AFYA LISHE
my business is well known.. self-working need ti help more people to join in order to help them in daily to daily expenses.. earn more for himself.
so if you are ready to do business together then contact me...
14/02/2022
*JE, NI KAWAIDA* *MAAMBUKIZI KATIKA NJIA* *YA MKOJO(YAANI UTI)* *KUSABABISHA KUKOJOA* *MKOJO WENYE DAMU?*
Maambukizi ya UTI ni ya kawaida kabisa. Yanaweza yakatokea mahali popote ndani ya njia ya mkojo ambayo ni pamoja na figo, mirija ya mkojo, kibofu cha mkojo. Maambukizi mengi katika njia ya mkojo husababishwa na bakteria na huathiri kibofu cha mkojo pamoja na mrija wa mkojo.
Pale njia ya mkojo inapoathiriwa, inaweza kusababisha maumivu makali kila unapomaliza kukojoa. Unaweza kuwa unahisi kukojoa kila mara, hata baada ya kuwa umeshatoka chooni kukojoa. Mkojo wako unaweza kuonekana wenye rangi ya ukungu na wenye harufu isiyo ya kawaida pia.
Maambukizi ya UTI yanaweza kusababisha pia mkojo wenye damu. Lakini pale tatizo lako linapopata matibabu, basi damu damu kwenye mkojo inaweza ikatoweka kabisa.
14/02/2022
*DAWA YA KUTIBU UTI SUGU, FANGASI, MIWASHO UKENI NA HARUFU MBAYA UKENI*
*Ninapata malalamiko ya Wanawake wengi kusumbuliwa sana na magonjwa ya UKENI*
*Kwa sababu hiyo wanawake kwa asili walivyoumbwa wanapitia vipindi vitano(5) ambavyo ni:-*
1️⃣- kuvunja ungo
2️⃣- tendo la ndoa
3️⃣- ujauzito
4️⃣ - uzazi
5️⃣- kukoma kwa hedhi
*Katika vipindi vyote hivi vitano k**a hautakuwa makini na usafi wa uke wako lazima magonjwa k**a FANGASI na UTI SUGU, KUWASHWA UKENI,UKE KUTOA HARUFU itakuwa ni Ugonjwa wako wa mara kwa mara....*
*Wengi wa wanawake husumbuliwa na Magonjwa haya ya Uke ya mara kwa mara,Kwa Sababu ya kushuka kwa kinga ya mwili, Mwanamke huyu anapokuwa anapitia Matatizo hayo huwa anajaribu kujitahidi kutumia dawa za kila aina lakini haponi,*
*Dawa ambazo zitamaliza tatizo lako la kuwashwa uke, UTI SUGU, FANGASI SUGU, harufu mbaya inayotoka ukeni na maumivu wakati wa tendo la ndoa ni :-*
Tumia
*💊 faminine wash na Refined*
10/02/2022
Vidonda vya tumbo [ gastric ulcers] ni hali ya kuchubuka kwa kuta za tumbo. Hali hii inatokana na tindikali iliyoko ndani ya tumbo ambayo husaidia kulainisha chakula kuanza kuchubua kuta za tumbo. Kwa mujibu wa takwimu za karibuni, wanawake ndio waathirika wakuu wa ugonjwa huu.
SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
➡️ Sababu kuu inayosababisha vidonda vya tumbo ni kukaa na njaa. Kuta za tumbo huzalisha tindikali (hydrochloric acid) wakati wa mazoea wa tumbo kupokea chakula. Endapo chakula hakitaingia tumboni kwa wakati huo, tindikali hiyo huanza kuchubua kuta za tumbo na mwisho kusababisha vidonda vya tumbo.
➡️ Utumiaji wa dawa za maumivu kwa wingi. Dawa hizo ni k**a vile panadol, Ibprofen na Vivian.
➡️ Ulevi wa kupindukia.
➡️ Matumizi makubwa ya vyakula vikali.
➡️ Maambukizi ya bacteria (helicobacter pylori)
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
➡️ Maumivu makali ya tumbo. Maumivu haya yanaweza kukukosesha usingizi inapofika usiku.
➡️ Kiungulia cha muda mrefu.
➡️ Maumivu ya mgongo.
➡️ Kichefuchefu.
➡️ Kukosa choo.
➡️ Kutoa hewa chafu nyingi.
MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO
➡️ Saratani ya utumbo.
➡️ Maumivu makali ya tumbo.
➡️ Maumivu makali ya mgongo.
➡️ Kukosa hamu ya kula.
➡️ Kutapika.
➡️ Kifo.
10/02/2022
*SEMINA SEMINA SEMINA KUBWA ZANZIBAR*
KUTAKUWA NA SEMINA BAB KUBWA SIKU YA *JUMAMOSI* TAREHE *12/2/2022* SAA *2:00* ASUBUHI HOLI LA SKULI YA LUMUMBA 😊
*KUTAKUA NA VIONGOZI WAKUBWA WALIOFANIKIWA KUTOKA ZANZIBAR NA BARA PAMOJA NA UONGOZI WA BF SUMA* 👍
*UNAKOSAJE KUALIKA?* 🤔
*ALIKA ALIKA ALIKA* WATU WENGI SANA TUJAZE UKUMBI HII NI YA AINA YAKE TUNAKWENDA *KUVUNJA RECORD MWAKA 2022* 🏆
*KIINGILIO NI BURE*🤗
*Ndoto Yako Unawezekana* 💪💪
09/02/2022
Hii INAKUHUSU WEWE MWANAMKE KUHUSU HEDHI
Katika kipindi cha MP (siku za hedhi) kwa kawaida wanawake hupoteza kiasi cha damu pamoja na baadhi ya madini chuma mwilini.
Hali hii huweza kusababisha upungufu wa damu k**a mwanamke atakuwa hapati lishe bora na ya kutosha. Sasa ili kuzuia upungufu wa damu na madini mwilini, msichana anatakiwa kula vyakula vyenye madini chuma na chokaa kwa wingi k**a ifuatavyo:-
Anaweza kutumia
Mboga za majani
Maharage
Soya
Samaki
Maziwa
Korosho
Mayai
Dagaa na vingivyo unavyovifaham
Mbali na vyakula hivyo, pia mwanamke huhitaji kuzingatia hali ya usafi wa mwili, hasa sehemu za siri . Tumia vitambaa safi vilivyo nyooshwa kwa pasi au pedi zilizohifadhiwa katika hali ya usafi.
Je umejifunza?????
09/02/2022
*Ndoto yako inaweza kutimia ... Simama katika majukumu yako na uwajibike hakika utaona ndoto yako ikiwa HARISI.* ni tarehe 12 siku ya jumamosi Anza kualika mapema watu Kwa semina hii...usilale, fanya ufatiliaji Kwa watu uliowahi kuwaambia kuhusu fursa na mkaribishe Tena...inakuwa siku ya tofauti Sana....USIPANGE KUKOSA hakikisha una mgeni siku hii.
Ni jumamosi ya tarehe 12, tukutane palepale Tanzanite tower ... Tukikuza mitazamo yetu kuhusu ndoto zetu, na kuziishi...alika watu wa kutosha...2022 ni mwaka wa USHINDI kwetu...💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾🏆🏆🏆🏆🚘🚘🚘🚘🚘💵💵💵💵💵
Dress code : purple 💜💜💜💜💜💜
07/02/2022
P.I.D NINI,DALILI ZAKE NI ZIPI, MADHARA YAKE NI YAPI?
P.I.D- Pelvic Inflammatory Disease.
P.I.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi(SALPINGITIS)
Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa P.I.D ni NEISSERIA GONORNOAE na CHLAMYDIA TRACHOMATIC
WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA P.I.D
-Kupitia ngono zembe
-Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
-Kufanya mapenzi bila kutumia kinga
-Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na kisonono
-Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara
-Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya kutoa mimba
-Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au kumvutia mpenzi wako
-Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na sindano)
- Kuwa na U.T.I. sugu au fungus ya muda mrefu
DALILI ZA P.I.D
-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa
-Uke kutoa harufu mbaya
-Kuwashwa sehemu za siri
-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
-Uke kuwa mlaini sana
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuvurugika kwa hedhi
-Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Homa, uchovu na kizunguzungu
MADHARA YA P.I.D
-Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha yaliyopi katika mirija ya uzazi
-Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
-Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi
-Ugumba kwa mwanamke
-kupata kansa ya shingo ya uzazi
JINSI YA KUEPUKANA NA P.I.D
Japo kuwepo na tiba za kujitibu lakini unashauriwa kinga ni bore kuliko tiba hivyo zingatia yafuatayo;-
-Epuka kufanya ngono zembe
-Usifanye mapenzi baada ya kujifungua au mimba kutoka
-Weka tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara
-Kuwa msafi na nguo zako za ndani na kula lishe bora
-Epuka kushare nguo za ndani
UNAPOONA DALILI ZA UGONJWA HUU WAHI KUPATA MATIBABU. KWANI UGONJWA HUU NI HATARI NA HUWEZA KUKUSABABISHIA UGUMBA AU KANSA YA SHINGO YA KIZAZI
Ugonjwa wa P.I.D unatibika vizuri kabisa hivy bas k**a upo tayari unaumwa na umezunguka hospitalini bila mafanikio bas wasiliana nasi kwa msaada zaidi
PIGA/WHATSAP +255776535969
TUMIA FURSA HII
46,000 za mtaji ktk company ya bf suma au duka la milioni 2 kipi una uwezo nacho??
46,000 - mfumo upo, unakua km ushajiajiri,unpt faida za rejareja na mwisho wa mwezi, hulipi kodi, unakua na Kiongozi wa kukuelekeza, Mafunzo bure, unamshauri mtu anunue tu ww inalipa, connection na watu wengi, unasaidia wenye matatizo ya afya, unajifunza mambo Mengi bure, mfumo wenyewe utakuingizia hela KWA kufanya Kazi kdg tu n.k
Ila ukiwa na
Duka - kodi, Makato, mlango ilipie, ucpofungua duka huna hela, utapelekeshwa na boss n.k
AMUA SASA!
Nijulishe ukiwa tayri umeamua
+255776535969
04/02/2022
SWALI: Nakula vizuri, nakula nafaka kamili, matunda kwa wingi, mboga za majani kwa wingi,mafuta mazuri, sili sukari, nafanya mazoezi na kadhalika, KWA NINI NILE TENA VIRUTUBISHO?
Ni moja kati ya swali ambalo nimekuwa nikiulizwa na wateja wengi na wengine wamekuwa wakitaka tu kujua nile nini ili niweze kuimarika sasa nikuombe Soma kwa umakini jibu la hili swali
JIBU:
sasa hivi ni Dunia imebadilika sana na imefika hatua ukitegemea chakula peke yake kikusaidie kupata afya unayohitaji hasa k**a unachangamoto utachelewa sana kulifikia lengo lako.
Vyakula vingi tunavyokula siku hizi hatuna uhakika k**a vinatupatia virutubisho ambavyo mwili unahitaji maana viko kisasa zaidi.Tunatumia mbolea za kisasa na tunanyunyizia madawa kwa wingi sana ambayo tunawasiwasi k**a haya madawa na makemikali huwa yanaacha hivi vyakula na virutubisho.
Mwisho wa siku unaweza ukawa unakula vizuri kumbe hupati virutubisho au unapata kiasi kidogo sana kulingana na uhitaji wa miili yetu hivyo basi unahitaji namna ya kuongeza lishe zaidi ambazo zitapatikana tuu kwa kutumia virutubisholishe.
Basi hivyo, VIRUTUBISHO vyetu vina lishe yenye afya na yenye usawa na vinaipa mwili virutubisho vya kutosha kuendesha kazi za kawaida. Na pia vina Madini,vitamini, asidi muhimu ya mafuta (essential fatty-acid), na kadhalika vinaimarisha mazingira ya ndani ya mwili kwa kuimarisha ulinzi wa seli, kukarabati na kuzaliwa upya na kusaidia mchakato wa utengenezaji upya wa seli.
Upande wa upungufu wa nguvu za kiume ni changamoto kubwa ambayo wanaume wengi kwa sasa wanaipitia na wengi wamekuwa wakijaribu kula matunda na vitu vingine vingi lakini bado inakuwa ngumu kuimarika jibu linabaki palepale huenda vyakula vinavyoliwa vinakosa madini yakutosha.
WHATSAPP +255776535969
Pia Follow
04/02/2022
*DALILI ZA HATARI KWA MWANAMKE ZINAZO MFANYA ASIPATE MIMBA.*
🙆Ukavu ukeni
🙆Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🙆Kutoa jasho usiku
🙆Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
🙆Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
🙆Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
🙆Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
🙆Uchovu wa mara kwa mara
🙆Hasira za mara kwa mara
🙆Kukosa usingizi
🙆Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
🙆Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
🙆Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
🙆Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)
🙆Maumivu ya viungo
🙆Upungufu wa nywele kichwani.
🙆Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
🙆Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
🙆Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
🙆Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
🙆Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini
🙆Kusinyaa na kupauka kwa ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
🙆Maumivu ya kichwa mara kwa mara
🙆Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
🙆Kutokupata choo kwa wakati
🙆Misuli kudondoka
MADHARA YA DALILI HIZO
🤔Kutokushika ujauzito Kwa muda mrefu
🤔Mimba kuhalibika mala kwa mala
🤔 Maumivu wakati wa tendon
🤔UTI kujirudia
🤔Kuziba Kwa mirija ya uzazi
Wasiliana nasi Kwa tiba na ushauli Kwa number *
+255776535969
02/02/2022
*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE*
*(pelvic Inflammatory Disease)*
*Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu*
*🟢Zifuatazo-:*
*✳️Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua*
✳️ *Pia sababu nyingine ni matumizi ya Condoms na kufanya ngono zembe* .
*🟢DALILI ZA UGONJWA WA PID*
1️⃣ *Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa* ni *mweupe, njano, au maziwa*
2️⃣ *Kuwashwa sehemu za siri*
3️⃣ *Uke kutoa harufu mbaya*
4️⃣ *Maumivu ya tumbo chini ya kitovu*
5️⃣ *Uke kuwa wa ulaini sana*
6️⃣ *Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
7️⃣ *Kuvurugika Kwa hedhi*
8️⃣ *Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi*
9️⃣ *Maumivu wakati wa kukojoa na* *wakati wa choo kubwa*
🔟 *Homa, uchovu,kizunguzungu na* *kukosa hamu ya kula*
*🟢MADHARA YA PID*
1️⃣ *Ugumba*
2️⃣ *Kansa ya shingo ya kizazi*
3️⃣ *Mirija ya uzazi kuziba*
⚠️ *USIENDELEE KUTESEKA....TUNALO SULUHISHO*
wasiliana na mimi sasa;
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kwerekwe
Zanzibar City
