndani ya uume iitwayo corpora cavernosa.
Viungo vingine ni neva maalumu za parasympathetic, tezidume (prostate gland), ini, figo, homoni ya testestorone, kemikali za acetylcholine, serotonin, na dopamine, uti wa mgongo, eneo la chini ya mgongo (kiuno), eneo la nyonga.
Viungo vingine ni misuli maalumu iitwayo pelvic floor, tezi pituitari (pituitary gland), utando maalumu wa uumeni uitwao tunica albuginea, misuli iitwayopubococcygeus [PC muscles], kemikali ya nitric oxide, kemikali ya prolactin n.k.
Nini maana ya kupungua nguvu za kiume?
Unapopungua nguvu za kiume ina maana ndani ya mwili wako kuna baadhi ya vitu katika vitu nilivyovitaja hapo juu havifanyi kazi vizuri jinsi ipasavyo na inavyotakiwa. Yawezekana ni figo ndilo halifanyi kazi vizuri, au ini, au tezi dume, au neva ya parasympathetic, au moyo una tatizo au mishipa ya ateri, au misuli ya pelvic au homoni fulani iko juu sana au iko chini sana (hormonal imbalance), orodha ni ndefu sana.
Kitendo cha baadhi ya viungo hivyo kutofanya kazi vizuri basi hapo hutokea upungufu katika nguvu za kiume.

Upungufu huo unaweza kuwa ni:

1. Kukosa hamu ya mapenzi; au

2. Uume kusimama kwa uregevu; au

3. Kuwahi kufika kileleni; au

4. Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa); au

5. Kushindwa kurudia tendo la ndoa; au

6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo; au

7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji; au

8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu;

Ndugu msomaji, ili uelewe vizuri zaidi labda niseme kwamba, nguvu za kiume ni kiwanda; na ni zaidi ya kiwanda. Ndani ya kiwanda kuna umeme, maji, madawa, watu (wafanyakazi wa kila taaluma na fani), mashine, mitambo n.k.
Ikitokea kitu kimojawapo kukosekana, mathalani umeme, au wafanyakazi wakagoma, au kukakosekana madawa muhimu au maji na kadhaa wakadha, basi bidhaa inayotarajiwa kupatikana sokoni, kwa hakika haitapatikana.
Vivyo hivyo nguvu za kiume, mathalani, ikitokea tezidume kutofanya kazi vyema, basi hapo mwanaume hatoona nguvu za kiume, zitapungua au zitaisha kabisa!
Kwa hiyo upungufu wa nguvu za kiume ni upungufu au kasoro za kiutendaji wa viungo ndani ya mwili wa mwanaume. Mwanaume yoyote anapaswa kutambua jambo hili.
Lakini nini kinachopelekea viungo hivyo vishindwe kufanya kazi vizuri?
Kuna maradhi kadhaa, vyakula tunavyokula, tabia na mtindo wa maisha vinavyoweza kupelekea viungo hivyo kutofanya kazi vizuri. Baaadhi ya maradhi hayo na tabia hizo ni

kujichua/punyeto (ma********on);

kisukari;
presha ya kupanda;
presha ya kushuka;
uvutaji wa sigara; unywaji wa pombe; madawa ya kuleva;
kufanya kazi kupita kiwango na kukosa muda wa kupumuzika;
matatizo ya kukosa usingizi na kuchelewa kulala usiku.
Sababu zingine za kupungua nguvu za kiume ni kutokunywa maji ya kutosha, tatizo la kufunga choo hasa pale unapotumia nguvu nyingi kusukuma choo; kutofanya mazoezi; ukosefu wa kumbukumbu;
uzito mkubwa/unene mkubwa; kitambi;
kuvimba kwa tezidume (Benign Prostate Hyperplasia).
Sababu zingine ni saratani ya tezi dume (Prostate cancer),
matibabu ya mionzi ya tezidume na upasuaji, ugonjwa unaoathiri vitendo na shughuli za mwili k**a vile mwondoko na balansi (multiple sclerosis),
ugonjwa ambao hudhuru mawasiliano ya ubongo na miondoko ikiwa ni pamoja na kutembea, kuongea na kuandika (parkinson’s disease),
vyakula vya mafuta, vyakula vilivyowekewa homoni bandia za k**e n.k.
Sababu zingine ni maumivu ya mgongo/kiuno; baadhi ya madawa ya kemikali (madawa ya hospitali); kiharusi (stroke); upungufu katika utendaji wa kazi za gonadi (hypogonadism); uzalishaji mwingi wa homoni ya thyroid.
Sababu zingine ni kutozalishwa kwa homoni ya thyroid ya kutosha; ugonjwa unaoathiri uzalishaji wa homoni ya cortisol (cushing’s syndrome); ugonjwa wa kupinda uume (peyronie’s disease); kukak**aa kwa mishipa ya damu (atherosclerosis); orodha ni ndefu sana, n
Hivyo mwanaume anapopungua nguvu za kiume, ina maana kuna ugonjwa ndani ya mwili wake, au unaweza kuwa huo ugonjwa umeshadhihirika (umeshatokeza) kwa nje, au huo uko ndani ya mwili unamla na kummaliza kimyakimya k**a yalivyo baadhi ya magonjwa ambapo baadaye hulipuka. Hii ndiyo maana kitaalamu tunasema kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa ni dalili ya ugonjwa. Unapopungua nguvu za kiume hiyo ni KENGELE YA TAHADHARI kwamba ndani ya mwili wako kuna kitu hakifanyi kazi vyema. Hivyo, unaambiwa kuchukua TAHADHARI kabla ya HATARI!
KOSA KUBWA WANALOFANYA WANAUME WENGI!
Wanaume wengi wanapopungukiwa nguvu za kiume hukimbilia kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume, na siyo kutibu. Hili ni KOSA KUBWA sana!
Ni kosa kubwa kukurupuka kubugia dawa za nguvu za kiume bila kujua chanzo cha tatizo na bila kujua hiyo dawa inakwenda kutibu tatizo gani. Kwa njia hiyo, utamaliza miaka hata zaidi ya 100 na hata miaka elfu moja na hautapona!
Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo; kwa maana ya kwamba mzizi wa tatizo sharti ung'olewe kwanza! Mathalani, k**a tatizo ni la homoni ijulikane kwanza; k**a ni tatizo la tezi ijulikane kwanza, kisha matibabu sahihi yaelekezwe katika maeneo hayo. Hayo ndiyo matibabu, na si vinginevyo. Angalia mwenyewe, upungufu wa nguvu za kiume unaweza kutokana na kisukari kwa mwanume huyu, au shinikizo la damu la kupanda (HIGH BLOOD PRESSURE) kwa mwanaume yule; au shida ya tezidume kwa mwanaume mwingine au shida ya kihomoni (HORMONAL IMBALANCE) kwa wanawake wengine, basi vipi iingie akilini kwamba wote hao watatibiwa na dawa aina moja? Watu wengi wengi wameelewa kimakosa sana ndiyo maana hata matibabu yamekuwa ni tatizo kubwa sana.
Acha kulalamika wala kumlalamikia mwenza wako sasa piga simu tuzungumze.
SIFA ZA MWANAUME AMBAE HAWEZI KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI NA AMBAE SIO RIJARI
UNAIBIWA MPENDWA WETU,CHUKUA HATUA SASA.
1. Kushindwa kabisa kusimamisha uume wake
2. Uume kusimama ukiwa legelege
3. Kuwahi kumaliza tendo la ndoa
4. Mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya staili ( Mara nyingi mwanaume huyu huwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa staili moja tu ). Hapa mwanaume anakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa staili ya “ missionary” pekee. Ikibadilishwa staili, mwanaume anakuwa hana tena uwezo wa kusimamisha uume wake japo katika hali ya u lege lege
5. Uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwashikwa ama kutomaswa kwa muda mrefu.
6. Uume kusinyaa ukiwa ndani ya mwanamke.
7. Uume kusinyaa, pindi inapotokea activity llluna sinyaa )
9. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa.
10. Kupatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa.
VIASHIRIA VYA MWANAUME TIMAMU RIJARI
Mwanaume asiye na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume, huonyesha ishara zifuatazo ;
i. Uume husimama ukiwa imara k**a msumari.
ii. Hukaa kifuani kwa muda mrefu ( Wastani ni kati ya dakika 20 hadi 45 )
iii. Huweza kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila misuli ya uume kuchoka.
iv. Huweza kufanya tendo la ndoa kwa staili yoyote ile
v. Uume husimama wenyewe bila kushikwa shikwa wala kuwa stimulated kwa namna yoyote ile
vi. Kwa ufupi anakuwa na uwezo wa kufanya na kukamilisha tendo la ndoa kwa uukamilifu mkubwa.
_SULUHISHO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME HILI HAPA_
⚫ ⚫ ⚫
JE UNA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME??
⚫ MAISHA , MITINDO YETU YA KIMAISHA NA VYAKULA TUNAVYOKULA SIKU HIZI VINACHANGIA SANA KUWA NA UDHAIFU KATIKA MAENEO MBALIMBALI KIMWILI IKIWEMO UDHAIFU WAKATI WA TENDO LA NDOA.
1》 Unaifahamu MULTIMACA, iliyotengenezwa kwa zao liitwalo Maca??
⚫ Kikawaida, umri unavoongezeka na kutokana mitindo mibovu ya maisha, na vyakula vyenye Kemikali tunavyokula, Glands za Endocrine huwa zinapunguza ufanyaji kazi wake wa kutozalisha hormones kwa kasi. Ambapo baadae hupelekea mwili kuchoka na kukosa nguvu ya asili na stamina.
Hii huleta madhara mengi k**a:
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
2. Kupata Stress.
3. Kuchoka haraka wakati wa tendo.
Na mengine mengi.
⚫ UKITUMIA ZAO LA MACA
Ambalo ni mmea uliogundulika tangia miaka 2000 iliyopita uko PERU, na mizizi yake ilikua ikitumika k**a Chakula cha wanajeshi wa INCAN kabla ya kwenda Vitani, ili kuwapa nguvu na stamina. Maca imekua maarufu kwa jina la "S*x Herbs Of The Incan"
⚫ Forever Living Products, iliichukua Peruvian Maca na kuchanganya na Mimea tofauti ya asili ili kutengeneza Virutubisho vya " Forever MultiMaca"
⚫ Ambayo ukitumia itakusaidia:
1. Kuongeza Libido. (Hamu ya Tendo la Ndoa)
2. Kubalance Hormones Kwenye Mwili,
3. Kurahisisha changamoto za Menopause kwa wanawake.
4. Kubalance kiwango cha sukari mwilini.
5. Kusupport brain relaxation
6. Kuleta Stamina na Nguvu za Kiume.
7. Kurutubisha mbegu (s***ms) na mayai(kwa mwanamke)
-Hivyo Ukianza kutumia Forever MultiMaca, itakusaidia kuondokana na changamoto hizo, na kukupa faida nyinginezo nyingi kiafya.
-Bidhaa zetu sio dawa,
Hizi ni lishe/virutubisho vinazosupport ufanyaji kazi bora wa organ za mwili wako.
-Zimethibitishwa na kupewa mihuri ya kimataifa kwa uasilia wake na Ubora wake.
- Zinatumika kwa watu wenye umri wa miaka 18 na kuendelea na si kwa watoto, pia Inatumika kwa wanaume na wanawake kwa ujumla.
2.FOREVER ARGI+:
Argi+ ni bidhaa ya Forever Living Products ambayo husaidia kwenye afya ya kila mfumo kwenye mwili wa binadamu. Ina L-Arginine ambayo kwenye mwili husaidia kutengeneza gesi ya Nitric Oxide ambayo husaidia kutanua mishapa ya damu na kuruhusu damu kusafiri vizuri kwenda kwenye sehemu mbali mbali za mwili. Bidhaa hii imethibitishwa na mwanasayansi aliyeshinda Nobel Prize kwenye utafiti juu ya Nitric Oxide kusaidia kwenye kuuweka msukumo wa damu kuwa vizuri.
Kwanini utumie Argi+
1. Argi+ itasaidia kwenye kuondoa sumu mwilini kutokana na matunda ya berries na komamanga.
2. Itatanua mishipa ya damu na kurekebisha msukumo wa damu hivyo kusaidia afya ya moyo na magonjwa ya moyo pamoja na pressure.
3. Itasaidia kurekebisha matatizo ya nguvu za kiume maana damu kutembea vizuri ndio kila kitu kwenye hilo eneo.
4. Itasaidia kwenye kujenga mifupa na misuli hasa hasa kwa wale wanaofanya mazoezi sana.
5. Husaidia kwenye kupunguza kiwango cha Chelesterol kwenye damu.
6. Huusaidia mwili kutengeneza homoni zinazopunguza kuzeeka kwa haraka kupita umri wako.
7. Husaidia kila mfumo wa mwili na hivyo kukupa afya njema na kuepuka magonjwa yasiyoambukiza.
MATUMIZI: Kijiko kimoja kwenye 250ml za kinywaji chako cha Aloe Vera, Maji, Juice, Mtindi etc. Mara moja kwa siku.
VIRUTUBISHO MUHIMU NA MAALUM KWA AJILI YA WANAWAKE.
3.VITOLIZE FOR WOMEN:
HUSAIDIA;
1. Kubalance Hormones.
2. Kupunguza maumivu wakati wa Hedhi.
3. Kupunguza athari za kukoma Hedhi.
4. Kulinda mfumo wa mkojo dhidi ya maambukizi mbali mbali.
5. Kupunguza msongo wa mawazo.
4.VITOLIZE FOR MEN:
HUSAIDIA;
1. Kuboresha mfumo wa uzazi.
2. Kuongeza idadi na ubora wa mbegu.
3. Kuboresha afya ya Tezi.
4. Kupunguza msongo wa mawazo.
VITOLIZE MEN & WOMEN sio dawa bali ni lishe. Kwa matokeo mazuri na endelevu unashauriwa kula vizuri, kutovuta sigara, kunywa pombe kwa kiasi, kufanya mazoezi na kutafuta muda wa kupumzika.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO : Afya ya uzazi

0774669689

21/11/2020

SABABU ZA TATIZO LA MBEGU CHACHE ZA KIUME(LOW S***M COUNT)
By Dr Amos Shela.

Watu wengi hudhani k**a mwanamke hapati ujauzito basi tatizo na lawama zote zitakuwa ni upande wa mwanamke, lakini hilo si lazima mara zote liwe hivyo. Kuna uwezekano mkubwa kuwa tatizo la kutopata mtoto katika familia likawa linatokana na ugumba upande wa mwanaume.

Mwanaume kuzalisha mbegu chache kuliko kawaida ni mojawapo ya sababu kubwa za ugumba kwa wanaume.

MBEGU CHACHE NI KIASI GANI?

Shahawa kawaida ni mchanganyiko wa maji maji (ute) unaotengenezwa na tezi dume na mbegu za kiume (manii). Mtu anakua na tatizo la mbegu chache pale katika kila Millilita moja ya shahawa zake kunakua na mbegu (manii) chini ya millioni 15. Kwa kawaida mwanaume anazalisha zaidi ya manii millioni 20 katika kila millilita moja ya shahawa anazomwaga.

Kitaalamu tatizo hili linaitwa OLIGOS***MIA na kutokuwa na mbegu za kiume kabisa kwenye shahawa inajulikana k**a AZOOS***MIA

DALILI

Dalili kuu ya tatizo hili ni kushindwa kutungisha mimba/kupata mtoto.Zinaweza kuwepo dalili nyingine kulingana na chanzo cha tatizo hili mfano mirija ya manii kuziba,matatizo kwenye korodani na matatizo kwenye mfumo wa hormone.

Dalili nyingine ni k**a

Matatizo kwenye uwezo wa kufanya tendo la ndoa mfano kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa,uume kushindwa kusimama au kuwa mlegevu unaposimama.

Maumivu na uvimbe kwenye korodani.

Kupungua au kutokuwa na ndevu na nywele za sehemu nyingine za mwili ,hii ni dalili ya uhaba au upungufu wa hormone ya testosterone.

VISABABISHI VYA TATIZO HILI.

Kutengenezwa kwa mbegu inahusisha korodani na tezi iliyopo kwenye ubongo inayojulikana k**a hypothalmus ambayo hii inahusika na kuzalisha hormone zinazochochea uzalishwaji wa mbegu za kiume. Matatizo katika viungo hivi huweza kupelekea tatizo hili.

Pia kuna weza kuwepo na matatizo katika maumbo ya mbegu za kiume nayo kupelekea tatizo hili.

Visabibishi vya tatizo hili ni k**a ifatavyo:

SABABU ZA KIAFYA

1.Kuvimba kwa mishipa ya damu ya korodani-Varicocele ,hali hii inaathiri kiwango cha joto kwenye korodani hivyo kuathiri utengenezwaji wa mbegu za kiume.

2.Maambukizi, Baadhi ya maambukizi yanaweza kuathiri utengenezwaji wa mbegu za kiume na jinsi mbegu hizi zinavyotelewa nje.Magonjwa ya zinaa,magonjwa ya korordani yanaweza kupelekea kuziba kwa mirija ya manii na kuharibu seli zinazohusika na kutengeneza manii kwenye korodani.

3.Matatizo katika kutoa mbegu nje mfano tatizo la misuli ya shingo ya kibofu kutobana vizuri hivyo kupelekea shahawa kuingia kwenye kibofu cha mkojo badala ya kutolewa nje.

4.Kinga ya mwili kuziharibu mbegu.Kuna tatizo la kinga ya mwili kuzisoma mbegu za kiume k**a wadudu wanaoleta magonjwa hivyo kuziharibu (s***m ant bodies)

5.Saratani, kuna baadhi ya saratani k**a saratani ya tezi ya pituitari,saratani ya korodani zinaathiri pia utengenezwaji wa mbegu za kiume

6.USAWA WA HOMONI USIO SAWA (Hormone Imbalance):

Tatizo la homoni kutokuwa sawa si jambo linalowapata wanawake peke yao, ni jambo linalojitokeza pia kwa wanaume ingawa wengi wao huwa hawana muda wa kufikiri kuwa nalo. Homoni zina umhimu mkubwa katika kazi ya uzalishaji wa mbegu na katika afya ya uzazi wa mwanaume kwa ujumla.

Moja ya homoni kuu inayohusika na uzazi kwa mwanaume ni homoni ya testosterone. Kutokana na maisha yetu ya kisasa na baadhi ya matatizo yaliyoelezwa hapo juu upande wa uwingi wa mbegu, wanaume wengi wanajikuta katika hali hii ya kuwa na tatizo la homoni zao kutokuwa katika usawa unaohitajika kwa afya bora ya uzazi.

Vipo vitu vinavyoweza kuharibu homoni ya testerone na huanza kwa kuigiza au kijifanya vyenyewe ni estrogens (xenohormones). Estrogen ikizidi katika mwili wa mwanaume hupelekea uhanithi (uume kushindwa kusimama), kukosa hamu ya tendo la ndoa, kupungua kwa mbegu na kupungua kwa maji maji ya mbegu kwa ujumla.

Visababishi hasa vya kuharibika kwa testeroni ni pamoja na

• Vyakula vyenye soya
• Madawa yanayotumika katika mazao mashambani
• Homoni zinazoongezwa katika bidhaa za maziwa na nyama
• Vifaa au vyombo vya plastiki aina ya HDPE.

7.Mishipa ya manii kuziba

8.Madawa, Baadhi ya madawa mfano dawa za kutibu saratani,dawa za fangasi,na baadhi ya ant biotic zikitumika kwa muda mrefu zinaweza kusababisha tatizo hili.

9.Mfadhaiko (Stress) – Mfadhaiko au stress inaweza kuleta majanga makubwa katika homoni na kupelekea kushuka kwa uzalishaji wa mbegu za kiume.

Stress inahusika sana na tatizo la ugumba kwa wanaume wengi, na moja ya sababu ya stress hii ni ile hamu yenyewe ya kuwa na mtoto inapokujia kila mara kichwani.

Vile vile kuna presha kutoka kwa wazazi, ndugu jamaa na marafiki kwamba kwanini huzai. Hivi vyote ukiviweka kichwani na kuviwaza kila mara ni rahisi kwako kupatwa na tatizo la kupungua kwa mbegu na uzazi kwa ujumla.

Kuwa na amani, mwamini Mungu kwamba siku yako ipo, just relax kila kitu kina muda wake.

SABABU ZA KIMAZINGIRA

kemikali za viwandani k**a benzene,toluene,xylene,dawa za kuua wadudu,rangi za nyumba, zinaweza kupelekea tatizo hili

Uvutaji wa Sigara – Uvutaji sigara, bangi na bidhaa nyingine za tumbaku huharibu ubora wa mbegu za kiume. Hilo halihitaji majadiliano. Habari njema ni kuwa madhara yaliyosababishwa na uvutaji sigara yanaweza kurekebishika ikiwa tu utaamua kuacha kuvuta. Huhitaji dawa kuacha kuvuta sigara, unahitaji kuamua tu kwamba sasa basi na hakuna lisilowezekana kwa mtu mwenye maamuzi na mwenye ndoto za maisha mazuri ya kiafya.
Vifaa vya kieletroniki – Tafiti zimeonyesha vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa wingi na ubora wa mbegu kwa wanaume wengi miaka ya sasa kwani mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume. Vifaa hivi ni pamoja na simu na Kompyuta.
Unashauriwa kutokuweka simu ndani ya mfuko wako wa suruali kwa kipindi kirefu na kutokuweka kompyuta mpakato (laptop) kwenye mapaja yako wakati wote ukiitumia. Ni mhimu pia kutokutumia masaa mengi kutwa nzima ukiwa kwenye kompyuta.

• Vifaa vya Intaneti visivyotumia waya – Siku hizi tofauti na zamani, kuna teknolojia mpya imeingia ya kuunganisha intaneti kwa kutumia vifaa visivyotumia waya (wireless internet) au kwa lugha nyepesi hujulikana k**a Wi-Fi.
Vifaa hivi vinapunguza wingi wa mbegu, uwezo wa mbegu kukimbia na kuharibu muundo asili wa mbegu kwa ujumla (DNA fragmentation). Wanaume wenye tatizo la uzazi wanashauriwa kutotumia aina hii ya vifaa vya kuunganishia intaneti kwenye kompyuta zao na vile vile kutokuweka simu kwenye mifuko yao ya mbele ya suruali.


• Viuavijasumu na homoni katika vyakula – Viuavijasumu (pesticides) vinavyotumika katika mazao mbalimbali mashambani miaka ya sasa ni sababu mojawapo ya tatizo la homoni kutokuwa sawa kwa wanaume wengi.

Kwenye bidhaa nyingi za maziwa za viwandani sasa huongezwa homoni k**a vile homoni ya estrogeni ambazo hazihitajiki katika mwili wako. Vyote hivi vina madhara katika afya ya mwanaume.

• Vyakula vyenye soya – Vyakula vyenye soya ndani yake hasa vile vya viwandani k**a vile maziwa ya soya, burger za soya nk si vizuri kwa afya ya uzazi ya mwanaume. Vinasemwa moja kwa moja kuathiri ubora wa homoni ya testosterone homoni mhimu sana kwa afya ya uzazi wa mwanaume
• Unywaji pombe – Katika moja ya utafiti kwa wanaume wenye mbegu zenye ubora wa chini, matumizi ya kupitiliza ya unywaji pombe yalionyesha kuhusika na kupungua kwa mbegu za kawaida yaani mbegu nzuri zinazofaa kwa ajili ya uzazi.

• Matumizi ya vifaa vya plastiki – kuna baadhi ya vifaa vya plastiki vinapowekewa chakula cha moto hutoa kitu kijulikanacho k**a ‘xenohormones’ ambacho huigiza k**a ni ‘estrogen’ ndani ya mwili na hivyo kupelekea matatizo kwenye mfumo wa uzazi wa mwanaume.

• Joto kupita kiasi (Hyperthermia) – Mifuko ya mbegu za uzazi ya mwanaume inahitaji joto la chini kidogo ya lile joto la mwili kwa ujumla ili mbegu zibaki na afya. Inasemekana kuwa hii ndiyo moja ya sababu viungo vya uzazi vya mwanaume vipo karibu nje kabisa ya mwili wake.

Joto linajulikana wazi kuharibu ubora wa mbegu na hivyo itakuwa vizuri kuepuka mazingira ambayo yanaweza kusabbaisha joto la moja kwa moja kwenye viungo vya uzazi vya mwanaume ikiwemo kuepuka kuvaa nguo za ndani zinazobana sana.

• Mfadhaiko (Stress) – Mfadhaiko au stress inaweza kuleta majanga makubwa katika homoni na kupelekea kushuka kwa uzalishaji wa mbegu za kiume.

Stress inahusika sana na tatizo la ugumba kwa wanaume wengi, na moja ya sababu ya stress hii ni ile hamu yenyewe ya kuwa na mtoto inapokujia kila mara kichwani.

Vile vile kuna presha kutoka kwa wazazi, ndugu jamaa na marafiki kwamba kwanini huzai. Hivi vyote ukiviweka kichwani na kuviwaza kila mara ni rahisi kwako kupatwa na tatizo la kupungua kwa mbegu na uzazi kwa ujumla.

Kuwa na amani, mwamini Mungu kwamba siku yako ipo, just relax kila kitu kina muda wake.

• Aina ya chakula unachokula – Chanzo kingine cha kuwa na mbegu chache au zisizokuwa na afya ni kutokula chakula sahihi na cha kutosha kila siku. Kwa afya bora kabisa ya uzazi mwanaume anahitaji vyakula vyenye madini ya zinki (zinc) kwa wingi, selenium, Vitamin E, folic acids, Vitamini B12, Vitamini C na vyakula mbalimbali vinavyoondoa sumu mwilini (antioxidants).

Uzito kupita kiasi

JINSI YA KUJIKINGA

Njia kubwa ya kujikinga na tatizo la mbegu chache ni kula vyakula vyenye virutubisho vinavyosaidia kuongeza uzalishaji na ubora wa mbegu za kiume.

Njia nyingine ni pamoja na:

kuacha kuvuta sigara.

kutokunywa pombe kupindukia.

kutotumia dawa za kulevya.

kuepuka msongo wa mawazo.

kutovaa nguo zinazobana sana korodani.

kupunguza uzito uliozidi.

Epuka kula vyakula vyenye Soya mfano mbegu za soya,maziwa ya soya.

SULUHISHO.
Tutafute tukupatie program yenye muongozo wa chakula,matunda na mazoezi maalum yatakayosaidia kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume,kuongeza uzalishwaji wa mbegu/s***ms zenye kiwango na ubora ambazo zitakuwezesha kua na uwezo wa kum'bebesha mwanamke ujauzito.

Kwa msaada tupigie 0774669689

💪

11/11/2020

MWANAUME SOMA HAPA ITAKUSAIDIA KUOKOA MAISHA YAKO NA NDOA YAKO!

ZIJUE DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME,

Kwanza unatakiwa kufaham UPUNGUFU wa nguvu za kiume sio ugonjwa bali ni dalili za ugonjwa inamaanisha kuna dosari au udhaifu katika utendaji wa viungo vyako ndani ya mwili,

NGUVU ZA KIUME NI NINI?
ni neno la jumla lenye mjumuisho wa mambo mengi ambayo yamegawanyika katika sehem MBALI MBALI
1. Hamu ya tendo la ndoa
2. Kusimama kwa uume barabbara k**a kipande cha mti au msumari)
3. Stamina kiasi cha kukupelekea kufurahia tendo
4. Pumzi
5. Uwezo wa kurudia tendo
6. Wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda
*Kwa lugha nyepesi Hii ndio maana ya neno nguvu za kiume*

Sasa basi tumeona hapo juu kuwa k**a kuna udhaifu au dosari katika utendaji wa BAADHI ya viungo ndani ya mwili wako basi sio mbaya tukajua BAADHI ya viungo vinavyohusika kuwasha umeme kwa mwanaume / namaanisha nguvu za kiume na viungo hivi hufanya kazi zingine pia katika mwili

Kuna viungo zaidi ya 50 ila kwa uchache ni ivi vifuatavyo
1. Ubongo
2. Moyo
3. Mishipa
4.mirija iliyo ndani ya uume
5. Neva maalum za parasympathetic
6. Uti wa mgongo
7. Kiuno / nyonga
8. Misuli
9. Tezi ya pituitari
10. Utando maalum wa uumeni.

*HIVYO BASI TUNAPOONGELEA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TUNAMAANISHA KUWA NDANI YA MWILI WAKO KUNA VITU HAVIFANYI KAZI VIZURI LABDA NI INI , FIGO , TEZI DUME LIMETANUKA , AU HOMONI HAZIJA WIANA HAPA SASA NDIPO HUTOKEA NENO NA KITENDO CHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

JIJUE JITAMBUE HIZI NI DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
1. kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Uume kusimama kwa ulegevu, kusinyaa na kurudi ndani AU KUTOWEZA KUSIMAMISHA KABISA
3. Kuwahi kufika kileleni
4. Kuchelewa sana kufika au kutofika kabisa mshindo
5. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada
6. Kukosa pumzi hivyo hupelekea kusimamisha zoezi Mara kwa Mara
7. Kukosa uchangamfu wa mwili katika utendaji .
8. Kuchoka sana baada ya tendo na hata kuskia kichefchef au kuskia usingizi MZITO SANA MARA TU UMALIZAPO ..
9. KUSHINDWA KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA MOJA

KWA LUGHA NYEPESI NGUVU ZA KIUME NI K**A SERIKALI AMBAYO INA WIZARA MBALI MBALI ILI SERIKALI IFIKE KULETA MATUNDA MAZURI KWA JAMII HIZI WIZARA LAZMA ZIWE THABIT KATIKA MASLAHI YA JAMII NA SERIKALI KWA UJUMLA NA ENDAPO WIZARA MOJA ITAKUWA INA HITILAFU BASI LENGO HUSIKA KUTOKA KWA SERIKALI KUJA KWA JAMII HALITATOKEA ASILANI MF. WIZARA YA NISHATI NA MADINI IGOME , WIZARA AFYA IGOME , UNAFIKIRIA SERIKALI HII ITAFIKIA MALENGO ??? BASI NDIVYO HIVYO NDANI YA MWILI WAKO .. TEZI IKIKOSA AFYA , MOYO , UBONGO NK NK LAZIMA EFFECT ITATOKEA NA MOJA YA EFFECTS NI UPUNGUFU WA NGUVU ..

Au tuseme kiwanda kuna wafanya kazi , kuna maji , umeme , madawa ivi ikotokea WAFANYAKAZI TU WAKAGOMA je hiki kiwanda kitazalisha bidhaa itayofika Sokoni?

MSICHOKIJUA WANAUME WENGI kupungukiwa nguvu za kiume ni kasoro za kiutendaji wa viungo ndani ya mwili hii ni kengele ya tahadhari kipo kitu hakifanyi kazi vizuri ..

Sasa KOSA kubwa wanalolifanya wanaume wengi TANZANIA NA NJE ni kuanza kutafuta suluhisho la dawa za nguvu za kiume na kuzibugia bila kuangalia chanzo, inatakiwa kutibiwa chanzo cha tatizo sio matokeo ya tatizo ... na hamshangai dawa hiyo inaweza kumtibu mmoja na mwengine akasema haifanyi kazi ?? Unajua Kwanini... vyanzo vya matatizo yao ni tofauti

*Mfano ... mwanaume mwenye sukari , mwenye presha , mwenye kansa ya tezi , mwenye stress , mwenye unene uliopitiliza, watu Hawa lazma tiba zao ziwe tofauti sio dawa za nguvu za kiume moja kwa moja lazma kuanza na mzizi wa tatizo k**a ni mnene apunguze mwili , k**a anasukari atibie sukari kwanza*

BAADHI YA SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (MUENDELEZO)

1. KUTOKUNYWA MAJI YA KUTOSHA
2. KUPATA CHOO KIGUMU AU KUTOPATA KABISA, UNATUMIA NGUVU NYINGI KWENYE KUSUKUMA
3. UZITO ULIOPITILIZA
4. KITAMBI
5. VYAKULA VYA BANDIA VILIVYOWEKWA HOMONI ZA K**E
6. VYAKULA VYENYE MAFUTA SANA
7. ULAJI WA NYAMA KWA SANA
9. ULAJI WA FAST FOODS NA VINYWAJI VYA VIWANDANI IKIWEPO POMBE
10. ULAJI WA MIRUNGI/ MIRAA
11. KUTOSHIRIKI MAZOEZI YA VIUNGO
12. KUTOKULA BALANCED DIET
13. KISUKARI
14. TEZI DUME
15. PRESHA na mengine mengi

**********************************************
JE WEWE NI MWANAUME NA YALIYOONGELEWA HAPO YAMEKUGUSA NA UNGEPENDA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA UKOSEFU AU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME? TUNA HABARI NZURI KWAKO TUNA BIDHAA LISHE AMBAZO ZINASAIDIA KURUDISHA HESHIMA YAKO, K**A UKO SERIOUS KARIBU.

TUMA UJUMBE NENO AFYA JAMII KWENDA WHATSAPP +255774669689

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Chake Chake
Zanzibar City