AFYA NA TIBA

AFYA NA TIBA

Share

Mambo vipi? Naitwa Ally makame, ninafanya kazi na kampuni ya kimarekani kwenye sekta ya AFYA Na urem Ndio? Hapana? au Labda?

Naitwa Ally makame, ninafanya kazi na kampuni ya kimarekani kwenye sekta ya AFYA Na urembo na kwa sasa tunapanua biashara na tunatafuta watu wa kushirikishana nao. Je?ukipata nafasi ya kutengeneza kipato
zaidi bila kuathiri shughuli zako za sasa utakuwa tayari kusikiliza fursa hiyo. Asante Sana._

Njoo tuchart What’sApp +255772088148

Photos from AFYA NA TIBA's post 26/05/2021

*Je, Unatumia Antioxidants gani?*
Kwenye dunia yetu ya leo hatuwezi kutunza afya zetu ipasavyo bila kutumia *Powerful Antioxidants!* Ambazo hufanya kazi kubwa ya kunyonya taka mwili, kuboresha ufanisi wa mwili, kupunguza ‘premature aging’ na kutusaidia kupambana na magonjwa yasiyoambukizwa (Non Communicable Diseases)

*POMESTEEN POWER is the Most Potent Antioxidant Drink*; ambayo imetengenezwa na matunda yenye uwezo mkubwa sana wa kunyonya “free radicals” mwilini! (Highest ORAC Value)
Mkusanyiko huu wa Pomesteen, Mangosteen, Blueberries, Blackberries, Raspberries, Grapeseeds na Pear unaipa Rangi na Ladha nzuri sana!

*Faida Zake:*
- Ni Powerful Anti-aging drink kutokana na kuwa ‘Most Potent Antioxidant’ a.k.a ‘Antioxidant Bomb’
- Inasaidia kuondoa Free radicals mwilini na kurepair uharibifu unaoletwa nazo
- Inaboresha sana kinga ya mwili
- Inatunza ngozi isichoke haraka (youthful glowing skin)
- Inasaidia sana Kwa wanaotumia madawa makali k**a ya Saratani au tiba za mionzi
- Inaboresha afya ya mishipa ya damu na kuboresha Mzunguko wa damu
- Inasaidia kupunguza Cholesterol mbaya
- Inatunza na kuboresha afya ya moyo
- Inakupa nguvu ya kiasili mwilini
- Inaboresha mfumo wa afya ya uzazi Kwa wanawake na wanaume
- Inatunza afya ya mfumo wa mkojo
- Ina Vitamin A, C, E na madini ya Iron Kwa wingi hivyo inasaidia kusafisha mwili pamoja na kutunza afya ya damu

*Matumizi:*
Tumia 30mls za Pomesteen Power mara 1 au mbili kwa siku
Unaweza Kuichanganya na maji, Aloevera Gel au fresh juice.

Kupata Bidhaa Hii na Nyengine nyingi Wasiliana nasi kwa call/Sms/ Whatsap 0621100726
Utafikishiwa popote ulipo kwa Muda Muwafaka.

Photos from AFYA NA TIBA's post 21/12/2020

Uzito wa mwili unaopaswa kuwa nao kulingana na urefu wako.

Katika hali ambayo ni ya mazoea watu wengi tumekuwa tukitamani na kujitahidi kuwa na mwili wenye umbo au uzito fulani.

Hii imekuwa ikifanyika kwa kujiwekea mipaka katika ulaji wa vyakula na pia hata kujihusisha na aina mbalimbali za mazoezi.

Mpenzi msomaji,napenda kuchukua nafasi hii kukushirikisha pamoja na kukukumbusha juu ya uzito wa mwili ambao kiafya mtu anapaswa kuwa nao ili kuweza kuepukana na hatari ya kupata matatizo mbalimbali ya kiafya.

Kwa mujibu wa mahesabu ya kiafya au kitaalamu,uzito wa mwili hutegemeana na urefu wa mtu, ambapo kuna kanuni ambayo kitaalamu huwezesha kujua mtu mwenye urefu fulani anapaswa awe na uzito kiasi gani.

Kanuni hiyo ambayo hujulikana k**a BODY MASS INDEX (BMI)

hutupatia uwiano wa uzito wa mwili wa mtu pamoja na urefu wake.

BMI = Uzito wa mwili katika kilogramu (Kg) / Urefu wa mwili katika mita za mraba (M^2).

Kutokana na kanuni hiyo, ukichukua uzito wa mwili wako katika vipimo vya kilogramu,ukagawanya na urefu wa mwili wako katika vipimo wa mita, utapata namba ambayo kitaalamu itakuwezesha kujua k**a uzito wa mwili wako upo sawa kwa maana ya k**a ni uzito mkubwa au mdogo.

Mchanganuo wa namba unazoweza kuzipata baada ya kugawanya uzito wako kwa urefu wako ni k**a ifuatavyo.

Chini ya 18.5 Mtu huyo anao uzito pungufu ( Under weight )

Kuanzia 18.5 – 24.9 ni Uzito wa kawaida ambao kiafya ni salama ( Normal Weight)

Kuanzia 25 – 29.5 ni Uzito mkubwa ( Over weight ) Kuanzia 30 na kuendelea ni Uzito mkubwa zaidi ( Obesity )

Mfano, inatakiwa ukichukua uzito wako,ukagawanya na urefu wa mwili wako,upate namba ambayo ni kati ya 18.5 na 24.9. K**a una kilogramu 70, na urefu wa mita 1.9, basi ukigawanya utapata, 70/( 1.9)^2 = 19.39 Ambayo kiafya ni sawa.

Kumbuka kuwa, urefu wako unatakiwa uwe katika vipimo vya mita na kisha uuzidishe ili kupata mita za mraba,mfano k**a una mita 1.9, zidisha hivi, 1.9 mara 1.9 = 3.61, halafu chukua uzito wako mfano, 70kg na gawanya kwa

26/11/2020
15/10/2020

Habari za jioni!.
*POMESTEEN POWER*
Ni bidhaa ya asili iliyotengezwa Kutokana na matunda ya Pomegrate, inamchanganyiko wa virutubisho muhimu na vitamins k**a vile Vitamin C,D,E,B6 na madini k**a Zinc na Selenium.

*FAIDA ZAKE KWA MWANAUME:* Bidhaa hii husaidia:
1- Kulinda afya ya uzazi kwa mwanaume
2- Kupambana na tezi Dume (Prostate)
3- Udhibiti wa Kansa ya korodani.
4- Kuzalisha mbegu zaidi.
5- Kuongeza Nguvu za Kiume.
6- Kuleta hamu ya Tendo la ndoa.
7- Husaidia kubalance hormones.
8- Kuongeza nguvu na stamina wakati wa tendo na baada ya tendo.

*FAIDA ZAKE KWA MWANAMKE:*
Bidhaa hizi ni muhimu sana katika kulinda na kuboresha afya ya uzazi wa mwanamke pia. Husaidia katika:
1- Kubalance hormoni kwa wanawake
2- Kusafisha mirija ya uzazi, kibofu cha mkojo pia kuondoa vimbe.
3- Kuzuia madhara ya kukoma kwa hedhi (menopause)
4- Kurutubisha yai la mwanamke
5- Kuboresha kinga ya mwili na kuthibiti changamoto ya U.T.I ya mara kwa mara.
6- Kuweka sawa mzunguko wa hedhi na ute laini.
7- Huongeza kinga imara kwa changamoto za magonjwa.

Call +255772088148 /Whatsapp +255621100726

14/09/2020

I FAHAMU ARGI PLUS (+)
MAANA YAKE | KAZI ZAKE | FAIDA ZAKE | MATUMIZI
YAKE
FOREVER Argi+ ni bidhaa bora kabisa kutoka katika kampuni yetu ya Forever living products
Ina L-arginine amino acid kwa kila kijiko kimoja cha Argi+
Ina Nitric oxide ambayo inasaidia kutanua mishipa ya damu hivyo kuruhusu damu kupita vizuri
Ina viondosha sumu vya *POMOGRANATE* ambavyo ni muhimu sana ili kuondoa sumu mwilini
Ina *Vitamin* *Complex* ambazo zinasaidia kujenga misuli
FAIDA ZA KUTUMIA ARGI+
1. Ni kirutubisho muhimu sana kutumiwa kila siku kwa ajiili ya kusaidia mifumo yote ya mwili ili kuupa mwili uwezo wa kufanya kazi vizui zaidi.
2. Inasaidia mfumo wa kinga ya mwili, kutokana na nitric oxide ambayo inatumiwa na chembechembe nyeupe za damu kuua bacteria. Hivyo kuupa mwili uwezo zaidi wa kupigana na magonjwa.
3. Inasaidia kurekebisha kiwango cha "blood pressure kiwe sahihi na afya ya mzunguko wa damu ya moyo kiujumla.
4. Inasaidia kutengenezwa kwa mifupa na mwili kiujumla hivyo ni nzuri sana kwa tatizo la waliovunjika mifupa au wenye mifupa dhaifu.
5. Nitric oxide inayotengenezwa inaongeza mzunguko wa damu ndani ya mwili na hivyo inasaidia kuongeza NGUVU ZA KIUME.
6. Inasaidia misuli kuwa imara na yenye nguvu, pamoja na kupunguza mafuta ndani ya mwili. Ndio maana ni nzuri sana kwa wanawake na wanaume wanaofanya mazoezi.
7. Ina "Pomegranate" na vimelea vya matunda ambavyo ni viosha sumu, husaidia kuondoa madhara ya "FREE RADICALS" mwilini
8. Inavimelea vitokanavyo na "RED WIN" ambayo inasidia kushusha kiasi cha "CHOLESTROL" mwilini.
9. Inaongeza uwezo wa mwili kutumia insuline (Insuline Sensitivity) hivo inafaa sana kuweka uwiano wa sukari mwilini.
10. Inasaidia kutoa hormones zinazopunguza kasi ya kuzeeka, kukufanya uonekane chini ya umri wako.
Matumizi :
Kijiko kimoja cha ARGI+ na 200mls za kinywaji cha Aloe Vera au Juisi, Maji au Maziwa Mtindi.
Kupata arg plus yako piga/sms /WhatsApp 0621100726

Photos from AFYA NA TIBA's post 09/09/2020

ZIJUE FAIDA ZA FOREVER MULTI MACCA.

Forever multi macca inatokana na mmea uitwao macca au lepidium Meyenii kutoka nchini Peru wenye historia ya miaka zaidi ya 2000 kuongeza stamina ya mwilini. Haina madhara na Ina faida kubwa sana kwa wanaume na wanawake. Wanawake wa Peru wanatumia macca kuanzia wakiwa na umri wa miaka 3 ili wawe na nguvu, hamu ya tendo la ndoa na uwezo wa kuzaa. Huu mmea una protein nyingi katika mfumo wa amino acids na virutubisho muhimu vinavyosaidia kazi ya kuamsha ishara ya hamu ya tendo la ndoa. Tuangalie faida za malti macca mwilini.

➡️ INAONGEZA HAMU YA MAPENZI KWA KINA BABA NA AKINA MAMA KWA ASILIMIA ZAIDI YA 100, STAMINA NA NGUVU.

➡️ Inasaidia kuondoa msongo wa mawazo( depression).

➡️ Inasaidia kuondoa madhara ya kukoma hedhi (menopause).

➡️ Inarutubisha Mayai

➡️ Inaongeza idadi ya mbegu za KIUME(sperm count) kwa asilimia 200 na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri (mobility).

➡️ Inabalance kiwango Cha chuma kwenye damu.

➡️ Inasaidia kukuza matumizi ya glucose kwenye damu kubadilishwa kuwa nguvu na si kugeuzwa kuwa mafuta.

➡️ Inasaidia kwa waathirika wa punyeto na kuwafanya wawe na uwezo mzuri pindi wanapofanyia tendo la ndoa na kuwajengea stamina ya Hali ya juuu.

"Ewe baba, ndugu yangu nakushauri usijisikie vibaya wakati suluisho tosha liko hapa malt
maca haijawai kumuacha mtu salama 😍". WhatsApp 0621100726

29/08/2020

Natafuta watu mbalimbali kwa ajili ya kushirikiana nao katika kufanya biashara awe popote dunia hii naweza kushirikiana nae Ila sihitaji kiasi chochote kutoka kwako kwa maelezo zaid tuwacliane whatsApp 0621100726

29/08/2020

Natafuta watu mbalimbali kwa ajili ya kushirikiana nao katika kufanya biashara awe popote dunia hii naweza kushirikiana nae Ila sihitaji kiasi chochote kutoka kwako

Photos 29/08/2020
09/07/2020

Kwa afya yko

02/06/2020

Call and whatsApp 0621100726

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Zanzibar City